LETICIA Sehemu ya 17 na 18
Nikiwa nimelala usiku nikashangaa mlango unafunguliwa. Mmh nikainuka chapu uzuri sizimagi taa ,si namuona polela jamni loooh nilichukia mno jamani nikasema wewe umefwata nini umu .akasema taratibu mummy usipanic nataka tuongee. Nikasema polela we mshenzi umefwata nini umu naomba uondoke sitaki kukuona we mwanaume, polela akasema let ebu punguza hasira ujui ni kiasi gani nimefirahi kukuona hapa jamani nimefurahi mno. Nikasema kama ulikuwa unashida ya kuniona si ungekuja kwetu kuniona ebu nitokee mimi apa , polela akasema amna leti mambo hayapo ulivyokuwa unawaza nilikuwa naogopa ndio maana sijaja kule nyumbani lakini nilikumiss na kila siku nilikuwa nakuwaza naomba tu nielewe . Nikasema bwana naomba utoke chumbani kwangu uoga gani miaka 4 kwaiyo ulikuwa na mpango gani miim nisingekuja uku ungefanyaje . Akabaki kimya ananiangalia nikasema we mshenzi wa tabia naomba utoke umu kabda sijapiga kelele usinichefue polela, akasema tuongee ,nikasema wewe ebu nikome .tena nikome achana na mimi bwana.polela nitapiga kelele akaona nipo serious akaondoka zake ,mjinga kweli uyu yaani ananifanya mm mjinga siku zote izo ata kunitafuta tafkiri alikuwa ajui niliposiku zote .
Basi alipoondoka sasa ndio nikashusha pumzi jamani uyu kaka alikuwa ashanichefua khaaah ety alinimiss jamani miaka yote iyo jamani ,kisa kaniona na anajishebedua,ety mtu alijua kaacha mtu mwenye mimba yake kijijini alafu mpaka leo yupo kimya jamani wala kututafuta ajue hali zetu hakuna yupo tu uku anafungua mageti ya watu ,mshahara sijui alikuwa anapeleka wapi ,basi nilikaa pale.nkawa nawaa saana nitaweza kukaa polela nyumba moja kama ndio hivyo kashaanza kunisumbua jamani uwiiih. Nilijiwazia mno nitaweza kukaa hapa kweli ,ila nikaona acha nipambane nikusanye ela kidogo ,nikipata kamtaji nirudi zangu kijijini nikalee mwanangu basi .
Basi nilijiwazia adi usiku sana ndio usingizi unanishika ata sikulala sana saa 11 madam prisca akaja kunigongea ,akanambia niamke nianze usafi yeye nyumbani kwake usafi unaanza saa 11 . Basi kweli nikajiamsha pale kitandani nikaenda kunawa uso ,kisha nikaanza kazi . Oyaa aka kanyumba kana kaz sio kidogo nyumba kubwa adi nikaona laki 2 ni ndogo ππ€£π.yaanj kuanzia saa 11 adi saa 1 ndio namaliza kufaya usafi wa ndani ,kisha nikaenda kuoga kwanz maana jasho weeh , nilipotoka kuoga ndio nikaenda jikoni kuandaa chai, na amadam akaja jikoni akanisaidia akawa ananipa maelekezo vitu wanavyokula asubuh, alinielekeza nikaelewa kisha nikaaanda chakula sebleni. Na polela na yule dereva wakaja ndani kunywa chai.ila nikaona polela ananiangalia mno yani na mimi nikajifanya simuoni maana alikuwa ananichefua,basi Walipomaliza kula mimi nikatoa vyombo nikapeleka jikoni. Mmmh wakati naviafisha nivioshesi akaja ndugu yenu uyu. polela akasema leti naomba niongee na wewe dakika nipe dakika ya kujielezea kweli, nikasema sina mda wa kusikiliza uo.ujinga wako polela we toka na uende getini kwako kila mtu afanye kazi zake staki kabisa uniharibie kibalua changu ujui nimekipaje toka we maraya mchafu .
ππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni