Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 16
Gonga94 · Stories

MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 16

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

" Uamue kusema ama laah nitaondoka na kichwa chako " alizungumza malkia.

Si ndo nikaona mambo gani haya ya kutishiwa kupita maelezo kisa ukataji na ufundi wa mijudo basi acha niyamwage mie.

Hapo nikaomba maji kwanza, japo ilikuwa ni usiku hawakuacha kuniletea, nilihitaji kusafisha koo kabla sijamwaga material 😀.

" Nahitaji kukupa ufundi usiofudishwa darasani ama na wazazi bali from experience, ila naomba nikuombe kitu " nilizungumza.

" kitu gani ? "

" Uvue umalkia uuvae uwanafunzi ili nikufundishe kwa uhuru, kwa maana nahitaji kukuonesha kwa vitendo ama laah hutanielewa, itakuwa ngumu kwako kulifurahia tendo " nikazungumza.

" Sawa na iwe haraka "

" Sawa "

Basi nikaanza hapi kuzungumza.

Ukitaja umshike mwanaume akupende balaa na kila uendapo akutangulize wewe fanya haya mambo.

1. Jifunze kuzungusha kwa ustadi sina haja ya kusema nini bali wewe ni mtu mzima utajiongeza, kujifunza kuchora O kila siku ni vema ukiwa umelala au kushikilia kitanda.

2. Jifunze kuivutia kwa ndani.......

Kabla sijamaliza nikamsikia malkia akicheka... sikuelewa nini kilimfurahisha.

Nilipoangalia vizuri niligundua alikuwa busy kufanya kwa vitendo kile nilichokuwa nikimfundisha .

Japo ni mwanzo unaonekana kufanya vizuri, twaweza kupumzika siku ya leo ni wazi umechoka. Nilizungumza kisha nikainamisha kichwa changu chini nikiwa nimesimama nikimtaka malkia niondoke mahala pale.

Bila hiayana aliniruhusu jasho likiwa lamtoka mwilini mwake.

Njiani sikuacha kuwaza ni mwanaume yupi anayemchanganya malkia huyu ukizingatia nilisikia story zake kuwa ni mjane mume wake ambaye ndiye mfalme aliyepita alifariki miaka kumi iliyopita hivyo kwakuwa Jampio alikuwa kazaliwa tayari wakamrithisha ufalme.

Nikiwa sina majibu kichwani mwangu nilijikuta nikivutwa kuelekea pasipo julikana.

Nakuja
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 16


" Uamue kusema ama laah nitaondoka na kichwa chako " alizungumza malkia.

Si ndo nikaona mambo gani haya ya kutishiwa kupita maelezo kisa ukataji na ufundi wa mijudo basi acha niyamwage mie.

Hapo nikaomba maji kwanza, japo ilikuwa ni usiku hawakuacha kuniletea, nilihitaji kusafisha koo kabla sijamwaga material 😀.

" Nahitaji kukupa ufundi usiofudishwa darasani ama na wazazi bali from experience, ila naomba nikuombe kitu " nilizungumza.

" kitu gani ? "

" Uvue umalkia uuvae uwanafunzi ili nikufundishe kwa uhuru, kwa maana nahitaji kukuonesha kwa vitendo ama laah hutanielewa, itakuwa ngumu kwako kulifurahia tendo " nikazungumza.

" Sawa na iwe haraka "

" Sawa "

Basi nikaanza...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mpishi-ana-utamu-wake-sehemu-ya-16

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mpishi-ana-utamu-wake-sehemu-ya
MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 6
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 6
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 11
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 11
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 12
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 12
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 15
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 15
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 7
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 7
MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 8
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 8
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30

MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30

347
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33

MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33

265
MY WANGU❤️ sehemu ya 31

MY WANGU❤️ sehemu ya 31

211
MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 16

MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 16

137
MFALME KIPOFU 11

MFALME KIPOFU 11

55
walio mpiga Murtaza Mangungu wakemewa

walio mpiga Murtaza Mangungu wakemewa

54

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.6K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.6K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

2.85K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.37K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.31K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.21K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.17K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.16K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.06K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest