VYOTE NDANI GONGA94
walio mpiga Murtaza Mangungu wakemewa
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu Simba imesema imesikitishwa na vitendo vya baadhi ya watu kumvamia na kumfanyia fujo Mwenyekiti wa Klabu na Makamu Mwenyekiti wa Bodi, Murtaza Mangungu baada ya mchezo wao dhidi ya Esparance ya Tunis kumalizika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa leo jioni.
Kwa mujibu wa taarifa ya usiku huu ya Mwenyekiti wa Bodi ya Simba Crescetius Magori, imesema vitendo hivyo sivyo vya kiungwana, havikubaliki na havitafumbiwa macho.
“Uongozi wa Klabu unatoa pole kwa Mwenyekiti Mangungu kwa kadhia hiyo.
Aidha Uongozi wa Klabu umeliandikia Jeshi la Polisi kuchukua hatua za kisheria kwa wote waliohusika katika vurugu hizo au kula njama ili kuwafikisha katika Vyombo vya Sheria” imesema taarifa hiyo.
Bodi imesisitiza kuwa haitabariki wala kuvumilia mtu yoyote atakayeharibu taswira ya Klabu kwa namna yoyote.
#gonga94Updates
Kwa mujibu wa taarifa ya usiku huu ya Mwenyekiti wa Bodi ya Simba Crescetius Magori, imesema vitendo hivyo sivyo vya kiungwana, havikubaliki na havitafumbiwa macho.
“Uongozi wa Klabu unatoa pole kwa Mwenyekiti Mangungu kwa kadhia hiyo.
Aidha Uongozi wa Klabu umeliandikia Jeshi la Polisi kuchukua hatua za kisheria kwa wote waliohusika katika vurugu hizo au kula njama ili kuwafikisha katika Vyombo vya Sheria” imesema taarifa hiyo.
Bodi imesisitiza kuwa haitabariki wala kuvumilia mtu yoyote atakayeharibu taswira ya Klabu kwa namna yoyote.
#gonga94Updates
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi walio-mpiga-murtaza-mangungu-wakemewa