Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11
Gonga94 Β· Stories

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“

Mwandishi:lissa mwalla
Sikumsukuma wala,na sikujiskia ile vibaya wala,nikasema tu jmn Keanu si uniachie watu watatuona,akaniangalia akasema okay kweli watu watatuona,akasema nakutakia usikumwema,nikacheka aniaksema sawa asante nawe pia.akasemaingia ndani mm ndio nitaondoka,nikasema sawa,nilingia ndani yeye akiwa amesimama palepale,nilivoingia nikachungulia haraka dirishani,mana ukiwa dirishan unaweza kuona mtu wa mlangoni.nilimuona anageuka aondoke huku anatabasam.mmh huyu anatabasam nn sasa?mara msg ikaingia kwenye simu yangu,imetoka kwake amesema β€œleo imekua siku nzuri sana ,nimeenjoy sana kampan yako na pia nimeondoka nikiwa salama nashkuru sana”nikacheka nikajibu β€œsiku nzur kweli hata mm nimeenjoy sna,ila kwa nn umesema umeondoka ukiwa salama?” akatuma viimoj vya kucheka kisha akajibu β€œnilivokukumbatia nikajua kabisa leo nitaishia mochwari mana ungenisukuma ningeangukia ngazi huko baaassss kwisha habari yangu?nilicheka sanaaaa nikajibu β€œhakuna bana ilikua amani tu,siku hizi mm sio wa kiivo" akasema "mmh kweli eeeh?umekuaje siku hizi?"nikacheka nikajibu "watu wanabarikiwa kwa sasa nipo kwenye point naskia aman na maisha yangu sana na natamani sana kuishi" akajibu "naweza kupigia?" Nikasema nipigie haina shida,alipiga simu nikapokea muda huo nilikua peke angu tu,keanu akasema tayla nimefurahi sana kuskia hivo kuhusu ww,naamin sasa nitakua rafiki ako wa karibu kama utaruhusu.nikasema naweza ruhusu.akasema asante sana,unaweza nipa ratiba yao ya kesho'?nikasema kesho nitaenda kanisani kisha mida ya mchana nitakua huru,akasema kanisa gani unasali?nikasema roma,akasema mm niko anglican nutafutahi sikumuishiriki nasi kwenye ibada,nikasema siku utafika tu,akasema naomba jioni unisindikize mahali nikatizame mpira kama hutojali,nikasema sawa haina shida.akasema asante snaa.basi tulipiga piga stor tulaagana mm nikapanda kitandani nikalala zangu.kulikucha bella kama kawaida yake yy alifika mbeya akapata na mwanaume wa mbeya hivo alienda kulala kwake mida ya kwenda kanisani akarudi tulajiandaa pamoja tukaenda kusali wala sikumuambia kitu.baada ya kusali tulirudi tukapika mana dokta alietuachia nyumba alikua amehamishwa japo hakuahamisha vitu alipelekwa mkoa mwingine hivo tulikua wenyewe kwa wakati huo.baada ya kula nikaangalia kuda ilikua saa tisa na nilishakubaliana na keanu kuwa saa 10 anifate hivo niliingia bafunintena nikaoga,nikavaa suruali yangu ya jeans na top yangu flan nzur snaa fupifupi,nikajipulizia marashi ili ninukie bella akasema ww mbn kama unajuandaa kuna mahali unaenda? Nikasema ndio kuna mahali naenda ,akasema wapi?nikasema keanu ameomba tukaangalie mpira wote.bella akasema keanu n nani?nikamwambia ndio stewart hilo keanu ndio jina lake halisi,akasema mmh hadi meanza kupelelekana mpirani mambo so mabaya.mm nikacheka tu,akasema kweli kabisa m naona Maendeleo sasa kama ndo hivo?ujitahidi sana dia na wa upate bwana khaaaa,tena keanu anafaa sana kwa matumizi ya binadam.nikacheka nikasema niache basi ushaanza mambo yako,bella alinitania mpaka simu yangu ikaita alikua keanu akisema anakaribia kufika,mm kwa mdomo wa bella nikamwambia ukifika nistue nitatoka,bella akaicheka sana.nilivaa viraba vyangu simple na kinainai changu begani nikatoka nje nikapanda gari hao tukaanza kuelekea zetu sasa mpirani.tulienda kwenye bar moja maarufu mbeya huko tukakutana na rafiki zake kibao tukaka nao pamoja.niliambiwa niagize kinywaji nikaagiza windhoek ikaletwa nusu katoni mezani nishindwe mie,yy aliagiza heinken tukaendelea kunywa mdogo mdogo.keanu alinijali sana,kila muda japo mpira unaendelea alihakikisha ananitizamanna kuniuliza kama niko powa,mie namjibu nikopoa,mara aseme agiza chakula dia,mm nilikua bado nimeshiba nikasema badae nitaagiza usijali.basi waliangalia mpira huku na mm nipo
Sikuboeka mana kila muda ananijali tu.baada ya mpira kuisha tuliendelea kunywa na rafiki zake hadi mida yaa saa nne usiku nikaomba kuondoka mana nilishachoka sasa na bia ilikua imenikolea.keanu akakubali na kunipeleka nyumbn.tulifika akaniaga kwa kunikumbatia kisha akaondoka baada ya mm kuingia ndani.nilimbebea bela bia nilizobakisha hivo nilivoingia tu akazidaka na kuanza kunywa huku akisema nisimulie kila kitu usiache kitu.nikasema hakuna hata kipya,nikamsimulia vya mpira na kunywa basi,akasema anakuvutia kasi huyo we suburi tu.keanu alipiga simu kunijuza amefika salama kisha akanitakia usiku mwema.tulilala kulipokucha tukajiandaa kwenda hospital kazini sasa mafunzoni, kulikua busy sana kuasi sikuweza kabisa shika simu,mida ya saa nne ndio nilipata muda sasa,nikaenda kunawa mara nikaskia mtu ananiulizia nikasema mm hapa nilimtizama alikua kashia kimfuko kizuri na maua rose mengi mekundu yaliofungwa pamoja nilistuka siuwah haya mambo mie.akasema nina zawadi zako hapa.mmh zawadi?toka wapi?aKasema utamjua tu,hizi hapa pokea,nilipokea zile zawadi yy aaaga zae.yale maua yalikua na kikad,nilifungua kimeandikwa " maua mazuri kwa msichana mzuri,tayla wewe n mzuri kwangu mfanowa ua rose.i lov u. Its keanu"uwiii nilijiskia furaha et nikayanusa 😜mmmh yananukiaaaa nikafungua kifuko kilikua na kikontena cha vyumba vyumba kina vipande vya keki,sambusa,sosej na kipande cha kuku kikubwa cha kukaanga na juice ya box na kiglas cha take away.nilifurahiaaaa nikashika simu nakutana na missed call zake na msg za salam na kaz njema.nikapigia kushukuru.hio ilikua tabia ya keanu kuleta maua kila siku japo moja hata na msos asubuh na mchana jion tunakua wote.nilikua naskia raha sanaaa na hakua na haraka.baada ya wiki tatu akaniambia kuwa ananipenda sana anaomba niwe wake,sikukataa wala nilikubali japo moyoni hauwepo ila malezi na huduma zake zilinifanya nikubali.tulianza upenzi mm na yy kwa kasi sana.tulidumu mpaka nikamaliza intern madokta na manes walituaga kwa sherehe na keanu alikua anamaliza pia ili arudi dar sasa jeshin mana alikua kikos cha dar.kabla hatujaondoka alinitambulisha kwa dokta peru kuwa mm ni mpenzi wake na Mungu akipenda ndie nitakua mama wa watoto wake.dokta peru alifurahi sana.tuliondoka wote na gari yake hadi morogoro tukiwa mm na yy na bella tukalala moro mjini kesho yake bella akaenda kwao dodoma mm na keanu tukaenda kwetu lkn hakufika alinishusha jirani tu na nyumbn.yy akaenda dar.tuliendelea na mawasiliano maZuri huku akinipa ahadi mbalimbali za kunioa mm mwezi ukapita sikuona siku zangu.nilienda kupima nikakuta imo.nikaona acha nimwambie.nilimpigia akapokea akanisalimia vizur kisha akasema mambo vipi lkn?nikasema sio shwali ,akasema nn bby unaumwa?au huna pesa mama nikutumie?alizoea kunipa sana pesa.nikasema hapana mm nimetoka kupima hapa nina mimba,akasema unasemaje?nikasema nimetoka kupima hapa nina mimba akasema unasema kweli au unanitania?nikasema ni kweli kipimo ninacho hapa.mara akakata simu 😳nikapiga haipatkani πŸ₯Ί.........

πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11

πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“

Mwandishi:lissa mwalla
Sikumsukuma wala,na sikujiskia ile vibaya wala,nikasema tu jmn Keanu si uniachie watu watatuona,akaniangalia akasema okay kweli watu watatuona,akasema nakutakia usikumwema,nikacheka aniaksema sawa asante nawe pia.akasemaingia ndani mm ndio nitaondoka,nikasema sawa,nilingia ndani yeye akiwa amesimama palepale,nilivoingia nikachungulia haraka dirishani,mana ukiwa dirishan unaweza kuona mtu wa mlangoni.nilimuona anageuka aondoke huku anatabasam.mmh huyu anatabasam nn sasa?mara msg ikaingia kwenye simu yangu,imetoka kwake amesema β€œleo imekua siku nzuri sana ,nimeenjoy sana kampan yako na pia nimeondoka nikiwa salama nashkuru sana”nikacheka nikajibu β€œsiku nzur kweli hata mm nimeenjoy sna,ila kwa nn umesema umeondoka ukiwa salama?” akatuma viimoj vya kucheka kisha akajibu β€œnilivokukumbatia nikajua kabisa...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/jogoo-wa-kienyeji-sehemu-ya-11

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi jogoo-wa-kienyeji-sehemu-ya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 73

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 73

1.17K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75

1.05K
SHAMIRA 114 mwisho ni 115

SHAMIRA 114 mwisho ni 115

639
SHAMIRA 112 na 113

SHAMIRA 112 na 113

606
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76

245
LETICIA 7-----------14

LETICIA 7-----------14

231
BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“   SEHEMU YA "9_10"πŸ’“πŸ˜½

BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“ SEHEMU YA "9_10"πŸ’“πŸ˜½

190
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11

123
SWALI: Je, vipi Idi ikiaangukia kuwa ni siku moja na Ijumaa ? Inapasa Waislamu wasali sala zote mbili jamaa?

SWALI: Je, vipi Idi ikiaangukia kuwa ni siku moja na Ijumaa ? Inapasa Waislamu wasali sala zote mbili jamaa?

61
*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5*

*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5*

59

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.85K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.57K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.86K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.36K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.97K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.96K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.8K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.75K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.68K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.63K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi mm nikaingia ndani ya gari yangu, nikiona tabasamu la mke wangu,na akanifungulia geti, uku akiwa ana tabasamu pana tu mke wangu, basi mi apo niktoa gari na ndo nikaanza...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11
@majario LIVE

πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“ Mwandishi:lissa mwalla Sikumsukuma wala,na sikujiskia ile vibaya wala,nikasema tu jmn Keanu si uniachie watu watatuona,akaniangalia akasema okay kweli watu watatuona,akasema nakutakia usikumwema,nikacheka aniaksema sawa asante nawe pia.akasemaingia ndani mm ndio nitaondoka,nikasema...

Novatus Dismas Miroshi kutua Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL) Post Mpya
Novatus Dismas Miroshi kutua Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL)
@majario LIVE

Nyota wa kimataifa wa Tanzania Novatus Dismas Miroshi anayekipigia katika klabu ya GΓΆztepe S.K anahusishwa na kujiunga na klabu ya Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL) huku kocha wa...

*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5* Post Mpya
*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5*
@majario LIVE

*_________________________________________* *SEHEMU YA : 01* ANZA NAYO.... Ni katika jiji la Dar es salaam katika familia moja ya kitajiri sana, tunamuona binti mrembo, mrembo sana ambaye alikuwa na macho kama gololi na umbo...

◾️FULL TIME AT ANFIELD STADIUM  Liverpool 4-0 Galatasaray  ( 4-1 Agg ) Szoboszlai ⚽️ Ekitike ⚽️ Gravenberch ⚽️ Mo Salah ⚽️ Post Mpya
◾️FULL TIME AT ANFIELD STADIUM Liverpool 4-0 Galatasaray ( 4-1 Agg ) Szoboszlai ⚽️ Ekitike ⚽️ Gravenberch ⚽️ Mo Salah ⚽️
@majario LIVE

Liverpool inatinga hatua ya robo fainali kwa ushindi wa kishindo kabisa nyumbani, ushindi ambao wali stahili kuanzia dakika ya kwanza ya mchezo mpaka mwamuzi anapuliza kipyenga cha mwisho , Liverpool...

SWALI: Je, vipi Idi ikiaangukia kuwa ni siku moja na Ijumaa ? Inapasa Waislamu wasali sala zote mbili jamaa? Post Mpya
SWALI: Je, vipi Idi ikiaangukia kuwa ni siku moja na Ijumaa ? Inapasa Waislamu wasali sala zote mbili jamaa?
@majario LIVE

JIBU: Hili ni swala lenye khitilafu baina ya β€˜Ulamaa. Wako walioona kwamba Muislamu aswali Swalaah zote mbili; β€˜Iyd na Ijumaa kwa Jamaa’ah, na wako walioona kuwa akiswali Swalaah moja baina...

Shirikisho la Soka la Senegal (FSF) linasema kombe na medali za AFCON 2025 'hazitaondoka nchini' na linapanga kupinga uamuzi wa CAF, Post Mpya
Shirikisho la Soka la Senegal (FSF) linasema kombe na medali za AFCON 2025 'hazitaondoka nchini' na linapanga kupinga uamuzi wa CAF,
@majario LIVE

- Viongozi wamesisitiza kuwa pambano hilo halijaisha, huku baadhi ya wachezaji wakituma ujumbe mzito mtandaoni na kauli za 'njoeni mpige picha na kombe', Senegal inaita uamuzi huo kuwa si wa haki...

STATEMENT ON THE DECISION BY THE CONFEDERATION OF AFRICAN FOOTBALL (CAF) TO WITHDRAW THE AFCON 2025 CHAMPIONSHIP FROM SENEGAL AND AWARD TO MOROCCO. Post Mpya
STATEMENT ON THE DECISION BY THE CONFEDERATION OF AFRICAN FOOTBALL (CAF) TO WITHDRAW THE AFCON 2025 CHAMPIONSHIP FROM SENEGAL AND AWARD TO MOROCCO.
@majario LIVE

March 18, 2026 In football, the Laws of the Game are clear: the referee on the pitch is the final authority on decisions made during the match. Once play is allowed...

MATUKIO YA TIMU KUSUSIA MCHEZO NA KUTOKA UWANJANI Post Mpya
MATUKIO YA TIMU KUSUSIA MCHEZO NA KUTOKA UWANJANI
@majario LIVE

Mwaka 2007 , Wachezaji wa Lille walitoka uwanjani baada ya Gigs kufunga goli kwa mpira faulo [ Alipiga haraka ] muda ambao Lille walikuwa ndio wanaweka ukuta 2013, Kelvin Prince...

SHAMIRA 114 mwisho ni 115 Post Mpya
SHAMIRA 114 mwisho ni 115
@majario LIVE

( MWISHOOO ) πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ SHAMIRA Sehemu ya 114 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media AseΓ¨e nilikuwa sinanngibu kabisa nikasiki malngo unavunjwa apk mimi jilikuwa napata maumivu makari mno ya tumbo yani sama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75
@majario LIVE

Daaah apo na mm nilishachanganikiwa ,nikabaki nimemshika mkono zena sasa, nimemshika tu mke wangu kumtuliza, ila.wapi zena ana hasira ana lia tu, ananambia anataka twende viwege, akahakikishe uko kuna nani,...

LETICIA 7-----------14 Post Mpya
LETICIA 7-----------14
@majario LIVE

πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’ LETICIA Sehemu ya 7 na 8 Mwandishi; LISSA Basi hata hatukukaa sana wazazi wakarudi saa 3 ,na wakawa wanalalamika wamechoka walipitiliza kuoga na kulala ata chakula hawakula ,mama alisema wamekula uko walikotoka.​ Mimi...

wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya. Post Mpya
wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya.
@majario LIVE

Orodha ya wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya. K sal ft ferooz Mwana mkiwa Hii ngoma ilivuma sana miaka ya 2000, baadaye K sal akatoa ngoma ingine aliofanya na Mandojo...

BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“   SEHEMU YA "9_10"πŸ’“πŸ˜½ Post Mpya
BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“ SEHEMU YA "9_10"πŸ’“πŸ˜½
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Chap yule jamaa akashuka kwenye gari na mzigo wake wa mboga , akashika sijui ni kisimu akakibonyeza chwaaaaaa chapuuuuuuu geti waaaaa likafunguka akaingia ndani bahati nzuri ...

SHAMIRA 112 na 113 Post Mpya
SHAMIRA 112 na 113
@majario LIVE

SHAMIRA Sehemu ya 112 Mwandishi; HURU MEDIA HAIPINGWI NI CHAGUO LA WASOMAJI ) Basi mnazni jilillala sikuweza kulala ata kidogo. Nikashika vhini ya ile lodge kulikuwa na bar .aseee ndo jimaahiza pombe...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest