Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“   SEHEMU YA "12_13"πŸ’“πŸ˜½
Gonga94 Β· Stories

BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“ SEHEMU YA "12_13"πŸ’“πŸ˜½

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


β€œLeo hakuandaa boss , but i promise u kesho unazipata, alijibu jamaa

β€œOkay , dont worry just do it …..alisema yule boss wake kitandani

β€œWe dada wewe ni mwizi au ? unataka kuibia wagonjwa ? Nikafumwa na mkaka wa pale hospital alikuwa na nguo za maafande atakuwa ni mlizni wa pale 🀣🀣🀣

β€œHapana kaka samahani 😒

β€œUnachungulia nn hapo ? Unachora ramani ya kuiba vitu vya mgonjwa eeeee , tena unachungulia V.IP wewe utakuwa kiizi wewe ngoja nipigie simu usalama 🀣🀣🀣

β€œ hapana kaka angu nilipotea chumba cha mgonjwa wangu

β€œMgonjwa wako yupo chumba namba ngapi ??

β€œNi namba 12 kaka πŸ‘€πŸ‘€nikadanganya

β€œNjoo nikupeleke chumba hicho tuone kama kweli una mgonjwa hapa

β€œ Kaka yaan ni hivi mgonjwa hayupo nimechelewa kuja kumbe amesharuhusiwa ameondoka

β€œHebu njoo huku kwnge wewe useme mgonjwa wako alikuwa anaitwa nani tuhakiki kama ni kweli kwa jicho la tatu nakuona kama mwizi kenge wewe
🫀

Wakat yule mkaka afande akitanguliqnmbele huku akisubiri nimfuate kwa nyuma
Oyaaaaa Mimi πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈMbioooooooooo mpaka nje ,

Yule mkaka kugeuka akaona kichpgo chanvu ndo kinaishia getini 🀣🀣🀣🀣

Embu we dada njoo hapa rudi hapa useme ulitaka kuiba nini mwizi mkubwa wewe 🀣🀣🀣

Nishadandia boda tayari mpaka sketi imechanika ….. Boda yuleeeeeeeeeeeeeee speed aftatu hahahaahaha🀣🀣🀣🀣tukatokomea kusikojulikana πŸ˜‚πŸ˜‚

Chap boda akaniendesha mpaka kazini kwangu nikafika nikakusanya mazaga yangu huyoooo nikapanda boda ileile mpaka nyumbani
Nikafika nikatua mizigo yangu chini

Kwenye malipo sasa 🀣🀣🀣🀣

β€œShingapi kaka ?

β€œAlfu 35000”

Khe πŸ‘€πŸ‘€kaka hela yote hiyo kwa sagari gani ?

Yule boda hakutaka kubisha a na mimi.. nikamuona anashuka kwenye pikipiki akaipack huku amenitilea macho anakuja kwa speed aje kuniwasha makofi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sawa kaka nalipa , nalipa kaka angu 🀣🀣🀣 nilisema kw woga wa hali ya juu

β€œfaster 😳alisema ameivaa wa Mbuzi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nikafungua kapochi nikatoa 35 nikampa

β€œMalaya wewe , akaniachia mtusi wa nguoni

Huyoo akawasha chuma yake akaondoka πŸ˜‚πŸ˜‚

Malaya mjomba ako ,nikajibu huku boda ashapotea kabisa machoni mwangu πŸ˜‚ mlitaka nijibu akiwa palepale ili anipasue nyie mfurahi kenge nyie 🀣🀣🀣

Jamani akili sina kabisa
Yaan safari isiyokuwa ya lazima ndo nimetumia hela zote hizo 😭😭nilikia sana mpaka nikagaragara chini kama kambare

sijaoata faida yoyote ile 😭😭hela iliniuma vibaya mnooooo

Bas nikafata unga dukani nikakanda kuandaa bites zangu kama kawa kama dawa

nikapika weeee mpaka saa sita usiku ndo namaliza

Oya wanangu maisha ni magumu vibaya mno πŸ₯Ήukibweteka bila kufanya kazi aisee nakuhakikishia utakula kiapo nawaambia

Ngojeni nilale kwanza nikiamka nakuja na muendelezo

Full 1000
0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“ SEHEMU YA "12_13"πŸ’“πŸ˜½



β€œLeo hakuandaa boss , but i promise u kesho unazipata, alijibu jamaa

β€œOkay , dont worry just do it …..alisema yule boss wake kitandani

β€œWe dada wewe ni mwizi au ? unataka kuibia wagonjwa ? Nikafumwa na mkaka wa pale hospital alikuwa na nguo za maafande atakuwa ni mlizni wa pale 🀣🀣🀣

β€œHapana kaka samahani 😒

β€œUnachungulia nn hapo ? Unachora ramani ya kuiba vitu vya mgonjwa eeeee , tena unachungulia V.IP wewe utakuwa kiizi wewe ngoja nipigie simu usalama 🀣🀣🀣

β€œ hapana kaka angu nilipotea chumba cha mgonjwa wangu

β€œMgonjwa wako yupo chumba namba ngapi...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/billions-of-love-sehemu-ya-12_13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi billions-of-love-sehemu-ya-12_13
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76

1.17K
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11

227
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12

170
NAKUPENDA BILA 46 - 50 MWISHO S1

NAKUPENDA BILA 46 - 50 MWISHO S1

154
*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5*

*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5*

125
BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“   SEHEMU YA "11"πŸ’“πŸ˜½

BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“ SEHEMU YA "11"πŸ’“πŸ˜½

102
BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“   SEHEMU YA "12_13"πŸ’“πŸ˜½

BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“ SEHEMU YA "12_13"πŸ’“πŸ˜½

92
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13

91
NAKUPENDA BILA  SEASON TWO 51 - 65

NAKUPENDA BILA SEASON TWO 51 - 65

88
SWALI: Je, vipi Idi ikiaangukia kuwa ni siku moja na Ijumaa ? Inapasa Waislamu wasali sala zote mbili jamaa?

SWALI: Je, vipi Idi ikiaangukia kuwa ni siku moja na Ijumaa ? Inapasa Waislamu wasali sala zote mbili jamaa?

72

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.86K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.58K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.86K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.38K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.98K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.98K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.81K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.76K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.68K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.64K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA  SEASON TWO 51 - 65 Post Mpya
NAKUPENDA BILA SEASON TWO 51 - 65
@majario LIVE

NAKUPENDA BILA MIPAKA:51 Nilitoka nikiwa nishapendeza hata mama alishtuka na kusema β€œkulikoni tena? Nilishusha pumzi na kusema β€œAcha tu mama ndiyo nishaitwa.” Mama alinitazama na kusema β€œhuna namna nenda. Sasa vipi pesa ya...

BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“   SEHEMU YA "12_13"πŸ’“πŸ˜½ Post Mpya
BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“ SEHEMU YA "12_13"πŸ’“πŸ˜½
@majario LIVE

β€œLeo hakuandaa boss , but i promise u kesho unazipata, alijibu jamaa β€œOkay , dont worry just do it …..alisema yule boss wake kitandani β€œWe dada wewe ni...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Sikuamin macho yangu, hiv n huyu kweli naemuona hapa mbele yangu? Yy alionesha kama ananifananisha mana alikua ananiangalia kwa makini sana, alionitendea yalinirudia akilini niliumia niliona kama nimeona mnyama...

USISEME MTO MFUPI KABLA YA KUINGIA  Nimeshuhudia mchezo wa kiwango kibwa kunako Ligi Kuu , hii imekua mechi bora kuzidi Derby iliyopigwa pale Zanzibar. Post Mpya
USISEME MTO MFUPI KABLA YA KUINGIA Nimeshuhudia mchezo wa kiwango kibwa kunako Ligi Kuu , hii imekua mechi bora kuzidi Derby iliyopigwa pale Zanzibar.
@majario LIVE

Pamba Jiji football club walikua kwenye ubora mkubwa zaidi kwa dakika zote, kuna muda Simba SC Tanzania walikua hawana tofauti na Jkt Tanzania football club. Mechi imechezeka kwa dakika tisini...

🚨😱 imebainika kwamba shati ya kocha mkuu wa Manchester City, aliyoivaa Kwenye mchezo dhidi ya Real Madrid, ina thamani ya Euro 290. Post Mpya
🚨😱 imebainika kwamba shati ya kocha mkuu wa Manchester City, aliyoivaa Kwenye mchezo dhidi ya Real Madrid, ina thamani ya Euro 290.
@majario LIVE

kwa makadirio ya kubadilisha fedha, Euro 290 ni takriban shilingi za tanzania (TZS) 750,000 hadi 780,000 (kulingana na kiwango cha ubadilishaji cha sasa cha karibu TZS 2,600–2,700 kwa dola 1). hii...

BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“   SEHEMU YA "11"πŸ’“πŸ˜½ Post Mpya
BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“ SEHEMU YA "11"πŸ’“πŸ˜½
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" "(Alikuja kama muuza chai)" β€œTwende huko na wewe mi siyo mchawi nilikuwa najilinda tu Faster boda akaongeza speed ili asilipoteze lile gari Yule jamaa akaendesha mpaka huko mjini zaidi...

 Increase Earnings from Pakistan β†’ Get +10% Bonus!  Hello Partner! This week the spotlight is on Pakistan πŸ‡΅πŸ‡° Post Mpya
Increase Earnings from Pakistan β†’ Get +10% Bonus! Hello Partner! This week the spotlight is on Pakistan πŸ‡΅πŸ‡°
@majario LIVE

. If you increase your earnings from this GEO by 25% or more compared to last week, we’ll reward you with a +10% bonus on top. How Your Earnings Can Grow...

Fainali ya SIMBA πŸ†š RS BERKANE ilipopagwa tu Zanzibar nilijuwa ni mipango ya huyu jama FAOUZI LEKJAA Post Mpya
Fainali ya SIMBA πŸ†š RS BERKANE ilipopagwa tu Zanzibar nilijuwa ni mipango ya huyu jama FAOUZI LEKJAA
@majario LIVE

ona sasa anaanza kuumbuka kwa kuendesha mpira wa Afrika kwa Upendeleo FAOUZI LEKJAA yeye ni βœ…οΈMakamu wa Rais CAF βœ…οΈMwenyekiti wa Fedha CAF βœ…οΈWaziri wa Fedha Morocco πŸ‡²πŸ‡¦ βœ…οΈMjumbe wa kamati ya...

NAKUPENDA BILA 46 - 50 MWISHO S1 Post Mpya
NAKUPENDA BILA 46 - 50 MWISHO S1
@majario LIVE

NAKUPENDA BILA MIPAKA:46 Nilimwambia β€œnina kichukulio?, Dorice natamani unielewe huyo mwanaume alivyo kwanza Hapana sitaki, na unajua mimi kwasasa akili ni mwanangu tu na hata hivyo hawezi kunitaka mimi. Kwa kipi...

Chuck Norris amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86 Post Mpya
Chuck Norris amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86
@majario LIVE

Mwigizaji na gwiji wa sanaa za mapigano Chuck Norris amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86, huku taarita zikieleza kuwa alikuwa akiugua kabla ya kifo chake. Kwa mujibu wa familia...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Kichwa kilinigonga ina mana hayaki mtoto au imekuaje?mbona sasa hapatkan na amenikatia simu uwiiii mm nafanyaje jmn?mimba hii nafanyaje mamangu na baba wakijua je?nawambia nn kuwa babake amekimbia au...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi mm nikaingia ndani ya gari yangu, nikiona tabasamu la mke wangu,na akanifungulia geti, uku akiwa ana tabasamu pana tu mke wangu, basi mi apo niktoa gari na ndo nikaanza...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11
@majario LIVE

πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“ Mwandishi:lissa mwalla Sikumsukuma wala,na sikujiskia ile vibaya wala,nikasema tu jmn Keanu si uniachie watu watatuona,akaniangalia akasema okay kweli watu watatuona,akasema nakutakia usikumwema,nikacheka aniaksema sawa asante nawe pia.akasemaingia ndani mm ndio nitaondoka,nikasema...

Novatus Dismas Miroshi kutua Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL) Post Mpya
Novatus Dismas Miroshi kutua Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL)
@majario LIVE

Nyota wa kimataifa wa Tanzania Novatus Dismas Miroshi anayekipigia katika klabu ya GΓΆztepe S.K anahusishwa na kujiunga na klabu ya Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL) huku kocha wa...

*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5* Post Mpya
*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5*
@majario LIVE

*_________________________________________* *SEHEMU YA : 01* ANZA NAYO.... Ni katika jiji la Dar es salaam katika familia moja ya kitajiri sana, tunamuona binti mrembo, mrembo sana ambaye alikuwa na macho kama gololi na umbo...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest