Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 77
Gonga94 ยท Stories

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 77

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Mwandiishi; LISSA

Nikasema.mm ndo nanukia ayo malashi mke wangu, akanmbia ndio.kwani apa si nipo mimi na ww. Nasikia marashi ya kialabu, mh nikajinusa sasa na mm. Eeh ni.kweli aya ni marashi ya jalia sasa sielewi imekuaje mpaka na mm nanukia aya marashi kudadeki na zena pua zake zinanusa mnoo, nikasema mke wangu aya marashi kuna mshikaji.wangu kanihug tulipokuwa kazini, itakuwa ndo yamebaki kwenye nguo yangu , mke wangua akanambia mbona ni marashi ya kike baba shadya lakini, nikasema.kweli tena mke wangu niamini mi sijuh chochote ila ni marashi ya mshikaji wangu, zena zekanmbia sawa, kisha tukaingia ndani, mi nikafikia mezani kwanza ,nikamwambia nna njaa nitengee chakura

Zena wala hakuwa na shida akanitengea chakura ila alikuwa kama anajiuliza hivi, naona majibu yanguu juu ya aya malashi nnayonukia hayakumlizisha kabisaa, basi mi nikakaza tu kujifanya nimepotezea ile mada, basi zena akaandaa chakura pale na tukala kwa pamoja ,nikawa namuongelesha sana zena ila zena wala hakuchangamka naona tayar alishahisi kitu, mi nikakausha, nilivyotoka pale ,nikapiliza kuogaaa, nilivyotoka kuoga, namkuta zena ananisubili kwa hamu kitandani, nikajua kesi ya malashi inataka kuanza upyaaa, nikasema nn mke wangu mbona umenuna hivyo na umekasilika shida ni nn si nishakwambia marashi ni mshikaji alinihug mama , zena akniuliza boksa uliyoondoka nayo asubuh umeacha wapi, dooh nilistuka nachek sasa boksa nilovaaa, ndo nakumbuka kuwa kula kwa jalia kanibadilishia, yani baada ya game akanipa boksa nyengine na sio niliyoenda nayo mamae ,kwisha mm

Nikasema ahaaa mke wangu boksa ipi, mbona mm tangu asubuh nimevaa hii hii mke wangu,zena kaanmbia millan mi ni chizi unaona mm ni chizi, mm sindo nimekuandaa asubuh ww, kwaiyo sijuh boksa uliyovaaa nakuuliza ww unahisi sijuh boksa uliyovaaa, nambia ihiii boksa umebadilisha kwa maraya zako, millan umeludia tabia zako, si ndio, apo teali kashaanza na kulia zena, doooh leo niljkamatika wanangu asa najitetea nn kwa mfano, nikasema.sikia mke wangu, mi nimetoka na hii biksa labda kama umesahau tu, mke wangu akanmbia sio kweli sio kweli baba shadya basi kwa hasira akawa anatoka ndani nikamshika mkono, nikasema.unaenda wapi akanmbia niche sitaki kulala na ww, nikasema hapana mke wangu basi tulia nakwmbia akanmbia nambie, daaaah namueleza nn sasa, mi nikashindwa ata cha kumdanganya mke wangu,nikabaki kimya kabisaaaa , ila macho yangu yakijieleza kabisaa kuwa nina hatia, mke wangu akaludi kitandani, akamvuta mwanae kisha akavuta shuka akalala, mi nikabaki nimekaa kwa pembeni ata sielwi, nilimind yani jalia kwa nn anibadilishie boksa na anajua kabisa mm nakuja kwa zenaz sikupemda kabisaaaa

Basi na mm nikapanda kitandni ila nilipotaka kumshika zena ni aligoma kata kata alikuwa na hasira sana alinambia ukiendelea kunishika nakuachia chumba iki, mh nikakausha wala sikumshika, tukalala.hivyo mpaka asubuh, asubuh sasa , zena aliamka na hasira mno,yani nipo chumbani ila namsikia uko chumbani kwa watoto anavyomfokea ummy sio masiharaa, si unajia shida za watoto wadogo wakati wa kujiandaa kwenda shule asubuh, aha uyo arshaina sijuh ata alifanya nn, nilisikia kapigwa konde hilo, yani kama.la kilo 2, ahaaaaa akina mama wakigombana na akina baba , alafu mtoto umchanganye utaelewa, daaah mpaka nikatoka, nikaenda chumba cha watoot nakuta ni anawandaa kwa hasira kweli kweli, apo arshaina analia alivyniona kaja kunikumbatia uku analia ,nikamnyanyua ,akanmbia mama chapa mm, nikamwambia nyamaza mwanangu , apo ummy ni ametulai na yeye machozi yanamlenga, nikamwambia zena waache nitawaandaa mimi

Zena akanmbia ebu toka apa , kwenda kabisaa, uwaaandae ww kwani mm nimekufa ondoka apa, nikaona nado ana hasira juu ya jana , na amejua kabisa jan nimetoka kucheat ,na nimeshindwa ata kujitetea, mi nikamsogelea kisha nikampokonya viatu alivyokuwa anamsaidia kuvaa ummy, nikamvakisha mm vile viatu ummy, kisha sasa ,yeye akawa amekaa tu kitandani, kisha sasa nikaanza kuwwaandaa wanangu ,nikamvuta na arshaina nikampaka mafuta, nimamvalisha basi nilipomaliza nikawachukua nikawatoa njeee tukawa tunngoja school bus sasa

Ummy akanmbia baba mama ana hasira leo kwani amekasilika nn mana amrkuwa kama simba , ummy bwana nikajikuta mpaka nimecheka kisha nikasema ahaa mama anaumwa kidogo ndo mana anakuwa na hasira so usimuwaze ummy sawa, ukiludi shule utamkuta mama.yupo sawa na mtaongea sana tu , ummy akasema.sawa baba nakupenda sana, nikasema.sawa, mwanagu nakupenda zaidi , basi ummy akataka pesa et akienda shule anunue sijuh nn na wakati shule wanakula kila kitu, ika sikuwa na shida nikatoa elfu 2 nikampa , arshaina nikamshika elfu 1, wakwa wana furahaaa tu watoto,kisha sasa school bus ikafika.nikawapakiza nikawaaga ao wakaenda shile, api sasa nikampigia simu ibraa nikamuelezea yaliyojili.kisha nikamwambia leo.kazini sitokei nabembeleza ndoa kwanza , ibra kanmbia sawa kaka. Na ni vile sikuwa na issue sana kubwa kazni nikaona nimute tu, basi nikaludi ndani

Nikamkuta zena bado yupo chumba cha watoto.ni anawaza sanaa, sikuwa naelewa ata anwaza nn, nikasma zena nisamehe basi mama, zena kanmbia nikusamehe usaliti wa kila siku, skkufichi millan naelekea kushindwa hii ndoa, kisha akanyanyuka akaondokaz daah ashindwe ndoa haina ata miaka 2, kunifumania kidogo tu anataka kushindwa ndoa sio kweli bwana, nikamfata uko uko chumbani, nikakauta kaenda kulala n mwanae, mana bado shadya alikuwa kalal, nikamfata mpaka.kutandani, niksema.zena neno.lankushindwa ndoa kati yetu halipo,mm.na wewe ni mpaka kuzikana, naomba ayo maeno usiyaongee tena ,kama changamoto ni za kuvumiliana tu, na mengine mi ntajilekebisha, zena wala hakunijibu kabisaaa, daaah mi nikatoka.njeee niakmpigia jalia, nikamuuliza kwa nn alinibadilishai boksa, akanmbia baby samahani mi.nilijisahau alafi niliona ile uliyokuja nayo ni chafu ndo.mana ulivyooga nikaona nikauwekee safi, nikasema.jalia naomba aya yasijiludie tena sio sawa, aknmbia mh samahani kwani zena kaahisi kitu, nikasema achana nayo ayo ,ila.kua makini aya yasijitokieze tena,jalia akanmbia sawa wala hakuna shidaaa mpenzi , nikasema powa , sikutka sana kugombana na jalia, mana ata yeye ni binadamu na ana moyo so kukosea hili tu sikuona shida na nikajua mm na zena ni tutayamaliza tu

Aseeee kuanzia hii siku mi ndani kwangu kukaingia mdudu, zena ni alinikasilikia kweli kweli, yani naweza sema alininunia , yani alinifungia vioo kweli kweli, yani hakuwa anaongea na mm kabisaaa, yeye ni busy na wanae, nikimuongelesha hanijibu kabisa yani ni kama hanisikii,tukilala hataki nimguse kokote, ni hataki ata kunisikia, nikimpigia simu mchana hanipokelei kabisa simu mm , yani alinikasilikia kweli kweli, siku iyi mm nilimwambia ibraaa na naikamueleze kuwa mke wangu mi kaninunia ,ibra akanmbia kaka wanawake kununua ndo zao, we mpelekeee zawadi, na endelea kumuongelesha mwenyewe atakuwa saw, nikasema sawa, ila kiukweli sikuwa na amani, yani hii zena.kunifungia vioo ilikuwa inanifanya nakosa amani.sanaaa, sikuwa naenda kwa jalia kabisaa, nilikuwa naludi.kwa zena kila.siku iki.kumfanye akae sawa kwanza ila wapi ni kanikazia tu na hana mda na mm , ikawa sasa kila kitu najiandalia mwenyewe , maana zena alinizila ata kuniandaaa, yani akiamaka.ni yupo busy na watoto wake sio mbwa mm๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ“Œ

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 77


Mwandiishi; LISSA

Nikasema.mm ndo nanukia ayo malashi mke wangu, akanmbia ndio.kwani apa si nipo mimi na ww. Nasikia marashi ya kialabu, mh nikajinusa sasa na mm. Eeh ni.kweli aya ni marashi ya jalia sasa sielewi imekuaje mpaka na mm nanukia aya marashi kudadeki na zena pua zake zinanusa mnoo, nikasema mke wangu aya marashi kuna mshikaji.wangu kanihug tulipokuwa kazini, itakuwa ndo yamebaki kwenye nguo yangu , mke wangua akanambia mbona ni marashi ya kike baba shadya lakini, nikasema.kweli tena mke wangu niamini mi sijuh chochote ila ni marashi ya mshikaji wangu, zena zekanmbia sawa, kisha tukaingia ndani, mi...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-millan-sehemu-ya-77

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-millan-sehemu-ya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 36 na 37
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 36 na 37
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 40
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 40
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 28 na 29
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 28 na 29
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 62 na 63
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 62 na 63
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 54 na 55
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 54 na 55
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 60 & 61
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 60 & 61
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 39
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 39
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 31 na 32
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 31 na 32
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *Sehemu ya 51 na 52*
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *Sehemu ya 51 na 52*
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 33
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 33
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 38
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 38
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 53
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 53
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 74 na 75
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 74 na 75
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 59
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 59
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 19.na 20
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 19.na 20
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 73
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 73
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 21 na 22
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 21 na 22
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 76
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 76
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 23
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 23
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 76

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 76

1.24K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 77

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 77

424
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11

241
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12

196
NAKUPENDA BILA 46 - 50 MWISHO S1

NAKUPENDA BILA 46 - 50 MWISHO S1

182
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“   SEHEMU YA "12_13"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ

BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“ SEHEMU YA "12_13"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ

160
NAKUPENDA BILA  SEASON TWO 51 - 65

NAKUPENDA BILA SEASON TWO 51 - 65

159
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13

135
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“   SEHEMU YA "11"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ

BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“ SEHEMU YA "11"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ

129
Chuck Norris amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86

Chuck Norris amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86

11

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.87K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.58K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.87K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.41K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.98K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.98K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.81K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.76K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.69K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.64K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 77 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 77
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Nikasema.mm ndo nanukia ayo malashi mke wangu, akanmbia ndio.kwani apa si nipo mimi na ww. Nasikia marashi ya kialabu, mh nikajinusa sasa na mm. Eeh ni.kweli aya ni...

NAKUPENDA BILA  SEASON TWO 51 - 65 Post Mpya
NAKUPENDA BILA SEASON TWO 51 - 65
@majario LIVE

NAKUPENDA BILA MIPAKA:51 Nilitoka nikiwa nishapendeza hata mama alishtuka na kusema โ€œkulikoni tena? Nilishusha pumzi na kusema โ€œAcha tu mama ndiyo nishaitwa.โ€ Mama alinitazama na kusema โ€œhuna namna nenda. Sasa vipi pesa ya...

BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“   SEHEMU YA "12_13"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ Post Mpya
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“ SEHEMU YA "12_13"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ
@majario LIVE

โ€œLeo hakuandaa boss , but i promise u kesho unazipata, alijibu jamaa โ€œOkay , dont worry just do it โ€ฆ..alisema yule boss wake kitandani โ€œWe dada wewe ni...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Sikuamin macho yangu, hiv n huyu kweli naemuona hapa mbele yangu? Yy alionesha kama ananifananisha mana alikua ananiangalia kwa makini sana, alionitendea yalinirudia akilini niliumia niliona kama nimeona mnyama...

USISEME MTO MFUPI KABLA YA KUINGIA  Nimeshuhudia mchezo wa kiwango kibwa kunako Ligi Kuu , hii imekua mechi bora kuzidi Derby iliyopigwa pale Zanzibar. Post Mpya
USISEME MTO MFUPI KABLA YA KUINGIA Nimeshuhudia mchezo wa kiwango kibwa kunako Ligi Kuu , hii imekua mechi bora kuzidi Derby iliyopigwa pale Zanzibar.
@majario LIVE

Pamba Jiji football club walikua kwenye ubora mkubwa zaidi kwa dakika zote, kuna muda Simba SC Tanzania walikua hawana tofauti na Jkt Tanzania football club. Mechi imechezeka kwa dakika tisini...

๐Ÿšจ๐Ÿ˜ฑ imebainika kwamba shati ya kocha mkuu wa Manchester City, aliyoivaa Kwenye mchezo dhidi ya Real Madrid, ina thamani ya Euro 290. Post Mpya
๐Ÿšจ๐Ÿ˜ฑ imebainika kwamba shati ya kocha mkuu wa Manchester City, aliyoivaa Kwenye mchezo dhidi ya Real Madrid, ina thamani ya Euro 290.
@majario LIVE

kwa makadirio ya kubadilisha fedha, Euro 290 ni takriban shilingi za tanzania (TZS) 750,000 hadi 780,000 (kulingana na kiwango cha ubadilishaji cha sasa cha karibu TZS 2,600โ€“2,700 kwa dola 1). hii...

BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“   SEHEMU YA "11"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ Post Mpya
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“ SEHEMU YA "11"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" "(Alikuja kama muuza chai)" โ€œTwende huko na wewe mi siyo mchawi nilikuwa najilinda tu Faster boda akaongeza speed ili asilipoteze lile gari Yule jamaa akaendesha mpaka huko mjini zaidi...

 Increase Earnings from Pakistan โ†’ Get +10% Bonus!  Hello Partner! This week the spotlight is on Pakistan ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡ฐ Post Mpya
Increase Earnings from Pakistan โ†’ Get +10% Bonus! Hello Partner! This week the spotlight is on Pakistan ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡ฐ
@majario LIVE

. If you increase your earnings from this GEO by 25% or more compared to last week, weโ€™ll reward you with a +10% bonus on top. How Your Earnings Can Grow...

Fainali ya SIMBA ๐Ÿ†š RS BERKANE ilipopagwa tu Zanzibar nilijuwa ni mipango ya huyu jama FAOUZI LEKJAA Post Mpya
Fainali ya SIMBA ๐Ÿ†š RS BERKANE ilipopagwa tu Zanzibar nilijuwa ni mipango ya huyu jama FAOUZI LEKJAA
@majario LIVE

ona sasa anaanza kuumbuka kwa kuendesha mpira wa Afrika kwa Upendeleo FAOUZI LEKJAA yeye ni โœ…๏ธMakamu wa Rais CAF โœ…๏ธMwenyekiti wa Fedha CAF โœ…๏ธWaziri wa Fedha Morocco ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ โœ…๏ธMjumbe wa kamati ya...

NAKUPENDA BILA 46 - 50 MWISHO S1 Post Mpya
NAKUPENDA BILA 46 - 50 MWISHO S1
@majario LIVE

NAKUPENDA BILA MIPAKA:46 Nilimwambia โ€œnina kichukulio?, Dorice natamani unielewe huyo mwanaume alivyo kwanza Hapana sitaki, na unajua mimi kwasasa akili ni mwanangu tu na hata hivyo hawezi kunitaka mimi. Kwa kipi...

Chuck Norris amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86 Post Mpya
Chuck Norris amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86
@majario LIVE

Mwigizaji na gwiji wa sanaa za mapigano Chuck Norris amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86, huku taarita zikieleza kuwa alikuwa akiugua kabla ya kifo chake. Kwa mujibu wa familia...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Kichwa kilinigonga ina mana hayaki mtoto au imekuaje?mbona sasa hapatkan na amenikatia simu uwiiii mm nafanyaje jmn?mimba hii nafanyaje mamangu na baba wakijua je?nawambia nn kuwa babake amekimbia au...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 76 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 76
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Basi mm nikaingia ndani ya gari yangu, nikiona tabasamu la mke wangu,na akanifungulia geti, uku akiwa ana tabasamu pana tu mke wangu, basi mi apo niktoa gari na ndo nikaanza...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11
@majario LIVE

๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“ Mwandishi:lissa mwalla Sikumsukuma wala,na sikujiskia ile vibaya wala,nikasema tu jmn Keanu si uniachie watu watatuona,akaniangalia akasema okay kweli watu watatuona,akasema nakutakia usikumwema,nikacheka aniaksema sawa asante nawe pia.akasemaingia ndani mm ndio nitaondoka,nikasema...

Novatus Dismas Miroshi kutua Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL) Post Mpya
Novatus Dismas Miroshi kutua Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL)
@majario LIVE

Nyota wa kimataifa wa Tanzania Novatus Dismas Miroshi anayekipigia katika klabu ya Gรถztepe S.K anahusishwa na kujiunga na klabu ya Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL) huku kocha wa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest