Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
20 Mar 2026
2 views
VYOTE NDANI GONGA94
Novatus Dismas Miroshi kutua Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL)
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Nyota wa kimataifa wa Tanzania Novatus Dismas Miroshi anayekipigia katika klabu ya Göztepe S.K anahusishwa na kujiunga na klabu ya Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL) huku kocha wa Forest Vitor Pereira akionyesha nia kubwa ya kumtaka Miroshi.
Kuhusishwa huko kunakuja baada ya kuwa na kiwango bora tangu atue Uturuki kwenye ligi ya Turkish Süper Lig ambako kwa sasa klabu yake iko nafasi ya 6 kwenye msimamo wa ligi.
Miroshi amecheza michezo 23 kati ya 26 ya Ligi ambayo timu yake imeshuka dimbani na amefunga magoli 5 na assist.2 akiwa muhimili mkubwa sana katika eneo la ulinzi wa kati na kushoto.
Miroshi alijiunga na Göztepe msimu wa 2024/25 akitokea Shaktar Donetsk ya ambako alionyesha uwezo mkubwa na kuiwezesha timu hiyo kutwaa ubingwa wa ligi 2023/24 na kucheza michuano ya Ulaya (UEFA) yeye akwemo.
Msimu huu ameiwezesha Göztepe kushika nafasi ya 5 kwenye msimamo wa Turkish Süper Lig huku wakiwa na rekodi bora ya kuruhusu magoli machache (20) iliwa ndo timu ya pili baada ya Galatasaray (18) kwa kuruhusu magoli machache.
Mechi ijayo Göztepe watamenyana na Galatasaray huku kukiwa na vita ya Miroshi na Osimhen 🔥🙌
Miroshi alijiunga na Göztepe kwa mkataba wa miaka 4 hadi June 30, 2028 ba kwasasa thamani yake sokoni ni €3.5m
Takwimu zake akiwa na Göztepe msimu huuu
Mechi 25 (17 kaanza)
Dakika alizocheza 1,625
Magoli 01
Assist 01
K.Njano 07
Av. Rating 6 84
NB; Miroshi ni EPL material na kama akienda kule atakua mtanzania wa pili kucheza EPL baada ya Mbwana Ally Samatta.
Follow Kijiweni24 Tv kwa taarifa za kimichezo
#göztepe #turkish #Osimhen #galatasaray #AFCON2025 #tanzania
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivy...
Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA
Novatus Dismas Miroshi kutua Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL)
Nyota wa kimataifa wa Tanzania Novatus Dismas Miroshi anayekipigia katika klabu ya Göztepe S.K anahusishwa na kujiunga na klabu ya Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL) huku kocha wa Forest Vitor Pereira akionyesha nia kubwa ya kumtaka Miroshi.
Kuhusishwa huko kunakuja baada ya kuwa na kiwango bora tangu atue Uturuki kwenye ligi ya Turkish Süper Lig ambako kwa sasa klabu yake iko nafasi ya 6 kwenye msimamo wa ligi.
Miroshi amecheza michezo 23 kati ya 26 ya Ligi ambayo timu yake imeshuka dimbani na amefunga magoli 5 na assist.2 akiwa muhimili mkubwa sana katika eneo la ulinzi wa...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/novatus-dismas-miroshi-kutua-nottingham-forest-inayoshiriki-ligi-kuu-uingereza-epl
Maoni