Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
30 Nov -0001
15 views
VYOTE NDANI GONGA94
LIGI KUU NBC KUREJEA JUNI 18.
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
by Loveness Bernard
LIGI Kuu ya NBC inarejea juni 18 ikiwa ni mzunguko wa 29 huku michezo yote hiyo itakayochezwa viwanja mbali mbali ikitarajiwa kuanza saa 10:00 alasiri.
Mchezo wa kwanza utachezwa uwanja wa CCM kirumba Pamba Jiji inayotafuta uhakika wa kusalia Ligi Kuu ya NBC itaikaribisha timu ya JKT Tanzania, huku Namungo ikiikaribisha Kagera Sugar iliyoshuka daraja katika uwanja wa Majaliwa mkoani Lindi.
Timu ya Dodoma Jiji itakuwa mwenyeji wa timu ya Singida Black Stars katika uwanja wa Jamhuri Dodoma na Mashujaa itaialika KMC katika uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma.
Kwa upande wa KenGold iliyoshuka daraja itakuwa mwenyeji wa timu ya Simba inayowania ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC katika uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora huku Tanzania Prisons ikiialika timu ya Young Africans katika uwanja wa Sokoine mkoani Mbeya.
Azam itakuwa mwenyeji wa Tabora United katika uwanja wa Azam Complex uliopo jijini Dar es Salaam na mchezo wa mwisho utakuwa kati ya Coastal Union na Fountain Gate katika uwanja wa Mkwakwani uliopo mkoani Tanga.
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Novatus Dismas Miroshi kutua Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL)
Nyota wa kimataifa wa Tanzania Novatus Dismas Miroshi anayekipigia katika klabu ya Göztepe S.K anahusishwa na kujiunga n...
Je wajua filamu ya Deadly Prey ya mwaka 1987 ilitayarishwa na David Trior ambaye alimpa nafasi ndugu yake Ted Prior kucheza uhusika mkuu(main character)
filamu iliyotengenezwa kwa bajeti ya chini sanaa kiasi mwanzo mwisho wa filamu jamaa alikuwa na kipensi tuu vibanda umiz...
Mwandishi aliuliza je neno mshangazi maana yake nini, Kajala akajibu mshangazi ni mwanamke mwenye umbo kuuubwa, Wolper akisema mshangazi ni mwanamke mwenye umri
mkubwa kama sisi hapa yani kama mimi, Kajala, Auntyezekiel na Irene Uwoya Irene Uwoya akasema hapana sisi sio mishangaz...
by Loveness Bernard
LIGI Kuu ya NBC inarejea juni 18 ikiwa ni mzunguko wa 29 huku michezo yote hiyo itakayochezwa viwanja mbali mbali ikitarajiwa kuanza saa 10:00 alasiri.
Mchezo wa kwanza utachezwa uwanja wa CCM kirumba Pamba Jiji inayotafuta uhakika wa kusalia Ligi Kuu ya NBC itaikaribisha timu ya JKT Tanzania, huku Namungo ikiikaribisha Kagera Sugar iliyoshuka daraja katika uwanja wa Majaliwa mkoani Lindi.
Timu ya Dodoma Jiji itakuwa mwenyeji wa timu ya Singida Black Stars katika uwanja wa Jamhuri Dodoma na Mashujaa itaialika KMC katika uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma.
Kwa upande wa KenGold iliyoshuka daraja itakuwa mwenyeji wa timu ya...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/ligi-kuu-nbc-kurejea-juni-18
Maoni