Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 17
Gonga94 Β· Stories

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 17

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona hasira zangu zote nilihitaji kumalizia kwake ...

Nishangaa hatuenda kwa Tinner khaa nikamuuliza kwa hamaki kwani tunaenda wapii?? Hata ananijibu basii wa mbuzii yaani amekasirikaaa eeh nikawa namwambia nishushee yupo kimyaa hata hanijibu, akaongeza mwendoo ooh ikabidi nifumbe macho maana niliona hapa tunaenda kufaa sasa nikamshika kwa nguvuuu, mpaka nilipo hisi piki piki kusimama ndio nikafumbua macho naona tupo nje ya nyumba kuna geti dogo jeusi akanambia shuka hapokanishika mkono, mpaka nikaanza kumuogopa alivyokuwa amekunja sura, nikashuka

Kabla sijapiga hatua nikamuuliza kwani hapa wapi, , , wee hakunijibu alinikata jicho hilooo hee nikaanza mwenyewe kutembea naogopa ukweli ile nasukuma geti nakutana na Tinner hee nilishtukaa

"Umenichoka kwako eeh??"

"Vero .. huwezi kunielewa sasa hivi ila ipo siku utanishukuru hata kimoyo moyo, mie sipo tayari utoe mimba Vero, mie nipo natamani mtoto wewe umempata unaenda kumtoa embu ongea na Veda mpe nafasi mie naamini huyu ni mwanaume Bora kwako hajawahi kutokea mpe nafasi mbona anakupenda "

"Asante shem..." niligeuka kwa hasira nikamkata jicho Veda et anamwita shem Tinner ushem umeanza lini, Basi Tinner akaondoka Veda akanishika mkono mpaka kwenye chumba kilikuwa cha nje akaingia akafunga mlango, waooh chumba ndani kilikuwa kizuriii yaani duh kinavutia kitanda safiii hata changu cha kawaida tu, chumba akina ma vitu mengii lakini kitamuuuu hatari

Akavuta mlango wa kabati akatoa vipisi vya bange akawasha hapo hata hajaniongelesha kitu nimekaa kitandani namtazama uso wa mbuzii ...

Akaanza kuvuta moshii anavuta kwa pupaa yaani ndani ya dakika 10 alishamaliza vi pisi vitatuuu, ule moshi na ile harufu vilikuwa vinaniumiza sana mie nikaanza kukohoaa nikainuka nikafungue mlango kutoka maana mtu mwenyewe haongei kitu ..

Ile nashika mlango mgumu umefungwa na fungo kwa kiburi nikamgeukia
"Naomba funguo mie niende..." alinikata hilo jichooo weeee akatembea haraka haraka yaani ni sec tu nikashtuka nimekabwa shingo amenibana ukutanii alinikabaa sikuamini anaenda kuniua maana pumzi ziliniisha mwanzo nilikuwa napiga kelele ile unaniumizaa niachee lakini mwili ukaishiwa nguvu hata sauti ikawa haitoki tena

"Unaniuwaa..." kweli kabisa nilianza kuona nakufa kabisa, bahati nzurii mlango ukaanza kupigwa nje kwa nguvu nasikia sauti ya mmama anasema

"Vedastus fungua mlango wewe....Fungua mlangooo unamfanya nini mtoto wa watuuuu" akanisukuma huko nikaangukia kitandani naliaaa kweli Veda alikusudia kuniuwa mie auu, Siamini macho yangu shingo ilikuwa inauma sanaa nakohoa akawa anapiga ngumi za ukuta kwa hasiraaa akanikuta pale pale kitandani akanikunja nguo kifuani kama aniuwe hivii

"Kwaniniii ulitaka kumuua huyo mtoto kwanini wewe unaogopa kufa halafu unataka kuuwa mtoto wangu kwaniniiiii.....Kumbe wewe mwanamke ni mshenziii"

"Veda nisikilize utaniuwa buree, Jamani nisaidieni anataka kuniuwaaaa??" Nikaanza kupiga makelele maana kifo nakiona live hapa aisee ndo mana alisema nisitake kujua upande wake wa pili mwee Nimekoma miee ...

Yule wa mlangoni akazidi kugonga mpaka Veda akaenda kufungua, haamadi nakutana uso kwa uso na mama ake na Veda ye mwenyewe alishtuka kuniona

"Doctor, , kuna nini hapa" Veda akachukua vile vidonge vilikuwa vimeanguka pembeni akampa mama yake huku machozi yanamtoka

"Anataka kumuua mwanangu mamaa, sijui nimemkosea nini huyu mwanamke anashindwa hata kuja kuniambia kuwa ana mwanangu, Mzae basi uniachie lakini usimuue!!!" Veda anavyoongea kwa kunyenyekea kama sio yule kataka kuniua hapa sec chache nyuma, akanifanya hadi moyo uume yaani nimeonekana kama muuwaji hivi

"Mwanao?? Ana mimba?? Yaani ...tangu lini??"
Mama tulijua kumchaganya kabisa,

"Nimekutana na Vero kabla hujakutana nae, tulikuwa na mahusiano yasio Rasm, hakukua kama wewe ni mama yangu mlivyokutana hata mie sikujua kama ni Vero ndio aliekuhudumia " Veda akatoa maelezo tu kidogo

"Mungu wangu, , Faraja gani hii!!! " Mama veda sijui kwanini ila nilimuona kabisa amefurahia hilo jambo

Veda akaondoka bila hata kusema kitu mie tena uso umenishuka shuu aibu yaani maneno ya mwisho ya Veda ilikuwa kama kunisuta nikajutaa bora hata ningekuja kuongea nae maana ameonesha kama vile ana shida sana na mtoto ...

"Mwanangu...kweli una mimba??" Nikatikisa kichwa kukubali ni kweli, yule mama akapiga vigele geleeee akashangilia mweeh nikabaki nimetoa machoo ..

"Kuna kitu kibaya chochote Veda alifanya ndo maana unatoa mimba yake??" Nikatikisa kichwa kukataa yule mama akanishika mikono

"Labda kuna mahali amekukosea, kuna muda mwanangu sio mzuri sanaa lakini nimejitahidi sana kumlea aheshimu wanawake haswa alio nao kwenye mahusiano, kama kuna kitu amekosea naomba kwa niaba yake na mjukuu wangu usimpe hiyo adhabu "

"Mamaa, Veda ana wanawake kibao huko, sioni kama anafaa kuwa babaa wa mwanangu mie sitaki nianze kugombana na mtu kisa mapenzi tukae kulizana "

"Wanawakee?? Veda huyu mwanangu?? Uliwahi kumkuta na wanawake??" Mie tena uso ukanishukaaa sijawahi kumkuta nao ila nahisi anao wengi maana anaenda sana casino ....

Baada ya kuona nimebaki kimyaa akanambia "Sijui hizo tabia ameanza lini mimi namjua mwanangu hana kabisa tabia za kubadili wanawake tunachogombana mie na yeye ni bangi tu na alianza kuvuta baada ya kuachana na mkewe ..." hee nikashtuka mkeweee?? Kwahiyo aliwahi kuwa na mke??

Nikamuuliza huku nimetoa jicho wivu debee, Akanambia "Kwani hajawahi kukuambia?? Veda alikuwa na mke mdada mmoja huko Buza japo imepita miaka mingi karibu miaka 7 tangu kaachana nae "

"Waliachana kwa nini??"

"Sababu inaendana na hii yako, ndo mana Veda amekasirika sana sijawahi kumuona hivii..." mmh nikaguna kwanza

"Alitoa mimba??"

"Ndio..." uwiii niliona aibu nikainama chini uso pwee umenipauka gafla

"Kwanini alitoa labda Veda ndio alikuwa ana shida "

"Veda wangu hajawahi kuwa na shida kabisa, Sijui tu kwanini hana bahati ya kurudishiwa upendo, Veda tangu akiwa mvulana mdogo hajawahi kuwa na tabia za hovyo namjua vizuri mwanangu"

ITAENDELEA...

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 17


Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona hasira zangu zote nilihitaji kumalizia kwake ...

Nishangaa hatuenda kwa Tinner khaa nikamuuliza kwa hamaki kwani tunaenda wapii?? Hata ananijibu basii wa mbuzii yaani amekasirikaaa eeh nikawa namwambia nishushee yupo kimyaa hata hanijibu, akaongeza mwendoo ooh ikabidi nifumbe macho maana niliona hapa tunaenda kufaa sasa nikamshika kwa nguvuuu, mpaka nilipo hisi piki piki kusimama ndio nikafumbua macho naona tupo nje ya nyumba kuna geti dogo jeusi akanambia shuka hapokanishika mkono, mpaka...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/from-bangi-to-baby-sehemu-ya-17

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi from-bangi-to-baby-sehemu-ya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 15
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 15
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 16
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 16
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 4
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 4
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 3
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 3
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 13
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 13
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 2
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 2
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 11
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 11
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 12
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 12
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 10
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 10
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 5
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 5
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜   SEHEMU YA 9
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 9
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 14
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

878
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

454
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 16

419
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

398
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 17

254
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

203
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

177
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

158
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

136
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

21

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.42K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.74K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.59K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.44K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.43K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.43K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.38K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.35K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho Post Mpya
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 18 " Tulishuka kwenye gari Erick alinishika mkono kisha tukaelekea ndani." "Hello dad, hello mom, Erick aliwasalimia wazee wawili wa makamo tuliokutana nao ndani". Muda wote nilikuwa...

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~ Post Mpya
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~
@majario LIVE

A very young Dimple Kapadia and Rishi Kapoor β€” both just starting out β€” probably had no idea they were about to become such huge stars. There’s that innocent...

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol Post Mpya
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol
@majario LIVE

definitely come to mind. They’re honestly the perfect example of how opposites attract. Ajay is quiet, intense, and keeps things low-key. Kajol is loud, expressive, and full of life....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest