Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ Gonga94 Semajambo
Gonga94 ยท Stories
24 Mar 2026
3 views
VYOTE NDANI GONGA94
Anaitwa Ramadhani Chobwedo (MBEUMO) wa Kubanika ๐ Chezaji la Kukamia Mechi Kubwa. ๐๐ผ
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Binafsi bado sijaona cha kunishawishi kwa huyu mwamba tofauti na wengine wanavyompa Hype.
Niliangalia mechi zote mbili walizocheza TRA United na timu za Kariakoo, kiufupi mwamba alikuwa Anajitutumua ili aone kama anaweza kusajiliwa kwenye moja ya Timu hizi.
Chobwedo wachezaji wa Aina yake walikuwepo hapa Tanzania mmoja wapo Ni (Detram Nchimbi) Nguvu na Mbio ni nyingi sana ila Product ya mwisho ni Mbovu.
Kwa Mpira wa sasahivi Timu hazihitaji Winga wa kukimbia kimbia Uwanjani alafu mwisho hana madhara.
Mfano mechi ya Simba alikuwa anakimbia kule pembeni mwisho anapiga Cross mbovu au anajipiga Chenga mwenyewe. na alipiga Kona mbili zote zilienda Nje.
NB: Chobwedo ni Machachali ila Hana Hatari Kwa Wapinzani. โ๐ผ
Inasemekana kabla ya mechi ya jana Kocha Fadlu Davies aliwaambia Viongozi ili aketi kwenye benchi wakubaliane kwa maandishi kuwa hatopaswa kulipa mishahara ya miezi mitatu ili avunje mkataba wake, kitu ambacho bado hakijapata majibu kama waliingia makubal
. Ila taarifa iliyopo mpaka sasa ni kuwa Kocha amekacha hayupo na timu huku nao Simba wakiwa tu kimya, mtego uliopo hapo...
Anaitwa Ramadhani Chobwedo (MBEUMO) wa Kubanika ๐ Chezaji la Kukamia Mechi Kubwa. ๐๐ผ
Binafsi bado sijaona cha kunishawishi kwa huyu mwamba tofauti na wengine wanavyompa Hype.
Niliangalia mechi zote mbili walizocheza TRA United na timu za Kariakoo, kiufupi mwamba alikuwa Anajitutumua ili aone kama anaweza kusajiliwa kwenye moja ya Timu hizi.
Chobwedo wachezaji wa Aina yake walikuwepo hapa Tanzania mmoja wapo Ni (Detram Nchimbi) Nguvu na Mbio ni nyingi sana ila Product ya mwisho ni Mbovu.
Kwa Mpira wa sasahivi Timu hazihitaji Winga wa kukimbia kimbia Uwanjani alafu mwisho hana madhara.
Mfano mechi ya Simba alikuwa anakimbia kule pembeni mwisho anapiga Cross mbovu au anajipiga Chenga mwenyewe. na alipiga Kona mbili zote zilienda Nje.
NB: Chobwedo...
๐ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/anaitwa-ramadhani-chobwedo-mbeumo-wa-kubanika-chezaji-la-kukamia-mechi-kubwa
Maoni