LETICIA Sehemu ya 19 na 20
💍💍💍💍💍💍
Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu lazima aniongelesha na mimi namtukana lakini hakomi uyu kaka na nilikuwa sitaki kabisa kumsikia nilikuwa najitahidi kukaa mbali nae acheni tu ,basi maisha yakasonga umu ndani kazi zilikuwa nyingi jamani na uyu madam ajikusi cha chochote, ata kutandika tu kitanda anacholalia napo ni tabu jamani daah . Sema ndio hivyo si nilikuwa nimekuja kutafuta ela nikawa napambana hivyo hivyo tu . Siku moja usiku nilikuwa nimelala ,ila nikaamka kunywa maji .nikatoka adi nje ya chumba changu wakati natembea nilipokalibia chumba cha madam nikawa nasikia sauti za mahaba ,mmh nikaguna nikawa najiuliza madam prisca mume wake karudi au na kama karudi karudi saa ngap jamani ,mmmh nikapita zangu nikaenda jikoni nikanywa maji kisha nikarudi chumbani apo bado nasikia kelele na uyu madamu hapana anapiga kelele kama anachijwa kumbe anakamiwa uko daah ,nikafika chumbani nikajilalia zangu mimi ,
Na asubuhi nikaamka nikaendelea na shughuri zangu ,nikawa nasubir kwan hamu kumuona uyu mume wa madam, lakini wapi mpaka saa 6 sioni mtu namuona tu madam prisca anazunguka zunguka ,kuna mda nikashangaa madam ananiita nikaenda akanambia vip mbona leo chumbani kwangu ujasafisha kuna shida gani. Nikasema samahani nilidhani shemeji karudi.madamu akaniangalia akasema nani alikwambia ebu toka apa kafanye usafi chumbani kwangu.
Mmmh nikashangaa inamaana umu ndani amna mtu jamani. Mimi nikajua mumewe karudi kumbe bado khaa sasa alikuwa na nani. Nikawaza au aliingiza mwanaume jana ila moyo ukagoma maana usiku anapoingia kulala nilimuona na asubuhi mimi ndio nimefungua milango ,nilishangaa mno naona naye aliniona kuwa nimeshangaa ,nilipotoka kuchukua vifaa akanifwata akanmbia unakumbuka nilikwambiaje ulipokuja apa ili uishi mda mrefu , nikasema ulisema hutaki umbeya ,akasema aaah kumbe unakumbuka bas zingatia ilo.kisha akaondoka, mmmh nikajua tu dada anamcheat mume wake uyu , ila nikasema ngoja niachane na maisha ya watu.
Basi nikaingia chumbani nikadeki nilikuta chumba kipo hovyo hovyo ,nikapanga vizuri kisha nikatoka mule chumbani ,basi nikawa nasikia kila siku madam prisca yupo na mwanaume ila nikawa sielewi ni nani,maana asubuhi nawahi kuamka sioni mtu akitoka wala nini ,nikawa nashangaa anakuja saa ngap na anaondoka saa ngap adi nikawa nawaza au najini mahaba uyu dada ,maana na akiwa anafanywa anapiga makelele hatari. Huu ndio mwisho wa season 1 season 2 unapata hapa kwangu no ya malipo 0750411324 subira sefu njoo na muamala wako uhudumiwe hatupoi hatuboi
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni