Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
Gonga94 · Stories

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

:96
Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu.

Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo tayari kwa lolote hata sielewi. Alinifikisha, mpaka nyumbani, nyumba ile pale, mimi huyu hapa.Nilimtazama na kusema “asante sana, nashukuru.”

Alisema kwa upole “kwenu pazuri, kumechangamka sana.”
Nilitabasamu na kusema “karibu sana.”
Sasa hapo nje naona mama na mjukuu wake kwa mbali unajua eenh, akaniuliza “yule ni mama yako?”

Nilimtazama na kusema “ndiyo, na yule mtoto ni binti yangu.”
Akawa ana bonyeza simu, baada ya muda nikasikia “mpe mama.”
Nikasikia mama akisema “eenh mwanangu, umemfikisha mpaka nyumbani?”

Mr Gallen alinitazama na nikajikuta nacheka kidogo halafu ndiyo akajibu “ndiyo tajiri, naweza kurudi sasa.”
Mama alisema “hapo sawa, bado yupo ameondoka.”

Akajibu “ameshashuka mama.”
Nilitabasamu, mama akasema “ni sawa mwanangu, ni sawa ila nitamuuliza kama amefikishwa mpaka nyumbani.”
Gallen alicheka akisema “hakuna shida tajiri, dereva nishamaliza kazi nasubiri malipo yangu.”

Mama alicheka kisha Gallen akakata simu akisema “si umesikia, ulitaka unipe kesi bure. Unaweza kwenda sasa.”

Basi natamani abaki tu, mlango wenyewe wa gari nafungua haufunguki, akanisaidia ushamba wangu tena ila sasa nitafanyaje. Vile ndiyo nashuka akaniambia “Napenda tabasamu lako, una tabasamu zuri sana.”

Sijui kama sijafanya kwa raha leo, nikazidi kutabasamu tena kwa furaha kubwa sana. Basi niliposhuka, nilianza kuelekea nyumbani, yeye bado hajaondoka bila shaka alikuwa ananitazama.

NAKUPENDA BILA MIPAKA:97
Basi na mimi tena na mwanangu, kisha nikaenda kukaa alipokaa mama. Ndiyo nikaona gari ile inaondoka. Mama wala hakuuliza kitu, pengine hakujua mimi ndiyo nimeshuka pale pengine au ndiyo ana mambo yake.

Akaniuliza “leo umechelewa mwanangu kwema lakini?”

Vile nilivyo na raha kama nimsimulie mama ila ndiyo siwezi, nikamjibu mama yangu “nipo salama kabisa mama.”
Akanitazama, halafu akasema “unanukia vizuri leo, halafu hilo tabasamu sijaliona zamani sana, vipi una nini leo?”

Nilicheka tu nikisema “mpelelezi kazini mama jamani, nimefurahi tu.”
Mama alicheka akisema “nafurahi kuona una furaha mwanangu mzuri. Haya karibu nyumbani. Halafu mwenzako yupo chumbani kwako, hana hata raha.Hataki kuzungumza nimemuacha tu apumzike.”

Nikawa nashangaa na kuuliza “una maanisha nini mama?”
Mama akaniambia “Dorice, lakini nishamwambia mama yake kuwa Dee yupo huku.”
Nilishusha pumzi na kusema “wacha nikamuone au kagombana na shem huyu.”

Mama akacheka akisema “mambo yenu sasa.”
Basi nikacheka na mwanangu pale, ile namshusha niingie ndani namuona kaka Baraka huyo anarudi, kaka Baraka amenyoa, amenyoa nywele zake zilizokuwa zimesokotana.

Amependeza sana. Nilishangaa, huyu sasa naona ndiyo amekutana na Mungu. Ni kama vile familia yangu imetembelewa na Mungi. Furaha kwa nyumba, mimi nashangaa mama hadi alisimama. Nilishuhudia mama akiita “Baraka!!!”

Kaka Baraka kwa maumivu aliitikia “mamaaa!!”
Jamani walikumbatiana kwa furaha sana. Kaka alikuwa akilia hata na mimi nataka kulia akisema “mama nisamehe kwa machozi niliyowahi sababisha ulie.



NAKUPENDA BILA MIPAKA:98
nakuahidi mama, hutowahi kulia juu yangu, hutowahi kulia sababu nikawa ni mimi. Nitahakikisha nakufurahisha. Nakupenda mama.”

Mama yangu alilia akimshukuru Mungu, nikaona huu wakati usinipite. Sisi wote tulikumbatiana. Hata safari mimi ya kwenda kwa Dee iliisha. Tulikaa hapa, tunahamu ya kujua muujiza uliotokea. Nakumbuka saana.

Alinitazama na kusema “dada unakumbuka nilikwambia nimekutana na mtu anamuhubiri Mungu mtaani. Usiku wa jana sijalala, nilikuwa nasoma Biblia na kutafakari sana.”

Mama akauliza “Biblia?”
Kaka Baraka akajibu “ndiyo mama, ni ya dada. Wakati nasoma nilikutana na kifungu ambacho nikatamani nisome tena na tena. Nilitafuta kalamu na karatasi nikaiandika maana ni ndefu na sikuwa naweza kuweka kichwani. Akaanza kujikagua mfukoni halafu akatoa, na kusoma “Ee Bwana, utete nao wanaoteta nami, Upigane nao wanaopigana nami.

Uishike ngao na kigao, Usimame unisaidie.
Uutoe na mkuki uwapinge wanaonifuatia, Uiambie nafsi yangu, Mimi ni wokovu wako.

Waaibishwe, wafedheheshwe, Wanaoitafuta nafsi yangu. Warudishwe nyuma, wafadhaishwe, Wanaonizulia mabaya.
Wawe kama makapi mbele ya upepo, Malaika wa Bwana akiwaangusha chini.
Njia yao na iwe giza na utelezi, Malaika wa Bwana akiwafuatia.

Maana bila sababu wamenifichia wavu, Bila sababu wameichimbia shimo nafsi yangu.
Uharibifu na umpate kwa ghafula, Na wavu aliouficha umnase yeye mwenyewe; Kwa uharibifu aanguke ndani yake.
Na nafsi yangu itamfurahia Bwana, Na kuushangilia wokovu wake.

NAKUPENDA BILA MIPAKA:99
Mifupa yangu yote itasema, Bwana, ni nani aliye kama Wewe? Umponyaye maskini na mtu aliye hodari kumshinda yeye, Naam, maskini na mhitaji na mtu amtekaye.

Mashahidi wa udhalimu wanasimama, Wananiuliza mambo nisiyoyajua.
Wananilipa mabaya badala ya mema, Hata nafsi yangu ikaingia ukiwa.
Bali mimi, walipougua wao, Nguo yangu ilikuwa gunia.

Nalijitesa nafsi yangu kwa kufunga; Maombi yangu yakarejea kifuani mwangu.
Nalijifanya kama kwamba ni rafiki au ndugu yangu, Naliinama nikilia kama aliyefiwa na mamaye.
Lakini nikijikwaa hufurahi na kukusanyana, Walinikusanyikia watu ovyo nisiowajua, Wananipapura wala hawakomi.

Kama wenye mzaha wakikufuru karamuni Wananisagia meno.
Bwana, hata lini utatazama? Uiokoe nafsi yangu na maharabu yao, Na mpenzi wangu na wana-simba.
Nitakushukuru katika kusanyiko kubwa; Nitakusifu kati ya watu wengi.

Walio adui zangu bure wasinisimange, Wanaonichukia bila sababu wasining’ong’e.
Maana hawasemi maneno ya amani, Na juu ya watulivu wa nchi huwaza hila.
Nao wananifumbulia vinywa vyao, Husema, Ewe! Ewe! Jicho letu limeona.
Wewe, Bwana, umeona, usinyamaze; Ee Bwana, usiwe mbali nami.

Uamke, uwe macho ili kunipatia hukumu Kwa ajili ya madai yangu, Mungu wangu na Bwana wangu.
Unihukumu kwa haki yako, Ee Bwana, Mungu wangu, Wala wasinisimangize.

Wasiseme moyoni, Haya! Ndivyo tutakavyo; Wasiseme, Tumemmeza.
Waaibishwe, wafedheheshwe pamoja, Wanaoifurahia hali yangu mbaya. Wavikwe aibu na fedheha, Wanaojikuza juu yangu.

Washangilie na kufurahi, Wapendezwao na haki yangu. Naam, waseme daima, Atukuzwe Bwana, Apendezwaye na amani ya mtumishi wake.
Na ulimi wangu utanena haki yako, Na sifa zako mchana kutwa.

NAKUPENDA BILA MIPAKA:100
Kila nikisoma nikawa naona kama mimi nipo kwenye vifungo, nikawa narudia tena na tena. Lakini nikaendelea, nikakutana tena na kifungu ambacho kinanirudisha tena hukohuko Isaya 49:25 namna nilikuwa naisoma nikaiweka kichwani “Naam, BWANA asema hivi, Hata mateka wake aliye hodari watapokonywa mikononi mwake, na mateka wake aliye katili wataokoka; kwa maana nitapambana na yeye abishanaye nawe, nami nitawaletea wana wako wokovu.

Nilijikuta namwambia Mungu naomba nisaidie, kupitia haya maneno yako, mimi sikujui, sijawahi kukuomba, sijawahi kukufuatilia lakini naona nipo mateka, naona mimi ni mfungwa, nifungue, nitoe kwenye laana, nisaidie niwe huru, adui zangu waniachie ili nikutumikie wewe, nisaidie Mungu, nitumie, niwe rafiki yako.

Asubuhi ndiyo nilipata usingizi na kidogo nikachelewa kuamka, nilipoamka, mama nimeenda kwenye harakati zangu nakutaka na yule muhubiri tena ananihubiria habari za mateka, na kuwa na Mungu ili niwe huru na kufurahia maisha.

Mungu aoneshe kilichopo ndani yangu. Nikakumbuka usiku wangu, nikaona sio kawaida ni Mungu, akaniuliza kama nipo tayari Kumpa Mungu maisha yangu nikakubali, nilipotubu tu mama na kukubali kuwa yeye Yesu aliye hai ndiyo mwokozi wa maisha yangu nilianza kuona mambo tofauti.

Kwahiyo kuanzia leo mimi nitamtumikia Mungu. Amenielekeza kanisa analo sali, na mimi nitaanza kwenda huko nina furaha sana.Kesho naenda kanisani.”

Tulijikuta tunafuraha sana, nilisema “hongera sana kaka kusema kweli nina furaha sana. Zawadi yangu kwako sasa kaka yangu hii hapa.”
Nikatia Biblia niliyopewa na mama mgonjwa nimpe, kaka yangu alifurahi sana. Alifurahia sana.

Mama alikuwa tu anamtazama mwanaye anakumbatiana naye, hapo Priya sasa na anko wake yupo mwilini. Nilikuwa na furaha sana, nikaona mama na kijana wazungumze na mimi nikamsikilize rafiki yangu. Vile nainuka, kama akasema “dada yangu, unanukia kitajiri.”

Nikacheka huku moyoni naona raha, aanh bwana kunukia raha asikwambie mtu.
NAAAAAAAAAAAAAAM
HAPA NDIYO MWISHO WA SEASON TWO
SEASON THREE INAPATIKANA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO


:96
Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu.

Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo tayari kwa lolote hata sielewi. Alinifikisha, mpaka nyumbani, nyumba ile pale, mimi huyu hapa.Nilimtazama na kusema “asante sana, nashukuru.”

Alisema kwa upole “kwenu pazuri, kumechangamka sana.”
Nilitabasamu na kusema “karibu sana.”
Sasa hapo nje naona mama na mjukuu wake kwa mbali unajua eenh, akaniuliza “yule ni mama yako?”

Nilimtazama na kusema “ndiyo, na yule mtoto ni binti yangu.”
Akawa ana bonyeza simu, baada ya muda nikasikia “mpe mama.”
Nikasikia mama akisema “eenh mwanangu, umemfikisha mpaka nyumbani?”

Mr...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nakupenda-bila-mipaka-96-100-mwisho-season-two

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nakupenda-bila-mipaka
NAKUPENDA BILA MIPAKA 1 - 12
NAKUPENDA BILA MIPAKA 1 - 12
NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45
NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35
NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO
NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO
NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

1.37K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

698
LETICIA 15:16

LETICIA 15:16

263
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO

259
CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10

CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10

191
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05

142
NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

79
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

34
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO

24
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO

18

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.93K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.63K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.87K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.42K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.99K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.83K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.79K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.66K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84
@majario LIVE

Namtak uyo maraya wako, namtaka nasema, mh nikajua apa kumekucha nikawaambia wanangu, nendeni chumbai kwenu haraka, kweli ummy akachukua mdogo wake arshaina wakaingia chumbani, mm.nikamsogelea mama.nikasema.mma ni ustaarabu gani, mama.mi.nilikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO
@majario LIVE

:76 Nazwi niambie kuna tatizo, unagombana tena na dokta wako?” Nilitabasamu na kusema “mimi kugombana na dokta?, kwanini?, Hapana kuna vitu alikuwa ananielekeza tu.” Alinitazama, Nadhani aligundua kitu mimi sijui Ila sikuwa nimempa...

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU. Post Mpya
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.
@majario LIVE

Tena ikiwezekana katika hizi nyumba za kupanga uwe na limit ya muda wa kukaa, mtu unakaa miaka na miaka kwenye hiyo nyumba mpaka unaonekana kama wewe ndiye mwenye nyumba. Inafikia...

LETICIA 15:16 Post Mpya
LETICIA 15:16
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍 LETICIA Sehemu ya 15 Mwandishi;LISSA Yule dada alikuwa mcheshi dakika mbili tushazoeana ,nilikuwaga namuona tu kijijini ila hii siku ndio nikamjua vizuri .alinambia anaitwa rehema. Tulipiga story mno akanipa na namb yake...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana sasa siku iyo nakumbuka nilikuwa kwa jalia , nikamuuliza jalia mbona huna tumbo alafu mimba si itakuwa na miezi 2 , akanmbia mh naona...

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05
@majario LIVE

MTUNZI RITHA STORIES WHATSAPP 0754380244 AU 0680992844 SONGA NAYO................. Mpenzi msomaji Leo na kuletea kisa hiki Cha mapenz ambacho Kita kufunza mengi na kukusisimua,kukufurahisha, na kukuhuzunisha pia Karibu tuende wote👇 Unaweza kuniita Sonia...

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO Post Mpya
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO
@majario LIVE

If you don't leave my house right now, I will cut you into pieces today. Mrs. Helen screamed, waving a big sharp cutlass in the air. Grace backed away, her...

CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10 Post Mpya
CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10
@majario LIVE

Nilifurahi sana❤😘nikaletea mtoto wangu nikamuona nililia kwa furaha nikamshukuru sana Betty maana amekuwa msaada sana kwangu🙏❤ asubuhi ya siku iliyofuata mume wangu nae akaja kumuona mtoto nae alifurahi sana...

ROWAN (Mine alone) 1 - 5 Post Mpya
ROWAN (Mine alone) 1 - 5
@majario LIVE

MTUNZI: Mr Burudan Sehemu ya: 01 ANZA NAYO.... Niite Vee, jina la kifupisho cha jina langu la Vera, Vera ndio jina langu halisi nililopewa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO
@majario LIVE

:66 Mimi nilitoka nikiwa na furaha sana, Niliondoka hapa ni Kama nimezaliwa upya. Moyo wangu ulikuwa umechangamka mno. Ingawa nilifika kwa kujivuta sana lakini siku imeisha na tabasamu pana kwenye uso...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi nikaludi ndani sasa , nikamkuta zena ana mawazo sana, nikasema zena naomba nikupe chakula kwanza kisha tutaongea tu nitakuelezea kila kitu mke wangu, zena akanmbia sawa, wala hakuwa na...

IN LOVE WITH ZURI*   Chapter 7 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Kitendo cha mimi kuongea kwa ukali kiasi hicho kiliwashtua sana Idress lakini pia na Ethan, Ethan yeye mpaka alinyanyuka na kuja sehemu niliyokaa kisha akachukua hiyo chai ambayo nasemea...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest