VYOTE NDANI GONGA94
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 16
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
" Uamue kusema ama laah nitaondoka na kichwa chako " alizungumza malkia.
Si ndo nikaona mambo gani haya ya kutishiwa kupita maelezo kisa ukataji na ufundi wa mijudo basi acha niyamwage mie.
Hapo nikaomba maji kwanza, japo ilikuwa ni usiku hawakuacha kuniletea, nilihitaji kusafisha koo kabla sijamwaga material 😀.
" Nahitaji kukupa ufundi usiofudishwa darasani ama na wazazi bali from experience, ila naomba nikuombe kitu " nilizungumza.
" kitu gani ? "
" Uvue umalkia uuvae uwanafunzi ili nikufundishe kwa uhuru, kwa maana nahitaji kukuonesha kwa vitendo ama laah hutanielewa, itakuwa ngumu kwako kulifurahia tendo " nikazungumza.
" Sawa na iwe haraka "
" Sawa "
Basi nikaanza hapi kuzungumza.
Ukitaja umshike mwanaume akupende balaa na kila uendapo akutangulize wewe fanya haya mambo.
1. Jifunze kuzungusha kwa ustadi sina haja ya kusema nini bali wewe ni mtu mzima utajiongeza, kujifunza kuchora O kila siku ni vema ukiwa umelala au kushikilia kitanda.
2. Jifunze kuivutia kwa ndani.......
Kabla sijamaliza nikamsikia malkia akicheka... sikuelewa nini kilimfurahisha.
Nilipoangalia vizuri niligundua alikuwa busy kufanya kwa vitendo kile nilichokuwa nikimfundisha .
Japo ni mwanzo unaonekana kufanya vizuri, twaweza kupumzika siku ya leo ni wazi umechoka. Nilizungumza kisha nikainamisha kichwa changu chini nikiwa nimesimama nikimtaka malkia niondoke mahala pale.
Bila hiayana aliniruhusu jasho likiwa lamtoka mwilini mwake.
Njiani sikuacha kuwaza ni mwanaume yupi anayemchanganya malkia huyu ukizingatia nilisikia story zake kuwa ni mjane mume wake ambaye ndiye mfalme aliyepita alifariki miaka kumi iliyopita hivyo kwakuwa Jampio alikuwa kazaliwa tayari wakamrithisha ufalme.
Nikiwa sina majibu kichwani mwangu nilijikuta nikivutwa kuelekea pasipo julikana.
Nakuja
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mpishi-ana-utamu-wake-sehemu-ya

