VYOTE NDANI GONGA94
MY WANGU❤️ sehemu ya 12
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Basi kipindi cha madame zahara kilivyo isha tu. Yusta akaniuliza vp mr kisirani ana semaje. Nikamuonesha hela weee yusta akafurahi. Akasema waoow. Na leo tunakula chipsi. Alafu leo sijapewa ata 100 nyumbani. Shogaa uyu baba anatufaaa sana. Nikawa nacheka tu. Na kweli mda wa breki ulivyofika . Mbona tulitawala sisi. Tulipiga chipsi na juice za mana. Yani kiboss kabisa wala hatuna presha. Tukanunua ubuyu .karanga .vitu kooo tukaingia class kuendelea na vipindi .
Yani kuanzia apo shoga yenu shuleni nilikuwa boss lady. Kila siku naenda kuchukia elfu 5 kwa sir mlige kama nimeiweka vile. Na kma siku sijaenda jamani . Ananinitumia mtu nikafate. Yani lazima. Ila sasa akinikuta kwenye kosa. Ananaidunda jamani uwiiii. Ananipiga uyu baba. Mpaka nikawa nahisi au ndo hasira za pesa zake. Nikinuna kutokwanda anakuja kunifata et au umenuna nilikupiga. Najichekesha tu et hakuna mwalimu ila ananibonda yani hana kujuana uyu. Na si ananijua mm muoga kwaiyo kunipiga kwake ananishika kwanza . Yani apo sichomoki. Ananinidunda mpaka anamaliza ndo ananiachia apo natoka nalia wallah kwa sauti kama kawaida yangu😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Na shule ilinyooka jamani. Yani mpka walimu walikuwa wnapiga sana kazi. Yani shule ilikuwa straigh sana sio kama mwanzo.na tulikiwa tunasoma mno. Na tukawa tunajitahidi sana mnana uyu baba ukifeli. Kazi unayo . Yani shule nzima yeye anaimudu. Na hashindwi kupiga wanafunzi 500 na wote mkalia. Hakuna mwanamke wala mwanaume bakora zake hazivumiliji. Wote tunamjua sana. Yani uyu baba hapana kwa kweli. Basi siku iyo sasa ilikuwa ni mda wa mchana kabisa nipo kipindi na darasani kuna kipindi kinaendelea. Akaja sir tupa . Akaniita .mie nikatoka nje kumsikiliza. Sir tupa akaniuliza umemfanya nn tena mkuu. Nikasema hapana mi sijafanya kitu mbona .akanmbia aah anakuita . Alafu kila asubuh unakujaga ofisini kwake kufanya nn. Nikacheka nikasema sir tupa mbea ww looh. Uyu sir ni mshikaji wangu tunataniana kabisa. Akanmbia ahaaa umbea muhimu bwana ebu nambiege mie.nikasema ananipaga pesa ya kutumia kila siku . Sir tupa akasrma ahaaa ila mlige ana rohoo nzuri anawapa wengi tu . Nikasema na ww sindo utupe sasa .akasema we koma ww. Asa mie kihela changu chenyewe kidogo nikigawe tena. yule mshahara wake mkubwa na uwenda ana mambo mengine anafanya . Si unaona mtu ana gari kali .mi ata baiskeli sina apa.mkopo wenyewe sijapata nikome mie. unataka kunifananisha nae komaga uko. Nikacheka mana sir tupa kwa kuongea.
Basi yeye akaenda darasa lengine kufundisha .mie nikanyoosha mpaka kwa sir mlige. Mh ila hii siku nilimkuta amekaaa juu ya meza . Nami nikaingia kisha nikamsalimia . Shikamooo mwalimu. Akaniitikia kisha akanmbia sogea apa nataka tuongee kitu. Mimi wala sikuogopa kiukweli. Nikamsogelea. Doooh nikashangaa sir mlige akazingusha mkono yake kwenye kiuno changu kisha akawa kanishika kuuno..niliogopa sana .niliona sio kawaida kabisa. Nikajikuta mpka naanza kutetemeka sikuelewa kwa ule mda nifanyaje. Sir mlige akasema mh kukushika tu ndo unatetemeka hivi faridah ebu nambie una mika mingapi kwanza . Nikamjibu miaka 16 mwalimh apo natetemeka mana ile kunishika kiuno nilihisi hakuna usalama apa. Basi akaningalia sana kisha akatabasamu akanmbia we ni muoga sana kumbe nilishau aya bwana. Akaniachia sasa. Kisha akanishika mkono. Akanmbia faridah .nikasema abee mwalimu. Akasema umeshavunja ungo ww ? Nikasema ndio mwalimu. Akanmbi aahaaaa . Sasa faridah mi nakupenda sana we binti. Na nakupenda kabisa ule upenda wa wewe uje kuwa mke wangu na mm nije kuwa mume wako. Nyieeee uyu baba mbona mkubwa mimi mdogo jamani. Ata aibh hana ananmbia ujinga wake sula yake kavu kweli kweli. Niliogopa sana. Mimi siogopi kutongozwa ila uyu mbona ni mkubwa sana kwangu . Mungu wangu.
Itaendeleaaaaa.
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
