Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“   SEHEMU YA "14_15"๐Ÿ’“
Gonga94 ยท Stories

BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“ SEHEMU YA "14_15"๐Ÿ’“

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



( alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea)

nikalala wee kukakucha mapema sanaaa

Nikakusanya ndoo zangu zilizojaa bites huyoooo site kwangu

Nikafanya usafi pale nikapanga kabati langu nikaweka mzigo nikakaa kusubiri miujiza ya yule jamaa wa gari aje anunue vyote kama vilivyo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Sasa ile nimekaa tu nashangaa shangaa


Mara mbele yangu naona kitu ambacho siamin macho yangu

โ€œHabari yako dada ?

Ni mkaka very handsome , yaan pure chocolate colour , tall body nzuri ya kiume ๐Ÿ‘€sauti nzitoooo

Ajabu sana sana amebeba chupa tatu kubwaa na ndoo ndogo yenye vikombe ndani , bila shaka anauza chai huyu ๐Ÿฅน

Lakin nikapata kumbukumbua hii sauti ni kama โ€ฆ..๐Ÿค” lkn hapana nitakuwa nimechanganyikiwa tu

โ€œ Salama karibu , nilimkaribisha

โ€œAsante sana dada , naomba unisaidie kitu kama hutojali

โ€œSawa kitu gani ? Nikamuuliza ๐Ÿ‘€๐Ÿ‘€ mkaka handsome namba hii na machupa ya chai wapi na wapi jmn


Naomba niwe nauzia hapa chai yangu kwasababu nimeona wewe hauna chai ,basi itakuwa combo nzuri sana mm nauza chai wewe unauza vitafunwa โ€ฆ.

Nilimtizama kwanza yule kijana ana vimacho falani hivi oya ๐Ÿ™Œ hatarious ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Msafi ananukia manukato safi uso wa kipolee ulijaa tabasam la bila kuonesha meno yake aaah nimebarikiwa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Hata ungekuwa ni wewe ungeanzaje kumkatalia mkaka kama huyu ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ unakataaje kufanya nae kazi sasa kwa mafano ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Sawa karibu sana , lkn kuna kodi hapa nalipia kwa mwenye hij fren si unaona nineweka mbele ya frem yake

โ€œDont worry , i s just a little thing โ€ฆ. nitalipia pia alisema

Sasa mimi nikabakia nashangaa ๐Ÿ‘€๐Ÿ‘€ hiki kingereza na wauza chai wapi na wapi
Anyway mi mwenyewe ni degree holder lkn nauza vitafunwa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚



โ€œ Okay welcome nikamwambia , nikamkaribisha vzr sana pale na kiti nikampatia akakaa

Bas bwana nikamsaidia kupanga chupa zake juu ya meza na vikombeโ€ฆโ€ฆ hahahha guys usimdharau usiyemjua hata maramoja hivi mnanielewa vzr nyie ???


Alipokaa nilimuona akianza kusinzia , mara akashtuka na kuongiza mkono mfuko akatoa dawa

โ€œUnaumwa ? Nilimuuliza

โ€œYeah โ€ฆ..but siyo sana alijibu

โ€œBut ungepumzika nyumbani tu mpaka uwe sawa kabisa si vzr kutenbea juani ukiwa mgonjwa ๐Ÿฅน

Nilimhurumia sana kwa namna moja


โ€œMaisha dada angu , nikilala home ujue ndo ukoo wangu mzima umelala njaa alisema ๐Ÿฅน

Dan ile kauli iliniumiza sana ukichek hata mm ni kama yeye tu familia inanitegemea
๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

Ngojeni nilale kwanza nikiamka nakuja na muendelezo

Full 1000
Whatsap 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“ SEHEMU YA "14_15"๐Ÿ’“




( alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea)

nikalala wee kukakucha mapema sanaaa

Nikakusanya ndoo zangu zilizojaa bites huyoooo site kwangu

Nikafanya usafi pale nikapanga kabati langu nikaweka mzigo nikakaa kusubiri miujiza ya yule jamaa wa gari aje anunue vyote kama vilivyo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Sasa ile nimekaa tu nashangaa shangaa


Mara mbele yangu naona kitu ambacho siamin macho yangu

โ€œHabari yako dada ?

Ni mkaka very handsome , yaan pure chocolate colour , tall body nzuri ya kiume ๐Ÿ‘€sauti nzitoooo

Ajabu sana sana amebeba chupa tatu kubwaa na ndoo ndogo yenye vikombe ndani , bila shaka anauza chai huyu ๐Ÿฅน

Lakin nikapata kumbukumbua...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/billions-of-love-sehemu-ya-14_15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending ๐Ÿ“ Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi billions-of-love-sehemu-ya-14_15
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 86 na 87

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 86 na 87

1.62K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 88 na 89

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 88 na 89

1.37K
IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10*

IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*

231
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

194
๐Ÿ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO๐Ÿ’‹  11....15

๐Ÿ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO๐Ÿ’‹ 11....15

156
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“   SEHEMU YA "14_15"๐Ÿ’“

BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“ SEHEMU YA "14_15"๐Ÿ’“

143
๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹KIJIJI CHA UTAMU๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹ Sehemu ya 11

๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹KIJIJI CHA UTAMU๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹ Sehemu ya 11

79
๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹KIJIJI CHA UTAMU๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹  Sehemu ya 15

๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹KIJIJI CHA UTAMU๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹ Sehemu ya 15

47
๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹KIJIJI CHA UTAMU๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹  Sehemu ya 13

๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹KIJIJI CHA UTAMU๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹ Sehemu ya 13

39
๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹KIJIJI CHA UTAMU๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹  Sehemu ya 12

๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹KIJIJI CHA UTAMU๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹ Sehemu ya 12

30

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.97K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.66K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.9K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.57K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

3.06K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

3.01K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.86K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.84K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.72K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.69K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“   SEHEMU YA "14_15"๐Ÿ’“ Post Mpya
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“ SEHEMU YA "14_15"๐Ÿ’“
@majario LIVE

( alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea) nikalala wee kukakucha mapema sanaaa Nikakusanya ndoo zangu zilizojaa bites huyoooo site kwangu Nikafanya usafi pale nikapanga kabati langu nikaweka mzigo nikakaa...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 88 na 89 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 88 na 89
@majario LIVE

Basi nikajikuta usingiz umenipitia kabisaa, nahisi ni ile kuchoka na mawazo sana, nikaja kustuka ni mida ya usiku hivi, kwa pembni naona wanangu , arshaina ndo wa kwanza akananza kunipandia...

๐Ÿ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO๐Ÿ’‹  11....15 Post Mpya
๐Ÿ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO๐Ÿ’‹ 11....15
@majario LIVE

Sawa mke wangu kipenzi nashukuru kwa kunijali, Denis aliondoka hadi gari ๐Ÿš™ lilivyokata kona na mimi nikaingia ndani nilibadilisha nguo nilizovaa nikaenda sokoni kununua nyama na mchele nikaja kupika chakula...

๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹KIJIJI CHA UTAMU๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹  Sehemu ya 15 Post Mpya
๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹KIJIJI CHA UTAMU๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹ Sehemu ya 15
@mjukuu LIVE

๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹KIJIJI CHA UTAMU๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹ Sehemu ya 15 (๐Ÿ”ž) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Alex anazidi kumshindua kungwi kwa raha zake mpaka na yeye akakojoa... Alex alikaa kwa kungwi...

๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹KIJIJI CHA UTAMU๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹  Sehemu ya 14 Post Mpya
๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹KIJIJI CHA UTAMU๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹ Sehemu ya 14
@mjukuu LIVE

(๐Ÿ”ž) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Mke wangu umeenda kijijini kumpa mwanangu mimba?. ( Yani aliongea uku amemkwida mama asma...na hapo akatokea msamalia mwema akamshika...

๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹KIJIJI CHA UTAMU๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹  Sehemu ya 13 Post Mpya
๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹KIJIJI CHA UTAMU๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹ Sehemu ya 13
@mjukuu LIVE

(๐Ÿ”ž) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Siku ambayo kwakweli nilifanya mapenzi na asma kwa raha sana nilimlamba kila Kona na kiu aliitoa na yeye...

๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹KIJIJI CHA UTAMU๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹  Sehemu ya 12 Post Mpya
๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹KIJIJI CHA UTAMU๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹ Sehemu ya 12
@mjukuu LIVE

(๐Ÿ”ž) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) ๐Ÿ‘‰ Asma akasogea yupo tayari kuvuliwa nguo nimpe utamu, Dah yani....๐Ÿ‘‡ Kidume sikutaka kuchelewa maana penzi la wizi wizi hili, Nilimvua...

๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹KIJIJI CHA UTAMU๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹ Sehemu ya 11 Post Mpya
๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹KIJIJI CHA UTAMU๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹ Sehemu ya 11
@mjukuu LIVE

(๐Ÿ”ž) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) ๐Ÿ‘‰ Unajua mbwana yule mjumbe anatoa...๐Ÿ‘‡ Ushilikiano kitandani utasema kijana yani uno kama lote mpaka nasema kimoyoni enzi ya...

IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Upande wangu nilikuwa zangu chumbani, nikijiandaa kwa ajiri ya kutoka kwenda kurefresh kidogo, nikiwa najiandaa mara Ethan huyu hapa alikuwa mnyinge kweli "Vipi tena??" Nilimuuliza baada ya kumuona amekuwa mnyonge gafla "Acha...

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Ethan akazungumza "Hakuna cha kukata tamaa, kwani we nani amekwambia kuwa ameolewa..??" "Ni mama.." Nilimjibu huku nikiwa nimekata tamaa zaidi "Sasa mama wewe unamuamini vipi??, kama amekuongopea?? We cha kufanya anza kumtoa mtoto...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Basi mimi sasa apo nikampigia kwanza mkuu wangu kazini, mana sijaenda kazini kama siku 3 na sikuwa nimetoa sababau kabisaa, nikamuelezea kuwa nna matatizo mengi ya kimafimilia kwaiyo sipo sawa...

LETICIA Sehemu ya 17 na 18 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 17 na 18
@majario LIVE

Nikiwa nimelala usiku nikashangaa mlango unafunguliwa. Mmh nikainuka chapu uzuri sizimagi taa ,si namuona polela jamni loooh nilichukia mno jamani nikasema wewe umefwata nini umu .akasema taratibu mummy...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 85 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 85
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Aseeee mi nikatulia pale sebleni, et amam akaenda kuchukua nguo zake akasema naenda pemba ushasahau kuwa mm nimekuzaa ww kabisa , na ndo mana huna adabu kabisa, mi...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest