Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday
Gonga94 ยท Stories

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Mwandiishi; LISSA

Basi bwana sasa siku iyo nakumbuka nilikuwa kwa jalia , nikamuuliza jalia mbona huna tumbo alafu mimba si itakuwa na miezi 2 , akanmbia mh naona sina tumbo kubwa tu mm ,ila inanaisumbua sana, yani sina ata rahaaa, nakuwa natapika sana we uwezi kuona si upo busy na mkeo, nikasema hapana bwana sio kweli, ata ww nakujalia pia jalia, akanmbia kwaiyo zena amekubali aya matala, nikasema.ndio amekubali japo sijajua moyoni mwake ,akanmbia sawa kama amekubali, basi tupangie zamu naomba usiwe unazidi sasa kwenda kwake sana , ata mm nakuhitaji zaidi sababu ya hali yangu, nikase.a sawa ntafanya hivyooo, basi bwana nikalala kwa jalia hii siku, na asubuh niliamkia kazini , na nilipitoka kazini nikaludi kwa zena

Ila.zena wala hakunichangamkia.sana , yani unongeaa ila hana mda na mm ata, ni busy na mwanae, mana kina ummy walishaenda shule, nikasema now hauna mpango na mm.zena kabisaa, akatabasamu kisha akasema wala utakiwa umeelewa vibaya tu.mi.nakuona ww ni mume wamgu, ni hofu yako tu, nikasema sawa jqpo mi najua now hunipendi sana wla nn zena akatabasimu tu , kuanzia apo sasa nikaanza matala ya siku 3 , tatu , yani siku 3 kwa zena, na siku tatu kwa jalia, ila nikiwa kwa zena ndo.amani inajaaa, nakuwa na rahaa, nikienda kwa jalia bado namuwaza zena, nilikuwa nahisi kabisa nampitisha zena kwenye kifungo kizito ila sikuwa na jinsi.na nashikuru wala zena hakunidai taraka.ni alikuwa anavumilia hivyo hivyo, ila sasa zena akapunguza mapenzi sana na mimi

Nakumbuka iyo.siku sasa nipo kazini, mama yangu mzazi.akanaipigia simu nikapokea ile simu kisha nikasema hallow mama.habari, mama.akanmbia sikia.nipo nyumbani kwako , nikamuuliza kwangu wap mama kwa jalia ama,, mama akanmbia ndio nipo.apa, nikasema.sasa mama mbona umekuja bila ya kunambia kwani kuna shida mama.akanmbia kwani kuja kwa mwanangi natakiwa kutoa taarifa kumbe, nikasema.sawa basi mama.mm nakuja, daah apo nkumbuka.hii siku ilikuwa natakiwa kulala kwa zena na ndo ilikuwa zemu yake na nilimmis sana, ila kwa kua mama kafikia kwa jalia, nikamtumia sms zena.kuwa mama kaja yupo kwa jalia naenda kumuona, naweza nisiludi ,zena akanmbia sawa msalimie mama, nikasema.sawa

Kisha mimi.nikaendelea na kazi zangu ,na jioni sana ndo.nikaenda kwa jalia sasa, dooh ile nafika tu mama.yangu hakutaka ata salamu yangu akakiwasha kweli kweli , mama.akanmbia naomba unipeleke kwa uyo maraya wako unayemuita mkeo, nani kakwambia uoe matala ,uyo zena anamjua nani kwenye ukoo wetu sisi, nimesema hatumtaki, nyieee mi.nilimkata jicho kali jalia ,mana nilijua yeye ndo.kamueleza mama kuhusu mm na zena na sijub kamuelezaje mpaka mama kapnik hivi na hataki ata kunisikiliza, mama akanambia nakwambia usinichanganye nakwambia tena nampigia simu sasa hivi kaka yako , apo mm sijaongea lolote, eeh mama kavuta simu akampigia kaka, na broo akapokea ile simu, mma akaanza kuongea kwa hasira na kuanza kumjaza maneno kaka, kuwa mm nimeoa na uyo maraya niliyemuoa ndo anaipelekesha sana ,nakuwa ata simuheshimu jalia, nikienda uko kwa manamke nilomuuoa nakaa ata weeek 3, na ata mwez siludi kwa jlaia,.yani mama aliongea kweli kweli,.mi nikajua yote aya ni jalia ndo kamueleza maam, ila.wala.sikupanik

Sijuh kaka alimwambia nn mama, ila mama akasem.sawa tutaonana kesho, kisha mama akanmbia nataka.ukamuache uyo mwanamke.simtaki.nimesema.nilishamkataa mda kabla hujamuoaa kuwa simtak na wala sikukwambia uje kuoa matala mm,nataki ubaki na jalia tu, unanielewa ww mpumbavu, nikasema mama ngoja nikwmbia tu ukweli,kwa sasa mama mimi.kumuacha zena siwezi, jalia akasema mama.si nimekuambia mwanao anampenda sana zena atakuwa kamroga sio bule ,mana anampenda kama kachanganikiwa.mama yangu akanifata et akanzaa kunipiga mangumi ya ovyo ya mwilini , mi sikumtoa nilimuacha akanipiga ngumi za mgongoni sana ,na akanikwaratua na makucha yake, akanmbia utamuacha uyo zema,siondoki pemba mpaka muachane na uyo mhinga ,kama watoto nipe mie, niende mao pmbaa ntaenda kuwalea vizur ila.tulia na mkeo.jalia nae pia ana mimba yako, kwann hnataka khmpa presha,na kwa mamabo hnagimfanyia uyu binti , familia yake ikijua sie itatuonaje nakuuliza

Mi kwa hasira nikasimama.nikaanza kutoka njee, aseee mama.akawa ananitukana ,akanmbia nakwmabiaje we si jeuri mm ndo kibuli mm sikutaka .kukaa kabisa pale, mana mama alikuwa ana hasira sana asa tnaongea nn, nikawa na stress sana nilikuwa sielewi kabisa yani kama mwanaume niamue nn, ila kumuacha zena mi siwez kwanza ntakufa mwenyewe sababau nampenda sana, basi mi nikaludi zangu kwa zena tu, basi nimefika kwa zena nipo hoi. Nna alamu uku usoni ni mama kanikwangua na kucha zake ,mimi mama yangu akichukia hashindwi kukupiga na chochote cha. mbele yakez yani ananbadilika roho kweli kweli akichukia sabbu ya hasira

SEHEMU YA YA 82
Basi zena.aliponiona akaniuliza shida nin na mbona hivu au njmegombana na jalia au imekuaje mume wangu, nikasema zena naomba hniache leo mumeo nipumzika kichwa kinaniuma sana sawa, zena akanmbia sawa mume wangu hakuna shkda, bsi nikajilaza kitandani nanikapitiwa na kausingizi , ila mda wa kuka ndo zena akja kuniamsha ila sikula ata, nilimwambia nimeshiba hivyo aniache nipumzike tu , zena alinishangaa ila nilimwambia aniche kwanza nipumzike, basi akaniacha ye akaenda kula na wanae, ila bado aliludi na chakura chumbani, akitaka nile nilimwambia siwez kabisa naiche tu, basi zena akaniacha sasa, basi usiku wa saa 6 mama akaanza kunipigia simu nikawa sipokei , yani sipokei amam anpiga tena,alipiga kama mala 7, skkupokea simu yake ata moja, mana nilijua nikipokea kutakucha apa , so nikakausha tu, zena akawa naniuliza mbona ni mama na hupokei ,nikasema achana naye mle wangu nikipata mda kesho naenda kuingea nae, mh zena et akanuna sijuh alikuwa anahisi ni demu wangu nimesave mama , alafu sitaki kupokea mbele yake ata sielew, kumbe mwenzue nakimbia kisanga

Heee akaanza kunipigia kaka sasa, mi nikkausha vile vile, kaka nae alinipigia mnoo nahisi mama alishamwamuelezea sijuh kuwa sipokei simu zake, acheni.kabisaaa, daah mpaka.nikaziama simu mm mananiliona usumbufu alafu wanapiga simu usiku, ila sasa sikulala uhu usiku.ni.mawazo yalinizonga san, mi.nilishapanga kumueleza tu mama, kuwa mm kumuacha zena siwez na.jalia siwez kumuacha mana ana mimba so niwe nao wote tu. Mi nyajitahidi.kwenye uadilifu, ila mama.yangu sasa hataki kuelewa, yeye anamtaka.mpemba mwenzake tu basi, basi sijuh ata ta usingizi umenipata saa ngapi nikalala kabisaa nikaja kustuka asubuh na baada ya pilika pilika za akina ummy wakiwa wanandaliwa wanaenda shule, ndo na mm nikastuka, nikaanza kujiandaa sasa niwahi kazini, basi nikiwa najiandaa zena akaja , akanisogelea kisha akaanza kunifunga vifungo, akanmbia vp umemkaje leo nikasema niko powa vp akina ummy washaondoka, zena akanmbia hapana wanakungoja ww, ummu anataka sijuh ela mi ata simuelew, nikacheka kisha nikatika sasa kuongea na wanangu

Basi.wanangu wote wawili wakanisalimia apo arshaina a nae kashatimieza miakam2 na miez 3 , na anaenda shule vizur, wala hasumbui, basi wakanielezea pale sihuh wanata nini uko shule, inatakiwa pesa elfu 2, si unajua watoto nikawa nikaw naongea nao pale mawili matatu jifurahidaha nao, sasa nikiwa naonge na wanangu, faftaa malango wa kuingilia sebleni ukawa unagongwa kwa nguvu mnoo, mh nikashangaaaa nani.sasa anagonga hvi, nikawaweka watoto kwenyesofa mana niliwapakata nikaenda kuufungua mlango kle nafungua namuona maa.kaja na brooo na akaja na jalia, oyaaaa nimestuka mama akasema aya namtaka.uyo maraya wako nioneshe yuko,wpi uyo maraya wako, mi.nikabki.kushangaa mana mama kaingia tu kaanza makelele daah๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™
๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday


Mwandiishi; LISSA

Basi bwana sasa siku iyo nakumbuka nilikuwa kwa jalia , nikamuuliza jalia mbona huna tumbo alafu mimba si itakuwa na miezi 2 , akanmbia mh naona sina tumbo kubwa tu mm ,ila inanaisumbua sana, yani sina ata rahaaa, nakuwa natapika sana we uwezi kuona si upo busy na mkeo, nikasema hapana bwana sio kweli, ata ww nakujalia pia jalia, akanmbia kwaiyo zena amekubali aya matala, nikasema.ndio amekubali japo sijajua moyoni mwake ,akanmbia sawa kama amekubali, basi tupangie zamu naomba usiwe unazidi sasa kwenda kwake sana , ata mm nakuhitaji zaidi sababu ya hali yangu,...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-millan-sehemu-ya-81-na-82-enjoy-sunday

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-millan-sehemu-ya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 36 na 37
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 36 na 37
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 40
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 40
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 28 na 29
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 28 na 29
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 62 na 63
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 62 na 63
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 54 na 55
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 54 na 55
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 60 & 61
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 60 & 61
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 31 na 32
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 31 na 32
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 39
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 39
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *Sehemu ya 51 na 52*
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *Sehemu ya 51 na 52*
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 33
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 33
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 38
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 38
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 53
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 53
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 74 na 75
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 74 na 75
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 76
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 76
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 59
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 59
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 73
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 73
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 78 na 79
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 78 na 79
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 19.na 20
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 19.na 20
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 21 na 22
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 21 na 22
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 77
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 77
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 78 na 79

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 78 na 79

1.31K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 80

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 80

1.09K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

669
IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*

IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*

205
NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO

173
IN LOVE WITH ZURI*   Chapter 7

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 7

169
ROWAN (Mine alone) 1 - 5

ROWAN (Mine alone) 1 - 5

111
LETICIA 15:16

LETICIA 15:16

93
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š   Sehemu   ya   10

CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š Sehemu ya 10

91
CHAGUO LA MOYO โฃ๏ธ SEHEMU YA 01--- 05

CHAGUO LA MOYO โฃ๏ธ SEHEMU YA 01--- 05

74

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.9K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.61K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.87K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.42K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

3.02K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.98K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.82K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.78K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.7K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.66K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO
@majario LIVE

:76 Nazwi niambie kuna tatizo, unagombana tena na dokta wako?โ€ Nilitabasamu na kusema โ€œmimi kugombana na dokta?, kwanini?, Hapana kuna vitu alikuwa ananielekeza tu.โ€ Alinitazama, Nadhani aligundua kitu mimi sijui Ila sikuwa nimempa...

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU. Post Mpya
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.
@majario LIVE

Tena ikiwezekana katika hizi nyumba za kupanga uwe na limit ya muda wa kukaa, mtu unakaa miaka na miaka kwenye hiyo nyumba mpaka unaonekana kama wewe ndiye mwenye nyumba. Inafikia...

LETICIA 15:16 Post Mpya
LETICIA 15:16
@majario LIVE

๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’ LETICIA Sehemu ya 15 Mwandishi;LISSA Yule dada alikuwa mcheshi dakika mbili tushazoeana ,nilikuwaga namuona tu kijijini ila hii siku ndio nikamjua vizuri .alinambia anaitwa rehema. Tulipiga story mno akanipa na namb yake...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana sasa siku iyo nakumbuka nilikuwa kwa jalia , nikamuuliza jalia mbona huna tumbo alafu mimba si itakuwa na miezi 2 , akanmbia mh naona...

CHAGUO LA MOYO โฃ๏ธ SEHEMU YA 01--- 05 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO โฃ๏ธ SEHEMU YA 01--- 05
@majario LIVE

MTUNZI RITHA STORIES WHATSAPP 0754380244 AU 0680992844 SONGA NAYO................. Mpenzi msomaji Leo na kuletea kisa hiki Cha mapenz ambacho Kita kufunza mengi na kukusisimua,kukufurahisha, na kukuhuzunisha pia Karibu tuende wote๐Ÿ‘‡ Unaweza kuniita Sonia...

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO Post Mpya
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO
@majario LIVE

If you don't leave my house right now, I will cut you into pieces today. Mrs. Helen screamed, waving a big sharp cutlass in the air. Grace backed away, her...

CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š   Sehemu   ya   10 Post Mpya
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š Sehemu ya 10
@majario LIVE

Nilifurahi sanaโค๐Ÿ˜˜nikaletea mtoto wangu nikamuona nililia kwa furaha nikamshukuru sana Betty maana amekuwa msaada sana kwangu๐Ÿ™โค asubuhi ya siku iliyofuata mume wangu nae akaja kumuona mtoto nae alifurahi sana...

ROWAN (Mine alone) 1 - 5 Post Mpya
ROWAN (Mine alone) 1 - 5
@majario LIVE

MTUNZI: Mr Burudan Sehemu ya: 01 ANZA NAYO.... Niite Vee, jina la kifupisho cha jina langu la Vera, Vera ndio jina langu halisi nililopewa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO
@majario LIVE

:66 Mimi nilitoka nikiwa na furaha sana, Niliondoka hapa ni Kama nimezaliwa upya. Moyo wangu ulikuwa umechangamka mno. Ingawa nilifika kwa kujivuta sana lakini siku imeisha na tabasamu pana kwenye uso...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 80 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 80
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Basi nikaludi ndani sasa , nikamkuta zena ana mawazo sana, nikasema zena naomba nikupe chakula kwanza kisha tutaongea tu nitakuelezea kila kitu mke wangu, zena akanmbia sawa, wala hakuwa na...

IN LOVE WITH ZURI*   Chapter 7 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Kitendo cha mimi kuongea kwa ukali kiasi hicho kiliwashtua sana Idress lakini pia na Ethan, Ethan yeye mpaka alinyanyuka na kuja sehemu niliyokaa kisha akachukua hiyo chai ambayo nasemea...

IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Kimya kifupi kilipita hii ni baada ya mimi kusikia kuwa Zuri ni mke wa mtu nilikuwa naumia sana sio siri jamani ila sema nilijikaza mbele ya mama asigundue "Unamaanisha kwamba...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 78 na 79 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 78 na 79
@majario LIVE

Basi ikawa hivyo, na ikakat mwez amani ndani hakuna kabisaa, zena ni kanuna , yani hacheki na mm kabisaa, hatuna story ata, na mala nyingi nikiludi nyumbana namkuta kashalala et...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 77 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 77
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Nikasema.mm ndo nanukia ayo malashi mke wangu, akanmbia ndio.kwani apa si nipo mimi na ww. Nasikia marashi ya kialabu, mh nikajinusa sasa na mm. Eeh ni.kweli aya ni...

NAKUPENDA BILA  SEASON TWO 51 - 65 Post Mpya
NAKUPENDA BILA SEASON TWO 51 - 65
@majario LIVE

NAKUPENDA BILA MIPAKA:51 Nilitoka nikiwa nishapendeza hata mama alishtuka na kusema โ€œkulikoni tena? Nilishusha pumzi na kusema โ€œAcha tu mama ndiyo nishaitwa.โ€ Mama alinitazama na kusema โ€œhuna namna nenda. Sasa vipi pesa ya...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest