MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho
" Tulishuka kwenye gari Erick alinishika mkono kisha tukaelekea ndani."
"Hello dad, hello mom, Erick aliwasalimia wazee wawili wa makamo tuliokutana nao ndani".
Muda wote nilikuwa nikutazama taaa, upigaji wa mahesabu ulitawaka akili yangu nikajikuta nakumbuka siku ya kwanza kuwa mahali hapa, si haba hapa si pageni machoni kwangu.
"Mama , baba nimekuja kumtambulisha mpenzi wangu anaitwa Joyce, joy mama hawa ni wazazi wangu, Erick alizungumza."
Oooh nashukuru kuwafahamu, nilijibu kama siwajui huku nikiwaangalia machoni ndipo nikagundua huwenda wamenisahau kabisa kutokana na ukongwe.
"Ndoa yenu itakuwa lini mwanangu, eti Joy mama unahitaji kuolewa lini?." Nikiwa kwenye harakati za kujua thamani ya TV nilishtushwa na swali kutoka kwa wakwe zangu.
😳😳😳Eeeeh kuolewa mnasema??? Niliuliza.
Ndio tutakupa utakacho kama utakubali kuubeba huo mzigo🤣,baba Erick aliongea huku akimtizama mwanae.
Ina maana mimi ni mzigo sio baba?. joyce ntakupa nyumba, gari
Ukikubali kuishi na hiki kichwa , baba mkwe aliongea.
😳😳😳😳Nyumba , gari?? Kiurahisi tu.
"Baba na mama punguzeni kasi basi mbona hivyo,."
Ooooh babe na wewe😁usijali mwaa💋💋mie nipo tayari hata sasa hivi kwa ndoa. Nilijibu.
😳😳Unasema kweli Joyce, erick aliuliza.
Ndio babe wangu💋,nikajilegeza mwenyewe chezea sasampa wewe🙌🙌🤣🤣.
Itaendelea
MY CRAZY BOSS 19
"Baba na mama naomba mnipe muda kwanza nahitaji kuongea na Joyce mpenzi wangu nahisi ana matatizo kidogo ya akili si bure, Erick alizungumza".
"Kati ye mkwe wangu na wewe inaonesha wewe haupo sawa, mwenzio kakubali ndoa we unasua sua nini? Au wewe ni..........
" Aaaaaah baba tusifike huko mimi sio hanithi mjomba angu anafanya kazi vizuri tu ondoa shaka kabisa, kuna jambo nahitaji mniulize tafadhalini"
Ni sawa nendeni ila nisijesikia maamuzi yamebadilika , mama Erick alijibu.
Kwa pamoja mimi na Erick tulinyanyuka hadi nnje ." Ni kweli upo tayari kwa ndoa Joy?. Erick aliniuliza.
Ondoa shaka nipo tayari kabisaaaa yaani hata sasa hivi hata usijari, nilijibu.
"Ooooh asante sana Joy usihofu kabisa hata hilo komwe lako nitalivumilia kwa sababu nakupenda sana nitakupatia kila kitu."
🤣🤣Mie niliishia kucheka tu sikusema kitu ni wazi maneno ya boss wangu nimeyazoea hanishtui kabisa.
Sawa twende ndani mama angu ila nahitaji kukubeba , huwenda una hofu ya ndoa na tajiri kama mimi na ikitokea umeangukia kichwa basi kitaongezeka mara mbili na tayari kinatisha ama laah ukaangukia masikio yatachanika .
Boss inatosha sasa ni kama unanizalilisha niliongea huku nimenuna.
Basi mama usinune nakuahidi kuwa na wewe bega kwa bega na kuwakemea wote wakukosoao kuhusu masikio yako🤣🤣🙌🙌🙌,kwa pamoja mimi na boss tuliongozana hadi sebleni kisha,mtunzi ni mimi jjl tukaketi huku mama na baba Erick wakiwa wanatusubiri kwa udi na uvumba.
Enheee mmeamua nini? Mama erick aliuliza.
Nimekubali kumuoa Joyce licha ya viungo vyake, si hivyo tu amekubali kuolewa na mzigo wenu boss alijibu.
🙌🙌🙌🙌Nilijikuta nikicheka sana bila break si mimi tu hata wazaziwe walijawa na tabasamu .
Tuliongea mawili matatu kisha tukaondoka mahali pale kabisa.
Siku zilizidi kusonga, taarifa za ndoa yangu na Erick zilizidi kusambaa ilifikia hatua wafanyakazi wote walitambua hilo
Hayawi hayawi sasa yalikuwa hatimae siku ya harusi iliwadia , mimi JOYCE nilifunga ndoa halali ya kikristu na bwana ERICK , tukawa mke na mume halali kabisa
Leila na wafanyakazi hawakuamini kabisaa eti mie mie walioniona kabaya kama flat screen leo nimeolewa na boss de la boss.
Si wao tu hata mimi sikuamini ni kweli sina mvuto wa ajabu ila bahati ipo upande wangu buana.
Baada ya harusi mchizi wangu , Erick aliniamisha mchikichini nilipokuwa nikikaa, Mama ashrafu hakuamini kilichojiri ila hizo sio shida zangu .
Namshukuru Mungu ukitoa uchizi Erick ni mume mzuri sana kwangu, ananisikiliza , ananijali, ananiheshimu na kunifurahisha kutokana na Ukichaa wake. Ndo hivyo nimeolewa na boss wangu kichaa hata sikutegemea sipati picha hao watoto wajao naomba Mungu tu wafate sura ya baba yao, mdomo na masikio ila si tabia.🤣.
NA HUU NDIO MWISHO WA STORY YETU YA "MY CRAZY BOSS"
ASANTE
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni