Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
22 Jan 2026
18 views
VYOTE NDANI GONGA94
Mwandishi aliuliza je neno mshangazi maana yake nini, Kajala akajibu mshangazi ni mwanamke mwenye umbo kuuubwa, Wolper akisema mshangazi ni mwanamke mwenye umri
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
mkubwa kama sisi hapa yani kama mimi, Kajala, Auntyezekiel na Irene Uwoya
Irene Uwoya akasema hapana sisi sio mishangazi, sisi ni ma aunt rich, ikabidi wolper aulize kwani kuna tofauti kati ya aunt rich na mshangazi, Irene Uwoya akajibu ndio tofauti ipo kubwa siunaona sisi tulivyo vimbau mbau
Aunty ezekiel akajibu kuwa unajua ili watu wakuite mshangazi muda mwingine huwa wanaangalia mtu unae mdate, Wolper akauliza kwani wewe Auntyezekiel una miaka mingapi na Kusah nae ana miaka mingapi, Auntyezekiel akajibu mimi kwa sasa hivi sitamani hata kujua kusah ana miaka mingapi na wala mimi nina miaka mingapi mimi ninacho jua yeye ni baba Zara mimi ni mama Zara
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
ENDELEA....... "Jitahidi uwe na utu kuna maisha baada ya haya, kuna kupanda na kushuka. Kuishi na watu vizuri ni hadhin...
Je wajua filamu ya Deadly Prey ya mwaka 1987 ilitayarishwa na David Trior ambaye alimpa nafasi ndugu yake Ted Prior kucheza uhusika mkuu(main character)
filamu iliyotengenezwa kwa bajeti ya chini sanaa kiasi mwanzo mwisho wa filamu jamaa alikuwa na kipensi tuu vibanda umiz...
Mwandishi aliuliza je neno mshangazi maana yake nini, Kajala akajibu mshangazi ni mwanamke mwenye umbo kuuubwa, Wolper akisema mshangazi ni mwanamke mwenye umri
mkubwa kama sisi hapa yani kama mimi, Kajala, Auntyezekiel na Irene Uwoya
Irene Uwoya akasema hapana sisi sio mishangazi, sisi ni ma aunt rich, ikabidi wolper aulize kwani kuna tofauti kati ya aunt rich na mshangazi, Irene Uwoya akajibu ndio tofauti ipo kubwa siunaona sisi tulivyo vimbau mbau
Aunty ezekiel akajibu kuwa unajua ili watu wakuite mshangazi muda mwingine huwa wanaangalia mtu unae mdate, Wolper akauliza kwani wewe Auntyezekiel una miaka mingapi na Kusah nae ana miaka mingapi, Auntyezekiel akajibu mimi kwa sasa hivi sitamani hata kujua kusah ana miaka mingapi na wala mimi nina miaka mingapi mimi ninacho jua yeye...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwandishi-aliuliza-je-neno-mshangazi-maana-yake-nini-kajala-akajibu-mshangazi-ni-mwanamke-mwenye-umb
Maoni