Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........09
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia........
Kabra hajawafikia alishika simu yake na kuanza kutabasamu kwa kile alichokiona kwenye simu aliwasogelea huku akiwa anakitu cha kuongea kwa Angelina..........

ENDELEA NAYO.....
Albert alifika maeneo yale na kumuangalia Angelina kwa dharau,
"Diana unaongea na mtu atakayeenda kulitia taifa kwanye aibu mda sio mrefu, kwakuwa ulikuwa hujui ngoja nikuonyeshe yani tukio ulilolifanya leo ndani ya mda mfupi tu video yako imesambaa mitandaoni na hongera kwa hilo umekuwa superstar gafra tu",Albert aliongea baada ya kufika pale.
Angelina hakuamini ikabidi achukue simu yake nakuangalia ni kweli karibu kila mtandao wa kijamii habari zilikuwa ni za yeye kuanguka na sauti za watu kumcheka ndizo zilizokuwa zikisikika katika video hiyo.
"Hapana hii haiwezekani hauwezi kunifanyia ivi Albert nani katuma hii video mtandaoni?", Angelina alikuwa kama kichaa palepale alimfata na kumkaba shati lake Albert bira kujali kama ni mtoto wa Mwanamama katalina.
"Unakichaa wewe binti unaanzaje kumshika Albert unamjua huyu ni nani katika hii kampuni?", Diana aliongea kwa kufoka.

Albert aliitoa mikono ya Angelina na kujipangusa sehemu aliyoshikwa na Angelina kama ishara ya kuchafuliwa na Angelina.

"Huyu kachanganyikiwa naona, yani umesahau kama mlikuwa mnachukuliwa video na tukio lilikuwa live mitandaoni mpaka uje unikabe mimi, Diana emu tuondoke haina haja ya kuendelea kuongea na mtu aliyechanganyikiwa hapa", Albert alimchukua Diana na wakaondoka wakimuacha Angelina maeneo yale akiendelea kuangalia video na kusoma comment za watu,wapo waliomuonea huruma na wengine kumponda hii ilimkasilisha sana Angelina na kushindwa kuzuia hasira zake aliibamiza chini simu yake na kuondoka maeneo hayo huku simu ikiwa pale chini.

Upande wa mwanadada Mary akiwa na rafiki yake Faith walikuwa wakipongezana tu baada ya kusambaza clip zao fupi mitandaoni zikiwaonyesha wakitembea kimadaha  nakupongezwa na watu wengi hali iliyomfanya Mary azidi kufurahi zaidi,
"Shoga umeona vitu ivyo huu mwaka ni wangu nakwambia angalia like na comment, haahhaahahaha huu mwaka uMiss Tanzania huo nauona",Mary aliongea.
"Bora sisi yule aliyeanguka sijui huko aliko ana hali gani sasa ivi"
"Wewe sindio ulikuwa unamsifia kuwa ni mzuri sasa ivi kikowapi yani kwenye mazoezi tu anaanguka je? siku yenyewe ya mashindano itakuwaje?",Mary alimjibu Faith .
"Kwanza tuachane na izo story, hujaniambia kinachoendelea kwa kijana wa boss", Faith aliamua apindishe mada baada ya kuona rafiki yake amemgeuzia kibao yeye.
"Umefanya jambo la mhimu kunikumbusha ngoja nimtafute mida hii".

Mary alichukua simu yake nakumpigia Albert lakini simu ilikuwa haipatikani mda huo ikamlazimu amwandikie ujumbe .

Upande wa Albert na Diana walielekea sehemu tulivu kwa ajili ya kufanya maongezi yao na temu hii Albert alipanga kumwelezea Diana kile alichothamilia kumwambia na ata simu yake aliamua kuizima kabisa ili asipatiwe usumbufu wa aina yoyote ile,
"Albert tayali tumeshafika sehemu husika naomba uanze wewe kuniambia kitu ulichotaka kuniambia",Diana alitoa nafasi kwa Albert na hii kumfanya avute pumzi kwanza kabra ya kuanza kuzungumza huku Diana akitega masikio yake vizuri kumsikiliza.
"Diana wewe ni rafiki  wa mda sana kwangu, tangu tulipofahamiana shuleni kwenye shule tuliyosoma wote na mpaka hii leo bado ni marafiki tu,kuna jambo lililo ndani ya moyo wangu ningependa kukwambia"
"Jambo gani hilo Albert?", Diana alibidi aulize.
"Diana,jambo lenyewe ni...Nakupenda Diana naomba uwe mke wangu",Albert aliamua kufungua kile kilichokuwa moyoni bira kujali kuwa Diana atafanya maamuzi gani baada ya kumwambia vile.

Diana hakuamini kusikia neno nakupenda kutoka kwa Albert ilibidi amuulize kwa mara nyingine lakini bado Albert alisisitiza kuwa amemaanisha kwa kile alichokisema.

Diana alikumbuka ahadi aliyowekeana na baba yake au Mr.James mpaka kusainishana karatasi ulikuwa ni wakati mgumu sana kwa Diana kufanya maamuzi,
"Hapana Albert hatuwezi kuwa pamoja ", Diana aliamua kuongea japo alijua Albert atajisikia vibaya ila hakuwa na kingine zaidi ya kufanya yale maamuzi.
"Kwanini Diana isiwezekane?, kama tatizo ni wazazi wetu nipo tayali mimi kwenda kuishi mbali na wewe ili tuwe mbali nao najua mama yangu hakupendi wewe na ata baba yako pia hanipendi mimi, lakini mimi nakupenda wewe Diana".
"I'm sorry Albert,sio kwa sababu hiyo nataka nikamilishe kwanza jambo langu la haya mashindano sihitaji kuingia kwenye mahusino kwa sasa naomba unielewe Albert", Diana aliongea.
"Diana sielewi hatima yangu ni ipi, nisubiri mpaka mashindano yatakapoisha? au nifanye kitu gani?",Albert ilibidi aulize kwa mara nyingine.

Diana alifikilia nakuona hatakiwi kumkataa Albert moja kwa moja kwani bado anamalengo ya kumtumia ili aibuke mshindi wa mashindano ya Miss Tanzania yaliyokuwa yamebakiza miezi miwili tu yafanyike.
"Albert nipe mda tafadhali nifikilie kuhusu hili", kidogo maneno ya Diana yalimpa matumaini Albert na kumfanya arudishe tabasamu lililokuwa limepotea na maongezi mengine yakiendelea.
       
Mwanamama Beatrice akiwa amekaa alishangaa kumuona binti yake Angelina akiwa analia tena alimpita pasipo ata kumsalimia na kuelekea chumbani kwake moja kwa moja, mbaya zaidi alifika na kufunga mlango wa chumbani kwake,
Mama yake ilibidi anyenyuke na kumfata,
"Wewe Angelina fungua mlango mwanangu umepatwa na nini?",Mwanamama Beatrice aliongea lakini ni sauti ya kilio tu kutoka kwa mtoto wake ndiyo aliyokuwa akiisikia.

Aliendelea kumwita bira mafanyikio na Angelina aligoma kabisa kufungua mlango.

Manka alishangaa kuona picha za rafiki yake Angelina imesambaa mtandaoni ikimuonyesha jinsi alivyoanguka na watu wakimcheka,
"Dah masikini Angelina atakuwa kwenye kipindi kigumu sana, ngoja nikamuangalie nyumbani kwao alitoka nakuelekea nyumbani kwa rafiki yake.
Ndani ya mda mfupi tu aliweza kufika na kubisha hodi na Mwanamama Beatrice  alikuja kumfungulia.
"Mama Angelina yuko wapi?", ndio swali la kwanza alilokutana nalo Mwanamama Beatrice pasipo ata kusamiliwa na binti huyo.
"Bora ata umekuja rafiki Yako kajifungia chumbani hataki ata kufungua mlango yumo analia tu na sijui tatizo gani limempata huko"

Manka hakutaka kuanza kumwelezea zaidi ya kuchukua simu yake na kumwonyesha kile kilichokuwa kikiendelea mitandaoni, Mwanamama Beatrice nae hakuamini baada ya kuangalia ilimuumiza sana kuona mwanae alivyozalilika mbele za umati.

"Binti yangu atakuwa kwenye kipindi kigumu sana na anaweza kufanya jambo litakalomlea matatizo,Manka naomba tusaidizane kuuvunja mlango".
Wazo la Mwanamama Beatrice liliungwa mkono na Manka, kazi ilibaki moja tu ya kuvunja mlango.

Walitafuta kitu kizito na kuanza kuvunja mlango mpaka pale walipofanyikiwa kuuvunja na kumkuta Angelina amekaa huku akilia,
"Angelina mwanangu hupaswi kujilaumu izo ni changamoto naomba usiwe mnyonge kiasi hicho"
"Mama nisiwe mnyonge huoni kinachoendelea mitandaoni, na mimi kuanzia leo sitakanyaga tena katika ile kampuni na hayo mashindano siyataki tena mtaenda kushiriki wenyewe", Angelina alikuwa kamaanisha kile alichokizungumza na hakutaka kurudi tena kwenye kampuni ya FNF.

Mwanamama Katalina nae pia aliiona video ile mitandaoni lakini lawama zote alizipeleka kwa mtu aliyekuwa akirecord kwa kushindwa kumsitili Angelina.
lakini palepale simu yake iliita na kuipokea,
"Tunajivunia sana kuingia mkataba na kampuni yenu katalina", sauti ya mpigaji ilisikika.
"Unamaana gan Mr.?"
Tukio la binti yule kuanguka kwetu imekuwa kama faida mana ile video imesambaa kwa wingi na chapa ya kiatu chetu ilionekana kitendo kilichowafanya watu waangalie ni kampuni gani hilo lililotengeza viatu vilivyomfanya binti anguke,hiyo ni faida kwetu kwani followers kwenye mitandao yetu hivi ninavyokwmabia wameongezeka kwa kasi sana na hii imekuwa faida kwetu japo ni fedhea kwa binti wa watu,
Aliendelea kuongea.....
Nazani kesho Kuna zawadi yake sisi kama kampuni tutakuja kumpa na kumtia moyo aendelee kushiriki kwenye mashindano japo najua watu wengi watashangaa sana",alikata simu baada ya kumpa tarifa zile.

Baada ya simu kukatwa Mwanamama Katalina aliamua kunyenyuka kwenye kiti alichokuwa amekaa na kwenda kwenye gari lake tena akiliondoa kwa kasi na haikufahamika ni wapi anapoelekea.....ITAENDELEA.
Wapi ambapo Mwanamama Katalina anaenda?,mashindano bado miezi miwili tu na Angelina amegoma kushiriki tukutane katika sehemu inayokuja.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........09
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia........
Kabra hajawafikia alishika simu yake na kuanza kutabasamu kwa kile alichokiona kwenye simu aliwasogelea huku akiwa anakitu cha kuongea kwa Angelina..........

ENDELEA NAYO.....
Albert alifika maeneo yale na kumuangalia Angelina kwa dharau,
"Diana unaongea na mtu atakayeenda kulitia taifa kwanye aibu mda sio mrefu, kwakuwa ulikuwa hujui ngoja nikuonyeshe yani tukio ulilolifanya leo ndani ya mda mfupi tu video yako imesambaa mitandaoni na hongera kwa hilo umekuwa superstar gafra tu",Albert aliongea baada ya kufika pale.
Angelina hakuamini ikabidi achukue simu yake nakuangalia ni kweli karibu kila mtandao wa kijamii habari zilikuwa ni za yeye kuanguka na sauti za watu kumcheka ndizo zilizokuwa zikisikika...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-09

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

598
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

509
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

476
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

324
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

243
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

92
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

82

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest