Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY CRAZY BOSS 17
Gonga94 · Stories

MY CRAZY BOSS 17

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Haikuchukua muda sana , tuliwasili nyumbani kwa boss, tuliingia kiustaarabu sana na tulivyozama tu boss alianza kunionesha ukichaa wake.

Alinisogelea karibu aligusanisha mdomo wake na wangu kwa fujo alianza kunipa mate yake, hakuishia hapo tu alizidi kutalii mwilini mwangu , nilijikuta nikipata msisimko wa ajabu sana .

Yaliyojiri yalijiri hatimae tulishiriki sita kwa sita.

"Nakupenda sana Joyce, nakuahidi kukulinda sitakuacha kamwe, japo huna uzuri wa ajabu ila nimezama kwako".

🤣🤣Kwahio unaniponda sio? Kama mie sio mzuri si uende kwa leila ana big nyash.

"Yule hapana nikiingia nakutana na bahari, sitaki kuzama bora nibaki kwako mama🤣", Boss alijibu akiwa mkavu sana.

Aya buana tuliongea mawili matatu kisha tukapitiwa na usingizi kama mjuavyo uchovu wa kucheza mechi tata.

Asubuhi iliwadia niliamka nikiwa nimechoka sana, nilianza kupapasa kitanda ika sikufanikiwa kumuona Erick kabisa.

Niliingiwa na wasiwasi hivyo nilinyanyuka na kuanza kumtafuta

"Eriiiii eric baba niliita".

Naam my love , umenimjss tayari, boss alitokeza nyuma yangu na kunikumbatia huku akinikiss.

Sijakumiss wala nini, ulinitia wasiwasi tu kidogo.

Asante mama ni wazi unajali kuhusu mimi.

"Hapana wala, nilijibu."

Sawa, jiandae basi tuna safari leo kuna mahali nataka tuelekee kwa vile ni weekend itakuwa vema sana boss alizungumza.

Mahali?? Ni wapi tena hapo?? Mbona unanipa wasiwasi lakini, nilizungumza.

Usiwe na wasiwasi mama, ina maana huniamini kweli? Aliuliza.

Si kwamba sikuamini ila nazifahamu akili zako hazipo sawa muda mwingine🤣.

🤣🤣Sawa buana we jiandae zipo sawa au haziko utafahamu mbele ya safari buana, boss alijibu huku akitabasamu.

Sikusita nilitafuta gauni langu jeusi na kulivaa msishangae sana niliishi nyumbani kwa Erick kwa muda kidogo hivyo hata nguo zangu baadhi zilibakia.

Baada ya kujiandaa tuliongozana Na erick kwenye gari kisha safari ya kuelekea kusikojulikana ilianza.


Kwenye gari niliamua kuvunja ukimya kabisa .

"Hivi boss tunaelekea wapi ?, nahitaji kujua. '

Utajua tutakspofika mama,,halafu nilikukataza kuniita boss tukiwa wawili.

Ni sawa, ni mazoea tu, nilijibu.

Safari ilizidi kusonga na baada ya muda tuliingia kwenye nyumba kubwa, mandhari ya nyumba hio haikunishangaza ni wazi nilishawahi kufika mahali hapa.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY CRAZY BOSS 17


Haikuchukua muda sana , tuliwasili nyumbani kwa boss, tuliingia kiustaarabu sana na tulivyozama tu boss alianza kunionesha ukichaa wake.

Alinisogelea karibu aligusanisha mdomo wake na wangu kwa fujo alianza kunipa mate yake, hakuishia hapo tu alizidi kutalii mwilini mwangu , nilijikuta nikipata msisimko wa ajabu sana .

Yaliyojiri yalijiri hatimae tulishiriki sita kwa sita.

"Nakupenda sana Joyce, nakuahidi kukulinda sitakuacha kamwe, japo huna uzuri wa ajabu ila nimezama kwako".

🤣🤣Kwahio unaniponda sio? Kama mie sio mzuri si uende kwa leila ana big nyash.

"Yule hapana nikiingia nakutana na bahari, sitaki kuzama bora nibaki kwako mama🤣", Boss alijibu akiwa mkavu sana....

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-crazy-boss-17

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-crazy-boss
MY CRAZY BOSS 12,13,14
MY CRAZY BOSS 12,13,14
MY CRAZY BOSS 16
MY CRAZY BOSS 16
MY CRAZY BOSS 1 - 5
MY CRAZY BOSS 1 - 5
MY CRAZY BOSS 08
MY CRAZY BOSS 08
MY CRAZY BOSS 06
MY CRAZY BOSS 06
MY CRAZY BOSS 10
MY CRAZY BOSS 10
MY CRAZY BOSS 11
MY CRAZY BOSS 11
MY CRAZY BOSS 07
MY CRAZY BOSS 07
MY CRAZY BOSS 15
MY CRAZY BOSS 15
MY CRAZY BOSS 09
MY CRAZY BOSS 09
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two*   *SEHEMU YA SITA*

*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two* *SEHEMU YA SITA*

867
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8

666
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 15

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 15

325
MY CRAZY BOSS 16

MY CRAZY BOSS 16

295
SHAMIRA sehemu ya 29&30

SHAMIRA sehemu ya 29&30

190
SHAMIRA  🏀 sehemu ya 32&33

SHAMIRA 🏀 sehemu ya 32&33

162
SHAMIRA sehemu ya 30&31

SHAMIRA sehemu ya 30&31

135
MY CRAZY BOSS 17

MY CRAZY BOSS 17

115
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6

101
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7

88

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.38K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.16K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.73K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.17K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.58K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.37K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.3K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.24K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY CRAZY BOSS 17 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 17
@majario LIVE

Haikuchukua muda sana , tuliwasili nyumbani kwa boss, tuliingia kiustaarabu sana na tulivyozama tu boss alianza kunionesha ukichaa wake. Alinisogelea karibu aligusanisha mdomo wake na wangu kwa fujo alianza kunipa...

 AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap Post Mpya
AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap
@majario LIVE

Huyu binti hapa anaitwa Aminata na ana umri wa miaka 11 tu. Aminata alikumbwa na changamoto ya biashara ya utumwa. Na baada ya kutekwa hapa tunawaona wakiwa wamepelekwa katika soko la utumwa...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Bila kusema neno lolote, Mr. Marvel aligeuka akaondoka. Basi Salmon alitakiwa kusimamisha party lakini kabla hajafanya hivyo alimwangalia Noela akamwambia “Ondoka! Unasubiria nini tena?”😒 “Hutanipeleka hostel?” “No, sina muda” “Kwa nini? Nitarudi vipi jamani?”...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8
@majario LIVE

*SEHEMU YA SABA* Mimi na Enzo tulishtuka sana Walahi, lakini Mimi Ndio nilishtuka zaidi, Yaani hii ni zaidi ya sibu imagine mpaka baba mkwe sa hapa Ndio inakuja ile hali ya kutaka...

MWANAMKE ALIYEMNYIMA BABA YAKE MZAZI MAJI YA KUNYWA NA KUJA KUFILISIKA SIKU YA HARUSUI Post Mpya
MWANAMKE ALIYEMNYIMA BABA YAKE MZAZI MAJI YA KUNYWA NA KUJA KUFILISIKA SIKU YA HARUSUI
@majario LIVE

Sheila alikuwa binti aliyefanikiwa sana jijini. Alikuwa na kampuni ya uagizaji wa vipodozi na alikuwa akiishi maisha ya kifahari. Sheila alikuwa anajiandaa kufunga ndoa na Dr. Oscar, kijana kutoka...

*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two*   *SEHEMU YA SITA* Post Mpya
*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two* *SEHEMU YA SITA*
@majario LIVE

SONGA NAYO Kiukweli uwaga namuogopa sana madam groly lakini safari hii imekuwa tofauti sana Tena sana. yaani sijasikia uoga wa aina yoyote fla na sikusikia Kuwa na wasiwasi juu ya uwezo...

SHAMIRA  🏀 sehemu ya 32&33 Post Mpya
SHAMIRA 🏀 sehemu ya 32&33
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Bai tumefika nyumbani akanishusha mwenye gari. akanikokota mpaka chumbani moja kwamoja akanipeleka bafuni nilichafuka na mapombe kama yote. Mwanaume akaniweka kwanza chini akaanza kunimwagia maji...

SHAMIRA sehemu ya 30&31 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 30&31
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mie nikaongea na asha .akanambia shoga vijora vishafika nikamwambia changu nipelekee kwa fundi mwambie akitatue mpma mapajani na mgongoni kuwe wazi. kama kawaida yangu...

MY CRAZY BOSS 16 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 16
@majario LIVE

Siku moja nikiwa nimekaa boss alikuja ofisini kwa wafanyakazi wote ambapo mimi pia napendelea kukaa mahali hapo. "Nahitaji kuelekea kwenye party usiku wa leo najiuliza ni nani atafaa kunisindikiza, boss...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 15 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 15
@majario LIVE

Aliendelea kunipa juice kwa utaratibu, huku anaaacha ananitizima nikitaka kuongea ananipa tena juice, aweee hii ilikuwa tofauti kwangu asee ilikuwa tamu kuliko ya siku ile, nilijikuta natoa ushirikiano hasaaa kwenye...

SHAMIRA sehemu ya 29&30 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 29&30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi aisha akasema sawa akasema sasa jambo ndo linakalibia na bado siku 2 tu kama una agaa anza kumbembeleza mapema.nikasema sawa shoga ngoja leo akirudi niongee...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kwaiyo Mr Marvel akahairisha kwenda eneo la pool, badala yake akamfuata Noela nyuma na kumuona akiingia chooni. Huko ndani Chooni, Noela alikua anatoa tu machozi kama hana akili nzuri. Moyo ulimuuma...

Mother India (1957) is not just a film, it’s an emotion for Indian cinema lovers. Directed by Mehboob Khan, the movie starred Nargis in one of the most powerful performances ever seen on screen, along with Sunil Dutt, Rajendra Kumar and Raaj Kumar Post Mpya
Mother India (1957) is not just a film, it’s an emotion for Indian cinema lovers. Directed by Mehboob Khan, the movie starred Nargis in one of the most powerful performances ever seen on screen, along with Sunil Dutt, Rajendra Kumar and Raaj Kumar
@majario LIVE

. It was actually a remake of Khan’s earlier film Aurat (1940), but Mother India became much bigger in scale and impact. The story revolves around Radha, a poor village woman...

THE SECRET MESSAGE 💬05 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE 💬05
@majario LIVE

Alinitazama akiuma midomo yake akisema “Chiddy unaweza acha pikipiki mahali, ukaingia kwa gari unisindikize mahali?” Niliona tayari fursa hii, nilitabasamu na kusema “bila shaka dada yangu mzuri.” Alitabasamu, basi kidume sikuwawia. Haraka...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 13 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 13
@majario LIVE

"Wee nae nilikuwa nakwambia kila siku yule sio mwanaume, unaanza kusema ooh amenitolea barua, mimi nilijua tu hili litakuja litokee siku tuu yaani huyoo mkaaka ni mpuuzi sana kha! Mh...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest