Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
25 Jan 2026
51 views
VYOTE NDANI GONGA94
Je wajua filamu ya Deadly Prey ya mwaka 1987 ilitayarishwa na David Trior ambaye alimpa nafasi ndugu yake Ted Prior kucheza uhusika mkuu(main character)
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
filamu iliyotengenezwa kwa bajeti ya chini sanaa kiasi mwanzo mwisho wa filamu jamaa alikuwa na kipensi tuu vibanda umiza iliitwa Komando Kipensi ni filamu iliyofanikiwa kubeba mashabiki wengi(Cult film) ndugu hao Ted na David ambaye aliendelea kumtumia ndugu Yake katika filamu mbalimbali walizoshiriki akimpa nafasi ya uhusika mkuu , tukio la mwamba kula minyoo katika kipande Cha filamu Deadly Pray ilikuwa ni kwelii mwamba sijui aliishiliwa wapi hakuwahi tamba sanaa na sinema nyingine alizofanya 🙏😊 umeona sinema yake gani nyingine huyu mwamba
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MOROCCO YAPOTEZA NAFASI YA KUANDAA MECHI YA FAINALI KOMBE LA DUNIA 2030
Morocco haitaandaa tena Fainali ya Kombe la Dunia la FIFA la 2030, kufuatia matukio wakati wa fainali ya Kombe la Matai...
Je wajua Joseph Ogolan Olita muigizaji kutoka Kenya ndiye aliyecheza Uhusika wa Idd Amin dada katika filamu ya The Rise and Fall of Idd Amin ya mwaka 1981 na Mississippi Masala ya mwaka 1991
ambayo aliigiza sambamba na staa mkubwa Denzel Washington Joseph alikuwa anamjua Idd Amin kwa kiasi alichofanya ni kuji...
Je wajua filamu ya Deadly Prey ya mwaka 1987 ilitayarishwa na David Trior ambaye alimpa nafasi ndugu yake Ted Prior kucheza uhusika mkuu(main character)
filamu iliyotengenezwa kwa bajeti ya chini sanaa kiasi mwanzo mwisho wa filamu jamaa alikuwa na kipensi tuu vibanda umiza iliitwa Komando Kipensi ni filamu iliyofanikiwa kubeba mashabiki wengi(Cult film) ndugu hao Ted na David ambaye aliendelea kumtumia ndugu Yake katika filamu mbalimbali walizoshiriki akimpa nafasi ya uhusika mkuu , tukio la mwamba kula minyoo katika kipande Cha filamu Deadly Pray ilikuwa ni kwelii mwamba sijui aliishiliwa wapi hakuwahi tamba sanaa na sinema nyingine alizofanya 🙏😊 umeona sinema yake gani nyingine huyu mwamba
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/je-wajua-filamu-ya-deadly-prey-ya-mwaka-1987-ilitayarishwa-na-david-trior-ambaye-alimpa-nafasi-ndugu