Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79
Gonga94 · Stories

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Basi ikawa hivyo, na ikakat mwez amani ndani hakuna kabisaa, zena ni kanuna , yani hacheki na mm kabisaa, hatuna story ata, na mala nyingi nikiludi nyumbana namkuta kashalala et na mwanae ,mda mwengine saa 2 tu kashalala ndo ilikuwa hivyo nikajua ni kwamba ananikwepa mimi, siku iyo saaa nipo kwa zena nimekaaa tu nimeboeka sana ,mgu kanunaaa ata hataki kuongea na mm, nikamtumia sms jalia niandalie chakura nakuja kula uko, jalia akanmbia sawa mume wangu karibu sana, alafu nn habari nzuri sana nahitaji kukueleza, so ukija nitakwambia mume wangu, nikasema sawa, k
nikaona ngoja leo niende kwa jalia kwanza nikaingia chumbani nikamkuta zena anacheza na mwanae nikasema.zena natoka naingia kazini mala moja, zena wala.hakunijibu ni yupo busy na mwanae ,nishaizoea hii hali mana ndo maisha yetu sasa ,

Mi nikaingia bafuni, nikapiga maji chapu nilipotoka nikavaaa kisha uyooo nikasepa zangu, alafu cha zaidi nilikuwa na nyege za kama mwez hivi, zena si kaninunia akawa ata mzigo hanipi, nikaona shida nn, mi mwanaume mwezi mzima nistombe naishije, basi bwana mi nikafika kwa jalia, na jalia akanifurahia sana si mnajua uyu demu ananipenda sana ni mm tu ndo nakuwa sinaga time nae.nikasema jalia plsssss mama naomba kabla ya yote naomba leo, mh niliona jalia kafurahi akanmbia unaomba nn millan, nikasem.haki yangu mama naomba plssss, mh alinishangaaa mna mm kila nikija huwa anataka yeye ila sasa nilibanwa mm , nikaomba tu, jalia wala hakuwa na shida akanikalibisha mpaka chumbani, ahaaa mtoto siku hii alinipa kweli kweli, alinipa mpaka akanipa tenaaa , mtoto akamaliza ufundi wakipemba woteeee, sio siri nilienjoy mnooooo yani sanaaa tu

Nilipomaliza kula mzigo sasa, jalia akanmbia mpenzi mm ni mjamzito, dooooh kazi kweli kweli, nikase.a umejigundua lini, akanmbia ni week zile ,ila nilikuacha kwnza mana niliona upo bisy na mkeo, nikasema no jalia ata ww ni mke wangu na suala kama hili ulipaswa unijuze ata kwa kunitumia sms mama, akanmbia ndo hivyo, nikamuuliza so ina mda gani iyo mimba, akanmbia ina mwezi sasa ,nikasema sawa acha waje mana nna watoto wengi mbwa mm, uyu anaekuja ni wa 8 alafu bado damu inachemka kabisaaa mamae, nikasema sawa acha ajeee tu mpenzi, basi jalia akanikumbatia, unajua tukiw tumekumbatiana gafra mlango ukasukumwa , yani huu mlango wa chumbani , nastuka zena uyu apa , alafu yupo na mama ahmed, nyieeeeee moyo wangu ulifanya paaaa, nikajikuta haraka nimetoka kwenye kumbato la jalia nikavuta shuka ,mana nilikuwa uchi na jalia nae hana ata nguoa aseeee ihii siku sitakuja kuisahau ,nilishalilka

Mama ahmed akasema aya we zena si kila siku nilikuwa nakupigia simu nakwambia kuwa mumeo kaoa na ana mwanamke anampenda sana, ayaa dada naomba ujioneeee mwenyewe , mumeo ndo uyo na yule ndo mpemba wake nazani umeona picha yao ua ndoa pale sebleni ,ayaaa nazani unaon wametoka kutombana pia kazi ni kwako, nyieeee zena sijuh ni preshaa pale paleee akanza kushika kifua uku anasema millan millan millan akawa anaenda chini, aseeeenikavuta shuka haraka nikajifunga , zena akaanguka pale pale uku akiwa anahema kwa shidaaa aseeee nilichanganikiwa kweli kweli , nikafika mpaka pale chini harkaa nikamuokota nikasema zena zena zena plssss mama zenaa, apo sasa nikaona mama ahmed haraka katoka nda nikajua kakimbia , yani kashanitengenezea bomu kisha kasepa.ila kwa uo mdaaa nilikuwa naangalia halia ya zena tu, uku natamani nimpige jalia kwann hakufunga milango na anajua ndani yupo na mumewe daaah

Nilivaa aharaka harkaa, nikambeba zena ,nikatoka nae mkuku mkuku zena ni anahema kwa shida mnoo anaita tu millan millan, nilichanganikiwa mnooo, nilivurugwa kwli kweli, nilimuweka nyuma ya gari na harkaa nikaanza kuendesha gari kuelekea hospitali, niliuwa naendesha gari kwa fujo mnooo, yani uko bala balani nilikiwasha ni mungu tu, basi tukafuka mpaka hospitali ya karibu, na haraka akapokelewa pale, akakimbizwa emergency mana hakuwa sawa kabisa, asee nilichanganikiwa, mpaka nikawa natukana madr yani nilikuwa nataka madr wote wakamshughilikia zena tu, nilichanganikiwa , nikampigia ibraa uo mdaa naongea ata sieleweki yani, ibraa akanmbia upo wapi kwani, nikamwmabia hospital.nilipo akanmbia nakija apo, nikasema powa ,basi nikaka njeee uku mke wangu ananpata huduma sasa, nilikuwa nalia pale njee kama mwanamke ,yani watu wananaishangaaa, nilijiona mm simfai zena te a , ntamuua tu uyu mwanamke.ntamuua kabisaa kabisaaa.

Nilikuwa nasimama ,mala nakaaa mala nasimama mala nakaaa, mala natembea pale ila bado sikuwa sawa, na bado dr alikuwa anaendelea nanmatibabu katika chumba ambacho yupo zena, kama dakika 20 hivi ibraa akafka pale, daaha ata kuongea siwez akiri haipo sawa kabisaaa nimechanganikiwa mnoo, ibra dada ndo akapata kazi ya kunituliza , sikuwa sawa ,nikamwambia ibraa zena anaumwa sna , anaumwa na mm ndo sababau mm ndo sababu, yani nislishavurugwa , ibraa akanitoa kwanza mpaka nje ya hospiyali, akaninulia na maji ya baridi akanipa nikanywa na mengine nikajimwagia kichwani, ndo naona kama nimepoa hivi, ibraa akanambia aya nisimulie imekuwaje kwani, aseeee mi nikamuelezea ukweli na kila kitu, akanmbia uyooo mama ahmed nitampiga makofi mm mwenyewe, yani mm mwenyewe ndo nitamfundisha adabu, ngoja tupambane kwanza na zena, nikasema powa, basi tukaludi ndani sasa, na dr ndo anatoka katika chumba alicholazwa zena, akanmbia boss we ndo umeleta mgonjwaa nikasema.yaaa ndio ni mm na ndo mume wake, akasema.sawa, presha yake.olipanda sana ,but kwa sasa anaendelea vizur na anambia anataka.kumuona millan ni nani uyo , mh nikasema.ni mm, akanmbia basi ingia ndani, nikasema.sawa

Badi mm nikaingia uku naogopa sana na naona aibua, man ni kanikuta nipo kitandani kabisa na kashaelewa kila kitu kuwa nina mke na mpemba n ndo amabe anakaa katika nyumba yangu ya viwege, aseee niliingia mpaka ndani, nikamkuta mke wangu, amelala kutandani ,dripu ya maji inashuka kwnye mwili wake basi nikamsogelea japo kwa kuogopa sana na kwa aibu, ila zena akanishika mkono, akanmbia nakupenda sana millan usiniache, aseeeee nilijikuta machozi yananitokanmm, yani nilijikuta nalia kabisaa, nilimkubatia zena nikamwmabia nisamehe mke wangu, zena akanmbia nakupenda millan siwez bila ya wewe nakupenda sana usiniache japo una mke amabaye kwenu ndo wanamtambua na kumtaka, na sio mm ,aseee nilijisikia vubayaaa nikawa nalia tu,

nikamwambia zena naomba unielewe mimi na wewe tunapendana na siwez kukuacha so mimi na wewe tutayaongea aya sawa mama, akanmbia sawa ila huniachi, nikasema.siwezi zena anaanzaje siwezi mke wangu, basi zena ndo.kidogo akatulia iala bdo machozi yalikuwa yanamtoka sana, nikawa namfuta na kumtuliza ,aseeee ilikuwa tofauti kabisa na ambavyo mm nilitegemea ,ni amenifumania ila sasa yeye ndo alikuwa anaomba nisimuache nilijisikia vibaya sana na aibu mbele yake,

basi na ibra nae akaingia pale akawa anaongea na zena, ila zena hakuwa sawa masikini, tulikaa pale hospita mpaka usiku mida ya saa 1, ndo tukaruhusiwa sasa, zena ndo anakumbuka watotot anambia mh leo shadya ajanyonya kabisa maskini, nikasema atanyonya ukifikanyumbani haukuwa sawa mke wangu zena akanmbia sawa, basi bwana tukafika nae mpaka nyumbani na ibraa alinisindikiza kabisa mpaka nyumbani, tumefika mojo kwa moja nikampeleka zena chumbani kwangu nikamlaza vizuri mke wangu,ndo nikatoka sasa kuongea na ibraa, ibraa akanmbia mi naondoka kaka kaaa na mkeo vizuri na muzungumze ,mana daah mm apa nilipo naona mpaka aibu , mana naona kabisa zena anajua mm na wewe letu moja, nikasema.naelewa kaka , nisamehe pia ,ibraa akanmbia usijali mwanagu we wangu basi kesho nitakuchek, nikasema.powa

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈

Maoni

You're not logged in


Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79


Basi ikawa hivyo, na ikakat mwez amani ndani hakuna kabisaa, zena ni kanuna , yani hacheki na mm kabisaa, hatuna story ata, na mala nyingi nikiludi nyumbana namkuta kashalala et na mwanae ,mda mwengine saa 2 tu kashalala ndo ilikuwa hivyo nikajua ni kwamba ananikwepa mimi, siku iyo saaa nipo kwa zena nimekaaa tu nimeboeka sana ,mgu kanunaaa ata hataki kuongea na mm, nikamtumia sms jalia niandalie chakura nakuja kula uko, jalia akanmbia sawa mume wangu karibu sana, alafu nn habari nzuri sana nahitaji kukueleza, so ukija nitakwambia mume wangu, nikasema sawa, k
nikaona ngoja leo niende kwa jalia kwanza...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-millan-sehemu-ya-78-na-79

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-millan-sehemu-ya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 62 na 63
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 62 na 63
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 73
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 73
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 77

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 77

916
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79

481
NAKUPENDA BILA  SEASON TWO 51 - 65

NAKUPENDA BILA SEASON TWO 51 - 65

222
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12

220
NAKUPENDA BILA 46 - 50 MWISHO S1

NAKUPENDA BILA 46 - 50 MWISHO S1

206
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "12_13"💓😽

BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "12_13"💓😽

195
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13

176
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "11"💓😽

BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "11"💓😽

143
IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*

IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*

69
Chuck Norris amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86

Chuck Norris amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86

19

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.87K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.87K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.41K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.99K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.98K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.82K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.76K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.65K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Kimya kifupi kilipita hii ni baada ya mimi kusikia kuwa Zuri ni mke wa mtu nilikuwa naumia sana sio siri jamani ila sema nilijikaza mbele ya mama asigundue "Unamaanisha kwamba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79
@majario LIVE

Basi ikawa hivyo, na ikakat mwez amani ndani hakuna kabisaa, zena ni kanuna , yani hacheki na mm kabisaa, hatuna story ata, na mala nyingi nikiludi nyumbana namkuta kashalala et...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 77 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 77
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Nikasema.mm ndo nanukia ayo malashi mke wangu, akanmbia ndio.kwani apa si nipo mimi na ww. Nasikia marashi ya kialabu, mh nikajinusa sasa na mm. Eeh ni.kweli aya ni...

NAKUPENDA BILA  SEASON TWO 51 - 65 Post Mpya
NAKUPENDA BILA SEASON TWO 51 - 65
@majario LIVE

NAKUPENDA BILA MIPAKA:51 Nilitoka nikiwa nishapendeza hata mama alishtuka na kusema “kulikoni tena? Nilishusha pumzi na kusema “Acha tu mama ndiyo nishaitwa.” Mama alinitazama na kusema “huna namna nenda. Sasa vipi pesa ya...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "12_13"💓😽 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "12_13"💓😽
@majario LIVE

“Leo hakuandaa boss , but i promise u kesho unazipata, alijibu jamaa “Okay , dont worry just do it …..alisema yule boss wake kitandani “We dada wewe ni...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Sikuamin macho yangu, hiv n huyu kweli naemuona hapa mbele yangu? Yy alionesha kama ananifananisha mana alikua ananiangalia kwa makini sana, alionitendea yalinirudia akilini niliumia niliona kama nimeona mnyama...

USISEME MTO MFUPI KABLA YA KUINGIA  Nimeshuhudia mchezo wa kiwango kibwa kunako Ligi Kuu , hii imekua mechi bora kuzidi Derby iliyopigwa pale Zanzibar. Post Mpya
USISEME MTO MFUPI KABLA YA KUINGIA Nimeshuhudia mchezo wa kiwango kibwa kunako Ligi Kuu , hii imekua mechi bora kuzidi Derby iliyopigwa pale Zanzibar.
@majario LIVE

Pamba Jiji football club walikua kwenye ubora mkubwa zaidi kwa dakika zote, kuna muda Simba SC Tanzania walikua hawana tofauti na Jkt Tanzania football club. Mechi imechezeka kwa dakika tisini...

🚨😱 imebainika kwamba shati ya kocha mkuu wa Manchester City, aliyoivaa Kwenye mchezo dhidi ya Real Madrid, ina thamani ya Euro 290. Post Mpya
🚨😱 imebainika kwamba shati ya kocha mkuu wa Manchester City, aliyoivaa Kwenye mchezo dhidi ya Real Madrid, ina thamani ya Euro 290.
@majario LIVE

kwa makadirio ya kubadilisha fedha, Euro 290 ni takriban shilingi za tanzania (TZS) 750,000 hadi 780,000 (kulingana na kiwango cha ubadilishaji cha sasa cha karibu TZS 2,600–2,700 kwa dola 1). hii...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "11"💓😽 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "11"💓😽
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" "(Alikuja kama muuza chai)" “Twende huko na wewe mi siyo mchawi nilikuwa najilinda tu Faster boda akaongeza speed ili asilipoteze lile gari Yule jamaa akaendesha mpaka huko mjini zaidi...

 Increase Earnings from Pakistan → Get +10% Bonus!  Hello Partner! This week the spotlight is on Pakistan 🇵🇰 Post Mpya
Increase Earnings from Pakistan → Get +10% Bonus! Hello Partner! This week the spotlight is on Pakistan 🇵🇰
@majario LIVE

. If you increase your earnings from this GEO by 25% or more compared to last week, we’ll reward you with a +10% bonus on top. How Your Earnings Can Grow...

Fainali ya SIMBA 🆚 RS BERKANE ilipopagwa tu Zanzibar nilijuwa ni mipango ya huyu jama FAOUZI LEKJAA Post Mpya
Fainali ya SIMBA 🆚 RS BERKANE ilipopagwa tu Zanzibar nilijuwa ni mipango ya huyu jama FAOUZI LEKJAA
@majario LIVE

ona sasa anaanza kuumbuka kwa kuendesha mpira wa Afrika kwa Upendeleo FAOUZI LEKJAA yeye ni ✅️Makamu wa Rais CAF ✅️Mwenyekiti wa Fedha CAF ✅️Waziri wa Fedha Morocco 🇲🇦 ✅️Mjumbe wa kamati ya...

NAKUPENDA BILA 46 - 50 MWISHO S1 Post Mpya
NAKUPENDA BILA 46 - 50 MWISHO S1
@majario LIVE

NAKUPENDA BILA MIPAKA:46 Nilimwambia “nina kichukulio?, Dorice natamani unielewe huyo mwanaume alivyo kwanza Hapana sitaki, na unajua mimi kwasasa akili ni mwanangu tu na hata hivyo hawezi kunitaka mimi. Kwa kipi...

Chuck Norris amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86 Post Mpya
Chuck Norris amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86
@majario LIVE

Mwigizaji na gwiji wa sanaa za mapigano Chuck Norris amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86, huku taarita zikieleza kuwa alikuwa akiugua kabla ya kifo chake. Kwa mujibu wa familia...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Kichwa kilinigonga ina mana hayaki mtoto au imekuaje?mbona sasa hapatkan na amenikatia simu uwiiii mm nafanyaje jmn?mimba hii nafanyaje mamangu na baba wakijua je?nawambia nn kuwa babake amekimbia au...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi mm nikaingia ndani ya gari yangu, nikiona tabasamu la mke wangu,na akanifungulia geti, uku akiwa ana tabasamu pana tu mke wangu, basi mi apo niktoa gari na ndo nikaanza...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest