Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 86 na 87
Gonga94 ยท Stories

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 86 na 87

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Basi mimi sasa apo nikampigia kwanza mkuu wangu kazini, mana sijaenda kazini kama siku 3 na sikuwa nimetoa sababau kabisaa, nikamuelezea kuwa nna matatizo mengi ya kimafimilia kwaiyo sipo sawa kabisaa, yani sipo sawa ata kidogo, mkuu wangu ananijua sana jinsi nilivyo muwajibikaji kwenye suala la kazi, na sinaga shida kabisa kwenye suala la kazi , boss akanmbia sikia millan pumzika nyumbani week 2, tuliza akiri ,na solve shida zako zote ndo uje kazini wala hakuna shida, nikasema.sawa boss asante sana, boss akanmbia usiwaze ,kuwa na amani na umsalimie mkeo mzuri ,nikacheka mana mkuu wangu anajua nilioa ,na anamjua zena,nikasema.sawa kisha nikakata simu, apo nikampigia mwanangu ibraa, na nikaongea nae sana juuu ya aya yanyokabiri mpaka nakuwa sina rahaa, ibra akanipa pole sana akanmbia lakini apo unatakaiwa kwenda kwa shey ili ukaongeee na mkeo, namuelewa zena hayupo sawa ndo mana kaondoka nyumbani

Nikasema ni sawa , lakini ananifikilia mm, mi na mpenda sana yeye, nimezinguana ana kila mtu kwenye familia yatu mpaka mama yangu mzazi kwa sababau yake,lakini haoni, anaondoka.jana hajalala.nyumbani ,ameenda uko kwa shoga yeka , na nawapigia simu tangu jana mpaka leo wote hwapikei simu unazani inakuwaje hiii naumia snaaa, ibraa akanmbia now nipo kazini but nakuja apo kwako jioni, tutajua tunfanyaje juu ya hili suala, aseee ibraa mimi.ni mwanangu sana na hajawahi kunichoka, anaanzaje kunichoka wakati na yeye ana yake huwa namsaidia sana, yani mm na.ibraaa ni ile rafiki na rafiki wa kindaki ndaki, tunaelewana sana na mwanangu, yani sanaa tu , nikamwambia ibraaa frsh ,mi napumzika tu hapa home ,wala.sina cha kuongea na sina pa kwenda kwanza ,ibraa akanmbia sawa

Basi nikakata simu nikawa nimejipumzikia tu pale sebleni na usingizi ukanipitia kabisaa, nikaja kustuka napigiwa sana simu, ahaa nilikuwa na usingizi mana jana yake sikuwa nimelala kbisa mawazo yalinizidia ,nikachek anayenipigia mh alikuwa ni shey , mh nikapokea ile simu nikasema.shey shey nambie mke wangu yuko wapi, shey akasema.shemu ndo.mana nimekupigia, mkeo anaondoka huu mda analudi kwao mwanza, mi nimeongea nae sna hajanielewa ,aseeeeee nilisimama mbona usingizi ukakata chapu, nikasema.unanambiaje, shey akasema shemu kweli ameelekea stand ya mbezi, mi nilizani amekuja ana hasira kisha ataludi nyumbani, nashangaaa leo ananmbia yeye analudi kwao anaenda kulelea wanae ukoo, nimeona nikueleze isije kuwa shida kwangu baadae shemeji, ahaaaaa nikasema sawa shey , sawa sawa, anaondoka na gari ya saa ngapi, akanmbia saa 12 jioni, nachek uo mda ni saa 10 jioni iyoooo

Mi nikakata ile simu ,nikaingia chumbani harkaa nikavuta funguo za gari, nikaingia kwenye gari yangu, nikaaanza kuelekea mbezi sasa, aseee zena ananivuruga kumpambania kote, anaondoka et , aseeeee apo mbezi kama nilipaa ndan ya dakika mbili nikafika, nikapark gari, kisha nikashuka na haraka nikaongia ndani ya stand, nikaaanz kuulizia magari ya mwanza yako wapi, nikaoneshwa sasa uo upande yanabark basi za mwanza, nikaaaenda kwa hii siku wala hakukuw na abiria wengi, nilimuona zena na wanae wamekaa katika bench , naona walikuwa wanaongoja gari yao sasa, mana mda ukikuwa bado, aseee nimefika pale , ummy ndo alikuwa wa kwanza kaja kuniwow, arshaina akanifatia, nikaona zena kama kastuka hivi ,naona hakutegemea ujio wangu pale

Nimefika pale nna hasira kwnza ,aseee mi nagombana na kila mtu kwa ajili yake ,et yey anataka kuondoka, mi nimefika pale wala sikutka salamu nae ,nikamwambia si umeamua kuondoka sio, zena akasema ndio niache niondoke nikafanye maisha yang,u nikasema swa nakucha uende na maisha yako, nipe wanangu, nikampokonya shadya kwanza alikuwa anamyonyesha na kwa uo mda shady alaikuwa na miezi 10, alafu nikamchukua na arshaina, nikamwambia ummyy twende, mana ummy anatembea ,zena akasema.waache watoto unawapeleka wapi niachie wananagu

Nikasema weee kelele wanao peke yako awa, hizi si ni damu zangu. Au nani alikutomba kukupa awa watoto, Sasa we nenda mwanza katombeke kwanza uko, usiende na damu zangu mm, akasema sawa beba wanao muache ummy sio mwanao, ummy akasema weee mimi uyu bana yangu, na awa wadogo zangu si et arshaina, ayaaa mtoto mwenyewe kashamkataaa mi naongea nn, nikamwambia ummy mi mwanangu, ayo masulaa mengine unayajua ww mimi hayanihusu, nikabeba wanangu ummy nikashika mkono, tukamuacha zena ameekakaaa ata haamini, tukaingia mpaka parking , nikawapakia kwenye gari, aka kadogo ndo nilimueka mbela nikamfunga na mkanda vizuri,kisha tukaanza safari ha kuridi home, nikaiwa najua kabisa zena ataludi tu, anavyowapenda wanae aondoke awaache hana jeuli iyooo

Basi nikafika home na wanangu ,alafu sasa aka kadogo ananijua vizuri so wala hakuwa msumbufua na ummy yupo tena akambeba mdogo wake, nilikuwa na stresss kisenge, yani sikuwa sawa kabisaa, nilimwambia dada awaandalie chakura watoto ni awaogeshe, kisha nikamwambia dada uyu mdogo akisha muandaa amleta chumbani kwangu, mana daahs sikuwa powa kabisa, mi nikaingia chumbani kwangu kichwa kinanaiuma saaana nikajitupa kitandani, ata sielewi maisha yangu tenaaa, mpaka nikajikuta mchozi yanatoka sasa, na mda uo uo zena ananipigia smu, ata sikumpokelea niliona ahhhaa kumbe ata yeye anaweza akondoka mda wowote hajali kabisa kuhusu mimi, mbona mm najali sana kuhusu yeye na nimepambana kwa kila kitu ili nibaki nae a yeye haoni kabisaaa , nikaacha tu kupokea simu yake, nilikua na stresss sana ,mpaka nikawaza au nimuache tu zena ,mm nilee wanangu, niliona kama ntakuwa na amani ni sawa piah, mi niliumia sana kitendo cha zena kuondoka nyumbani hali ya kuwa mm nampambani sana, mi nikamtumia.sms zena nikamwambia kama.kupambana nishapambana sana juu yako, nishagombana na kila mtu kwenye familia yangu kwa ajili yako, mpaka mama yangu mzazi kanikasilikia lakini ww huoni, unaangalia sababau zako basi fresh zena ,mi sina shidaaa, njooo uchukue taraka yako, zena ata ukitaka na wanao njoo ubebe mi ntalea hakuna shidaa, mi nilikuwa na maumivu sana kwa uo mdaa , nilipomaliza kuandika iyo sms nikajilaza tu kitandani, kichwa kinauma sanaaaaa ,

Mh mala malngo ukafungiliwa akaingia zena , kanywea mnooo yani sana, mi nilimuona nikamuuliza ndo umefata wanao sioa basi powa hakuna shida ,kachukue wanao uende, apo nashika kichwa kinauma sana, zena akanisogelea akanmbia
unaumwa kichwa kwan mbona upo hivyo?, nikasema niache unajalia nn wewe, ungekuwa unajalia ungeondoka, na ungetaka kusafiri kwenda kwenu ukoo, kamachangamoton unazopitia na mm napita tena za zaidi, ila hunifikiliii mm unajifikialia mwenyewe, achana na mm kachukue wanao uende sasa, ahaaa sawa utakiwa umechelewa gali nakupa nauli ukakate tiketi ya mda huu uondoke sasa, nenda tu mi ntataeseka na ntasahau nakwambia ,

nenda zena, si hunitaki nendaa, apo nikawa kama namsukuma ,zena akawa analia sasa, nikasema umekuja kufata wnao ndo wa muhimu kwako, ni wanao si ndio, ni wanao ndo kila kitu kwako nenda kawafate sasa , apo kchwa kinaumaaa mnooo nikakaa kwanza, nikaona zena kaenda kuniletea dawa akanipa na maji akanmbia kunywa kwanza tuongeee, kunywa plsssssss , nikamuangalia kwa hasiraaa, ila nikapokea zile dawa nikavuta na glass ya maji nikanywaa kisha sasa nikajilaza kitandani, aseeeee sikuwa sawa kabisaaaaa

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 86 na 87



Basi mimi sasa apo nikampigia kwanza mkuu wangu kazini, mana sijaenda kazini kama siku 3 na sikuwa nimetoa sababau kabisaa, nikamuelezea kuwa nna matatizo mengi ya kimafimilia kwaiyo sipo sawa kabisaa, yani sipo sawa ata kidogo, mkuu wangu ananijua sana jinsi nilivyo muwajibikaji kwenye suala la kazi, na sinaga shida kabisa kwenye suala la kazi , boss akanmbia sikia millan pumzika nyumbani week 2, tuliza akiri ,na solve shida zako zote ndo uje kazini wala hakuna shida, nikasema.sawa boss asante sana, boss akanmbia usiwaze ,kuwa na amani na umsalimie mkeo mzuri ,nikacheka mana mkuu wangu anajua nilioa ,na...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-millan-sehemu-ya-86-na-87

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending ๐Ÿ“ Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-millan-sehemu-ya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 36 na 37
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 36 na 37
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 40
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 40
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 28 na 29
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 28 na 29
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 62 na 63
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 62 na 63
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 54 na 55
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 54 na 55
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 60 & 61
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 60 & 61
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 39
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 39
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 83 na 84
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 83 na 84
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 31 na 32
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 31 na 32
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *Sehemu ya 51 na 52*
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *Sehemu ya 51 na 52*
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 78 na 79
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 78 na 79
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 76
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 76
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 74 na 75
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 74 na 75
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 33
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 33
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 38
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 38
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 53
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 53
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 80
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 80
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 73
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 73
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 77
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 77
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 59
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 59
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 85

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 85

1.23K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 86 na 87

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 86 na 87

755
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO

299
LETICIA Sehemu ya 17 na 18

LETICIA Sehemu ya 17 na 18

288
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

68

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.95K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.64K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.89K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.55K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

3.04K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.99K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.85K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.82K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.71K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.68K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Basi mimi sasa apo nikampigia kwanza mkuu wangu kazini, mana sijaenda kazini kama siku 3 na sikuwa nimetoa sababau kabisaa, nikamuelezea kuwa nna matatizo mengi ya kimafimilia kwaiyo sipo sawa...

LETICIA Sehemu ya 17 na 18 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 17 na 18
@majario LIVE

Nikiwa nimelala usiku nikashangaa mlango unafunguliwa. Mmh nikainuka chapu uzuri sizimagi taa ,si namuona polela jamni loooh nilichukia mno jamani nikasema wewe umefwata nini umu .akasema taratibu mummy...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 85 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 85
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Aseeee mi nikatulia pale sebleni, et amam akaenda kuchukua nguo zake akasema naenda pemba ushasahau kuwa mm nimekuzaa ww kabisa , na ndo mana huna adabu kabisa, mi...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema โ€œsasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.โ€ Dada Maria alicheka na kusema โ€œwewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 83 na 84 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 83 na 84
@majario LIVE

Namtak uyo maraya wako, namtaka nasema, mh nikajua apa kumekucha nikawaambia wanangu, nendeni chumbai kwenu haraka, kweli ummy akachukua mdogo wake arshaina wakaingia chumbani, mm.nikamsogelea mama.nikasema.mma ni ustaarabu gani, mama.mi.nilikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO
@majario LIVE

:76 Nazwi niambie kuna tatizo, unagombana tena na dokta wako?โ€ Nilitabasamu na kusema โ€œmimi kugombana na dokta?, kwanini?, Hapana kuna vitu alikuwa ananielekeza tu.โ€ Alinitazama, Nadhani aligundua kitu mimi sijui Ila sikuwa nimempa...

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU. Post Mpya
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.
@majario LIVE

Tena ikiwezekana katika hizi nyumba za kupanga uwe na limit ya muda wa kukaa, mtu unakaa miaka na miaka kwenye hiyo nyumba mpaka unaonekana kama wewe ndiye mwenye nyumba. Inafikia...

LETICIA 15:16 Post Mpya
LETICIA 15:16
@majario LIVE

๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’ LETICIA Sehemu ya 15 Mwandishi;LISSA Yule dada alikuwa mcheshi dakika mbili tushazoeana ,nilikuwaga namuona tu kijijini ila hii siku ndio nikamjua vizuri .alinambia anaitwa rehema. Tulipiga story mno akanipa na namb yake...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana sasa siku iyo nakumbuka nilikuwa kwa jalia , nikamuuliza jalia mbona huna tumbo alafu mimba si itakuwa na miezi 2 , akanmbia mh naona...

CHAGUO LA MOYO โฃ๏ธ SEHEMU YA 01--- 05 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO โฃ๏ธ SEHEMU YA 01--- 05
@majario LIVE

MTUNZI RITHA STORIES WHATSAPP 0754380244 AU 0680992844 SONGA NAYO................. Mpenzi msomaji Leo na kuletea kisa hiki Cha mapenz ambacho Kita kufunza mengi na kukusisimua,kukufurahisha, na kukuhuzunisha pia Karibu tuende wote๐Ÿ‘‡ Unaweza kuniita Sonia...

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO Post Mpya
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO
@majario LIVE

If you don't leave my house right now, I will cut you into pieces today. Mrs. Helen screamed, waving a big sharp cutlass in the air. Grace backed away, her...

CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š   Sehemu   ya   10 Post Mpya
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š Sehemu ya 10
@majario LIVE

Nilifurahi sanaโค๐Ÿ˜˜nikaletea mtoto wangu nikamuona nililia kwa furaha nikamshukuru sana Betty maana amekuwa msaada sana kwangu๐Ÿ™โค asubuhi ya siku iliyofuata mume wangu nae akaja kumuona mtoto nae alifurahi sana...

ROWAN (Mine alone) 1 - 5 Post Mpya
ROWAN (Mine alone) 1 - 5
@majario LIVE

MTUNZI: Mr Burudan Sehemu ya: 01 ANZA NAYO.... Niite Vee, jina la kifupisho cha jina langu la Vera, Vera ndio jina langu halisi nililopewa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest