AFANDE MILLAN๐ Sehemu ya 9 na 10
Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke , kisha nikamkosa, japo uyu anajifanya mgumu sana ila ataingia kwenye 18 zangu tu, mi sindo afande millan sasa, basi bwana mi nikampotezea yule demu, na ikapita kama week nipo busy sana na kazi, aseeee kuna mda kazi zinakuwa nyingi na very sensitive, apoo nakuwa na banwa sana, mana mm nikiwa kwenye issue zangu za kazi, ni mtu makini sana na mwenye weredi mkubwa, that why viongozi wangu wa juu wananikubali sana, yani wananikubali kinoma noma, basi hii week yote nilikamatwa na kazi, kuna mdaaa ata home nilikuwa siludi kabisa yani, napambana na kazi, kazi ngumu hiii acheni kabisaaa, kazi ina lawama kisenge, ila tushazoea ukauzu mwingi sana katika hii kazi,
Basi siku iyo sasa, nimemaliza kazi mda wa jioni kabisaa, nimamstua ibraa, nikamwambia mwanangu mi naelekea home uhuuu mda natak nikalale nimechoka kisenge, kama na wewe unaelekea home, basi twenzetu, kama bado bado upo , mi nakuacha kaka,ibraa akanmbia ahaa ningoje kama dakika 20, kuna kitu namalizia chapu apo, nikamwmabia powa nakungoja chini apo parking, akanambia powa, basi kweli mi nikashuka ,nikaenda kumngojea mwanangu parking, nikawa nachezea simu tu, na bada ya kama dakika 10 tu , ibraa akatoka tukaanza safari ya kuludi home, uku tukiwa tunapiga sana story za apa na pale, asa issues za kazini, basi bwana kufika TAZARA kwenye kituo cha abilia wa kawaida ,si namuona yule mchumba zena yupo pale, kasimama ana ngoja gali ya abiria ahaaaa weee nikasema yes, nikamwambia ibraa, oyaa ibra unamuona mchumba yule anangona gari, ibra akanambia twende tukampe lift sasa, daaah ona alivyopendeza mashallah kajistiri kawaka, nikasema tulia wewe, mi kweli nikaenda kupark mbele yake kabisaa, kisha nikashusha kioo
Nikasema hellow mrembo, tunalekea gongo la mboto pia, twenzetu, ahaaaa na kulijaa watu wengi pale stend, nikajua kivyovyote hawezi kukataa mana kulionesha kuna shida ya magari, yule zena akaningalia kisha akanambia mi sielekei gongo la mboto, mh nikamuuliza sa we unaelekea wapi, na mbona umekaa upande huu, akanmbia bwana hayakuhusu ebu fanya uende na mkokoteni wako, khaaaaa uyu demu vp, mkokoteni huu, anajua mi nimenunua sh ngapi hii gari, ahaa akanitibua kinoma, sikumbembeleza tena nikaona anajishaua kama ana kuma ya almasi bwana inamwaga dhahabu, nikawasha ndinga yangu nikasepa pale ,ibraa akanmbia kwaiyo ndo ushamaind ,nikasema yule demu ni msenge alafu ana hisi mi namtaka sana, ana majibu ya dharau kinoma, ibraa akanmbia daah mwanangu fanya ununue gari, huuu mkokoteni ujue, nikasema we ndo ununue japo huu mkokoteni ?Mana kesho sikubebi, basi ibraa akacheka sana, ibraa akanmbia we tulia uyu demu kwa jinsi nimemuona ni kam ana kisasi na wewe, yani wewe kuna kitu ulimfanyia kisha kimemjaa kwenye kifua chake, so ww ili umpate uyu demu cha kwanza unatakiwa kumuaminisha kwamba wewe ni mtu mzuri na wala haupo kama vile ambavyo yeye anakufikilia, nikasema bwana mi simtak kwanza ,demu mwenyewe mbovu hana lolote
Ibraaa akacheka, akanmbia weee bwna acha maneno yako, ayo ni maneno ya mkosaji, yule demu mzuri kaka, ana kila kitu kizuri, labda hana mambo yako yale, maziwa makubwa unayopenda ,ila mtoto mkari kila sehemu ya mwili wake iko njema, au unataka kumfananisha yule demu na wazazi wenzako, nikasema eeh kaka tulia bwana mambo yasiwe mengi, basi ibraa akawa anacheka na tukawa tunaendelea na story zengine, za apa na pale mpaka tumefika gomz, nikamuacha kwake na mm moja kwa moja nikaelekea kwangu, aseeee nimefika home, namuwaza tu yule zena, sikuwa najielewa yani kam aliniroga yule binti, yani nawaza jinsi leo amevaaa, alikuwa kavaa vizuri sana yani vazi lake lilikuwa la stara na lenye kuvutia mashallah , alafu the way alivyokuwa anaongea anajiamnin sana , na wakati anajua wadhfa wangu kabisaa, bado mi na pesa nna gari kali, mbona havioneshi kumbabaish kabisaa, aseee hamu ya kutaka kumpata uyu binti iliongezeaka mnooo yani sanaaaaaa
Niliwaza sana uyu demu mi nampatajee, mana kutumia pesa imeshindikana ,uyu demu inaonekasana issue za pesa hamaind, na kama ingekuwa pesa basi mimi ningekuwa nishampata tangu anafanya kazi kule bar,nikaona ngoja, nikampigia simu shey, basi shey akapokea kwa mbwe mbwe akaninchangamkia sana, nikasema shey mambo , akasema powa boss vp unaendleaje, nimasema shey i am good, ila nataka kukuomba kitu na ukinisaidia nakutumia laki 1 sasa hivi hakuna kupeana ahadi, mh shey akanmbia weeeee afande millan, jambo gani nambie, nikasema nataka unambie na unielekeze anapoishi zena, hilo tu, yani nataka kufika mpaka nyumbani kwake, shey akasema jamani salama lakini ,nisije kukuelekeza ikawa shida mi ni rafiki yangu yule ,na zena dar hana ndugu, mimi ndo ndugu yake,yasije yakamkuta mabaya mana mm ndo ndugu yake wa pekee kwa dar, nikapata shida mie mwenyewe kiukweli sitaki, nikasema shey wala sio issue mbaya , ninahitaji kuongea nae sanaaa, nahitaji kumjuaa, shey akanmbia ahaaa sawa sawa , sikia zena mm naishi nae nyumba moja, ila kila mtu amepanga chumba chake, tunaishi banana, mtaaa wa mangiro, nikasema okey nikifika uhooo mtaaa naulizia vp mpaka nafikishw katika iyo nyumba,
Shey akanmbia ukifika , we ulizia kwa bibi mwadawa, utapelekwa ndo tumepanga umo ulizia chumba cha uwani, ila chonde chonde usinitaje kama nimekuelekeza kwake, mi sipendi kabisaa mwenzio kugombana na zena, nikasema wala hatajuaa, basi nikakata sumu ,na apo apo nikamtumia laki 1 shey, kisha sasa nikaingia ndani kupumzika ,mana nilipnga kwenda kesho yake kukutana na uyu zena, mana kiukweli moyo wangu uligoma kabisa kumpotezea zena, basi bwana hii siku nililala sana , mana nilikuwa busy almost week 1, na hii siku niliamua kuwa off, nipumzike tu nyumbani ,mana daaah nilikuwa nimechoka mnoo, basi nakumbuka niliamka saa 4, tena nimefanya kuulazimisha mwili tu , mana sipendagi kulala sana, basi nilivyoamka, nikaingia bafuni nikapiga maji , kisha nikatoka , nikajifuta fresh, nikavuta rosheni yangu, nikajipakaza vizur, nikavaaaa fresh nachek mda kama saa 5, nikaona asa leo ndo nataka niende uko ,nikamtafute yule demu wa kuitwa zena.
Basi mwanaume mdogo mdogo, nikingia ndani ya gari langu, na safari ikaanza ya banana, basi kweli.mi.nikafika mpaka uo mtaaa alonielekeza shey, nikatafuta sehemu ya kupark gari ,mana sikutaka kutembea na gari kwenye mitaa ya watu, basi mi nikapaulizia kwa bibi mwadawa, kwa bahati nzuri wala hakukuwa mbali kabisa na apo nilipo kwa jinsi nilivyoelekezwa. Basi nikafika mpaka apo kwa bibi mwadawa, dooh nyumba mbaya kinoma, yani pabaya pabaya kweli, nymba ya kishamba, yani nyumba imeisha mnoo, yani mi nilisema siku yoyote hii nyumba inaanguka hii, basi mi nilisogea mpaka pale, nikakuta kuna mdada kakaa barazani anaosha vyombo, nikamsogelea kisha nikamsalimia , na yule dada akaniitikia vizur tu, kisha nikamuuliza kwamba samahani mimi namtafuta zena ni anishi umu?, yule dada akanmbia ndio anaishi umu na yupo ndani kwake, nikasema.sawa anapatikana chumba gani, yule dada akanmbia pita hii korido nenda kule uwani ndo kuna chumba chake, chumba cha pili cha mkono wa kushoto ,nikasema asante sana dada, basi mm harka nikaingia sasa, na nikafika mpaka katika chumba nilichoelekezwa ,kisha nikagonga mlango
Haikupita ata dakika 1 ,mlango ukafunguliwa na nikamuona zena sasa, zena aliponuona alionesha kushangaa sana nazani hakutegemea mimi kuwa pale , mie walaaa nikamsalimia mambo, zena eala hakuitikia kabisa salamu yangu, akanmbia unataka nn, nikasema zena kwenu ndo mnakalibisha hivyo wageni , hakuna ata karibu ndani mgeni, yani unaanza kunisokomeza maneno, mh akanmbie wewe kaka sitaki drama.zako nimekwambia unataka nn, alafu kwa nn unanifatilia sana wew, kwani nimekula chako au unanidai, ebu nikumbushe kwanza, nikasema jamani zena asa ayo mambo si ningeenda kukuelezea ndani,ebu nikalibishe kwanza, zena akanmbia naomba ugeuze uondoke kwangu huingii umu, apo zena ameshachange naona kashapanik na kakasilika sana, tukiwa tunaendelea na ubishani, kule ndani akatoka mroto mdogo wa kike wa miaka kama minne hivi anaendea miaka 5, yule mtoto lifunua panzia kisha akasema mama mi nimeanka njaa inauma, dooooh kumbe uyu demu kulinga kote kashazalishwaaa, nikaona ndo mana kana hasirs ukute single mother alafu haudumiwi, yani msela kazalisha kisha kasepa ,๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni