VYOTE NDANI GONGA94
MY WANGU❤️ sehemu ya 10 na 11
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Anatabasamu vizuri mno. Yasi sir mlige jamani ni mzuri nae. Handsome wa uwakika ila ndo anavyojiweka .ni mkali sana alafu anapiga sana mpaka wanafunzi tunakuwa tunamchukia na kumuon mbaya. Basi mi nikatoka zangu sasa nikaludi kuendelea na usafi . Basi ile nafika tu eneo langu la usafi. Namkuta shoga yangu yusta ananingoja kwa hamu akanmbia eeeh nambie dada amaekupan sh ngapi.nikamuoneshe aile pesaaa. Weee yusta aliluka kama yke vile .akasema waooow. Elfu 5. Unyma sana . Daaaa h leo tutakula sana nikasema.uwakika iyo .basi yusta akatoa elfu 1. Akanambia mm mama ndo kanipa hii pesa .na ww umepewa sh ngapi tuchanganye apa. Nikasema nna buku nyengine apa. Oyaaa tukawa na elfu 7. Oyaaaaa tukajiona matajeer wa shuleee jamani kwa hii siku.
Basi baada ya usafii. Sasa tukaingia asemble s. Basi walimu walitangaza matangazo mengi asa sir tupa. Mana ndo alikuwa nshikaji wangu sana uyu mwalimu. Na ndo mtaaluma mkuu wa shule.kisha baada ya yote . Sir mlige akingia sasa. Nyieeeee kwanza kila mtu alitulia ni kimyaaaa. Hakuna ata mtu anatikisika kudadeki. Tunamuogopa mno uyu mwalimu.Alisimama aksema kuanzia leo hakuna kutoka toka nje mda wa vipindi. Yani nikikuona nje na vipindi vinaendelea darasani utaniona mbaya. Aseee nataka wote mtulie na msome. Na nitakuja uko madarasani kwenu tupangiane marksi za kupata kila darasa. Na ukishuka chini ya hizo marksi utaeleza. Asee uyu baba ana mikwara alafu ana sauti li kavu. Yani akiongea shule nzimani kimya . Mi mwenyewe namuogopa mana sir mlige hazoeleki kabisa. Baada ya matangazo yake sasa ndo tukaruhusiwa kuingia darasani .
Basi tukatulia jamani ni tunasoma tu ila sasa mkojo ulinibana jamani.naogopa kutoka nje si namuoga mwalimu kashatangaza .nikaona niubane tu. Ila nyie mkojo haubaniki.mpaka nikawa naangaika sasa. Yusta akniuliza we vp mbona unaangaika.nikasem yusta mimi.nna mkojo sana yani mkojo umenibana sana. .ila namuogp mwalimu.yusta akanmbia mh angalia nje mbona hakuna mtu bwana we nenda kakojoe.mh nilishindwa kuubana kwa kweli.nikatoka kwa kuibia . Na kweli pale nje wala hakuwepo sir mlige alikiwa ofisini kwake. Basi nikakimbia mpaka chooni .niakakojoa vizuri. Na kojo lilikuwa jingi doooh ningejikojolea leo.
Aseeeeee ile natoka tu kwa mbele namuona sir mlige. Haraka nikaludi ndani ya chooo.ila nilishachelewa mna alishaniona na aliniiita jina langu we faridaah. Daaah sikuwa na jnsi nikatoka .akanmbia njooo apa. Yani ushafanya kosa kisha unanikimbia yani unataka ukajificha chooni mshenzi ww. Dooo apo ananiita kashika bakora 4. Mbili mkono huu na mbili mkono huuu. Nyieee nikawa naogopa si mnaninjua shoga yenu nilivyo muoga.basi nikasogea mpaka aliposimama ila nikasimama nae mbali kidogo.nikamwambia mwalimu nisamehe mkojo ulinibana sana
Sir mlige akaniuliza una fistura ww huwezi kubana mkpjo. Aya sogea apa. Nikawa naludi nyuma .akanifata yeye kama mshale. Akanikamata mikono mmoja akaushika alafu mmoja akanipiga bakora 2 za haraka.aseee zinauma nilihisi kanichana mikono.nikawa nalia kwa nguvu mwalimu nisamehe siludii mwalimu. Alipolizima sasa ndo akaniacha nikalidi darasani nalia kweli kweli. Basi yusta ndo akninyamazisha mana aliona kuwa nimebondwa yani uyu mwalimu hana mazoea wala kujuana . Ahaass linananikwaza san.
Basi mdaa wa breki jlivyofika ssa. Mie na shoga uangu yusta tukaenda cafe kula. Kwanza na hii siku tuliagiza chipsi na soda pesa si tunayo.basi tulibonjoa mno kupoza maumivu ya bakora za asubuh😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 . Na tuliludi darasana na vitu vimejaa na sina ata 10 imebaki. Basi tukalidi tumeshiba kinoma shule ikaendelea mpka mchana mda wa kuruhusiwa . Ila sasa nilichukia kuwa mlige kanipiga kisa kidogo tu . Basi tukiwa tunarudi nyumbani .yusta akanmbia shoga ata kama.kakupiga ila pesa kachukue.nikasema we mjinga nn yani anipe elfu 5 kwa sku moja .itakua kaniunganishia week zima na tushaimaliza. Yusta akasema daaah inawezakana lakini.
Basi tulipiga story mpka yeye kafika kwao na mm nikaludi kwetu. Basi baada ya kula nilivaa nguo zangu za nyumbani na nilienda kwa kina yusta kusoma mana kwao wana umeme sio kama kwetu ata. Na usiku sana kama.saa 4 baba ake yusta ndo alinirudisha nyumbani nikapiga msosi wa usiku lakin bado nilihitaji kusoma . Nikawa natumia kibatari kusomea pale wala sikuwa na shida kabisa. Na nilisoma mpaka saa 6 . Ndo nikahisi usingizi nikapumzika zangu.
Kesho yake asubuh sana nilikurupuka. Weee siku hizi sichelewi shule kabisa na siamshwi naaamka mwenyewe ila naogopa kudundwa shule mana siku hizi ata na walimu wetu wamechachuka kweli kweli shule ipo straight sana. Sijuh ndo wanatafuta vyeo mbele ya mwalimu mkuu. Mi sipendi basi tu. Nilipomaliza kujiandaa nikampitia yusta na tukaelekea shule..ila hii siku sikwenda tena kwa sir mlige kufata pesa ys kula . Mana nilihisi ile elfu 5 niliyopewa jana ndo ya kula hio week yote. Alafu mm nikaikata kwa siku moja tu na shoga yangu😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌. Si mnajua maskini akipata eeeeeh matakao hulia ................
Basi mda wa darasani ulivyofika nikaingia class na tukaendelea na masomo. Asa tukiwa busy na kipindi cha madame zahara. Doooh si namuona mkuu kaja . Akamsalimia madame zahara.mh madame zahara alijichekesha nakwambia hizo karibu karkbu kama zote. ila kuna walimu wana shobo. Basi sir mlige akasema ahaa namtaka binti yangu mmoja anaitwa faridah. Doooo uyu baba nna kazi nae mbona. Madame zahara aaksems faridah njoo umsikilize mwalimu nikasema sawa. Basi nikanyanyuka kisha sir mlige akanionesha amri ya kwamba nimfate .na kweli nilimfata mpaka ofisini kwake. Tulivyofika tu. Akaniuliza eeh mbona leo sijakuona mama kakupa pesa . Au umechukia sababu jana nilikupiga? Nikasema hapana mwalimu ni ela ninayo tu. Ile ile haijaisha. Mh sir mlige akavuta pochi akanipa tena elfu 5 . Aanmbia haijalishi una pesa ama huna. Imeisha ama haijaisha . Uwe unakuja kila siku .sawa we mtoto wa baba. Nikasema ndio mwalimu asante. Akanambia sawa aya wahi darasani haraka.basi shoga yenu nikakambia haraka nikaingia darasani kuendelea na vipindi
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
