Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........24
Whatsapp..............0613083801

Ilipoishia.........
Angelina hakuamini kusikia yale maneno kutoka kwa kijana Stewart na alipomtazama usoni macho ya stewart yalimaanisha kile alicho kizungumza kina ukweli, Angelina alifungua kichwa chake na kuongea......

ENDELEA NAYO......
"Stewart nashukuru sana kwa kunipa nafasi katika moyo wako nikupongeze kwa kushindwa kuficha hisia zako kiukweli nakupa hongera kwa hilo, lakini kwa sasa sipo tayali kuingia kwenye mahusiano ya aina yoyote ile na wala kuufungua moyo wangu kwa mwanaume yoyote yule ni ngumu kwa sasa, nivyema ukanisahau na kumtafuta mtu ambae atajali hisia zako na kukupenda  kwa dhati", Angelina baada ya kuongea hayo maneno hakutaka kukaa tena pale mana angekuwa anaendelea kumuumiza kijana wa watu.

Angelina alienda mpaka lilipo gari lake na kupanda kisha kuondoka maeneo hayo akimuacha Stewart  kwenye mawazo baada ya ombi lake kukataliwa na mwanadada Angelina.

"Diana nilimpenda sawa lakini wewe Angelina nimekupenda zaidi ata kama umenikataa lakini mimi siwezi kukata tamaa lazima nipambane na nitahakikisha unakuwa wangu",Stewart alikula kiapo cha kumpata mwanamke anayempenda ambae ni Angelina.

Stewart aliishia kutazama gari la mwanadada Angelina  likitokomea.

Upande wa mwanamama katalina siku huo nyumba ilikuwa haikaliki  palepale alikumbuka kumpigia mme wake aliye nchi za nje,alimtafuta na bahati nzuri alifanyikiwa kumpata,
"Albert amekamwatwa na polisi",ndio neno la kwanza aliloongea na hakukumbuka ata kutoa salamu kwa mme wake kwa wakati huo.
"Amekamatwa!!",Mmewe aliuliza kwa mshangao baada ya kupewa tarifa zile mpya.

Mwanamama katalina alianza kumsimuliza kila kitu mme ya kilichokuwa kikiendelea hasa kitendo cha Mary kuhitaji pesa kutoka kwenye familia yao,
"Nisikilizie kwa umakini katalina huyo binti hawezi kuicheza familia yangu kiasi hicho naomba usifanye kitu chochote atakachokwambia kufanya nakuja mda sio mrefu ni muonyeshe sasa kwamba pesa zinatafutwaje",mwanamama katalina kidogo alipunguza plesha na haichukuwa mda alikata simu baada ya kuongea na mme wake,
Lakini palepale simu nyingine iliita namba ikiwa ngeni iliyomlazimu kuipokea,
"Oooooh pole sana mama yake na Albert nazani sauti yangu umeshaifahamu tayali haina haja ya kuanza kujielezea kwako",ilikuwa ni sauti ya mwanadada Mary aliyeamua kumpigia Mwanamama Katalina ili apate kile anachokitaka.
"Shariti langu ni dogo tu kama unataka mwanao aachiwe huru na mimi niwaache muendelee na maisha yenu",mwanadada Mary alizidi kuongea kwa mapozi.
"Sharit gani unataka nifanye?"
"Nahitaji nusu ya mali zenu tugawane pasu kwa pasu hicho ndicho kitu ninachokihitaji",mwanadada Mary aliongea na kumtakia mwanamama katalina kufanya vile anavyotaka yeye.

Mwanamama katalina alikumbuka maneno aliyoambiwa na mme wake mda sio mrefu alikata simu bira kujali kama Mary mwenyewe ndiyo aliyepiga,
"Utanisamehe mwanangu Albert wewe ni mwanaume naomba uvumilie tu mda sio mrefu tutakuja kukutoa ila siwezi kukagawana mali na mtu kama Mary hata siku moja.

Upande wa mwanadada Mary baada ya kukatiwa simu na mwanamama katalina alichukia sana na alitamani ata Albert angekuwa mikononi mwake basi angempa ng'eo ila hakuwa na namna zaidi ya kukubaliana na hali halisi.

Asubuhi ya siku hiyo mke wa Mr.John alishangaa kuona mwanae Stewart amechelewa kuamka na haikuwa kawaida yake ilimbidi amuulize tatizo nini ila kijana hajutaka kumwambia mama yake kipi kinachomsumbua zaidi ya kumtoa hofu tu kuwa hana shida yoyote ile.

Kama ni kupenda temu hii Stewart alikili mwenyewe kuwa anampenda sana Angelina na aliapa ikitokea amempata basi ata mtunza mrembo huyo kama mboni za macho yake

Upande wa mwanadada Angelina aliletewa tarifa na Manka zilimfanya ashangae kile alichokisikia,
"Unauhakika na unachoongea Manka au umetunga maneno yako kama ilivyokawaida?"
"Angelina nauhakika na ninachokuambia Albert yupo kituo cha polisi amekamatwa na kesi tayali imeshafunguliwa japo sijui ni kitu gani kinachoendelea kwenye kesi aliyonayo Albert", Manka alimaliza kuongea ila mda huo Angelina alinyenyuka na kuondoka akielekea polisi moja kwa moja kwenda kujihakikishia na macho yake.

Angelina alifika na kuruhusiwa kuonana na kijana Albert japo aliangaika kupatiwa nafasi ya kuonana naye,
"Albert tatizo nini mpaka uko hapa ?",Angelina alimuuliza huku akimtazama kwa jicho la huruma mwanaume huyo.
"Ni wanadamu tu sio kila aliye jera ana makosa Angelina wengine wanafungwa kwa kusingiziwa"
"Nikweli usemalo lakini ningetamani kujua ni kipi kilichotokea na kukufanya uwe hapa".

Albert alianza kumwelezea Angelina kuanzia mwanzo mpaka mwisho na hakuacha kumwambia kuwa chanzo cha yeye kuwa hapo ni Mary kushindwa kwenye mashindano ya Miss Tanzania.

Angelina aliondoka maeneo hayo akiwa ana mengi kichwani alimuona Mary ni mwanamke wa ajabu sana na anayethamini pesa kuliko kitu chochote kile,
"Hapa lazima nitafute njie ya kumsaidia Albert aweze kuachiwa",Angelina alitafakari na aliamua kwenda kwao Albert ili ajue mwanamama Katalina amechukua maamuzi gani.

Na alipokuwa njiani mwanadada Angelina kidogo tu apate ajari na hii ni kutokana na kutokuwa makini ila mungu alikuwa upande, ndani ya dekika kadhaa tu aliweza kuwasili nyumbani kwa mwanamama katalina na kumkuta akiwa ni mwenye mawazo,
"Nimetoka kumuona Albert mida hii mama nini tufanye tuwezi kumsaidia?", Angelina aliogea na alikuwa ameshazoea kumuita mwanamama katalina mama.

Katalina alimweleza alivyoambiwa na mmewe au mzazi mwenzake na hii kidogo ikamfanya Angelina aweze kuwa na matumaini ya Albert kuachiwa huru kwani kwa upande wake alikuwa anamchukulia Albert kama shemeji yake kama alivyoambiwa na dada yake Diana amchunge mpaka atakapo rudi.

Nchini Canada mahusiano kati ya Diana na doctor Tayler yalikuwa kwa kiasi kikubwa sana na Diana hakutaka kuifanya iwe siri tena aliamua kutuma picha zao kwenye mitandao ya kijamii na alifanya ivi bira kumshirikisha doctor Tayler.

Akiwa ameka na akijaribu kunyoosha miguu yake kama moja ya mazoezi aliyoambiwa na doctor Tayler kufanya, alishangaa mpenzi wake amekuja tena akiwa na sura ya kitofauti kabisa,
"Tatizo nini kipenzi mbona unaonekana haupo sawa?", Diana alimuulizi huku akiendelea kumdadisi machoni doctor Tayler.
"Nakupenda sana Diana lakini kwa hichi ulichokifanya umenikera sana na najisikia vibaya sana kwenye hili, haiwezekani utume picha kwenye mitandao ya kijamii bira ruhusa yangu mimi Diana",Doctor Tayler aliongea.

Diana alishangaa na hakuona ubaya wowote ule wa yeye kutuma picha tena akiwa na mtu anayempenda kwa dhati lakini maneno aliyozungumza Doctor Tayler yalimfanya awe na maswali mengi kichwani.

"Diana naomba ufute picha zote ulizotuma mitandaoni tafadhali, nielewe kwa hilo kipenzi", Doctor Tayler aliamua apunguze hasira zake mbele ya mwanadada Diana.
"Unaweza ukanipa sababu ya kwanini hutaki nitume picha kwenye mitandao ya kijamii?",Diana aliuliza
"Kwa sababu mimi sio mtu wa kuamini mitandao, na ata ivyo nilishaweka ahadi na mama yangu kuwa sitakuwa mtu wa mtandaoni kamwe",Doctor Tayler aliamua kuongea maneno ambayo Diana alikubaliana nayo kishingo upande.

Wakiwa bado na maongezi Diana alishikwa na kichefuchefu cha gafra alichoshindwa kukizuia na kujikuta akitapika hapohapo mana hakuwa na uwezo wa kutembea vizuri,
"Tatizo nini Diana emu kaa hapa nikuangalia",akiwa kama doctor alimkalisha Diana ili amwangalie tatizo nini.

Doctor Tayler alishika mkono wake na kujaribu kuangalia kwa utaalamu anaojua yeye ndani ya mda mfupi tu aliweza kugundua kitu kilichomfanya ata yeye jasho lianze kumtoka huku akiwa na wasiwasi wa hali ya juu....ITAENDELEA.

Nini alichogundua doctor tayler karibu katika mwendelezo.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k?????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........24
Whatsapp..............0613083801

Ilipoishia.........
Angelina hakuamini kusikia yale maneno kutoka kwa kijana Stewart na alipomtazama usoni macho ya stewart yalimaanisha kile alicho kizungumza kina ukweli, Angelina alifungua kichwa chake na kuongea......

ENDELEA NAYO......
"Stewart nashukuru sana kwa kunipa nafasi katika moyo wako nikupongeze kwa kushindwa kuficha hisia zako kiukweli nakupa hongera kwa hilo, lakini kwa sasa sipo tayali kuingia kwenye mahusiano ya aina yoyote ile na wala kuufungua moyo wangu kwa mwanaume yoyote yule ni ngumu kwa sasa, nivyema ukanisahau na kumtafuta mtu ambae atajali hisia zako na kukupenda  kwa dhati", Angelina baada ya kuongea hayo maneno hakutaka kukaa tena pale mana angekuwa anaendelea kumuumiza...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-24

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

594
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

497
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

475
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

322
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

227
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

86
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

74

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest