Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10
Gonga94 · Stories

CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Nilifurahi sana❤😘nikaletea mtoto wangu nikamuona nililia kwa furaha nikamshukuru sana Betty maana amekuwa msaada sana kwangu🙏❤

asubuhi ya siku iliyofuata mume wangu nae akaja kumuona mtoto nae alifurahi sana 🥰 akampa jina mtoto wetu kuwa aitwe faith🥰🙏 akasema anaenda kazini akirudi atapitia na tutarud nyumbani,basi nkaletewa chakula nikapiga👌💃

wifi zuu hakuja maana alivyoenda home akapata kahoma, nikasema sababu ya kukaa hospital siku zote hizo,sio mbaya tukirud nyumbani atamuona huyo alotuweka hospital wiki nzima🤣🤣🤣

mama mkwe ilibidi aende kwenye majukumu yake maana mume wangu alisema atatupitia kurudi nyumbani
basi ilivyofika jioni nilikua nishapewa ruhusa maana hatukuwa na tatizo lolote mimi na mtoto, tukawa tu tunamsubiri mume wangu aje ikafika mpaka saa kumi na mbili nikasema labda foleni😫

mama mkwe akapiga nkamwambia bado ajatufata mpaka saivi anawakalisha tu ngoja niwafate nyie mpaka mama mkwe amefika pale ilikuwa saa moja mume wangu akawa tulipiga hapatikani😳

nikaanza kuwa na waswas😭 tukarud nyumbani roho hainipi kabisa😿kila tukipiga hapatikani mama mkwe akajaribu kumtafuta rafik ake akamwambia walivyotoka kazini waliachana akasema anakuja hospital😫

usiku huo ata nililala sasa kila nikipga simu jibu ni lile lile haipatikani🥺 mama mkwe akasema nisiwe na waswas tulale asubuhi tutajua la kufanya,siku iliyofuata wakaenda ripoti polis kuwa mume wangu kapotea ,nikawaza kwahiyo mume wangu kaniacha hivi atakuwa mzima kweli😭😭😭

betty akasema usijali atakuwa salama tu,betty akaondoka kurud anapofanyia Kazi maana aliomba tu ruhusa,mamangu hakuondoka maana asingeondoka wakati hatujajua muafaka wa mume wangu,ikapita wiki hatujapata taarifa zozote za mume wangu😭😭😭

zaidi tu lilipatikana gari eti lilikutwa limepakiwa pale hospital🤔polis wakasema tutulie wanaendelea na uchunguzi roho inaniuma jamani nikikaa chumbani nawaza mwenyewe uko wapi mume wangu mtoto wetu tulompambania umeniachia mwenyewe hivi u mzima au ushakufa😭chumba nakiona kikubwa mimi nimemiss ucheshi wako😿

nikabaki kumuombea dua njema🤲awe salama uko aliko na arudi salama🥺 usiku nikawa nimembembeleza mtoto alivyolala na mimi nikalala , sasa usingizi umenikolea😴nikasikia simu inaita🤔nikaamka ni betty anataka nini usiku huu mamy mbona usiku hivi kuna tatizo?

hamna ila nimeota ndoto mbaya ebu naomba usali Kwa imani yako na mimi uku nasali hili jambo niloota liepushwe sasa niombe nini si uniambie niombee nini?

au unihadithie hiyo ndoto jamani😫weee muombee mtoto tu kesho nitakutumia voice note nkuhadithie sawa basi nikabidi nimuombee sana mtoto wangu🤲😔

nikalia sana Mungu amlinde betty sijui kaota nini...!!! niliomba kama lisaa nikamaliza nikapanda nilale betty akanipigia tena umesali? ndio sawa uyo mtoto ni moto haguswi ng'o Amina mama, tukalala asubuhi nikaamka nikawasha data nikute betty kanitumia hyo voice na nisipokuta nitampigia kawaida mbona😹😹😹

nikakuta kanitumia tu picha na maelezo mama faith mwenzio nimekabwa leo sasa Ile picha alinitumia ilikuwa ya shingo yake yaani nikaona Ina alama maana yeye ni mweupe pee basi alama ilikuwa inaonekana😳

nikampigia umekutwa na nini jana nimekabwa sana Kwa akili zangu timamu nimeshuhudia napigana na mtu ila sikumfahamu makubwa mwaka huu acha tu lakin usijali naenda job tutaongea bde ..

mama lakini kama huna waswas rafiki angu khaa ulopigana nae si itakua ni mchaw eeeh ndio sasa niwe na waswas wanini hata usiwaze bhana ya kawaida tu👌👌sawa dear baada ok siku njema msalimie faith sawa mama kalala saiv akiamka timbwili lake si mchezo

nikaamka sasa nifanye usafi ndani , ntoe na nguo chafu mama anifulie,nikaamka mama nae akawa amekuja akanipeleka kuoga,akatoka aende kufua na kazi zingine , nikachukua simu nijaribu kumpigi aman tena ikawa inaita🥲lakin haipokelewi🥲

nilipiga kama mara nne zote kimyaaaaa🤨 nikatoka nikaenda waambia kina mama simu ya amani inaita leo ila ndo hapokei🥲 aaah jamani angepokea tujue🥺

au twende polis tukaseme simu inapatikana wanaweza jua jinsi ya kumtafuta,mama na mama mkwe wakasema wanajiandaa waende wifi zuu akawa ana vihomahoma tangu tumerud hospital au una mimba shoga angu ata sielewi leo ndo najisikia vibaya sana ukapime kama unatuletea kitoto tujue wee naogopaje😭 si ulikuwa unancheka mimi😹😹😹

ngoja nikalale tu🏃🏃sawa mama
basi mimi nikabaki pale nje najaribu kupiga simu tena na tena lakini wapi😫 nikabidi niingie ndani tu nmuangalie na faith kama kaamka sasa nakaribia mlango wa chumbani nasikia faith analia sana😭😭😭

afu nasikia vishindo vya mtu kama anakimbia mule chumbani🏃🏃nikawahi kuingia nakuta yupo mwisho wa kitanda ananing'inia kwenye net nusu aanguke, kafikaje jamani mtoto mdogo hivii😳nikawahi kumchukua kuanza kumbembeleza😭😭 🙏

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10



Nilifurahi sana❤😘nikaletea mtoto wangu nikamuona nililia kwa furaha nikamshukuru sana Betty maana amekuwa msaada sana kwangu🙏❤

asubuhi ya siku iliyofuata mume wangu nae akaja kumuona mtoto nae alifurahi sana 🥰 akampa jina mtoto wetu kuwa aitwe faith🥰🙏 akasema anaenda kazini akirudi atapitia na tutarud nyumbani,basi nkaletewa chakula nikapiga👌💃

wifi zuu hakuja maana alivyoenda home akapata kahoma, nikasema sababu ya kukaa hospital siku zote hizo,sio mbaya tukirud nyumbani atamuona huyo alotuweka hospital wiki nzima🤣🤣🤣

mama mkwe ilibidi aende kwenye majukumu yake maana mume wangu alisema atatupitia kurudi nyumbani
basi ilivyofika jioni nilikua nishapewa ruhusa maana hatukuwa na tatizo lolote mimi na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chumbani-kwetu-sehemu-ya-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chumbani-kwetu-sehemu-ya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79

1.28K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 77

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 77

1.21K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80

975
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

316
IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*

IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*

202
IN LOVE WITH ZURI*   Chapter 7

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 7

162
NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO

158
ROWAN (Mine alone) 1 - 5

ROWAN (Mine alone) 1 - 5

97
CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10

CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10

63
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05

55

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.9K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.61K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.87K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.42K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.01K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.98K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.82K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.78K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.66K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana sasa siku iyo nakumbuka nilikuwa kwa jalia , nikamuuliza jalia mbona huna tumbo alafu mimba si itakuwa na miezi 2 , akanmbia mh naona...

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05
@majario LIVE

MTUNZI RITHA STORIES WHATSAPP 0754380244 AU 0680992844 SONGA NAYO................. Mpenzi msomaji Leo na kuletea kisa hiki Cha mapenz ambacho Kita kufunza mengi na kukusisimua,kukufurahisha, na kukuhuzunisha pia Karibu tuende wote👇 Unaweza kuniita Sonia...

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO Post Mpya
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO
@majario LIVE

If you don't leave my house right now, I will cut you into pieces today. Mrs. Helen screamed, waving a big sharp cutlass in the air. Grace backed away, her...

CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10 Post Mpya
CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10
@majario LIVE

Nilifurahi sana❤😘nikaletea mtoto wangu nikamuona nililia kwa furaha nikamshukuru sana Betty maana amekuwa msaada sana kwangu🙏❤ asubuhi ya siku iliyofuata mume wangu nae akaja kumuona mtoto nae alifurahi sana...

ROWAN (Mine alone) 1 - 5 Post Mpya
ROWAN (Mine alone) 1 - 5
@majario LIVE

MTUNZI: Mr Burudan Sehemu ya: 01 ANZA NAYO.... Niite Vee, jina la kifupisho cha jina langu la Vera, Vera ndio jina langu halisi nililopewa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO
@majario LIVE

:66 Mimi nilitoka nikiwa na furaha sana, Niliondoka hapa ni Kama nimezaliwa upya. Moyo wangu ulikuwa umechangamka mno. Ingawa nilifika kwa kujivuta sana lakini siku imeisha na tabasamu pana kwenye uso...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi nikaludi ndani sasa , nikamkuta zena ana mawazo sana, nikasema zena naomba nikupe chakula kwanza kisha tutaongea tu nitakuelezea kila kitu mke wangu, zena akanmbia sawa, wala hakuwa na...

IN LOVE WITH ZURI*   Chapter 7 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Kitendo cha mimi kuongea kwa ukali kiasi hicho kiliwashtua sana Idress lakini pia na Ethan, Ethan yeye mpaka alinyanyuka na kuja sehemu niliyokaa kisha akachukua hiyo chai ambayo nasemea...

IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Kimya kifupi kilipita hii ni baada ya mimi kusikia kuwa Zuri ni mke wa mtu nilikuwa naumia sana sio siri jamani ila sema nilijikaza mbele ya mama asigundue "Unamaanisha kwamba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79
@majario LIVE

Basi ikawa hivyo, na ikakat mwez amani ndani hakuna kabisaa, zena ni kanuna , yani hacheki na mm kabisaa, hatuna story ata, na mala nyingi nikiludi nyumbana namkuta kashalala et...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 77 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 77
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Nikasema.mm ndo nanukia ayo malashi mke wangu, akanmbia ndio.kwani apa si nipo mimi na ww. Nasikia marashi ya kialabu, mh nikajinusa sasa na mm. Eeh ni.kweli aya ni...

NAKUPENDA BILA  SEASON TWO 51 - 65 Post Mpya
NAKUPENDA BILA SEASON TWO 51 - 65
@majario LIVE

NAKUPENDA BILA MIPAKA:51 Nilitoka nikiwa nishapendeza hata mama alishtuka na kusema “kulikoni tena? Nilishusha pumzi na kusema “Acha tu mama ndiyo nishaitwa.” Mama alinitazama na kusema “huna namna nenda. Sasa vipi pesa ya...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "12_13"💓😽 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "12_13"💓😽
@majario LIVE

“Leo hakuandaa boss , but i promise u kesho unazipata, alijibu jamaa “Okay , dont worry just do it …..alisema yule boss wake kitandani “We dada wewe ni...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Sikuamin macho yangu, hiv n huyu kweli naemuona hapa mbele yangu? Yy alionesha kama ananifananisha mana alikua ananiangalia kwa makini sana, alionitendea yalinirudia akilini niliumia niliona kama nimeona mnyama...

USISEME MTO MFUPI KABLA YA KUINGIA  Nimeshuhudia mchezo wa kiwango kibwa kunako Ligi Kuu , hii imekua mechi bora kuzidi Derby iliyopigwa pale Zanzibar. Post Mpya
USISEME MTO MFUPI KABLA YA KUINGIA Nimeshuhudia mchezo wa kiwango kibwa kunako Ligi Kuu , hii imekua mechi bora kuzidi Derby iliyopigwa pale Zanzibar.
@majario LIVE

Pamba Jiji football club walikua kwenye ubora mkubwa zaidi kwa dakika zote, kuna muda Simba SC Tanzania walikua hawana tofauti na Jkt Tanzania football club. Mechi imechezeka kwa dakika tisini...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest