Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

KIFAHAMU KITABU CHA DANIEL.  Historia haijaandikwa kwa usawa. Mara nyingi inaandikwa na walioshinda vita
Gonga94 · Stories

KIFAHAMU KITABU CHA DANIEL. Historia haijaandikwa kwa usawa. Mara nyingi inaandikwa na walioshinda vita

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
, au wale waliokuwa na nguvu za kisiasa, kiutamaduni au kidini.
Kwa mfano, tunajua mengi kuhusu Babeli, Ashuru, kupitia vyanzo vya Biblia na baadaye kupitia tafsiri za Wagiriki na Waroma.
Lakini tunajua kidogo sana kuhusu simulizi za ndani za Nubia, Ethiopia, au hata Harappa–Indus kwa sababu maandiko yao yalipuuzwa na wana historia wa Kizungu.

Hebu fikiria, Danieli 2 na 7 zinatoa maono ya falme nne zinazopishana (Babeli, Umedi-Uajemi, Uyunani, na Rumi).
Na kwa hizi falme kuu nne, humwambii kitu msabato, labda kama unataka akuite mpinga kristo.
Humwambii kitu kuhusu Nebuchadnezzar na Babeli kama ufalme wa kwanza mkuu, humwambii kitu kuhusu ufalme wa Waamedi Na waajemi chini ya Dario na Koresh.
Humwambii kitu kuhusu Ugiriki na Alexander Mkuu, humwambii kitu kuhusu Roma na ukatili wake.

Babeli imepata umaarufu baada ya anguko la waashuru. Imeibuka ikawakuta Misri, Nubia, na hata india wakiwa na tawala imara sana.
Babeli sanjali na kupigiwa debe, haijawahi kushinda tawala hizi.
Swali linabakia: ni lini Babeli ilishinda tawala hizi na kuwa falme kuu ya dunia?

Ikumbukwe kuwa: baada ya muda mfupi tu, babeli aliangushwa chini, na kuziacha Misri, Nubia, Ethiopia, india, china na Amerika ya kale zikiwa zimesimama.
Sasa inapewaje hadhi ya kuwa super power wa kwanza wa dunia?
Hali hii inaunda simulizi kwamba historia nzima ya dunia “imepangwa kwa makusudi” kuelekea Rumi (ambapo baadaye Ukristo utazaliwa).
Hii ni framework ya Kiyahudi-Kikristo (Jewish–christian framework) ya historia, inayopuuza kabisa ustaarabu mataifa mengine (Misri, India, China, Amerika za kale).

Danieli si historia ya ulimwengu mzima, bali ni propaganda ya kifalsafa/kiimani ya eneo fulani, na sio ulimwengu mzima.
Biblia yenyewe iliandikwa katika mazingira ya Asia ya Kati na Afrika Kaskazini (sehemu za ngozi nyeusi).
Lakini ilipochukuliwa na Wagiriki, Waroma, na baadaye Ulaya ya Kikristo, simulizi hizi ziliwekwa kwenye muktadha wa “mashariki ni chanzo, magharibi ni kilele.”– wazungu ni hatari mno.

Mfano, Danieli anawaona Babeli, Uajemi, Uyunani, na Rumi kama nguzo za historia — hakuna neno kuhusu Misri (ambayo ilitawala muda mrefu zaidi).
Baadaye wanatheolojia wa Kikristo wanachukua hii kama blueprint ya historia ya binadamu, na wanaipa Ulaya (Rumi) nafasi ya juu kabisa katika simulizi.
Hii kiufupi ni white supremacy, kwa kuwa inamtukuza sana mzungu na kumbeza mtu mweusi.

Hainiingii akilini kuwa tawala nne za daniel 2 na 7 ndizo tawala kuu nne za ulimwengu, wakati kuna tawala kama vile:

✅Ashuru ( Chaldeans, Iraq ya Leo)– wababe waliotikisa kwa muda mrefu sana, hadi walipoanguka wakati ninawi iliposhambuliwa na Mchanganyiko wa Babeli na waamedi. Hawa hawatajwi kabisa kama super power, hadithi zao zina zimwa zimwa tu ndani ya biblia.

✅Misri– Taifa na ufalme wa ajabu uliotawala kwa muda mrefu sana hadi ulipovamiwa kwa mara ya kwanza na Waamedi na waajemi.
Simulizi yake inaminywa minywa tu, ili tusibaini ukuu wake.

✅India (Magadha, Maurya baadaye) —ilikuwa na falme kubwa, lakini haikuweza kufikiwa na mashambulizi yoyote yale ya hawa wanaopigiwa debe kama Wafalme wakuu wa dunia.

✅Nubia/Kush ilikuwa falme thabiti kusini mwa Misri, ambao haukuwahi kushindwa vita kutokana na uthabiti wake wa kijeshi.

Lakini Biblia inajifanya kana kwamba “ulimwengu wote” umepita ndani ya mzunguko wa Babeli → Uajemi → Uyunani → Rumi.
Huu ni uzushi na ubaguzi wa hali ya juu kabisa.
Historia ya Biblia (hasa kitabu cha Danieli) ni biased na regional, si historia kamili ya kiulimwengu.

Chaguo ni lako kuendelea kusoma tungo, ama kuamka na kuanza kuhoji.
Mimi kazi yangu ya kukuamsha nimeimaliza.
Ndo huyo mimi ninaelekea Nubia ( Sudani) kujifunza ukuu wa mtu mweusi.
Wenda mimi ni mtu wa kale sana niliyezaliwa upya, kurekebisha baadhi ya vipengele vya safari yangu

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

KIFAHAMU KITABU CHA DANIEL. Historia haijaandikwa kwa usawa. Mara nyingi inaandikwa na walioshinda vita

, au wale waliokuwa na nguvu za kisiasa, kiutamaduni au kidini.
Kwa mfano, tunajua mengi kuhusu Babeli, Ashuru, kupitia vyanzo vya Biblia na baadaye kupitia tafsiri za Wagiriki na Waroma.
Lakini tunajua kidogo sana kuhusu simulizi za ndani za Nubia, Ethiopia, au hata Harappa–Indus kwa sababu maandiko yao yalipuuzwa na wana historia wa Kizungu.

Hebu fikiria, Danieli 2 na 7 zinatoa maono ya falme nne zinazopishana (Babeli, Umedi-Uajemi, Uyunani, na Rumi).
Na kwa hizi falme kuu nne, humwambii kitu msabato, labda kama unataka akuite mpinga kristo.
Humwambii kitu kuhusu Nebuchadnezzar na Babeli kama ufalme wa kwanza mkuu, humwambii kitu kuhusu ufalme wa Waamedi Na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/kifahamu-kitabu-cha-daniel-historia-haijaandikwa-kwa-usawa-mara-nyingi-inaandikwa-na-walioshinda-vit

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi kifahamu-kitabu-cha-daniel-historia-haijaandikwa-kwa-usawa-mara-nyingi-inaandikwa-na-walioshinda-vit
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68

933
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67

884
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 17 to 18 final

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 17 to 18 final

333
SHAMIRA 87 MPK. 91      (SEASON FOUR)

SHAMIRA 87 MPK. 91 (SEASON FOUR)

290
SHAMIRA 94 Hadi 96

SHAMIRA 94 Hadi 96

274
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

211
SHAMIRA 92 kwa 93

SHAMIRA 92 kwa 93

211
NAKUPENDA BILA  13 - 25

NAKUPENDA BILA 13 - 25

189
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35

NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35

167
SHAMIRA Sehemu ya 97&98

SHAMIRA Sehemu ya 97&98

141

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.79K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.85K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.34K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.96K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.94K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.76K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.68K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.61K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10
@majario LIVE

🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓 sehemu ya 9 Mwandishi:lissa mwalla Alikua ni Ivan, sikuamin mana sura yake haikubadilika japo alikua amekua, tulitizaman huku mm nikiwa sijui nimsalimie au nimshangililie lkn huyu anajua siri yangu mm nikichofanyiwa kipindi...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Babaaa! Niliita kwa mstuko, baba akasema tayla wee taaaay... Kabla hajamaliza niligeuka nyuma na kuanza kuondoka, kumbe DA frida alikua anatembea na babangu siku zote hizi? Baba kampangia anaishi...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "7_8"💓😽 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "7_8"💓😽
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Huyu kashaliwa huyu tena usiku kuchaaaa Mama Samson sasa kwa aibu akanipita bila hata kunisalimia Mara zee mapumba hili hapa linatoka likiwa alinafunga xipi yake vzr loooh 🤮...

SHAMIRA 99 na 101 Post Mpya
SHAMIRA 99 na 101
@majario LIVE

Sehemu ya 99 Mwandishi; lissa wa huru media Mh shoga yenu nikawa ata sijielewi elewi .mala simu yangu ikaingia sms.nikavuata simu .nakuta sms nimetumiwa imeandikwa .asante kwa penzi tamu shamira siajajutia...

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, Post Mpya
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco,
@majario LIVE

Kufuatia uamuzi wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, mshambuliaji wa Senegal, Sadio Mané, ameonyesha kusikitishwa na...

SHAMIRA Sehemu ya 97&98 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 97&98
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikafika ndani kwake akanmbia kaa kitandani. Mie nikakaa uku sielewi nae akakaa kitandani .kisha akaniangali kwa macho makavu mpka nilishangaa nimemfanya nini...

NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45
@majario LIVE

:36 Sijapenda kabisa, binti alisema wanapika kwao, ina maana wewe huli kabisa huko nje kwasababu una uwezo au ni kwasababu gani. Kumbuka na wewe hapa umeajiriwa kwaajili yangu, kwanini haujali hisia...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68
@majario LIVE

IMETOKAAAAA SEASON YA MWISHOOO SEASON 4 Nikasema ahaa kaka nipo busy sana na nabanwa na kazi, na kuna mda nalala kazini, kka akanmbia au sio unanidanganya na mm mdogo wangu, we...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Na kesho yake mapema sana mimi.niliamkia kazini , na nilipofika tu job,nikaongea na uyo afande mnige, ni mshikaji wangu tu uyu baba ,na huwa ananiitaga boss, mana nimempita...

SHAMIRA 94 Hadi 96 Post Mpya
SHAMIRA 94 Hadi 96
@majario LIVE

SHAMIRA Sehemu ya 94 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana mimi sijawah.akasema basi mimi niliwahi kuza mwenzio ila kwa bahati mbaya nilikosa il uchungu niliuona aswaa. Unauma sana shoga...

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 17 to 18 final Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 17 to 18 final
@majario LIVE

* * MTUNZI: SMILE SHINE EP 17. Mikononi mwake nilikuwa sarama, siku ya ndoa, ilifika na vicram tulimualika na familia yake, kama wao walivyofanya, ila hii ndoa nilijua kupendeza jamani, nilipaka na Hina yangu...

SHAMIRA 92 kwa 93 Post Mpya
SHAMIRA 92 kwa 93
@majario LIVE

SHAMIRA Mwandishi; lissa wa huru media Sehemu ya 92 Basi bwana siku zikapita kidogo nikawa nipo apa naendelea na kazi zangu ili iki kitoto hapana . Kina tabia mbaya jamani mh...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35
@majario LIVE

:26 Nikacheka na kusema “Muanko ana muda sasa, hacheki na yeyote, yaani tabasamu lake tangu nifike pale sijaliona dada hivi unanielewa.” Alinitazama akisema “eenh chaupole wangu nipe nipe.” Nilimtazama na kusema “wewe tena...

NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA  ​Episode 1 Post Mpya
NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA ​Episode 1
@majario LIVE

​Mvua ya rasha rasha ilikuwa ikidondoka jijini Dar es Salaam, ikichanganyika na moshi wa magari na kelele za wapita njia. Nilikuwa nimesimama kando ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi, nikisubiri...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "6"💓😽 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "6"💓😽
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Basi bwana kakabaki ka laki na nusu nikasema hatakama kesho sipiki lazima tu niende road nikatafute chakuniinguzia pesa Mnakuja nn 😂😂😂 vitoto vya mskini sisi akili ni...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest