Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10
Gonga94 · Stories

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋

Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda nyumbani kwa baba yake Mr Marvel.

Basi mda huo Salmon alikuwa anakunywa pombe na kumfikiria Noela. Kuna time akawa anajilaumu kwanini amesema waachane lakini sasa kiburi kilikua kinafanya aone alichokifanya ni sawa.

Akiwa bize na pombe mlango ukagongwa. Akatabasamu na kuhisi ni Noela kaja kuomba msamaha ndo maana akaenda kufungua mlango kwa spidi namna ile.

Ila wala hata hakua Noela bali alikua ni Iris! Pale pale mchizi tabasamu lote likayeyuka, akauliza

“Unafanya nini hapa?”😠

Iris akajibu “Nimekuja kulala hapa leo” huku akiingia ndani kwa nguvu pasipo kukaribishwa.

Alienda akajitupa kwenye kochi kama vile yeye ni mama mjengo, kitendo kilicho mkera Salmon

“Una akili kweli Iris??? Vipi kama Noela akipata habari uko hapa? Unajua ni hatari kiasi gani?”😳

“Kwa sasa sijali kuhusu Noela, Kitu pekee ninachojali ni kwamba nakupenda na hii Ni nafasi yetu kuwa pamoja. Nashindwa kuelewa kwanini unapinga?

“No sipingi! Nahitaji muda kupona na kurekebisha mambo”

Iris akamtazama kwa mshangao “Usiniambie unataka kurudiana na yule tembo wako. Salmon, yule msichana Anakusaliti na mwanaume mwingine. Muache aende zake, Mimi nipo hapa kwa ajili yako. Ama Sitoshi?”

“Unatosha ila mimi bado sipo sawa, pia kumbuka hata mimi nina msaliti Noela so sipaswi kukasirika namna hii!”🥺

Iris kabla ya kumjibu akasimama kumfuata Salmon alipokua. Kwa kipindi alichokua nae karibu alijua ni sehemu gani amshike ili jamaa atulie. Na icho ndicho alichofanya! Alimpapasa taratibuu akimwambia

“Najua hauko sawa ndio maana nipo hapa kukufanya ujisikie vizuri. Nakujali baby, alafu pia nime kumiss sio mchezo” akamkonyeza kidogo Kisha akaanza kumbusu shingoni.

Yani Salmon mwenyewe akapagawa na kuanza kutoa ushirikiano. Dakika za kuhesabu akambeba Iris na kuhamia chumbani kwenye uwanja mpana🥱

Upande wa Noela alikuwa bado analia. Kila kitu kwake kilikuwa kinaenda vibaya na yote yalianza kwa Mr. Marvel.

Licha ya yote hayo hakuwa tayari kuachana na Salmon wala kumpoteza mwanaume anayempenda. Baada ya kufikiria kidogo, akaamua aende kwa Salmon ili waongee.

Ila Kabla hajaondoka, simu yake ikaanza kuita. Alipoangalia akaona namba ni ngeni lakini hakuacha kupokea.

“Hello?”

Sauti upande wa pili ikasema “Hi, ni Mr. Marvel. Umeziona zawadi zangu?”

Noela akakasirika “Kwa nini uniletee zawadi? Niliwahi kukuambia ninataka zawadi zako?” 😡

“Nilijiskia kukununulia kitu so nikafanya hivyo. Tatizo liko wapi?”

“Tatizo ni kwamba hatuna uo ukaribu wa kununuliana zawadi. Mimi ni mpenzi wa mwanao na kilicho tokea kule hotelini baina yetu ni bahati mbaya. Na sijui namba zangu umetoa wapi na sitaki kujua ila please Kuwa na heshima!”

“Ninakuheshimu ndio maana nina uvumilivu na wewe Lakini sidhani kama nitaendelea kuvumilia”

“Unamaanisha nini?”😳

“Nataka uwe mwanamke wangu. Nimejaribu sana kukutoa kichwani lakini imeshindikana. Niko tayari kufanya chochote ili uwe wangu Noela! I want you….”

“Ndio maana uliniletea zawadi?? ili Salmon azione na aniache? Now anasema ninamcheat na yote nikwa sababu yako!”😡

Mr. Marvel akatabasamu “Kwa nini aachane na msichana mzuri kama wewe kisa sababu ndogo hivyo?”

“Embu please hili ni jambo serious na sioni sababu ya wewe kutabasamu!….Unafurahia kuvunja uhusiano wangu? Also nimegombana na rafiki yangu kisa wewe wewe!”

“Listen Noela, nilifanya nilichofanya kwa sababu nilitaka. Lakini nikuambie kitu, mwanangu na rafiki yako hawaaminiki. Wanafanya mambo nyuma yako na ukigundua utaumia sana. I promise nitakuwepo kukupunguzia maumivu. Usisahau hilo”

Noela hakuelewa Akauliza “Unamaanisha nini?”

“Good night Noela! Take care” Kisha akakata simu.

Maneno ya Mr. Marvel yalimtisha kidogo Noela, lakini akahisi labda anataka kuzidi kuwagombanisha ivyo akaamua kumpuuza. Alijiandaa vizuri kuelekea nyumbani kwa Salmon.

Huko, Salmon na Iris bado walikuwa chumbani waki enjoy bila wasiwasi wowote. Tena ndo kwanza Iris alikuwa analia kwa sauti kuonyesha mambo yalikua bam bam😰😭.

Sasa Noela alipofika pale akapokelewa na izo sauti za ajabu ajabu. Binti wa watu akaanza kutetemeka huku machozi yakianza kumtoka.

Alipofungua mlango, ulifunguka kwa sababu Salmon alisahau kuufunga na funguo. Yani ukisikia siku ya kufa kwa nyani miti yote huteleza ndo hii sasa.

Basi aliingia sebuleni akakuta kuna nguo zimetapakaa tapakaa chini, na juu ya sofa akaona pochi ya Iris. Acha joto la mwili lisimpande???? Alihisi kuzimia sio kuzimia, kichefu sio kichefu yani tafraniii.

Hakutaka kuamini kwamba msichana anayelia chumbani ni rafiki yake Iris. Noela Alikuwa tayari kumkuta Salmon na mwanamke mwingine yeyote lakini sio Iris maana ingemuuma mpaka kesho🥺.

Ili kujihakikishia kwamba yaliyomo yamo, alienda mpaka chumbani akawaona kitandani tena ni yule yule rafiki yake Iris

Kwa presha akasema “Nini?” Na wote wakashtuka.

Wa kwanza kumsukuma mwenzie ni Salmon ambae
Aliruka futi 50 utadhani sio yeye mzinifu💔.

Ila kwa Iris ilikua tofauti, hakua akijutia kabisa tena Noela alivyo wafuma ilikua jambo jema kwake.

“Noela hapa huna haja hata ya kuumia. Wewe na Salmon si mmeachana tayari?? kwa hiyo sasa ni zamu yangu” alisema Iris

“Nini?” Noela hakuamini alichokua anasikia! Alitegemea ataombwa msamaha lakini haikua ivyo

“Yeees! Ilikuwa inaniumiza kukuona na Salmon wakati mimi nipo kama mchepuko tu! But kwakua mmeachana, imenipa nafasi ya kuwa na Salmon bila kujificha jificha tena”

“Kumbe wewe ndio ulikuwa unacheat na mpenzi wangu?………Kwa nini ufanye hivyo Iris? Wewe ni rafiki yangu tena zaidi ya dada…..why……. Nilikupenda na kukuamini! Tulikuwa tunashare kila kitu ila ukaamua kulala na mpenzi wangu?”😭

Iris akatabasamu “No! No! si kulala tu, Tulikuwa kwenye uhusiano sema tulifanya siri ili usijue”

“Kwa nini ulifanya hivyo?…….ni toka lini…..whyyy???”😭

“Toka Valentines!… na huna haja ya kulaumu coz tunapendana, also Mimi na Salmon tunaendana. Embuuu kwanza Angalia wewe ulivyo! Mnene, tipwa tipwaa, unaonekana kama nguruwe. Ukitembea na Salmon njiani mnaonekana kama mtu na shangazi yake!! Hahahahahhahahahahahahhahah! Kama hukua unajua ndo ujue sasa kuwa Salmon alikua ana kuhurumia tu”

Salmon akadakia akisema “No! Its not true! Noela nakupenda jinsi ulivyo wala sijali kuhusu mwili wako! Just imetokea tu mimi na Iris tumejikuta tupo kwenye mahusiano”

Noela akacheka kwa uchungu “wooooow!!!!! Kumbe ni kweli ulikuwa unadate naye kwa siri? Kwa nini Salmon?……Nilikupenda mno….. kwani Nilikosea wapi mimi?”😭😭😭

“Ilitokea kwa sababu hatukuwahi kufanya mapenzi. Kama mwanaume, sikuweza kujizuia ndio ikatokea” ivyo ndivyo Salmon alijitetea

“Lakini uliniambia utanisubiri mpaka nikiwa tayari. Haya yote yasingetokea kama ungekuja hotelini siku ile ya Valentines. Nilikuwa tayari kukupa mwili wangu but hukuja! Na tangu siku ile hukuwai kuomba tena mapenzi, nikajua huna haraka na icho kitu kumbe una sehemu unapewa for free”

Salmon kusikia vile akashangaa kwa sababu hakuwai kujua kwamba ile siku ya Valentine, Noela alikuwa amemuandalia kitu maalum.

“Noela sikujua kama…..sikujua…..! I am sorry Noela mama nisameee! Please baby……”

“Too late!…..mimi nimenawa mikono sitaki tena chochote kutoka kwako! Si Iris ndo alikua anakupa kichaaa??? Haya huyo hapo baki nae, mimi na wewe tayari tumeshamalizana”

Baada ya kusema hayo Noela akageuka na kuondoka huku Salmon akikimbia kumfuata. Alijua amefanya kosa kubwa sana, na hakuwa tayari kumuacha Noela aondoke akiwa kwenye hali ya kilio kama ile.

Weeeh Iris kuona vile akasema usinitanie unamkimbilia Noela wa nini???? Alimuwahi Salmon akamzuia kwa mbele Akamuuliza “Kwa nini unamkimbilia?”😡

“Pisha nipite Iris Nahitaji kuongea naye”

“Kuongea naye kuhusu nini? Mimi nipo hapa. Ongea na mimi mwanamke wako na sio yeye”

Salmon akamtazama kwa hasira “Ulijua vizuri Noela aliniandalia nini siku ya Valentine, lakini ukaamua kunyamaza na kunitega kwa mitego yako ya kipuuzi”❤️

“Nilifanya nilichopaswa kufanya kwa sababu nakupenda. Kama ungefanya mapenzi na Noela siku ile, mngeanza uhusiano serious na mimi nisingepata nafasi. Ndiyo maana nilitumia nafasi ile kufanya nilicho fanya Na nimefanikiwa”

“Wewe ni mwanamke hatari sana Iris. Najuta kwa yote yaliyotokea kati yetu!” Salmon akaingia ndani taratibu akiwa na huzuni😔

Unajua nini kitatokea baadaye?
Nakuja………

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10



🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋

Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda nyumbani kwa baba yake Mr Marvel.

Basi mda huo Salmon alikuwa anakunywa pombe na kumfikiria Noela. Kuna time akawa anajilaumu kwanini amesema waachane lakini sasa kiburi kilikua kinafanya aone alichokifanya ni sawa.

Akiwa bize na pombe mlango ukagongwa. Akatabasamu na kuhisi ni Noela kaja kuomba msamaha ndo maana akaenda kufungua mlango kwa spidi namna ile.

Ila wala hata hakua Noela bali alikua ni Iris! Pale pale mchizi tabasamu lote likayeyuka, akauliza

“Unafanya nini hapa?”😠

Iris...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tipwa-tipwa-na-mr-marvel-sehemu-ya-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi tipwa-tipwa-na-mr-marvel-sehemu-ya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

737
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

342
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

336
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

310
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

161
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

114
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

112
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

105
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

18

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.41K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.32K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho Post Mpya
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 18 " Tulishuka kwenye gari Erick alinishika mkono kisha tukaelekea ndani." "Hello dad, hello mom, Erick aliwasalimia wazee wawili wa makamo tuliokutana nao ndani". Muda wote nilikuwa...

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~ Post Mpya
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~
@majario LIVE

A very young Dimple Kapadia and Rishi Kapoor — both just starting out — probably had no idea they were about to become such huge stars. There’s that innocent...

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol Post Mpya
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol
@majario LIVE

definitely come to mind. They’re honestly the perfect example of how opposites attract. Ajay is quiet, intense, and keeps things low-key. Kajol is loud, expressive, and full of life....

Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
@majario LIVE

Kwanza kitendo cha pully kumuona mama yake mzazi kwenye eneo ilo Tena gafla alijikuta akishtuka sana na pasi na kutalajia akajikuta akimuuliza kwa jazba. "Mama umekuja kufanya nini hapa?" Kila mtu akashtuka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Siku iliyofuata Asubui, Noela aliamka na kitu cha kwanza alichofanya ni kumtumia Salmon ujumbe akimuomba msamaha. Alitegemea atajibiwa lakini haikua ivyo licha ya Salmon kusoma meseji zote🥱. Sasa Dada watu akawa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest