Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
Gonga94 · Stories

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋

Siku iliyofuata Asubui, Noela aliamka na kitu cha kwanza alichofanya ni kumtumia Salmon ujumbe akimuomba msamaha. Alitegemea atajibiwa lakini haikua ivyo licha ya Salmon kusoma meseji zote🥱.

Sasa Dada watu akawa anawaza ni wapi anapokosea maana kila siku zinavyozidi kwenda ndivyo meli yake ya mahaba inavyozidi kuzama taratibuuuu.

Ila ghafla kuna kitu kikamjia kichwani, mnakumbuka ile siku ya Valentine? Salmon alisema baba yake alipata ajali, wakati huo Noela ndie alikua na baba yake hotelini. Hiyo ilimaanisha Salmon alimdanganya. Na kama alimdanganya Sasa alikuwa wapi? Na alikua na nani?????🤔

Noela kichwa kikapata moto sababu alipata uhakika kabisa kuwa lazima Salmon ana mchiti na mwanamke mwingine. Lakini hakujua kuwa msichana anayemsaliti naye ni rafiki yake wa karibu, Iris💔.

“Nikimjua huyo mwanamke uwiii sijui nitamfanyajee just sitaki hata kufikiria icho kitu…..” aliongea peke yake na mda huo huo Iris akaingia chumbani akiwa kachoka kama mbwa koko.

“Iris Ulikuwa wapi? Nilikutafuta jana kabla sijaondoka kwenye party” Noela akauliza

“Huna haja ya kujua”

“Unaweza kuniambia kilichotokea? Unaonekana umechoka na una hasira”😳

“Aahaaa bhana niache Sina nguvu ya kuongea. Hapa Nataka kulala tu”

“Kabla hujalala, nataka nikuambie kitu. Sikupenda jinsi wewe na Salmon mlivyokuwa mnafanya jana”

“Nilifanya nini?” Iris alijafanya kushangaa😳

“Ulikua unacheza naye karibu sana pia mlikuwa mnashikana shikana sana kama vile wewe ni mpenzi wake”

Iris akacheka kwa dharau “Jamani, ile ilikuwa party. Kwenye party watu wanacheza, Ulitegemea tufanye nini? …….. Ulielewa vibaya tu”

“Najua, lakini si sawa kufanya hivyo na boyfriend wangu. Pia sikupenda namna ulivyonicheka Iris”

“Sasa kucheka napo ni kosa? Nachoka mimi” Iris akakunja uso

“Si kosa lakini ulimcheka rafiki yako mwenyewe. Watu walinidharau lakini hukusimama hata upande wangu. Wewe na Salmon mlinicheka kama vile hamjali kabisa nitajihisije”🥺

“Sio siri kale kanguo ka kuogelea ulichokavaa kalikua kituko ila anyways kwa hilo samahani! Na wewe uache kuwa drama queen, kitu kidogo tu unachukulia serious”😒

Iris hakuonyesha kujali kabisa hata msamaha aliomuomba Noela haukua umetoka moyoni. Baada ya kusema hivyo akaenda kuoga kisha alipomaliza akapanda kitandani na kulala hata hakutia neno lingine.

Kuna jinsi Noela alihisi Iris amebadilika. Yule rafiki aliyemjua mwanzo na huyu ni watu wawili tofauti. Sikuhizi Hamjali kama zamani na wakati mwingine anaonekana kumtetea Salmon kumzidi yeye.

Kwa vile yeye sio mtu wa maneno mengi ama kulalamika sana, aliamua kupotezea na kuanza kujiandaa kwaajili ya kwenda kwenye vipindi.

Siku hiyo hata alichokua anafundishwa darasani hakua anakielewa, kila wakati alichungulia simu akitegemea atakuta sms zake zimejibiwa na Salmon, ila hapakua na chochote.

Mpaka jioni Salmon alimlia buyu dada wa watu kiasi kwamba Noela akawa mnyonge kupitiliza. Baada ya vipindi kuisha Noela alirudi hostel kupumzisha akili.

Alipofika, alimkuta Iris bado amelala Lakini alipotazama kitandani kwake akaona kulikua na mifuko minne ya shopping, maua pamoja na kadi🛍️💐

Kitu cha kwanza kilichokuja kichwani mwake ni kwamba zile zawadi zilitoka kwa Salmon. Weeeh Akafurahi sana, akarukaruka na mwishoni akaamua kumuamsha Iris.

“Iriisss amka……amkaaaa”😊

“Kuna nini? Mbona unaniamsha? Noela sipendi usumbufu nikiwa nimelala” Iris alilalamika

“Najua but kuna kitu nataka kukuuliza! Salmon alileta hizi zawadi saa ngapi?? Mbona hukuniambia?”

“Zawadi?? Unamaanisha nini?” Iris kuangalia vizuri ndo akaona zile zawadi, yani pale pale akajaa wivu maana hata yeye alijua vile vitu vimetoka kwa Salmon.

Tangu awe mchepuko wa Salmon hajawai nunuliwa hata kibakuli ila mwenzake anapata vizawadi kila kukicha ndo maana anaumia namna ile🤣

Noela wa watu hakugundua ilo, yeye ali focus na zawadi zake akiwa anafungua mfuko mmoja mmoja kujua kulikua kuna nini ndani.

Mfuko wa kwanza, Ndani alikuta kuna gauni zuri sana la rangi ya purple. Mfuko wa pili kulikuwa na boksi la viatu pair mbili na vyote ni saizi yake.

Mfuko wa tatu kulikuwa na vito vya thamani, kama hereni, cheni na pete. Alafu sasa mfuko wanne huko kulikuwa na aina tatu za perfume za gharama ambapo kila moja sio chini ya laki 6😱.

Alipomaliza kukagua mifuko akahamia kuisoma
Ile kadi ambayo ilikua ina maneno matamu sana ya mapenzi. Alipofika sasa kwenye jina la mtuma zawadi mood yote ilimuisha.

Alitegemea atakuta from Salmon, badala yake jina lilisoma from M na kakopa pembeni❤️. Akajiuliza huyo M ni nani ndipo mwishoni akapata majibu kuwa M sio mwingine bali ni Mr Marvel, baba wa Salmon.

Uso wake ukabadilika kutoka furaha hadi hasira mpaka ile kadi akaichana chana vipande na kuitupa pembeni.

Iris akashangaa mwenzake kachukia ghafla wakati sekunde mbili nyuma alikua anashangilia kama mtoto alie ona pipi.

“Vipi tena mwenzetu??? Mbona kisirani?”

“Nina hasira kwa sababu hizi zawadi hazijatoka kwa Salmon”

Iris kusikia vile kidogo akashusha pumzi kwa furaha
“Kama si zake, niza nani??”

“Kuna li mtu tu halijiheshimu hata kidogoo! Sijui watu wengine wapoje! Yani hawajui kabisa kukataliwa”😡

“Mbona sikuelewi Noela, mtu gani huyo? Mbona haujawai kuniambia kumhusu??”

“Acha tu…” Noela alikusanya zawadi zote na kwenda kuzifungia kabatini maana kama angeendelea kuziona basi angepata kichefu chefu.

“Iris please usimwambie Salmon kuhusu hili! Asije akajua jamani”🥺

Iris akauliza “Kwa nini asijue?? Au Una msaliti?”

“No! Siwezi kumsaliti”

“Basi kama si hivyo, kwa nini mwanaume mwingine anakununulia zawadi? Lazima kuna kitu kinaendelea. Na huyo mwanaume ni nani? Nataka kumjua, anaonekana ana pesa”

“Nitakuambia siku nyingine. Kwa sasa nataka kutafuta njia ya kumrudishia zawadi zake. Sitaki kitu chochote kutoka kwake naona kama hanielewi”😡

Iris akajibu “Sawa” kisha akarudi kulala.
Lakini ukweli ni kwamba ule umbea hakuweza kubaki nao moyoni. Ile ilikua karata yake ya mwisho ya kuicheza ili kusudi Salmon na Noela waachane kabisa kabisa.

Hata hakusubiri dakika mbili ziishe, pale pale alichukia simu, akaandika meseji ndefu akimsimulia Salmon kila kitu kisha akajikausha.

Je nini kitaendelea???
Nakuja………

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8


🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋

Siku iliyofuata Asubui, Noela aliamka na kitu cha kwanza alichofanya ni kumtumia Salmon ujumbe akimuomba msamaha. Alitegemea atajibiwa lakini haikua ivyo licha ya Salmon kusoma meseji zote🥱.

Sasa Dada watu akawa anawaza ni wapi anapokosea maana kila siku zinavyozidi kwenda ndivyo meli yake ya mahaba inavyozidi kuzama taratibuuuu.

Ila ghafla kuna kitu kikamjia kichwani, mnakumbuka ile siku ya Valentine? Salmon alisema baba yake alipata ajali, wakati huo Noela ndie alikua na baba yake hotelini. Hiyo ilimaanisha Salmon alimdanganya. Na kama alimdanganya Sasa alikuwa wapi? Na alikua na nani?????🤔

Noela kichwa kikapata moto sababu alipata uhakika kabisa kuwa lazima Salmon ana mchiti na mwanamke...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tipwa-tipwa-na-mr-marvel-sehemu-ya-8

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi tipwa-tipwa-na-mr-marvel-sehemu-ya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8

968

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*

626
MY CRAZY BOSS 17

MY CRAZY BOSS 17

343
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho

269
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7

126
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8

120
 AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap

AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap

114
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7

113
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol

3
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~

3

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.39K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.16K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.18K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.58K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.37K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.3K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.27K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho Post Mpya
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 18 " Tulishuka kwenye gari Erick alinishika mkono kisha tukaelekea ndani." "Hello dad, hello mom, Erick aliwasalimia wazee wawili wa makamo tuliokutana nao ndani". Muda wote nilikuwa...

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~ Post Mpya
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~
@majario LIVE

A very young Dimple Kapadia and Rishi Kapoor — both just starting out — probably had no idea they were about to become such huge stars. There’s that innocent...

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol Post Mpya
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol
@majario LIVE

definitely come to mind. They’re honestly the perfect example of how opposites attract. Ajay is quiet, intense, and keeps things low-key. Kajol is loud, expressive, and full of life....

Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
@majario LIVE

Kwanza kitendo cha pully kumuona mama yake mzazi kwenye eneo ilo Tena gafla alijikuta akishtuka sana na pasi na kutalajia akajikuta akimuuliza kwa jazba. "Mama umekuja kufanya nini hapa?" Kila mtu akashtuka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Siku iliyofuata Asubui, Noela aliamka na kitu cha kwanza alichofanya ni kumtumia Salmon ujumbe akimuomba msamaha. Alitegemea atajibiwa lakini haikua ivyo licha ya Salmon kusoma meseji zote🥱. Sasa Dada watu akawa...

MY CRAZY BOSS 17 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 17
@majario LIVE

Haikuchukua muda sana , tuliwasili nyumbani kwa boss, tuliingia kiustaarabu sana na tulivyozama tu boss alianza kunionesha ukichaa wake. Alinisogelea karibu aligusanisha mdomo wake na wangu kwa fujo alianza kunipa...

 AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap Post Mpya
AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap
@majario LIVE

Huyu binti hapa anaitwa Aminata na ana umri wa miaka 11 tu. Aminata alikumbwa na changamoto ya biashara ya utumwa. Na baada ya kutekwa hapa tunawaona wakiwa wamepelekwa katika soko la utumwa...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Bila kusema neno lolote, Mr. Marvel aligeuka akaondoka. Basi Salmon alitakiwa kusimamisha party lakini kabla hajafanya hivyo alimwangalia Noela akamwambia “Ondoka! Unasubiria nini tena?”😒 “Hutanipeleka hostel?” “No, sina muda” “Kwa nini? Nitarudi vipi jamani?”...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8
@majario LIVE

*SEHEMU YA SABA* Mimi na Enzo tulishtuka sana Walahi, lakini Mimi Ndio nilishtuka zaidi, Yaani hii ni zaidi ya sibu imagine mpaka baba mkwe sa hapa Ndio inakuja ile hali ya kutaka...

MWANAMKE ALIYEMNYIMA BABA YAKE MZAZI MAJI YA KUNYWA NA KUJA KUFILISIKA SIKU YA HARUSUI Post Mpya
MWANAMKE ALIYEMNYIMA BABA YAKE MZAZI MAJI YA KUNYWA NA KUJA KUFILISIKA SIKU YA HARUSUI
@majario LIVE

Sheila alikuwa binti aliyefanikiwa sana jijini. Alikuwa na kampuni ya uagizaji wa vipodozi na alikuwa akiishi maisha ya kifahari. Sheila alikuwa anajiandaa kufunga ndoa na Dr. Oscar, kijana kutoka...

*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two*   *SEHEMU YA SITA* Post Mpya
*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two* *SEHEMU YA SITA*
@majario LIVE

SONGA NAYO Kiukweli uwaga namuogopa sana madam groly lakini safari hii imekuwa tofauti sana Tena sana. yaani sijasikia uoga wa aina yoyote fla na sikusikia Kuwa na wasiwasi juu ya uwezo...

SHAMIRA  🏀 sehemu ya 32&33 Post Mpya
SHAMIRA 🏀 sehemu ya 32&33
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Bai tumefika nyumbani akanishusha mwenye gari. akanikokota mpaka chumbani moja kwamoja akanipeleka bafuni nilichafuka na mapombe kama yote. Mwanaume akaniweka kwanza chini akaanza kunimwagia maji...

SHAMIRA sehemu ya 30&31 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 30&31
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mie nikaongea na asha .akanambia shoga vijora vishafika nikamwambia changu nipelekee kwa fundi mwambie akitatue mpma mapajani na mgongoni kuwe wazi. kama kawaida yangu...

MY CRAZY BOSS 16 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 16
@majario LIVE

Siku moja nikiwa nimekaa boss alikuja ofisini kwa wafanyakazi wote ambapo mimi pia napendelea kukaa mahali hapo. "Nahitaji kuelekea kwenye party usiku wa leo najiuliza ni nani atafaa kunisindikiza, boss...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest