Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8
Gonga94 · Stories

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

*SEHEMU YA SABA*

Mimi na Enzo tulishtuka sana Walahi, lakini Mimi

Ndio nilishtuka zaidi, Yaani hii ni zaidi ya sibu imagine mpaka baba mkwe sa hapa Ndio inakuja ile hali ya kutaka ardhi ipasuke ili upate kuingia Maana daaaah. Pully sasa, akawaka kwa hasira kunipiga lakini Enzo akawai kutaka kukaa mbele

yangu

Muda huo Mimi na Enzo tulikuwa tumekumbatia shuka vizuri Sana Maana likanguka tu ni mtihani mikubwa sana

"Mama Nafkill tungetoka nje tuwape nafasi ya

kujistili kidogo Alizungumza Suzy kwa huzuni sana lakini pia alionekana kuchukizwa na ujinga wangu Mimi

ha Enzo

"Hapa hakuna sehemu naenda, na huyu maichane impuuzi Leo atakua kituko hospital subili tuone utavaa nini hil

Alijibu madam groly na kwa haraka akaanza kukusanya nguo zangu ambazo zilikuwa zikigalagala chini "Mama please please usifanye hivyo

Alizungumza Enzo Maana mama yake anamjua vizuri sio mwanamke wa utani utani ata kidogo, kuna muda najiulizaga huyu madam groly ni mwanamke wa kawaida kwel

"Madam please"

Nilizungumza uku nikihisi kuchanganyikawa. "Hivi wee Binti umefunzwa kweli NYUMBANI kwenu 7 Ulitaka kumuua Mwanangu au ? Jana

nilikuambia nini?"

Muda huo huo Nick akafika wodni na kubaki Mdomo wazi kutoka na mambo yanayoendelea. "Mama please mpatie ISHANI nguo zake

hivi

Enzo aliendelea kumlazimisha mama yake

safari hii alionekana Kuwa na hasira kuliko

mwanzo

"Usinipandishie SAUTI kwajili ya huyu mjinga.

wako saw? Hivi Enzo unaona ni Sawa tiki

kinachoendelea eeeeh, unaona ni Sawa ? Tazama Mke wako anakukuta katika hall hi ikiwa amerudi baada ya kujua kuwa wewe ni mgonjwa sana, mgonjwa gani mzinzi wech

mgonjwa gani anakuwa na akil Kama zako we

mbwa wewe"

Aaaah Walahi Jambo liwaka lelelele patashika

nguo kuchanikka

Muda huo huo Enzo akaanza kukohoa mfululizo, alikoboa mfululizo na akikuwa kikohozi cha kawaida kwani killambatana damu ambayo

Ilikuwa inatoka puani na Mdomoni

"Enzo

Nilimuita nikiwa

wasiwasi sana

kwa

wakati huo sikujali kuhusu utupu wangu Maana

ata Shuka lenyewe nililiachsa Muda huo huo wahudumu emergency Wakaja na kumchukua Enzo na kutoka nae, kila mtu akawa anafatilia nyuma nyuma isipokuwa

Mimi na Suzy

"Vas mavazi yako na uondoke"

Alizungumza Suzy kwa hasira sana.

"Niondoke ? Suzy siendi kokote yani siendi

kokote pale, Yaani namuachaje Enzo peke yake

eech"

"Hivi we ISHANI ni Chizi

mwenda wa zimu?

Umeona shida ulynisababisha umeona

matatizo uliyoyaleta Nimekuambia ondoka,

Mbona unakuwa Kama Chizi wa mapenzi wewe

Eeeh

"Ndio, Ndio Mimi Chizi mapenzi, Kama ni

kwaajili ya Enzo Bası Sawa Mimi ni Chizi na Enzo

Ndio Jalala langu, kwani kosa langu Mimi Mimi.

eeeb kumuonesha Enzo kiasi gani nampenda au

Kwakuwa Mimi ni masikini Eeeeh me kosa

langu liko wap

Nililalamika na mwisho nikajikuta nikiita tu Suzy

akanikumbatia

nguvu sana na kunituliza,

baada ya muda nikachukua mavazi yangu.

nikavaa na kutaka kuondoka tu Kama ambavyo

Suzy Ametaka

tle natoka tu mlangoni, pully akaja na.

kunisukumia Ndani na Kwakuwa ilikuwa gafla

sana nikajikuta nikianguka chini na pully

hakupoteza moda kabisa akanifata hapo hapo

chini na kuanza kunipiga

Aash nisiwe muongo Bwana pully alinipiga Tena

sio kidogo na vile aliriwal weeeeeh shoga

yenu nimebamizwa kisawasawa, Walahi

nimshukuru Nick tu Maana yeye Ndio alikuja na

kunisaidia

"Pully hii haijaisha mpaka hiishe, di umeanzisha

Mimi nitamaliza, unajua nini subili Enzo

Sawa utalambia familia ya kina Enzo Jma

pully umetoa wapi na mama yako mzazi ni Nani

Nikajnos kwenye mikono ya Nick kwa nguvu

kisha nikaondoka zangu nje.

"Pully, ishani anaongea kuhusu mas?"

Suzy alimuuliza pully

Pully akamuangalia Suzy kwa kumpamdisha

kumshusha kisha akatoka nje pasi

kuzungumza kitu chochote kile

Kwa upande wangu nilitoka mpaka nje ya

hospital kabisa nikiwa na Lengo

NYUMBANI

kwenda.

"Kwanini niondoke? Yasani naondoka kwajili ya

kumuogopa madam groly pully Hapana

Kama bwai na iwe bwal na ukwell

mambo

utajulikana tu, lazima kila Mtu ajue Kuwa pully ni

amina na kuna ukweli wa mambo anauficha

Baadaa ya kujifaña sana

Pepo wa Shari

akiwa ameshanipanda kichwani, nikageuka na

kutaka kurudi Ndani lakini gafla tu nikavutwa

kwa nguvu sana na kuzibiva na Mdomo

"Eeeeeh Yaani natekwa hadharani

Nilijiongelesha kimoyamoyo uku nikiwa

wasiwasi mkubwa sana

Basi mtu huyo ambaye alinivuta, akanasogeza

mpaka kwenye koldo na kuniacha na hapo Ndio.

nikaweza kumuona baba mzazi wa Enzo

"Pole Kama nimekuumiza"

Alizungumza baba Enzo kwa utulivu sana.

"Sijaumia lakini umenlogopesha sana kwakwel,

Yaani umeniogopesha mno"

Nilizungumza

"Pole sana, ishani linti yangu, najua ni kiasi gani

unampenda Enzo, najus unojali sana kuhusu

yeye lakini kwa sasa

Hivi naitaji unisikilize Mimi tu

"Ndio baba

Nilitika

kukaa kimya kuweza kujua ni

Jambo gani ananiambia huyu MZEE ambaye ata

kwenye Nyumba yake Mwenyewe hana kaull

kabisa, Yaani madam groly anamuendesha

mpaka mume wake

"Kwa muda huu na mambo haya yanayoendelea

ningekuomba uwende NYUMBANI halafu Mimi

baba yako nitakutafuta jioni kwaajili ya

maongezi zaidi"

Alizungumza baba mzazi

wa hali ya ja

"Lakini baba"

Enzo kwa utulivu

"ISHANI hakuna cha lakini, kwa sasa familia

yangu inapitia mambo magumu na mazito sana,

nakuomba sane Tena sana ondoka

"Sawa"

Nilijibu ingawa kishingo upande tu, mwisho

nikatoka zangu na kuondoka.

Hatimaye nifika NYUMBANI kwangu nikiwa

nimechoka

Tena sana, Yaani ukiniangalia

Jinsi nilivyochoka unaweza kuzeena nimetoka

kupasua mawe kumbe ujinga wangu wa

mapenzi

"We nawe ulienda wapi? Nakupigia simu upokel

yani Sijui unashida gani Na Mbona una

manundu klasi hiko

Unafikill hayo maswali nameulizwa na Nani

Kama sio pili ? Yaani pili ajuagi kumtuliza.

Yaani kitendo cha kuona sura yangu tu kaanza

kuniuliza maswali mfululizo.

Kwakuwa pili

Bff wangu, nikatulia

kumsimula kila kitu pasi na kumficha Jambo

lolote lile

Pill akaniangalla kwa muda kisha akaniuliza.

"Ishani, kwani Enzo anazo MBILI

Kwanza sikumuelewa Nikabaki nikimtumbulla

macho tu Kama fundi Sae aliyepoteza nati

"Unaniangalia kitu gani? Huyo Enzo anazo

MBILI au Yaani naona unamng'ang'ania sar

mwenzetu

Hapo sasa ndio nikamuelewa na nikajikuta

nikicheka sana Walahi

"We pili wewe or

Niliishia kumuita tu Maana

Maneno yalikuwa

hayatoki kutokana na kicheko kilivyokuwa.

kimenihana

"Unacheka haya, Mimi nakuhuruma

ndugu yangu, wenzio wale wanapesa wakipata

matatizo wanatatua haraka haya

mwenzangu

Mimi tunaotokea kwenye

Nyumba za kajamba Nami unafikili ukipata tatizo

unakimbilia wapi zaidi ya kudhalilika Ebu acha

ujinga Uko

Katika siku pili alinisema na kunifokea Kama

Mzazi Basi ni siku hii, pili abongea mengi

na yenye Maana, pili aliongea na Mimi Kama

mzazi vile na sio Rafiki na kwa Namna moja.

nyingine niliweza kumuelewa ni kitu gani

ananiambia

Baada ya pili kunipatia makavu live na kulizika.

ndio akaniuliza.

"Kwahiyo Enzo anaendeleaje

"Mpaka sasa Sijui kwakwal, Naomba Mungu

amponye tu

Nilijibu kwa SAUTI ya chini sana.

Majila Saa MBILI usiku nikiwa chumbani kwangu

napika, muda huo huo niliweza kusikia SALITI

Ikigonga mlango, kwa haraka haraka nikajua ni

pill hivyo nikajibu.

"Pill ingla sijafunga

Hatimaye mlango ukasukumwa

akaingia

"Wewe umefata nini hapa

pully

Nilimuuliza kwa mshangao wa hali ya juu na

kisha nikazima jiko kwanza Maana lolote

linaweza kutokea.

"Nimekuja kukupa onyo ISHANI Maana naona

Unataka kunipanda kichwani, kwanz nataka ujue

Kuwa Mimi ni Mtu mmoja mbaya sana, ishani

Mimi Nina roho mbaya kinyama Sawa kwa mtu

anayeingilia maisha yangu

"Unanitisha

Nilimuuliza.

"Sikutishi nakuambia ukwell, ishani salama yako

wewe ni kukaa mbali Enzo, na sio mbali

Enzo Yaani nje kabisa ya

ustwe na

mawasiliano na Enzo Tena, otherwise you will

regret knowing me

"Utanifanya nini sasa?"

Nilimuuliza nikiwa jazba ya hall ya juu na

sikupoteza muda nikarımukia na tukaanza

kupigana, na haikuchukua muda mrefu shoga

yangu pili akaja ne tukawa tunamchangia.

Je pully statoka salama Tukutane sehemu

*SEHEMU YA NANE*

Nyie Mimi na pili hatukuwa na huruma ata kidogo, tulimpiga snaa pully na ashukuru Mungu. Kelele zake ziliweza kumsaidia majilani Wakaja kumsaidia na kumtoa nje ya chumba changu.

"Mbwa wewe Yaani unakuja kunitambia NYUMBANI kwangu, unakuja kuleta ujinga wako NYUMBANI kwangu ulifikoli nitakuacha kama nilivyokuacha hospital 7 Rudia Tena nyang'au mkubwa wewe"

Aaaaah Walahi niliwaka sana na nilikuwa Nina

hasira ambayo haipimiki kwa wakati huo.

Basi majilani wakamsaidia pully na kufanikisha kumpamdisha kwenye gari yake, fla nyie hasira hasira kwakweli, Kwakuwa nilikuwa Nina hasira sana, nikaokota jiwe na kutupia kwenye gari yo pully na nikaweza kuvunja kioo cha nyuma.

"Mtumeeeeeeeh, we ishani wewe"

Alizungumza pili kwa mshtuko wa hali ya juu

akiwa ameweka mikono kichwani

"Ndio akome kujaga kwenye majumba ya watu"

Nişbu kisha nikaingia chumbani kwangu na kujifungia

Siku iliyofuata, niliamka asubuhi sana na kwenda kufanya usafi kwani ilikuwa ni zamu. yangu ya usafi

Nikiwa bize nafagia uwanja, muda huo huo ikaja

gari ya police na walikuwa ameongozana na pully ambaye alikuwa amevimba kila kona.

"Afande Isha Mwenyewe Ndio huyu"

Alizungumza pully.

Kiukweli sikupata ata nafasi ya kujitetea kwa

wakati huo nikachukuliwa na police na

tukaondoka

Baada ya kufika kituo cha police, nilikaa Kama

nusu Saa hivi bff wangu pili nae akafika,

nikasomewa mashtaka yangu pale na kila kitu.

"Kesi Yako Wala sio kubwa Binti, hapa n kutengeneza kioo cha gari ambacho umeharibu

Alizungumza police ambaye alikuwa akisimamia

kesi yangu.

Ila maisha haya, Yaani Leo sasa Ndio nayaelewa Yale Maneno ya pili Kuwa Pesa Ndio kila kitu, kwa wakati huo Ndani nilikuwa na akiba ya elfu

37 tu imagine

"Naomba kupatiwa muda nitatengeneza

Nillomba.

"Afande unajua nini, gari yangu naipeleka garage Leo na itafanyiwa kila kitu, halafu huyu mpuuzi apate ata miezi yake 6 tu nyuma ya nondo"

Alizungumza pully akionesha wazi Kuwa

amepanga kunikomesha.

Mimi na pili tulijitaldi sana kumuomba radhi pully

lakini mambo yalikuwa magumu sana na

mwisho Nikachukuliwa na

mahabusu.

kupelekwa

Nyieeeh Mwenye Pesa sio mwenzio kabisa.

Ndani ya week moja tu shoga yenu nikakabiziwa jezi zangu za orange nikiwa Kama mfungwa Rasmi, Walahi niliumia sana na kuna Namna niliona Kuwa nantesa pill wangu kwani pili Ndio

alikuwa akiangaika uku na uku kwaajili yangu.

Hatimaye mwezi mmoja na week mbili zikapita nikiwa gerezani ni mwendo wa kunyea kwenye

ndoo tu Kiukweli nilichalala, ngozi yangu

haribika sana, nilikonda kuliko kawaida, homa

za Mara kwa Mara azikuniisha kabisa

Ikiwa ni Majila ya MCHANA baada ya kutoka kula, ishani Mimi nijilaza tu kutokana na uchovu ambao nilikua nao, muda huo huo akaja mmoja

kati ya wafanyakazi wa hapo gerezani na

kuzungumza

"ISHAN, nyanyuka kuna mgeni wako"

Nilimuangalia kwa muda na kuzungumza

kimoyamoyo.

"Pili nae amekuja kufanya nini uku

Kisha nikanyanyuka na kuongozana nae na moja kwa moja tukaenda kwenye chumba cha mazungumzo na hapo Ndio nikakutana na Enzo.

kutabasamu lakini Mimi Enzo aliniangalia

nilikuwa nikimuangalia kwa kumkazia macho. "Afande nirudishe tu Ndani

Nilizungumza nikiwa na hasira.

"Uishiwi na drama zungumza na mgeni wako,

una dakika 10 tu

Alizungumza Afande kisha akatoka na kuniacha Mimi na Enzo

"Umekuja kufanya nini?"

Nilimuuliza Enzo kwa SAUTI ya kisilani sana.

Enzo akanyanyuka alipokuwa amekaa na kutaka kunisogelea lakini akakumbuka Kuwa hatutakiwi

Kuwa Karibu Karibu hivyo akarudi kukaa na

kuzungumza

"ISHANI, Unafikill Mimi ningeweza kukuacha

ukae umu Ndani ? Nimekuja kukutos"

"Sitaki kwenda kokote pale na Kama ni kutoka

wapo watu watakaonitoa lakini sitaki msaada

wowote ule kutoka kwako Wala familia yako, am done Enzo nimechoka mno

"Najua una hasira Unafikilia labda nilikususa

kukuacha hapa huo ukweli ishant, hapa

unavyoniona Nina siku 3 tu tangu nitoke

hospital, hali yangu kiafya Ndio inaendelea

kuimalika

Nikamuangalia vizuri na kwa SAUTI ya upole nikazungumza.

"Pole na kuumwa lakini unaweza kwenda Sasa

Nilinyanyuka zangu na kuondoka na kumuacha

Enzo akinishangaa tu. Ni kweli nampenda Enzo

Tena sana lakini kuendelea Kuwa Karibu nae ni kuendelea kujitafutia matatizo tu hivyo sikutaka

ukaribu na yeye Tena.

Siku ziliendelea kwenda uku nikiendelea

kutumikia adhabu yangu

Kwa upande

Enzo Kiukweli hakuweza kabis

kutulia aliangaika uku na uku na kwa uwezo wa

Mungu akafanikisha kunitoa na nikawa huru

Tena

"Asante sana Enzo, lakini Naomba Leo iwe Mara

ya mwisho kuonana Mimi na wewe"

Nilimwambia Enzo, muda huo Ndio kwanza Enzo

alikuwa amenifikisha NYUMBANI

"Kama ilo Ndio litakupatia wewe amani Basi

Sawa nitafuata, kitu kimoja jua Kuwa ukiniitaji muda na Saa yoyote ile usisite kuniambia

byeeeh

Alizungumza Enzo kisha akageuka na kupanda

gari na kuondoka zake pasi na kuniangalia Tena.

Kwa utulivu

hall ya juu nikaingia Ndani na

kulia sana, Kiukweli Mimi si mtu wa kusali Wala

nini lakini siku hii niliamua kupiga goti na kungea

na Mungu wangu, niliamua kuanza maisha

mapya kabisa, maisha ambayo hayatakuwa

Kama msiba Kwa upande wangu.

Siku iliyofuata, nikaamka asubuhi na maperna,

nikachukua Pesa ambayo nilikuwa nayo Ndani na kwenda sokoni, nikanunua matunda ya

kutosha na kuingia barabarani kwajili ya kuuza

Kwa namna moja nyingine nilianza maisha

yangu nikiwa na amani tele na nilifurahi asana

mwanzo wangu

Siku moja

nikiwa

nimesimama

sheri

nawamenyea wateja matunda Yao, gafla koja

gari kwa kasi sana na kuvamia beseni langu la

matunda na kuharibu kila kitu.

"Mungu wangu"

Nilishtuka na kushika kichwa.

Muda huo huo kioo cha gari kikafunguliwa na Pully akatoka kichwa nje na kunizomea kisha akawasha gari na kuondoka kwa kasi ya 50.

"Jamani pole sana"

"Pole mwaya"

"Ila kuna watu sio wastaarabu kabisa"

Yalikuwa

Maneno ya raia ambao walikuwa

hapo wakati huo na walishuhudia kila kitu.

Walahi nilishiwa nguvu kabisa na sikuwa na cha kufanya kwa wakati huo zaidi ya kuondoka

Week moja ikapita nikiwa Nipo NYUMBANI sina.

hill Wala lile na sikuwa najua nitapata wapo

mtaji mwingine.

"Siwezi kumuacha pully kwenye hili

Nilizungumza kwa hasira mno.

Muda huo huo nikachukua simu yangu na

kumpigia Suzy.

"Hatimaye Leo umenikumbuka Wizo wangu"

Alizungumza Suzy kwa Furaha sana baada ya

kupokea simu yangu.

"Nimekumisi mways"

Nilimwambia.

"Mimi pla, kesho nitakuja kukutembelea mwaya"

Alizungumza Suzy

"Suzy kuna nini Mbona Kama nasikia Kelele za

uku na uku kila kitu kiko Sawa"

Nilimuuliza Suzy baada ya kusikia makelele.

mengi Kwa upande wake

"Yaani we acha tu wifi yangu, Leo ni siku ya

kuzaliwa ya Pully Ndio tupo NYUMBANI kwake

tunafanya mandalizi ya party itafanyika usiku

Saa 3

Basi Mimi na Suzy tukaongea mengi sana

mwisho tukaagana

Kitendo tu cha Kukata simu nikajikuta

nikitabasamu kwa dharau na furaha ya hali ya

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8


*SEHEMU YA SABA*

Mimi na Enzo tulishtuka sana Walahi, lakini Mimi

Ndio nilishtuka zaidi, Yaani hii ni zaidi ya sibu imagine mpaka baba mkwe sa hapa Ndio inakuja ile hali ya kutaka ardhi ipasuke ili upate kuingia Maana daaaah. Pully sasa, akawaka kwa hasira kunipiga lakini Enzo akawai kutaka kukaa mbele

yangu

Muda huo Mimi na Enzo tulikuwa tumekumbatia shuka vizuri Sana Maana likanguka tu ni mtihani mikubwa sana

"Mama Nafkill tungetoka nje tuwape nafasi ya

kujistili kidogo Alizungumza Suzy kwa huzuni sana lakini pia alionekana kuchukizwa na ujinga wangu Mimi

ha Enzo

"Hapa hakuna sehemu naenda, na huyu maichane impuuzi Leo atakua kituko hospital subili tuone utavaa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaash-boss-enzo-season-two-7-na-8

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaash-boss-enzo-season-two
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two*   *SEHEMU YA SITA*

*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two* *SEHEMU YA SITA*

855
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8

651
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 15

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 15

315
MY CRAZY BOSS 16

MY CRAZY BOSS 16

290
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 13

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 13

278
SHAMIRA sehemu ya 29&30

SHAMIRA sehemu ya 29&30

184
SHAMIRA  🏀 sehemu ya 32&33

SHAMIRA 🏀 sehemu ya 32&33

157
SHAMIRA sehemu ya 30&31

SHAMIRA sehemu ya 30&31

131
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6

93
THE SECRET MESSAGE 💬05

THE SECRET MESSAGE 💬05

82

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.38K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.14K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.73K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.17K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.58K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.37K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.3K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.24K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Bila kusema neno lolote, Mr. Marvel aligeuka akaondoka. Basi Salmon alitakiwa kusimamisha party lakini kabla hajafanya hivyo alimwangalia Noela akamwambia “Ondoka! Unasubiria nini tena?”😒 “Hutanipeleka hostel?” “No, sina muda” “Kwa nini? Nitarudi vipi jamani?”...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8
@majario LIVE

*SEHEMU YA SABA* Mimi na Enzo tulishtuka sana Walahi, lakini Mimi Ndio nilishtuka zaidi, Yaani hii ni zaidi ya sibu imagine mpaka baba mkwe sa hapa Ndio inakuja ile hali ya kutaka...

MWANAMKE ALIYEMNYIMA BABA YAKE MZAZI MAJI YA KUNYWA NA KUJA KUFILISIKA SIKU YA HARUSUI Post Mpya
MWANAMKE ALIYEMNYIMA BABA YAKE MZAZI MAJI YA KUNYWA NA KUJA KUFILISIKA SIKU YA HARUSUI
@majario LIVE

Sheila alikuwa binti aliyefanikiwa sana jijini. Alikuwa na kampuni ya uagizaji wa vipodozi na alikuwa akiishi maisha ya kifahari. Sheila alikuwa anajiandaa kufunga ndoa na Dr. Oscar, kijana kutoka...

*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two*   *SEHEMU YA SITA* Post Mpya
*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two* *SEHEMU YA SITA*
@majario LIVE

SONGA NAYO Kiukweli uwaga namuogopa sana madam groly lakini safari hii imekuwa tofauti sana Tena sana. yaani sijasikia uoga wa aina yoyote fla na sikusikia Kuwa na wasiwasi juu ya uwezo...

SHAMIRA  🏀 sehemu ya 32&33 Post Mpya
SHAMIRA 🏀 sehemu ya 32&33
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Bai tumefika nyumbani akanishusha mwenye gari. akanikokota mpaka chumbani moja kwamoja akanipeleka bafuni nilichafuka na mapombe kama yote. Mwanaume akaniweka kwanza chini akaanza kunimwagia maji...

SHAMIRA sehemu ya 30&31 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 30&31
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mie nikaongea na asha .akanambia shoga vijora vishafika nikamwambia changu nipelekee kwa fundi mwambie akitatue mpma mapajani na mgongoni kuwe wazi. kama kawaida yangu...

MY CRAZY BOSS 16 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 16
@majario LIVE

Siku moja nikiwa nimekaa boss alikuja ofisini kwa wafanyakazi wote ambapo mimi pia napendelea kukaa mahali hapo. "Nahitaji kuelekea kwenye party usiku wa leo najiuliza ni nani atafaa kunisindikiza, boss...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 15 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 15
@majario LIVE

Aliendelea kunipa juice kwa utaratibu, huku anaaacha ananitizima nikitaka kuongea ananipa tena juice, aweee hii ilikuwa tofauti kwangu asee ilikuwa tamu kuliko ya siku ile, nilijikuta natoa ushirikiano hasaaa kwenye...

SHAMIRA sehemu ya 29&30 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 29&30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi aisha akasema sawa akasema sasa jambo ndo linakalibia na bado siku 2 tu kama una agaa anza kumbembeleza mapema.nikasema sawa shoga ngoja leo akirudi niongee...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kwaiyo Mr Marvel akahairisha kwenda eneo la pool, badala yake akamfuata Noela nyuma na kumuona akiingia chooni. Huko ndani Chooni, Noela alikua anatoa tu machozi kama hana akili nzuri. Moyo ulimuuma...

Mother India (1957) is not just a film, it’s an emotion for Indian cinema lovers. Directed by Mehboob Khan, the movie starred Nargis in one of the most powerful performances ever seen on screen, along with Sunil Dutt, Rajendra Kumar and Raaj Kumar Post Mpya
Mother India (1957) is not just a film, it’s an emotion for Indian cinema lovers. Directed by Mehboob Khan, the movie starred Nargis in one of the most powerful performances ever seen on screen, along with Sunil Dutt, Rajendra Kumar and Raaj Kumar
@majario LIVE

. It was actually a remake of Khan’s earlier film Aurat (1940), but Mother India became much bigger in scale and impact. The story revolves around Radha, a poor village woman...

THE SECRET MESSAGE 💬05 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE 💬05
@majario LIVE

Alinitazama akiuma midomo yake akisema “Chiddy unaweza acha pikipiki mahali, ukaingia kwa gari unisindikize mahali?” Niliona tayari fursa hii, nilitabasamu na kusema “bila shaka dada yangu mzuri.” Alitabasamu, basi kidume sikuwawia. Haraka...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 13 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 13
@majario LIVE

"Wee nae nilikuwa nakwambia kila siku yule sio mwanaume, unaanza kusema ooh amenitolea barua, mimi nilijua tu hili litakuja litokee siku tuu yaani huyoo mkaaka ni mpuuzi sana kha! Mh...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19   na 20. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19 na 20.
@majario LIVE

19 MPAKA 20 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Mama akasema mungu wangu hajafanikiwa eewh hajafanikiwa. Nikasema ndio mama. Baraka akasema sio kweli shangazi . Mimi siwez kumfanyia hivyo shakira. Apo mimi...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*
@majario LIVE

"Habari za hapa?" Aliuliza Suzy baada ya kutufikia Mimi na pili. "Salama" Alijibu pili na Mimi Nikabaki nikimuangalia Suzy kwa dharau sana Maana huyu msichana amejua kuninyanyasa sana NYUMBANI kwao. "Nikusaidie nini Nilimuuliza Hapo pili akaniangalia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest