Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13
Gonga94 Β· Stories

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Mwandishi:lissa mwalla
Sikuamin macho yangu, hiv n huyu kweli naemuona hapa mbele yangu? Yy alionesha kama ananifananisha mana alikua ananiangalia kwa makini sana, alionitendea yalinirudia akilini niliumia niliona kama nimeona mnyama mbele yangu na Si binadam tena, nilianza kundoka mana niliona kabisa hasira nilizokua nazo naweza fanya tukio la ajabu sana dunia ikanishanga, nilivokua naondoka reyhan alianza kunifata huku anasrma nakufananisha au n wewe? Etii simama basi wewe sio tayla was morogoro? Nilizidi umia sikugeuka akinikimbilia akanikuta akanishika mkono niligeuka na kibao cha nguvu kilimshukia kwenye uso wake, halafu nikasema usinishike shetani wewe, rey alijishika akasema sasa nimefanya nn unanipiga? Nikamsonya tu, nikaendelea kuondoka alinifata yn alikua kama ametumwa, akasema tayla mm nimekukosea nn? Nikasema umesahau? Umesahau nakuuliza? Unajifanya ulinisahau mm siwezi kukisahau wewe shetani mnyama ww, ulinitendea Yale ukaharibu utu wangu nikiwa bado mtoto mdogo miaka 13 na nakwambia hivi uliyonitenda mm yatakurudia tena na Ww utalia na kuhuzunika pale yatakapokukuta, sitaki kuongea na Ww wala sitaki kuona uo uso wako tena maishani mwanangu, nakuchukia kiasi kwamba niko tyr kwenda jehanam kwa kosa la kukuchukia ww .rey akasema tayla niko chini ya miguu yako najua nilikosea na nilikuja kwenye moro angalau nikuone lkn nilikuta mmehama, tayla nilikua mdogo pia mjinga sana sikufkiria kilr nilichofanya nakuomba sana unisamehe sana najutia sana sana silali usiku vizur sababu ya kile nilichokufanyia. Nikimtizama nikasema kamwe siwezi kukusamehe kamwe siwezi kuruhusu uongee ujinga wako mbele yangu niachr. Akasema au unataka nipige magoti hadharani? Alipiga magot akasema nakuomba sana nisamehe nilikukosea sana nisamehe, nikasema unaweza nirudishia heshima yangu na utu wangu niliopoteza siku ile? Kama unaweza rudisha siku nyuma ukafuta ulichonifanya sawa niko tyr kukusamehe lkn kama sivyo siwezi kukusamehe. Alinishika akiwa amepiga magot watu wanamshangaa mara akaja mdada mmoja amevaa hijab mweupe kama yy akasema rey nn unafanya hapo? Mme wangu mbn unajidhalilidha hivo? Rey alinyanyuka, nikajua ooh kumbr ameoa? mke wake akasema ni nani huyu msichana? Et ww ni nani? Nikasema muulize huyo shetani unaemuita mme wako mana yy ndio kanifata sio mm. Nilianza kuondoka zangu, mke wake akanishika akasema unaenda wapi? Njoo tuzungumze, nikasema sina cha kuzungumza na ww mm zungumza na huyo mmeo. Nikamsonya nikaendelea kwensa. Sijui nn kikitokea huko mm nikaona safari yangu ishaingia dosar bora nijirudie nyumbn. Nilirudi nikiwa na hasira snaa. Nilimkuta DA frida nikamsimulia akasema Mshenzi kabisa umemkomesha. Nikikaa siku nne kwa Da frida, keanu akarudi akaja nichukua kwa DA frida na kunipeleka kwake.tuliongea swala la yeye kwenda nyumbn akasema hataki kuchelewa anataka anioe haraka iwezekanavo, nilifurahi nankumshkuru sana Mungu.sikuwa na ile kwamna nampenda sana ile mpaka moyo unarukaruka dababu yake wala nilijua nitaendelea kumpenda ninavokua nae, Nililala siku moja kwake kisha nikarudi kwa DA frida nikaaga na kurudi Moro na barua yangu ya kishika uchumba. Nilimkabidhi shoga ake mama nar akaenda mpa mama ,mama akamjuaa baba wakaniita na kuniuliza, nikasema namfahamu ndio na niko tyr kuwa nae, baba akasema anafanya kazi gani na ana elimu gani? Nikasema n mwanajeshi na n daktar, baba akasema sawa tutalichakata tutamuita, nikasema wanataka kuja haraka sana, mama akasema mme wangu waje keshokutwa. Baba akasema hee mbona jirani sana ?mama akasema sasa tuchelewe nn mme wangu? Akihairidha je? Na mm nikasema kweli mama akihairidha itakuaje? Baba akasema haya sawa ila mshirikishen kaka ake, mwambieni kabisa. Mama akasema haina shida. Hapo hapo alipiga simu kaka akapokea akaambiwa, kaka akauliza mwanaume ni was wapi? Akaambiwa akasema kesho nitakuja basi ili iwe hiohio kesho kutwa. Mama akasema asante mwanangu, kaka akasema niambieni mnahitaji sh ngapi kwa ajili ya hio shughuli. Mama alisema sawa ngoja nipige hesabu. Akanituma nikamueite shoga ake,akampigia na mke wa bamkubwa fulan anaetoka na baba kijiji kimoja, akapigia pigia nduguze na marafiki na kukubaliana waje nyumbn muda huo. Baba akasema haya na mm naenda kwa rafiki zangu nikayajenge yangu. Aliondoka zake. Walikuja rafiki za mama walipanga bajet wakamtumia kaka msg kaka akasema atatoa pesa yote sababu yy ndio anataka kuniozesha. Mashamsham yakaanza na amandalizi wakati mm nishampa jibu Keanu. Siku waliopangiwa walikuja wakatoa mahari yote kisha wakaomba ndoa wakakubaliwa hatimae nikawa mchumba rasmi wa keanu. Waliondoka kurudi dar huku mm nikiwa nimrambiwa niende siku ya tatu yake kwa ajili ya kuandikisha ndoa. Siku ilifika nikaenda dar tukaenda kanisani sasa kuandikisha. Tulimkuta mchungaji was kina keanu, keanu akajieleza mchungaji akasema haiwesekani, hamuwezi kufunga ndoa hapa. Nilistuka keanu akasema kwa nn sasa? Mchungaji akasema sababu wewe ni...........

πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13


Mwandishi:lissa mwalla
Sikuamin macho yangu, hiv n huyu kweli naemuona hapa mbele yangu? Yy alionesha kama ananifananisha mana alikua ananiangalia kwa makini sana, alionitendea yalinirudia akilini niliumia niliona kama nimeona mnyama mbele yangu na Si binadam tena, nilianza kundoka mana niliona kabisa hasira nilizokua nazo naweza fanya tukio la ajabu sana dunia ikanishanga, nilivokua naondoka reyhan alianza kunifata huku anasrma nakufananisha au n wewe? Etii simama basi wewe sio tayla was morogoro? Nilizidi umia sikugeuka akinikimbilia akanikuta akanishika mkono niligeuka na kibao cha nguvu kilimshukia kwenye uso wake, halafu nikasema usinishike shetani wewe, rey alijishika akasema sasa nimefanya nn unanipiga?...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/jogoo-wa-kienyeji-sehemu-ya-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi jogoo-wa-kienyeji-sehemu-ya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76

1.17K
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11

227
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12

170
NAKUPENDA BILA 46 - 50 MWISHO S1

NAKUPENDA BILA 46 - 50 MWISHO S1

155
*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5*

*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5*

125
BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“   SEHEMU YA "11"πŸ’“πŸ˜½

BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“ SEHEMU YA "11"πŸ’“πŸ˜½

102
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13

93
BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“   SEHEMU YA "12_13"πŸ’“πŸ˜½

BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“ SEHEMU YA "12_13"πŸ’“πŸ˜½

93
NAKUPENDA BILA  SEASON TWO 51 - 65

NAKUPENDA BILA SEASON TWO 51 - 65

89
SWALI: Je, vipi Idi ikiaangukia kuwa ni siku moja na Ijumaa ? Inapasa Waislamu wasali sala zote mbili jamaa?

SWALI: Je, vipi Idi ikiaangukia kuwa ni siku moja na Ijumaa ? Inapasa Waislamu wasali sala zote mbili jamaa?

72

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.86K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.58K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.86K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.38K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.98K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.98K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.81K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.76K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.68K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.64K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA  SEASON TWO 51 - 65 Post Mpya
NAKUPENDA BILA SEASON TWO 51 - 65
@majario LIVE

NAKUPENDA BILA MIPAKA:51 Nilitoka nikiwa nishapendeza hata mama alishtuka na kusema β€œkulikoni tena? Nilishusha pumzi na kusema β€œAcha tu mama ndiyo nishaitwa.” Mama alinitazama na kusema β€œhuna namna nenda. Sasa vipi pesa ya...

BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“   SEHEMU YA "12_13"πŸ’“πŸ˜½ Post Mpya
BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“ SEHEMU YA "12_13"πŸ’“πŸ˜½
@majario LIVE

β€œLeo hakuandaa boss , but i promise u kesho unazipata, alijibu jamaa β€œOkay , dont worry just do it …..alisema yule boss wake kitandani β€œWe dada wewe ni...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Sikuamin macho yangu, hiv n huyu kweli naemuona hapa mbele yangu? Yy alionesha kama ananifananisha mana alikua ananiangalia kwa makini sana, alionitendea yalinirudia akilini niliumia niliona kama nimeona mnyama...

USISEME MTO MFUPI KABLA YA KUINGIA  Nimeshuhudia mchezo wa kiwango kibwa kunako Ligi Kuu , hii imekua mechi bora kuzidi Derby iliyopigwa pale Zanzibar. Post Mpya
USISEME MTO MFUPI KABLA YA KUINGIA Nimeshuhudia mchezo wa kiwango kibwa kunako Ligi Kuu , hii imekua mechi bora kuzidi Derby iliyopigwa pale Zanzibar.
@majario LIVE

Pamba Jiji football club walikua kwenye ubora mkubwa zaidi kwa dakika zote, kuna muda Simba SC Tanzania walikua hawana tofauti na Jkt Tanzania football club. Mechi imechezeka kwa dakika tisini...

🚨😱 imebainika kwamba shati ya kocha mkuu wa Manchester City, aliyoivaa Kwenye mchezo dhidi ya Real Madrid, ina thamani ya Euro 290. Post Mpya
🚨😱 imebainika kwamba shati ya kocha mkuu wa Manchester City, aliyoivaa Kwenye mchezo dhidi ya Real Madrid, ina thamani ya Euro 290.
@majario LIVE

kwa makadirio ya kubadilisha fedha, Euro 290 ni takriban shilingi za tanzania (TZS) 750,000 hadi 780,000 (kulingana na kiwango cha ubadilishaji cha sasa cha karibu TZS 2,600–2,700 kwa dola 1). hii...

BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“   SEHEMU YA "11"πŸ’“πŸ˜½ Post Mpya
BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“ SEHEMU YA "11"πŸ’“πŸ˜½
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" "(Alikuja kama muuza chai)" β€œTwende huko na wewe mi siyo mchawi nilikuwa najilinda tu Faster boda akaongeza speed ili asilipoteze lile gari Yule jamaa akaendesha mpaka huko mjini zaidi...

 Increase Earnings from Pakistan β†’ Get +10% Bonus!  Hello Partner! This week the spotlight is on Pakistan πŸ‡΅πŸ‡° Post Mpya
Increase Earnings from Pakistan β†’ Get +10% Bonus! Hello Partner! This week the spotlight is on Pakistan πŸ‡΅πŸ‡°
@majario LIVE

. If you increase your earnings from this GEO by 25% or more compared to last week, we’ll reward you with a +10% bonus on top. How Your Earnings Can Grow...

Fainali ya SIMBA πŸ†š RS BERKANE ilipopagwa tu Zanzibar nilijuwa ni mipango ya huyu jama FAOUZI LEKJAA Post Mpya
Fainali ya SIMBA πŸ†š RS BERKANE ilipopagwa tu Zanzibar nilijuwa ni mipango ya huyu jama FAOUZI LEKJAA
@majario LIVE

ona sasa anaanza kuumbuka kwa kuendesha mpira wa Afrika kwa Upendeleo FAOUZI LEKJAA yeye ni βœ…οΈMakamu wa Rais CAF βœ…οΈMwenyekiti wa Fedha CAF βœ…οΈWaziri wa Fedha Morocco πŸ‡²πŸ‡¦ βœ…οΈMjumbe wa kamati ya...

NAKUPENDA BILA 46 - 50 MWISHO S1 Post Mpya
NAKUPENDA BILA 46 - 50 MWISHO S1
@majario LIVE

NAKUPENDA BILA MIPAKA:46 Nilimwambia β€œnina kichukulio?, Dorice natamani unielewe huyo mwanaume alivyo kwanza Hapana sitaki, na unajua mimi kwasasa akili ni mwanangu tu na hata hivyo hawezi kunitaka mimi. Kwa kipi...

Chuck Norris amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86 Post Mpya
Chuck Norris amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86
@majario LIVE

Mwigizaji na gwiji wa sanaa za mapigano Chuck Norris amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86, huku taarita zikieleza kuwa alikuwa akiugua kabla ya kifo chake. Kwa mujibu wa familia...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Kichwa kilinigonga ina mana hayaki mtoto au imekuaje?mbona sasa hapatkan na amenikatia simu uwiiii mm nafanyaje jmn?mimba hii nafanyaje mamangu na baba wakijua je?nawambia nn kuwa babake amekimbia au...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi mm nikaingia ndani ya gari yangu, nikiona tabasamu la mke wangu,na akanifungulia geti, uku akiwa ana tabasamu pana tu mke wangu, basi mi apo niktoa gari na ndo nikaanza...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11
@majario LIVE

πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“ Mwandishi:lissa mwalla Sikumsukuma wala,na sikujiskia ile vibaya wala,nikasema tu jmn Keanu si uniachie watu watatuona,akaniangalia akasema okay kweli watu watatuona,akasema nakutakia usikumwema,nikacheka aniaksema sawa asante nawe pia.akasemaingia ndani mm ndio nitaondoka,nikasema...

Novatus Dismas Miroshi kutua Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL) Post Mpya
Novatus Dismas Miroshi kutua Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL)
@majario LIVE

Nyota wa kimataifa wa Tanzania Novatus Dismas Miroshi anayekipigia katika klabu ya GΓΆztepe S.K anahusishwa na kujiunga na klabu ya Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL) huku kocha wa...

*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5* Post Mpya
*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5*
@majario LIVE

*_________________________________________* *SEHEMU YA : 01* ANZA NAYO.... Ni katika jiji la Dar es salaam katika familia moja ya kitajiri sana, tunamuona binti mrembo, mrembo sana ambaye alikuwa na macho kama gololi na umbo...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest