Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 3
Gonga94 ยท Stories

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 3

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

..... Baada ya kushuka mwenye piki piki sasa nikawa natembea haraka haraka kuliko hata mwenyeji wangu, Tinner anaongea hata namsikiliza basi ...

"We nae mbona umenuna hivyo usinambia una wasi wasi bado na ile gari yako hapo chini??" Yaani alivyotaja gari moyo ukafanya pyaa, nikaona sura ya yule kaka katili alieamua kunidhalilisha na lile jicho lake palee

"Yaani Tinner hakiamungu najuta kuja hukuu yaani najutaa dah"

"Sa unajuta kisa nini, hiko kilima??"

"Bora hata kilima, Ule muda nakuambia kwamba naogopa wataniibia vitu kwenye gari?"

"Mhu...."

"Yaani bwana kumbe kuna mkaka mwingine mvuta bangi mwenzao kanisikia yoteee yaani........" nikamuhadithia tu juu juu mana hata mood ya kuongelea hilo swala sikuwa nayo

Mie namuelezea, Tinner anacheka hadi anakosa pumzi:

โ€œHahahahahah Verooo nimekuambiaaa hamna wizi hapaaa!!โ€
Nikajibu kwa hasira
โ€œTinner acha kucheka bwana, mie
nimepata Aibu!โ€

" hahahaha daah mwenzangu pole najuaga aibu ya kusutwa na wanaume khaa!!, Tuachane na hayo shoga karibuu hapa ndio kwangu mhuu unapaonajeee!!???'"

Nikaitazama Nyumba kweli ilikuwa nzuri sana kubwaaa haswaaa ina kila kitu nyumba ya kishua sema ndio ipo kwa wahuni kibaoo huku mitaa hata haieleweki nyumba mbaya mbaya kibao eeh sijui mwenye nyumba aliwaza nini tu

"Kodi shingap??" Nikamuuliza baada ya kunywa maji hata presha nikaona imekaa sawa kidogo...

"Nalipa kodi wapiii, , , nilitaka tuonane ili nikupe habari livee..... shogaaaa nilipata bwana huyooo mume wa mtu huko nimemkurupua hii ndo nyumba yake kanipa niishi silipi kodi na_kasema ataninunulia gari yaani hehehe we verooo aah Can't wait hakiiii "

Hee !!! Haya yalikuwa mapya kwangu nitasema nini mie nikabaki kucheka na kumpa hongera maana ana mwezi mmoja kasoro tangu ameachana na bwana ake yule malaya malaya, mie nikajua yupo single kumbe kashapata li mme la mtu huko haaa!! Aliniacha mdomo wazi

'"Heheheee !! Loo! We kiboko dadaaa, heheh huogopi ?? Mme wa mtu sumuu bint weeee!"

"Kwani nilimfataa, si kanifata mwenyewe , Kizuri kula na mwenziooooo"

"Hahah Tinner umekuwa sasaaa eeh naona umeanza kujua na misemo "

"Hahah we acha tu ..... hilo babaaa ni zurii we Vero yaani natamani hata asingekuwa kaoa jamani daah nimepata mwanaume wa ndoto zangu ila ndo hivyo tayari mume wa mtu, yaani hata sielewi ila ananipendaaa acha ananidekeza hatari hadi najuta kupoteza muda kwa kelvin najutaaaaa!!"

"Enhee vipi kelvin nae... hajakutafutaa??"

"Aache afee....kutwa simu anauliza nimehamia wapi, yaani silipendi lile kaka mxeeeuw ....Embu ngoja niandae chula kwanza tule usinitajie Kelvin aisee yaani usimtaje kabisaa hapaa "
Nikabaki nacheka tu wakati yeye ameenda kuandaa chakula, walivyokuwa wanapendana na Kelvin jamani looh mpaka mie nilikuwa najiona yatima mana mpenzi wangu huyo yupo bize bize hatari .....

Basi ile siku nilishinda hapo kwa Tinner tulipiga story kibaoo yaani kutwa nzima alikuwa akimsifia tu huyo.bwana ake mpya hapo penzi hata wiki mbili halina hahah ile hizo sifa duh naona usiku taya zilimuuma maana mpaka alianza kurudia sifa sijui alikuwa anasahau kama hili alishanambia maaana mmh ...

Mida kama ya sa kumi kumi hivi nikaaga mie niende zangu Nyumbani kuweka weka mazingira sawa maana kesho natakiwa asubuhi kazini.....
Akanisindikiza kushusha kilima kwenda ilipo gari yangu yaani nilipo anza tu kushuka moyo ukapiga paa!! Nikajikuta nakumbuka ile aibu ya Asubuh , nikawa naomba mungu nisije mkuta haswaa yule mkaka gentleman mie hata simjui jina ila alivyo mmmh embu nisianze kumsifia mana amenikera hatari ila ni mkaka wa maana sauti nzito imetuliaaaaa hatari ....


Basi nikawa naomba kweli mungu nisije kumkutaa hapo yaani hata nikasahau kama Tinner ananisimulia natakiwa kum support, yeye nae bado tu ana story za mbaba wake aaah ushoga kazi mie mpaka nilianza kukerekwa sasaaa ..

Ile napiga jicho chini kule kwenye gari, maana niliisogeza pembeni kupisha njia, jamani wahuni wamejazanaa wewee ile ya asubuhi chamtoto babaaa, wakaka ni wengiiiii
"We Tinner wewee....." mwenzangu nilisita kutembea kwanza

"Ninii....??"

"Ndo wengi hivyo.?"

"Sasa unawaogopa?"

"Je kama wamehadithiana, Nifike tu waanze kuninanga mmmh we kachukue gari yangu mwenzangu mie hapo siendi' Nilichukua funguo nikawa nampa, ukweli nilikuwa naogopa kabisa

"Embu twende bwana upo na mie hakuna hata atakae thubutu kukugusa embu twende "

Mmmh nikawa natembea kwa kuogopa, tukafika mpaka ilipo gari, Tinner akawasalimia kwa mbwe mbweee kweli nao wakaitika flesh fleshiii yaani ilee hai haii mie tena mdomo mzitooo hatari natamani kuangaza macho labda nitamuona yule kaka sikumuona ila yule aliniamshia popo nilimuona yule alinigokea kweli kweli nusu anizabe ma bazi.

Nikaagana na Tinner hapo nikawaambia asanteni, wakasema usijali sister kuwa na amani, Nikaseondoka, hata sijafika mbali nikawa nimeona duka nikakumbuka bora nichukue kabisa maji naweza kupata kiu njiani....
Tangazo - General kumbe ulinipenda kweli eee
General kumbe ulinipenda kweli eee
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 3


..... Baada ya kushuka mwenye piki piki sasa nikawa natembea haraka haraka kuliko hata mwenyeji wangu, Tinner anaongea hata namsikiliza basi ...

"We nae mbona umenuna hivyo usinambia una wasi wasi bado na ile gari yako hapo chini??" Yaani alivyotaja gari moyo ukafanya pyaa, nikaona sura ya yule kaka katili alieamua kunidhalilisha na lile jicho lake palee

"Yaani Tinner hakiamungu najuta kuja hukuu yaani najutaa dah"

"Sa unajuta kisa nini, hiko kilima??"

"Bora hata kilima, Ule muda nakuambia kwamba naogopa wataniibia vitu kwenye gari?"

"Mhu...."

"Yaani bwana kumbe kuna mkaka mwingine mvuta bangi mwenzao kanisikia yoteee yaani........" nikamuhadithia tu juu juu mana hata mood ya kuongelea...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/from-bangi-to-baby-sehemu-ya-3

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi from-bangi-to-baby-sehemu-ya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 2
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 2
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.56K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.53K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.58K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.8K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.36K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.26K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.2K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.14K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.14K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.05K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest