Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Basi yule madame akasema sawa kama hutembei nae.ila nishakupiga marufuku chezewa kwanza na wanuka mikojo wenzio .usitake kuluka stage. We kurupu na watu wazima ukomeee msenge ww. Khaaaaa nilibaki nimeshangaaa mno. Kisha yule madame akaniacha akaondoka zake. Nyieee mie nikarudi darasani machozi yananilenga lengaa. Mh shoga angu ananijua akanmbia twende chooni. Basi tukanyanyuka mpka chooni . Aseee uko nililia sana . Yani nililia mpka yusta akanitoa chooni . akanipeleke nyuma ya choo kuna kipori kidogo ndo akawa ananibemebeleza uku ananambia nyamaza kwanza unielezee shida nn. Nijue nakusaidiaje au umegombana na mlige. Nikasema hapana mi mlige ataniua mimi..naumia sanaa. Shoga akanmbia aya acha kuumia unielezeee. Basi nikamuelezee alivyonambia madame zahara. Shoga akanambia kwanza uyo madame ana bahati kakukuta ww mjinga mjinga. Ningekuwa mm tungenyukana leo. Akanmbia sikia we bwana ako handsome alafu ana hela lazima kuna vijanamke vitajimilikisha tu sijuh unanaielewa

Nikasema kanmbia ana mimba ya mlige lakini. Akanmbia ww sikia usimnunie bwana ako kisa maraya mmoja. We baadae kaongee na mlige na umuelezee na usimuogope. Muulize vizuri na akuelezeee sijuh unaelewa. Mimba ndo nn. We unauwakika gani kama ya mlige. Ebu achana nae mshamba yule. Kaaa kwa kutulia shoga au ndo wachawi sasa wa penzi lako na mlige na hakuna kumuogopa mtu maraya wakubwa aoa. Hakuna cha madame wala nn . Na hakuna kupoa et usiende kwa bwaa wako kisa nn. Kwanza twende huu mda nakupeleka mwenyewe. Nyieee mie nikasema hapana tutaenda ata kesho . Akanmbia sawa bwana. Basi tukaludi darasani ila sikuwa na rahaa jamani . Nawaza je kama ni kweli anatembea nae inakuwaje. Nikawa naogopa sana. Basi tulivyoruhusiwa mie nikajiandaa kuondoka na shoga yangu. Nashangaaa mlige ananiita. Mie nikaenda akaningalia akanmbia njooo ofisini nna maongezi ma ww. Mie nikasema sawa.kisha nikamwambia yusta ningoje tu akasema.sawa.

Basi mie nikaenda mpaka kwa mlige ofisni kabisa . Basi na madame zahara aliniona kabisa. Akanikata jicho hiloo. Basi mie sikujali wala nn nikaingia ofisini. Nikamkuta mlige ananisubir. Akaningalia sana akaniuliza ulikuwa unalia nn. Nikasema sikuwa nalia. Akanmbia ulikuwa unalia nimeshaongea na yusta. Sikia mama naomba unisikilize kwa makini. Unaelewa nimekwambia nisikilize kwa makini. Faridah kwangu we ni mdogo sana .we nimekupita miaka mingi ila kwako mi fala. Kwako mo ni mdhaifu kwako mm sio kitu. Sababu nakupemda sana..na sina mwanamke mm katika hii shule tofauti na ww unanaielewa faridah . Nikasema ndio . Akanmbia uyo zahara simtaki ananaitaka yeye. Na ile mimba sio yangu unaelewa ww. Unalia lia nn sasa. Mi si nipo apa. .kwa nn unashindwa kuja kuniuliza unabaki unasononeka na moyo. Sitaki farida iyo ni tabia mbayaa sawa we mrembo. Nikasema ndio akanmbia aya njoo unikumbatie..basi nikainuka nikamkumbatia. Akanmbia sitaki ulie kwa ajili ya watu na uyo zahara ntamkomesha atahama hii shule. Mie tena apo ndo moyo ukapoa nakwambia mana doooh presha ilikuwa kubwa sana.

Basi bwana mie nikamalizana na baby nikaondoka zangu . Nikampitia yusta .tukaanza kuelekea nyumbni. Mie nikasema yusta ww mbea jamani yani hujapoa umeenda kuongea na mlige. Yusta akanmbia we mie sipoi . Na sijawahi kupoa nimeenda kumwambia vizuri . Na kasikitika ww. Na anakujua akaanza kulalamika kuwa ushalia na utakaa kimya tu. Nikacheka .nikasema kanambia nisilie tena sio kweli bwana.basi tukaw atunacheka mie nikarudi zangu mpaka homeeee

Basi apo bifu la mie na madame zahara ndo likaanza .jamani uyu madame alikuwa ananifanyia visa sijapata kuona. Alikuwa anapenda kunipiga. Yani kosa sio kosa ananipiga mno. Kunichamba ndo siwaambia kitu kidogo anaanza maraya mtoto.wewe
Kazi kuikalia mimboo ya watu wazima.alafu ni mbele ya darasa .yani kila mtu alikuwa anajua kuwa now nimeshaanza mapepe. Ila walikuwa hawamjua bwana ni yupi. Yani madame alinikalia kohoni aswaa. Na ndo alikuwa anatufundisha sie kiswahili. Basi bwana mie nikawa nampotezea tu na nilivyo mkimya sikuwahi ata kumuelezea mligee juu ya anayonifanyia madame zahara ata siku moja kiukweli.

Siku iyo sasa. Ilikuwa ni j mos nakumbuka. Nimekaa tu zangu home nimeboeka sana. Sasa huwa najua kabisa mala nyingi mlige j mosi anakuja shule. Nikaona acha niende shule nikamuone ..huwa siendagi sana na wala.sio kawaida yangu ila hii siku na chini kulikuwa kunawasha. Basi mie nikamdanganya mama naenda kwa kina yusta.kisha taratibu nikaanza kupandisha shule. Basi bwana nimefika shuleni kumepoa mno kupo kimya si j mosi hakuna ata watu. Ila nikaona gari ya mlige imepaki.nikafurahi kweli kwrli nikajua yes baby yupo. Basi mie nikaenda mpka ofisini ile nataka kusukuma mlango mh nikahisi mbona umu kma kuna mtu mwengine. Yani kama mlige yupo na mtu na wanazungumza
Shoga yenu nikategesha sikio vizuri mnooo

Heeee si nasikia sauti ya mlige anasema zahara ni nn sasa unanaifata mpaka kazini. Kwani si ningeludi ungekuja kwangu ama shida ni nn mbona unanisimbua sana ww. Kwani mimba mm ndo wa kwanza kumtia mtu ..zahara akasema nyoooo mimba yako inanaisumbua we hunipendi mimi kabisa upo busy na kale.katoto cha form four konachonuka mkojo. Nyieeeee nusu nife ila nikajikaza nisikie ya zaidi. Mlige akasema sasa issuee za farida zimefata nini apa. Mi si nipo na ww. Acha kuongea mambo ya faridah tuongee story zetu. Zahara akasema yaa lazima umtetee si amekupa bikraa. Mlige akasema ebu acha mambo yako we nenda nyumbani mie ntakuja kwako tutakuja kuongeaa. Zahara akasema siendi nyumbani najisikia kukaa na ww leo ndo mana ulivyonambia upo shule nami nimekuja. Mlige akasema.najuta sana kusex na ww kukupa iyo mimba .we demu ni msumbufu sana. Yani mambo yako kma mtoto wakati ni mtu mzima kabisaa

Nyie apo sasa ndo nilielewa sasa kuwa kweli mimba ya madame zahara ni ya sir mlige. Mwanaume wangu . Mwanaume nnayempenda sana . Aseee niliumia sana . Moyo uliiuma sana. Sikujifikilia nilifungua mlango kwa nguvu. Ile nafika nakuta mlige kampakata madame zahara wanakisss. Nyieeee mlige alistuka sana aliponiona. Nami nilitaka anione ajue kuwa nimeeona na kusikia kila kitu. Asee mlige akasema faridaah. Nikasema.ndio mm mlige .kumbe kipindi chote ulikuwa unanaidanganya si ndio. Kumbe ni mimba yako kweli si ndio. Nyie mlige alipata mpkaa kigugumizi akanmbia plss mama naomba nikuelezee. Zahara akasema umueleze nn .we binti si nilishakwambia aya nna mzigo wake wa miez 3. Na yeye ndo muhusika na mda wowote mimi na uyu bwana tunatombana. Mda wowte naenda kwake runzewe habari ndo iyo. Ata mm niliamini mana walikuwa wanakiss. Walikuwa washamisiana. Nyieeeeeee moyo unauumaaa kaa position yangu kisha ufeel napitia nn kwa sasa. Kumuamini kote na sio kumuanin tu mi nampemda sana mlige..leo ndo nayasikia aya. Kiukweli mlige ata kukataa alishindwaaa. Yani alishindwa kabisaa. Alibaki kama anaweweseka pale.
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35


Basi yule madame akasema sawa kama hutembei nae.ila nishakupiga marufuku chezewa kwanza na wanuka mikojo wenzio .usitake kuluka stage. We kurupu na watu wazima ukomeee msenge ww. Khaaaaa nilibaki nimeshangaaa mno. Kisha yule madame akaniacha akaondoka zake. Nyieee mie nikarudi darasani machozi yananilenga lengaa. Mh shoga angu ananijua akanmbia twende chooni. Basi tukanyanyuka mpka chooni . Aseee uko nililia sana . Yani nililia mpka yusta akanitoa chooni . akanipeleke nyuma ya choo kuna kipori kidogo ndo akawa ananibemebeleza uku ananambia nyamaza kwanza unielezee shida nn. Nijue nakusaidiaje au umegombana na mlige. Nikasema hapana mi mlige ataniua mimi..naumia sanaa. Shoga akanmbia...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-34-na-35

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

565
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

533
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

409
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

335
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

239
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

186
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

48

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest