AFANDE MILLAN๐ Sehemu ya 90 MWISHOOOO
๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ
Na kama ni kweli zena kanizungukia namshukuru mana nilikuwa nishapotea sana lakini yeye ndo kaniludisha kwenye mstari, yani imetulia.sana.na ninawaza maendelea tu na familia yangu , mpaka sasa mi ndo tajir wa familia , wakati mwanzo alikuwa broo, ila now kwa pesa broo anatulia kabisaa, tena kuna mda ananipigia anataka nimkopeshe pesa, na mm kumkomesha namwambia mpigie shemeji yako ndo ana kadi za bank, kaka ana mind ananmbia nimerogwa namuachiaje kadi za bank mwanamke, ila anamlugia na anamuomba vizuri tu, shemeji kibao na kujichekesha kinafki๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐๐๐๐, , japo sasa mama yangu hampendi.kweli kweli zena, yani hamepindi mnoo, zena haendi kwetu kabisa pemba, ni mm tu ndo naendaga na wanangu ila mama hawachangamkii sana ata watoto wangu, kama watoto wa kaka, nahisi ni vile hampendi zna, ila sina la kufanya sasa mi.zena nampenda mnoo, ila mam ndo hivyo hamtaki licha ya mafanikio yangu yote, ila damu yake na zena haijamechi kabisaa , ila zena anambia kila kitu kitakaa sawa, japo kuna mda najsikia vibaya na aibu mbele ya zena ila sasa nafanyaje mnazani, basi kaka ndo akawa anakuja sana kwetu na tukawa tunaelewana vizuri tu na anakujaga sana nyumbani kwangu, na huwa ananmbia zena ni mwanamke na an akiri sana ,niwe na subira tu siku moja huwenda mama yangu atamuelewa nabiki kusema tu sawa
Ila mm na zena tunapemdana sana, ila zena anawivu mnoo ,ai nanaijua mumewe sielweki,๐ ๐ ๐ ๐ ๐ , japo now nimetulia ,ila haniamini sana, na akionaga kitu cha tofauti anachukia mnoo ,na ataninunia apo mpaka.ntajuta kudadeki, ila ndoa ni ndoa mi nikikosea nampigia goti mke wangu tunayamaliza na yye akikosea pia ananipigia goti tunamaliza,alafu sasa zena ananipenda san, yani kama kweli kaniroga mm nitulie, basi na yeye kwangu hajiwezi habadani, ananipenda kweli.kweli, yani ananipenda mnoo, ila zena ni mwanamke.mzuri sana mpole na mwenye adabu ,asie nanshid kabisaa, na ata wanangu wengine likizo wanakuja kwetu na wanakaaa vizuri tu, zena wala.hana shida tena ahmed mpaka anagomaga kuondoka kwa mama yake, zena akanmbia tumuhamishe shule.asomee kwetu, na kweli now tunaishi na ahmed pia, mama yake ata sijuh ana dangia wapi, na kwa sasa hanisumbui sana mana mtoto si ninae mm
Kitu amabcho najutia sana katika maisha yangu ni kuzaaa ovyoooo daah ni jau sanaaa, kuzaa na kila mwanamke au mwanaume sio nzuri, inatengeneza matabaka sana, naomba mlibene hili kupitia mm , nashukuru sana kw kuwa n mm mwanzo mwisho big up, ๐ช๐ช๐ช๐ช๐ช๐ช๐ช๐ช
////MWISHO!////
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni