AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za maji na vyombo basi ,yani naona ndo alikuwa anaaanza maisha, ila mm wala sikuonesha kushangaa kabisa , nikapita kisha nikaaka kwenye godoro, bado nikiwa nimembeba ummy, basi nikamwmabia ummy nimekuletea kila kitu ulichokuwa unanambia ,akanmbia ahaaa adi mdori baba, nimasema ndio mpaka mdori, basi nikavuta ule mfuko, nikamtolea vitu vyake vyote nilivyomletea ,ahaaa alifurahi sana, yani alifurahi kweli kweli , akaluka luka mpaka mama ake akawa anamwambia utaumia bwana ,furaha gani hizo, basi akabeba begi lake akanmbia baba naenda shule lini si nimeshapata begi, nikamwambia usijali utaenda mwanagu, basi akachukua biskuti zake akatoka nazo njeeee uku anaitwa marafiki zake, et njooni niwageee kaniletea baba yangu, doooh nikaona apa kazi ipo,
Mule ndani tukabaki wawili sasa, mi nikamuuliza kwani uku chekechea mtoto ada sh ngapi ata umpeleke awe anashinda uko, zena akaningalia sana akaniukiza hivi aya yote unayoyafanya ni kwa sababau gani, nikasema ni kwa sababu tu nimetoke kumpenda ummy kama mtoto wangu basi, na namuona kama mwanangu ,akanmabia una huwakika hakuna lengine umelitamani, nikasema no zena ayo ni yako, akaniangalia sana aknmbia sawa asante kwa yote, nikasema wala usijali, mi nikachukua laki 1 nikampa, na akaipokea , nikamwmabia natamani ummy aende shule basi, umpeleke ata hizi za kawaida tu awe ana shinda uko, akanmbia sawa asante atafurahi sana, mana apa asubuh uwa anapooza sana ,wenzake wote wanaenda shule, nikamuuliza kwani wewe kwa sasa unafanya biashara gani,,akanmbia bado sijapata kazi ya maana nipo namsaidiaga mama falani hivi mama ntilie apo mbele, leo hajafungua ndo mana umenikuta nipo off ,ila siku nyengine usiludie kuja bila kusema mana hautakuta mtu, nikamuuliza sasa ukienda uko mtoto anabaki na nani, akanmbia ahaa mtoto namuachiaga shey akiwepo ,kama hayupo kuna mdada anakaa chumba cha mbele namuachiaga piah, nikasema sawa , basi ntakutafutia cha kufanya, akanmbia haina aja , mbona kwa ummu ushafanya inatosha, niikamuangalia kisha nikatabasamu, nikaona kainama et, nikaona yes ,et mtoto,anaona aibu ngojaaaaa tuonee
Basi mi nikamuaga, akanmbi mh ngoja nimuite ummy umuage atakuja kulia akiludi alafu asikukute ikawa kesi kubwa ,nikasema sawa kweli akatoka kumuita mwanae, ndo nikapata nafasi ya kukingalia chumba chake vizur, uyu binti walaa hana kitu ila niligundua ni msafi sana , yani ni msafi mnoo uyu dada, mashallah nilipenda kwa kweli sio siri, basi baada ya mda ummy akaja na mama yake, akaja mwenyewe kanikalia miguuni et ananilisha biskuti imejaaa mate, ntafanyaje na nataka demu, nikala fresh, nikamwambia sasa mama mi naondoka ,ila ntakuja siku nyengine, nimempa mama pesa kesho anakupeleka shule sawa, ahaa ummy akanmbia ayaaaa ,akaanza kusaka viatu vyake, ananambia tunaondoka wote baba, khaaaaaa mama ake akamwmabia we baba anaenda kwa polisi, unatka ukakamatwe, analudi kesho mngoje, kumbe anaogopa polisi ,asa sindo nipo apa, nikamwmabia nakuja kesho mwanangu sawa, akanmbia sawa uje kweli baba, nikasema sawa aya mimi naenda nikatoa na elfu 5 nikampa akafurahi mwenyewe, alafu sasa kana adabu anasema asante kwa kila kitu, tena asante baba, basi mama ake akambeba wakanisindikiza mpaka nilipopark gari yangu, nikaawaaga nikaondoka zangu, nilifurahi mana niliona sasa kuna matuamaini ya kumkamata uyu demu, nikiwa naelekea home nijampigia simu ibraa, nikaanza kumuelezea kwamna mtoto kanikalibish vizuri, na mpaka tumechekaaa, ibra akanmbia mi sinilikupanga apo mchawii wewe umpenda mwanae, uyoo siku mwenyewe anakwambia baba njooo nikupe zawadi leo, unaenda anakupa game, ahaaaa nilicheka kisenge ,ibraaaa bwana mambo yake, ibraa akanmbia mi uyo nampa mwez we endelea kushoboka na mwanae ana kubless, nikasema powa mwananagu hakuna noma
🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni