VYOTE NDANI GONGA94
.๐ฅ๐ฅ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUA๐๐๐๐ Sehemu ya tatu.
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
๐ Juma amka unile...๐
Nimekuja.
( Nikaamka nakutana na madam...cha kwanza nikailalia barua asije akaiona italeta utata...kabla sijafanya chochote sauti ya mume wa madam inasikika)
" Khadija khadija.
( Madam akatoka ndani kwa kunyata alafu akaitika akiwa sebuleni)
" Abee mume wangu.
" Upo wapi?
" Nampelekea shuka mdogo wangu.
" Sawa alafu njoo haraka.
( Madam akajua imesimama akwenda tena kwa mdogo wake akawai ndani nia aliwe anawashwa anaingia ndani anakuta imelala doro vile vile kama mkungu wa ndizi juu ya mgomba tu ilivyolala alafu anamwambia)
" Mke wangu sisikii usingizi acha nikae sebuleni.
" Sawa mirungi yako iyo inakufanya usipate usingizi.
( Akaenda kukaa sebuleni kwa na mirungi yake na bigiji zake kwa sababu yeye usingiza aupati akaja kuniamsha mimi)
" Juma juma njoo sebuleni hapa tupige story.
( Niliamka nikiwaza anataka kuniambia lile analotaka kusema..ila nafika sebuleni naona na mkewe yupo pale sasa anamwambia mumewe)
" Muache juma alale.
" Yani alale yeye ndio mwenye nyumba hii mimi nikeshe yeye alale.
" Sasa wewe si unakesha kwa starehe yako sasa hapa yeye anafanya nini.
" Atakusanya majani ninayotupa chini.
( Boss anakula mirungi mala majani arushe nyuma ya sofa...mimi nasogeza sofa nachukua majani ilimradi kero...mdogo wa madam aliamka nia aje chumbani kwangu ila akakuta wenyeji tupo sebuleni akazuga)
" Nyumba hii siku izi amlali.
" Shemeji yako usingizi ana basi anatuenyesha wote.
" Shemeji sio vizuri sasa mbona unatupa majani mlangoni juma anaenda kuokota si uweke sehemu moja baadae akayatupe.
" Shem usiku sauti inafika mbali unajua nachokula ni haramu kwa sheria ya nchi hii.
" Sawa sijataja jina si Nimesema majani.
( Yani boss lina roho mbaya sana limenienyesha mpaka saa 11 alfajiri akaenda kuoga akapikiwa supu ya samaki akaondoka alafu madam akaniambia)
" Juma twende feli ukabebe samaki naona ndani wameisha humu.
" Sawa.
( Akili yangu inatamani nitoroke nisirudi tena ila nawaza mtaani kazi amna nitateseka...sasa nashangaa tupo kwenye gali yake tulifika sehemu ya kuosha magali akaiweka gali hapo saa 12 asubuhi wanakesha pale wanaosha magali akawaambia osheni gali hili...akaita uba tukaenda sinza najiuliza sinza kuna feli alafu tukaingia hotelini hoteli nzuri tu akachukua chumba tukaenda ndani akili yangu ndio wapo samaki tunafika ndani ananiambia)
" Juma kumbe yule mume wangu anajua anachokula kile haramu na wewe unapaswa ule haramu au?
" Mimi siwezi kula mirungi kwenye maisha yangu.
" Juma na wewe kama mtoto mdogo haramu hii lete mkono nikugusishe.
( Nikampa mkono akanigusisha zigo lake udenda ulinitoka nikiwaza mateso ya mumewe nikasema Leo siliachi salama liwalo na liwe nikajitoa ufahamu nikamwambia)
" Litoe basi nilione maana si mchezo Umejaaliwa.
" Juma wewe aya zipu iyo hapo ifungue ulione.
( Alinigeuzia mgongo nifungue zipu ya nguo yake ya kifahari sijui inaitwaje nguo za kike izi nilifungua zipu ile uku akili sio yangu namsikia anasema)
" Nazima simu sitaki kero juma usinione aibu Nile kama nimekula nauli yako sana alafu nimekuzungusha sana Sawa.
( Nasema kumbe tabia za ajabu mpaka hawa wanazo au wanasikia story na mimi nawaza kumla kichizi wote tulikuwa Sawa kwa mpambano namuona alivyojaaliwa alafu malaini ananiambia)
" Twende kitandani ukanile sasa.
( Jamani anavyotembea anakifata kitanda mimi uku hoi akili za kijinga nasema la kwanza namwaga chini kushukuru mababu kwanza Leo nakula ngozi nyeupe mimi..akanyanyua mguu anapanda kitandani mimi udenda unanitoka)
" Juma napenda uninyonye mk...
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi boss-naogopa-mumeo-hataniua-sehemu-ya-tatu