Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........07
Whatsapp..............0613083801

Ilipoishia.......
"Unaweza kuniambia ni kwanini unamchukia sana yule binti",swali la Mwanamama katalina lilimfanya Albert ajutie kile alichokiuliza......

ENDELEA NAYO.....
Swali la Mwanamama katalina lilimfanya Albert ajutie kile alichokiuliza.
"Mama mimi yule simwamini tu na sio kwamba ety namchukia hapana simwamini kabisa yule binti",Albert aliongea.
"wewe humwamini ila mimi namwamini na ninampenda kama mwanangu na pia kumbuka yule ni mtoto wa rafiki yangu namchukulia kama mwanangu na kilichonivutia zaidi na kunifanya nimpe nafasi ya kushiriki ni kuwa yule binti ni mzuri sana sio kisura tu ata kitabia yupo tofauti na wengine na mabinti kama hao ni wachache sana", Mwanamama katalina aliendelea kushikilia msimamo wake wa kumuamini Angelina.

Albert hakutaka tena kuendelea kuongea na mama yake aliondoka pale sebleni na kuelekea chumbani kwake kupumzika lakini alichukua simu yake na kumtafuta Diana alipiga lakini simu iliita bira kupokelewa mpaka  ikakata yenyewe,
"Nimekaa mda mrefu sana nikisubiri huu mda ufike hapa ni lazima nije niweke wazi hisi zangu kwa Diana, kiukweli nampenda sana kesho lazima nimwambie kama nampenda",Albert aliongea na chumba chake mwenyewe akikili kumpenda Diana aliamua kuzima simu yake baada ya Diana kushindwa kupokea simu yake.
               
Nyumbani kwa Mr.James palikuwa hapakaliki kabisa na hii ni baada ya kufika mpaka saa 7 usiku pasipo binti yake kuonekana nyumbani,
"Nimefanya ujinga gani mimi sikutakiwa kumfanyia vile binti yangu na sijui atakuwa kwenye hali gani mda huu",Mr.James aliendelea kujilaumu kwa kitendo cha kumpiga binti yake Diana.

Licha ya kuwa ni usiku sana alitoka mpaka nje na kwenda kwa mlinzi wake,
"Shika kiasi cha laki moja hiki kama malipo ya kazi ambayo nakupatia sasa ivi", Mr.james aliongea.
"Kazi gani boss?"
"Nenda kamtafute Diana na hakikisha unarudi nae hapa nyumbani sasa ivi",Mr.James aliongea Huku akiondoka hakutaka kusubiri jibu kutoka kwa mlinzi wake.
"Jamani mbona tanenepa mwaka huu Yani kumtafuta mtu napewa laki, safi sana akirudi nitamwambia atoloke tena nipewe laki nyingine",Mlinzi aliongea huku akitoka na kwenda kumtafuta Diana.

Mlinzi alifurahi baada ya kupewa kiasi kile cha pesa  pasipo kutegemea tena kazi yenyewe ni kumtafuta Diana, alizunguka karibu kila pande usiku huo lakini hakuafanyikiwa kumpata Diana usiku huo.
            
Ni siku nyingine mpya sauti za ndege zilimwamsha na kumfanya aamke lakini kichwa kilikuwa kikimuuma sana na alipotazama mazingira ya chumba alichokuwa amelala alishangaa kuona sehemu ile ni ngeni  kwake,
"Mmmh hapa nipo wapi tena na nimefikaje?",hakuwa mwingine bali ni mwanadada Diana aliyeamka  kutoka usingizini.
"Gari langu,simu yangu...", Alinyenyuka haraka baada ya kumbukumbuku kumrudia za wapi alipokuwa siku ya Jana, alitoka na kufunga mlango wa kile chumba.

Alianza kutembea ndani ya nyumba asiyoijua na mazingira ya mle ndani yalimvutia zaidi hasa alipokuwa akiyatazama,aliendela kuzunguka mle ndani ili aone kama atakutana na mwenyeji ya ile nyumba.

Stewart nae mda huo ndiyo alikuwa akiamka kutoka chumbani kwake alitoka na kukutana na mwanamke ambae alifanya amtazame mara mbilimbili kuhakikisha kama ni yeye,
"Weweee..."
"Wewee nim...."

wote walijikuta wanaongea kwa pamoja.

"Niambie nimefikaje hapa na kwanini umenileta hapa kwako bira ruhusa yangu", Diana aliongea na akimshutumu Stewart.
"Unaongea nini wewe, mimi ndiyo nikuulize umeingiaje humu ndani?",Stewart  nae alikuja juu.

Yalikuwa ni mabishano kati ya Stewart na Diana kila mtu akitamani kujua hasa Diana ambae alimkomalia kwa kumlalamikia Stewart kumleta kwake bira ridhaa yake.

Majibishano yale mama Stewart aliyasikia na kuamua kutoka na kuwafata,
"Ooh binti umeshaamka", sauti ya mama Stewart ilimfanya Diana aache kuzungumza na kugeuka nyuma kuangalia mtu anayemuongelesha.
"Mama wewe ndio umemleta huyu?,mana hapa lawana napewa mimi sasa ivi",Stewart aliongea baada ya kumuona mama yake mzazi.
"Kwani mnajuana au mmeshawahi kuonana?",Mama Stewart aliamua kuwauliza.
"Hapana hatujuani",Diana aliamua kumuwahi Stewart kabra hajalopoko.

Mama Stewart alimuelezea Diana jinsi ilivyokuwa jana yake mpaka wao kuchukua maamuzi ya kumsaudia na kumleta pale,baada ya maneno yale Diana alijikuta anamwaga machozi na hii iliwashangaza Stewart na mama yake.
"Binti mbona unalia?"
"Kwa uliyonisimulia sikutegemea kama mimi ndiyo wa kufanya yale mambo, nipende kuomba samahani kwa usumbufu niliowapatia siku ya jana naombeni niondoke nikaangalia usalama wa gari yangu mana niliiacha katika ile klabu".

Mama Stewart alimruhusu Diana huku akimsititiza awe makini zaidi lakini Stewart aliamua kumpeleka kwa kutumia gari lake.

Ndani ya gari Diana alikuwa ni mwenye mawazo na Stewart  alilitambua hilo.
"Hupaswi kuwa na mawazo Diana, nyakati za wanadamu siku zote zinatofautiana huwezi kuwa na furaha kila siku leo utakuwa na mawazo kesho utakuwa na furaha ni moja ya jaribu unalopaswa kulipitia kwa wakati huu Diana, japo najua kuna kitu kilichokufanya mpaka ukachukua maamuzi uliyoamua kuyafanya", Stewart aliongea lakini Diana hakumjibu kitu mpaka pale walipofika na yeye kushuka kwenye gari na kwenda kwenye gari yake na bahati ilikuwa kwake kwani gari yake aliikuta ikiwa salama kabisa na alimuaga Stewart na yeye akaelekea nyumbani kwao.         

Mwanamama Katalina asubuhi hiyo alijiandaa mapema sana kwa ajili ya kuondoka,Albert alivyotoka chumbani kwake alishangaa kumkuta mama yake yupo kwenye maandalizi ya kuondoka,
"Mama leo mbona mapema sana unasafari ya wapi?"
"Leo kuna zoezi kubwa linatakiwa lifanyike la washiriki wote kuonyesha kile walichonacho na tutawagawia namba kabisa watakazokuwa wakitumia", Mwanamama katalina alijibu.
"Nimekuelewa mama lakini mara ya mwisho kuwasiliana na baba ilikuwa lini?"
"Albert naona unataka kuharibu siku yangu asubuhi hii,baba yako tangu aende marekani mpaka sasa ivi hakumbuki kama ameacha familia huku atakama kampuni ni yake lakini familia pia ina umhimu mkubwa sana, wewe umeshakuwa sasa ivi unaweza kumtafuta baba yako mwenyewe na kuongea nae", Mwanamama katalina hakupendezwa na kila kilichoulizwa na Albert aliondoka pale nyumbani na kumuacha mwanae akimtazama tu.

Palepale Albert alichukua simu yake na kumpigia Diana ambae mda huo alikuwa akiendesha gari akielekea nyumbani kwao, aliamua asimamishe gari pembeni ili apokee simu, na temu hii upande wa Albert ilikuwa tofauti na jana usiku kwani simu ilipokelewa,
"I'm sorry Albert niliona missed call zako na mda huu ndiyo nilikuwa najiandaa kukupigia sema umeniwahi my dear",Diana aliongea.
"Jambo la kawaida ila jiandae huku leo kuna kitu cha mhimu mnachotakiwa kukifanya nazani unafahamu Diana"
"Ndio naielewa ratiba nzima",Diana alimjibu.
"Mwisho wa yote leo nahitaji unipe mda wa kuongea na wewe jioni ya leo kuna kitu mhimu ninachotamani kukwambia", Albert alimuomba Diana waonane.
"Albert naanzaje kukataa kuonana na wewe my dear,ata mimi pia na mengi yakuongea na wewe na umefanya jambo la maana sana kufanya tuonane"

Simu ilikatwa na kumfanya Diana awashe gari na kuendelea na safari na ndani ya mda mfupi aliweza kuwasili nyumbani kwao na kumkuta baba yake amesimama nje.
Mr.James aliitazama gari ya binti yake kwa umakini wa hali ya juu akimshuhudia binti yake akitelemka ndani ya gari lake hilo,
"Jana ndiyo ukaona ukalale nje ya nyumba  kisa kukwambia ukweli?"
"Nisamehe baba ni makosa yangu nakili nilikosea", Diana aliamua ajishushe mbele ya baba yake.
"Ivi unajua nilipata tabu kiasi gani kukulea Diana na umeshawahi kujiuliza mama yako yupo wapi?", maneno ya Mr.James yalifungua akili ya mwanadada Diana baada ya kutamkiwa neno mama.
"Baba, mara zote nilikuwa naitafuta hii nafasi ya kuongea vizuri na wewe baba yangu,uniambie kuhusu mama yangu mzazi yupo wapi?...ITAENDELEA.

Nyie mbele ya hii simulizi kuna vipande ambavyo hutakiwi kuvikosa kabisa yani utakuwa umepitwa utamu ???????????? kabisa, karibu katika sehemu inayokuja.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........07
Whatsapp..............0613083801

Ilipoishia.......
"Unaweza kuniambia ni kwanini unamchukia sana yule binti",swali la Mwanamama katalina lilimfanya Albert ajutie kile alichokiuliza......

ENDELEA NAYO.....
Swali la Mwanamama katalina lilimfanya Albert ajutie kile alichokiuliza.
"Mama mimi yule simwamini tu na sio kwamba ety namchukia hapana simwamini kabisa yule binti",Albert aliongea.
"wewe humwamini ila mimi namwamini na ninampenda kama mwanangu na pia kumbuka yule ni mtoto wa rafiki yangu namchukulia kama mwanangu na kilichonivutia zaidi na kunifanya nimpe nafasi ya kushiriki ni kuwa yule binti ni mzuri sana sio kisura tu ata kitabia yupo tofauti na wengine na mabinti kama hao ni wachache sana", Mwanamama katalina aliendelea kushikilia msimamo wake wa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-07

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

590
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

487
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

472
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

321
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

217
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

86
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

73

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest