Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
Gonga94 · Stories

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋

Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata baada ya kumchukua boyfriend wake bado hakuridhika, Ila Iris🙌.

Sasa Salmon alipo pata taarifa, baba wivu ukamkaba vibaya sana Akaamua kwenda hostel kwa Noela ili kujua ni nani aliyemnunulia zawadi.

Alipofika, akaingia chumbani bila kugonga. Noela akashangaa, kumuona kaingia spidi spidi hata salamu hakuna😳.

“Ni nani huyo mwanaume?” Salmon alifoka

“Mwanaume gani?”

“Ni nani aliyekununulia hizo zawadi? Unanisaliti, sivyo?”

Moyo wa Noela ukaenda mbio mbio huku akijua moja kwa moja ni Iris ndie alie mchoma.

“Nauliza huyo mwanaume ni nani Noela sitaki unipande kichwani”🗣️

“Hakuna mwanaume utakua umeelewa vibaya tu” Noela akaanza kujitetea

“Muooongo! Una mwanaume anakuhonga, ndiyo maana siku izi una kiburi hata hunisikilizi”

“Siyo kweli. Sina mtu mwingine zaidi yako Salmon elewa ilo”🥺

Salmon akacheka kwa dharau “Unajua nini? Nachukia waongo na wasaliti kama wewe. Sidhani kama naweza kuendelea na huu uhusiano. Skia, kuanzia now fanya maisha yako na mimi nifanye maisha yangu”

Noela kwanza akabaki kama ameganda
Maana kuachana na Salmon ni kitu ambacho hawezi

“Nini? Unaachana na mimi kwa sababu ya kutoelewana tu? Please usifanye hivyo Salmon……..Nakupenda sana, siwezi kukusaliti niamini…..”😭

Noela akapiga hadi magoti, akamshika miguu yake lakini Salmon hakumsikiliza. Tayari aliamua kuwa uhusiano umeisha na hakutaka mambo mengi.

Alichofanya ni kumsukuma Noela pembeni kisha huyoo akaondoka zake. Naaaaam! Hilo ndilo Iris alilotaka, wao waachane ili yeye awe na Salmon bila kumwogopa Noela.

Basi akajifanya ana huzuni, akamwambia Noela
“Shogaaa poleee, Sikutaka kukuumiza. Nilimwambia tu ili ajue ukweli ila usijali, acha nimuwai niongee nae kabla hajaondoka”

Iris akasimama akavaa slipper zake kisha akatoka mbio mbio akimkimbilia Salmon. Bahati nzuri Salmon hakua amefika mbali kwaiyo alipomfikia alimdaka mkono wake.

“Sasa Kwa nini una hasira?” Iris Akauliza

“Nina hasira kwa sababu ananicheat”😡

Iris akamtazama kwa makini “Sio hasira tu, naona pia una wivu. Salmon, usiniambie unampenda yule kipipa wako??? Lile lijitembo???”😳

“No Simpendi”

“Basi kama humpendi hakuna sababu ya kuwa na hasira. Umeachana naye, now ni nafasi yetu kuwa pamoja na kuonyesha penzi letu bila uoga”

“Bado mapema sana ndo kwanza Nimeachana na Noela dakika chache zilizopita”

“Sasa ilo linanihusu nini mimi??? Unajua nimekuwa nasubiri kwa muda gani hii nafasi? Nimechoka kuwa mchepuko, kufichwa fichwa kama sehemu za siri!……Kwani unaogopa nini kwani??”

“No one! Simuogopi yeyote”

“Vizuri” Iris akamkumbatia kwa nguvu sana akiwa na furaha.

Bhana bhana lile Kumbato lao si likaonwa na Noela. Baada ya kusubiri kwa mda mrefu na kuona Iris anachelewa kurudi nae akaamua kuja kuangalia ndo hapo akawaona jinsi walivyo ng’ang’aniana💔.

Alijiuliza, mbona wakumbatiane namna ile??? Alafu wame relax utadhani sio mara yao ya kwanza!
Sio siri ile kitu ilimchoma hadi kwenye utosi mpaka kijasho chembamba kikawa kinamtoka😰.

Uzuri Hata hakuwafuata kuwauliza kwanini walikua wakikumbatiana vile, alichofanya alirudi chumbani kama kamwagiwa maji ya baridi.

Alikaa kitandani kimya akimsubiri Iris arudi ili amueleze vizuri. Bahati nzuri dakika zile zile Iris akaingia akiwa anatabasamu.

Noela akamuuliza “Unacheka nini?”😡

“Hakuna”

“Umeongea na Salmon?”

Iris akajibu “yes nimeongea naye, lakini inaonekana alikuwa serious na alichosema. Hataki kuwa na wewe tena shosti”

“Kama hataki kuwa na mimi, kwa nini ulimkumbatia vile?”

Ghafla Iris akashtuka na kubadilika palepale. Aligundua kuwa Noela aliwaona Lakini akaamua kukataa.

“Sio kwa nia mbaya! Nilimkumbatia tu kwa sababu alikuwa anaumia na alikuwa na huzuni. Nothing else”😒

“Mtu wa kumkumbatia ni mimi rafiki yako ambae nina maumivu na sio Salmon” Noela alilalamika

“My God Ni kumbato tu madam! Acha kuhisi vibaya khaaa!”

“Unadhani kwa nilicho kiona sitahisi kama kuna kitu kinaendelea kati yenu wawili?”

Iris akacheka “Salmon ni shemeji yangu tu. Na imeniumiza sana kuona unaniwaza hivyo, Noela”

“Kama ungekuwa kwenye nafasi yangu, ungewaza hivyo hivyo”

“Daaaah! Ukweli Umeniumiza sana kuniwazia upuuzi kama huo! Sio kila mwanamke anamtaka bwana ako tena hasa mimi shoga ako!! Yani umenichefua mno kiasi kwamba leo sitalala hapa” Iris akajifanya amekasirika.

“Sasa utaenda kulala wapi??? Sorry Iris! Please Usifanye hivyo”🥺

“Hapana kwakweli umenikera vilivyo! Acha nikalale pengine”

Iris Akafungua kabati akatoa nguo zake mbili akazipanga kwenye pochi, kisha huyoo akaondoka.

Yani hakua amemkasirikia Noela wala nini, alikua anatafuta visababu vya kwenda kulala kwa Salmon maana alijua usiku mzima atakua free kwaiyo aende wakapeane kampani. Mnaona mambo hayo???

Haya…..nakuja………

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9


🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋

Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata baada ya kumchukua boyfriend wake bado hakuridhika, Ila Iris🙌.

Sasa Salmon alipo pata taarifa, baba wivu ukamkaba vibaya sana Akaamua kwenda hostel kwa Noela ili kujua ni nani aliyemnunulia zawadi.

Alipofika, akaingia chumbani bila kugonga. Noela akashangaa, kumuona kaingia spidi spidi hata salamu hakuna😳.

“Ni nani huyo mwanaume?” Salmon alifoka

“Mwanaume gani?”

“Ni nani aliyekununulia hizo zawadi? Unanisaliti, sivyo?”

Moyo wa Noela ukaenda mbio mbio huku akijua moja kwa moja ni Iris ndie alie mchoma.

“Nauliza huyo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tipwa-tipwa-na-mr-marvel-sehemu-ya-9

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi tipwa-tipwa-na-mr-marvel-sehemu-ya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*

960
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho

422
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7

377
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8

158
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

81
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol

7
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~

4

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.4K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.18K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.31K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho Post Mpya
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 18 " Tulishuka kwenye gari Erick alinishika mkono kisha tukaelekea ndani." "Hello dad, hello mom, Erick aliwasalimia wazee wawili wa makamo tuliokutana nao ndani". Muda wote nilikuwa...

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~ Post Mpya
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~
@majario LIVE

A very young Dimple Kapadia and Rishi Kapoor — both just starting out — probably had no idea they were about to become such huge stars. There’s that innocent...

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol Post Mpya
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol
@majario LIVE

definitely come to mind. They’re honestly the perfect example of how opposites attract. Ajay is quiet, intense, and keeps things low-key. Kajol is loud, expressive, and full of life....

Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
@majario LIVE

Kwanza kitendo cha pully kumuona mama yake mzazi kwenye eneo ilo Tena gafla alijikuta akishtuka sana na pasi na kutalajia akajikuta akimuuliza kwa jazba. "Mama umekuja kufanya nini hapa?" Kila mtu akashtuka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Siku iliyofuata Asubui, Noela aliamka na kitu cha kwanza alichofanya ni kumtumia Salmon ujumbe akimuomba msamaha. Alitegemea atajibiwa lakini haikua ivyo licha ya Salmon kusoma meseji zote🥱. Sasa Dada watu akawa...

MY CRAZY BOSS 17 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 17
@majario LIVE

Haikuchukua muda sana , tuliwasili nyumbani kwa boss, tuliingia kiustaarabu sana na tulivyozama tu boss alianza kunionesha ukichaa wake. Alinisogelea karibu aligusanisha mdomo wake na wangu kwa fujo alianza kunipa...

 AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap Post Mpya
AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap
@majario LIVE

Huyu binti hapa anaitwa Aminata na ana umri wa miaka 11 tu. Aminata alikumbwa na changamoto ya biashara ya utumwa. Na baada ya kutekwa hapa tunawaona wakiwa wamepelekwa katika soko la utumwa...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Bila kusema neno lolote, Mr. Marvel aligeuka akaondoka. Basi Salmon alitakiwa kusimamisha party lakini kabla hajafanya hivyo alimwangalia Noela akamwambia “Ondoka! Unasubiria nini tena?”😒 “Hutanipeleka hostel?” “No, sina muda” “Kwa nini? Nitarudi vipi jamani?”...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8
@majario LIVE

*SEHEMU YA SABA* Mimi na Enzo tulishtuka sana Walahi, lakini Mimi Ndio nilishtuka zaidi, Yaani hii ni zaidi ya sibu imagine mpaka baba mkwe sa hapa Ndio inakuja ile hali ya kutaka...

MWANAMKE ALIYEMNYIMA BABA YAKE MZAZI MAJI YA KUNYWA NA KUJA KUFILISIKA SIKU YA HARUSUI Post Mpya
MWANAMKE ALIYEMNYIMA BABA YAKE MZAZI MAJI YA KUNYWA NA KUJA KUFILISIKA SIKU YA HARUSUI
@majario LIVE

Sheila alikuwa binti aliyefanikiwa sana jijini. Alikuwa na kampuni ya uagizaji wa vipodozi na alikuwa akiishi maisha ya kifahari. Sheila alikuwa anajiandaa kufunga ndoa na Dr. Oscar, kijana kutoka...

*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two*   *SEHEMU YA SITA* Post Mpya
*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two* *SEHEMU YA SITA*
@majario LIVE

SONGA NAYO Kiukweli uwaga namuogopa sana madam groly lakini safari hii imekuwa tofauti sana Tena sana. yaani sijasikia uoga wa aina yoyote fla na sikusikia Kuwa na wasiwasi juu ya uwezo...

SHAMIRA  🏀 sehemu ya 32&33 Post Mpya
SHAMIRA 🏀 sehemu ya 32&33
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Bai tumefika nyumbani akanishusha mwenye gari. akanikokota mpaka chumbani moja kwamoja akanipeleka bafuni nilichafuka na mapombe kama yote. Mwanaume akaniweka kwanza chini akaanza kunimwagia maji...

SHAMIRA sehemu ya 30&31 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 30&31
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mie nikaongea na asha .akanambia shoga vijora vishafika nikamwambia changu nipelekee kwa fundi mwambie akitatue mpma mapajani na mgongoni kuwe wazi. kama kawaida yangu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest