Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 15
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 15

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Tukivyifika darasani tukakausha kimya yani kama hakijatokea kitu vile. Yani hatukuongelea kabisa hizo mada darasani si unajua ni kuna watu wengi. Na tushaambiwa siri ni ya watu watatu tu. Basi tukatulia kimya na mda tulivyoruhusiwa sasa. Ndo njiani ikawa topic sasa. Yust akiniulza kwani ww unamuhitaji mgile . Yani unampenda labda.nikasema mimi simpendi na wala simuhitaji. Yusta akanmbia sikia nikwambia shoga. Unajua ww nakuelewa sana na najua sana misimamo yako. Wewe hutaki kabisa kuwa na mahusianao kwa sasa sababu unapenda sana kusoma rafiki yangu na unahhisi wanaume watakuvuruga

Lakini kiukweli mm binafsi nakushauri mkubalie yule baba. Mi nahisi anakupenda kweli bwana. Mbona hajamtongoza mwengine. Mbona kawaacha madame wote kaja kukufata ww. Alafu ile ni bahati unajua yule mgile anaonekana ana pesa ona gari kali ile ana miliki. Bado ana cheo kikubwa shukeni pale.lakini mbona haboi. Na ni mzuri yule mwalimu. Ona leo katuongelesha kirafiki anaoneka ni mkaka mzuri sana.ebu kua nae atakusaidis mengi. Alafu kuwa na mtu sio lazima msex. Na kama anakupenda ata kusubiri . Yule anakupenda si unaona kila siku anakupa pesa ya kula na ana onesha anajali juu yako

Nikasema hapana mi simtaki nitajichanganya na masomo bwan. Yule mkubwa san.yusta akanmbia mi naelewa aya mambo faridah sio kama ww. Ni kweli yusta uyu ni mjanja mjanja na ana kibwana chake . Ni anauza duka centre uko na mkubwa tu. Ila mliga ni mkubwa zaidi. Ila mi simfatishi kabisa na yusga ana akiri tu darasani. Nikitoka mm anafata yeye kwa ufaulu darasani kwetu. Yusta akanmbia mimi na mchumba angu tuna mwaka sasa hatujawahi kufanya chochote. Na ana nivumilia na mbona darasansi napasua vozuri. Ni kichwa chako tu . Mi sizani kama mlige ana nia ya kukuvuruga ww sio kweli. Ila sikulazimishi kuwa nae ni ww tu kama utaona hakufai piah ni ww. Ila mi nakushauri yule anakufaaa na ungeanza nae tu. Ukichukua wa makamu yetu wanakua wasumbufu sana faridaah. Nikasems mm sitaki mwanaume kwa sasa na simtaki ata uyo mlige. Yusra akanmbia sawa basi mkaushie. Muoneshee signs kuwa tu humtaki na pesa zake usiende kuchukua.nikasema sawa kwani mwanzo si nilikuwa naishi bila ya pesa zake wala hakuna shida.

Basi tukaludi mpka home . Mi nakumuacha yusta kwao nikanyoosha kwetu. Kiukweli sikumueleza mama chochote juu ya hili suala. Nikikausha kimya. Mana mama kuna jinsi alikuwa ananmuelewa sna sir mlige tangunile soku aninunulie vitu vya shule na wazazi wanampemda penda mana shule yetu imenyooka sna gangu afike yeye. Ila binafsi niliwaza sana kama msichana niliona uyu mlige anataka kunharibu tu. Ndo mana kaanza kuniingiza mkenge kwa kujifanya ananinajali sana. Mala anipe pesa ya matumizi. Mala aninunulie fomu.hapana .nikaona uyu siwezi kuwa nae na kama msichana lazima nijisimamie mimi mwenyewe. Na siwez kuchanganya mapenzi na shule kwa sasa.
Tangazo - Hostinger 2026 on fire
Hostinger 2026 on fire
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 15


Tukivyifika darasani tukakausha kimya yani kama hakijatokea kitu vile. Yani hatukuongelea kabisa hizo mada darasani si unajua ni kuna watu wengi. Na tushaambiwa siri ni ya watu watatu tu. Basi tukatulia kimya na mda tulivyoruhusiwa sasa. Ndo njiani ikawa topic sasa. Yust akiniulza kwani ww unamuhitaji mgile . Yani unampenda labda.nikasema mimi simpendi na wala simuhitaji. Yusta akanmbia sikia nikwambia shoga. Unajua ww nakuelewa sana na najua sana misimamo yako. Wewe hutaki kabisa kuwa na mahusianao kwa sasa sababu unapenda sana kusoma rafiki yangu na unahhisi wanaume watakuvuruga

Lakini kiukweli mm binafsi nakushauri mkubalie yule baba. Mi nahisi anakupenda kweli...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 13 na 14
MY WANGU❤️ sehemu ya 13 na 14
MY WANGU❤️ sehemu ya 19  na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 19 na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 12
MY WANGU❤️ sehemu ya 12
MY WANGU❤️ sehemu ya 10 na 11
MY WANGU❤️ sehemu ya 10 na 11
MY WANGU❤️ sehemu ya 9
MY WANGU❤️ sehemu ya 9
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.56K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.53K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.58K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

2.8K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.36K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.26K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.2K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.14K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.14K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.05K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest