Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
na nilivyo mwembamba alafu Catrine alikuwa nanyama kidogo hivyo mkuu wakikosi alikuja haraka na kuninyanyua nisiendelee kumpiga Catrine nilikuwa naelewa basi nihasira tuu zimenipanda nilikuwa nasema:


"Niache nimuonyeshe,   atanizoea mimu huyu"


Mkuu wakikosi alinishika kwa nguvu,  huku akinizuia nisiende,  na kuniambia:


"Acha usiwe hivyo Laura ,   tulia nimesema tulia"


Ndipo ikasikika sauti moja tuu sio kali ila alisema


"Muachie tumuone"


Nilishtuka,  na kugeuka haraka kwani nisauti niliyokuwa naijua kabisa,  kutizama vizuri  alikuwa General,  asikuambie mtu nilinywea kama kitunguu majii kwenye mafuta,  General alisongea hadi nilipokuwa na kisha akasema:


"Wewe tena"


Nilibaki kimya siku mjibu kitu,  nilisimama kwa nidhamu,   nikiwa naogopa sijui nini tena kitanikuta awamu hii,  General aliniambia:


"Nifuate"


Nakisha aliondoka, namimi nilianza kumfuata kama alivyo sema,  na wenzangu waliingia kitandani kulala kimya kimya,  nilikuwa najiuliza sijui awamu hii atanipa zoezi gani,  na tayari usimu umesha ingia, tulipofika nje aliniambia:


"Laura,  sura yako na matendo yako haviendani kabisa,  unaumli gani wewe?


"Nina miaka ishirini na tatu mkuu"


Nilijibu kwa sauti yaupole kabisa,  kisha General alitabasam na kuniambia:



"Mimi kipindi ninaumli wako nilikuwa najitahidi sana kuwa na nidham,   ili nifanikishe kilakitu,   lakini ona wewe kila mala unakumbana na adhabu tuu,  haya sasa utasimama hapo,  mikono inyooshe juu kama unaita mvua,   na usiishushe mpaka nitakapo kuruhusu,  kisha aliwaruhusu viongozi wa vikosi hapo waende kupumzika,  kiongozi wangu kikosi namba saba akamuambia:


"Muheshimiwa General,  unaonaje ukaniachia mimi huyo,   wewe nenda upumzike maana utakuwa umechoka sana,   tangu umefika huku pumzika hata mala moja"



Nilifurahi kusikia hivyo,  kwani nilijua mkuu wa kikosi hatonitesa kama huyu General,  lakini General alinitizama na kisha akasema:


"Huyu hapana natakiwa nimnyooshe mimi mwenyewe,   kidogo awe na nidhamu,   maana anaonekana hana nidhamu kabisa"


Niliposikia hivyo, nilizidi kuchukia nikamuambia:


"Lakini mbona mnaniadhibu mimi pekeangu eeh!  nawakati alienianza mmemuacha"


General aligeuka, na kumuambia mkuu wa kikosi changu:


"Wewe nenda kapumzike, huyu niachie mimi"


Mkuu wangu wakikosi aliondika, na kuniacha hapo General,  kisha akaniambia:


"Endelea na zoezi nililokupa"


Kisha alichukua kiti na kukaa pembeni,  huku akiwa na chupa yake ya whisky,   na akiwa bize na simu yake, nili endelea kufanya kama nilivyoambiwa, kiukweli nilikuwa ninaumia sana, hadi nilijiku natokwa namachozi, lakini General alikuwa anajifanya yupo bize hanitizami, mwisho nilimuambia:


"Ninajisikia kiu,  nahitaji maji yakunywa"


Alinitizama nakisha aliinuka na kuniletea maji yakunywa,   akaninywesha maji kwa mkono wake yeye mwenyewe,  kwani  hakutaka nishushe mikono chini,  lakini sikuhishia hapo nilimuambia tena:


"Nahitaji kujisaidia haja ndogo"


"Jisaidie tuu,   hakuna anaekuona hapa,  kwanza kunagiza"


Kisha aliendelea kunywa kinywaji chake,   nilianza kulia  kwa kwa kwikwi,   yaani mikono ilikuwa inauma sana,  na sitakiwi kuishusha chini hata mala moja, nililia sana,   kwakweli General ni mkatili sana hana huruma hata kidogo, kisha akaniambia:


"Shusha mikono chini, na kisha chuchumaa chini"


Nilifanya kama alivyoniambia,  kisha akaniambia:


"Anza kuruka kichura chura,   hapo mpaka kuleee mbele,    na kisha urudi hapa fanya hivyo bila kupumzika,  naomba uanze mara moja,  acha kulialia hapa sio nyumbani kwenu"


Nilianza kuruka huku nalia,   jasho likinitoka hatari,  nilijikuta namchukia sana General,   hadi nilijisemea kimoyoni moyoni:


"Nakuchukia sana"


Tangu kaingia ni ananipa adhabu tuu mimi,   niliruka kichula kwa muda mrefu sana,    hadi mapaja yalikuwa yakitetemeka,   ila General hakujali hadi alipo maliza kunywa mvinyo wake,   alisimama na kuniambia:


"Haya inuka"


Niliendelea kuruka kwa hasira,   kama sikumsikia,   kiukweli nilikuwa nahasira sana muda huo,   alinitizama kisha akaniambia kwa sauti ya ukali:


"Inuka na uje hapa"


Nikainuka kwa tabu sana,   miguu haikuwa sawa kabisa,   ilikuwa inatetemeka nusu nianguke,   nikaanza kutembea kumfuata huku ikitetemeka miguu yangu,  nilijikuta  nikaangukia miguuni kwa General,   nnikaanza  kujizoa niinuke tena,   akaona ainame  anisaidiae   kusimama,    kiukweli nilimpushi mkono kwa hasira,    na kufosi kwa nguvu hadi nilifika juu,  huku machozi yakinitoka kwa hasira, akaniambia:


"Nenda ukalale,   ila alfajiri  nataka nikukute kwenye  tizi  uwanjani"


Nikaanza kuondoka  huku akinitizama,   nilitembea hatua chache tu  nikaanguka chini,    mapaja hayana nguvu kabisa  yanatetemeka,   alinifuata anisaidie nilipomuona nilimuambia:


"Usiniguse tafadhari"


Alitabasam kwa jeuli,  nakisha akaondoka kuniacha nilitambaa hapo hadi nilipokaribia  bwenini,     kiongozi wa kikosi changu alikuwa hajalala,    alikuwa akitoka nje anachungulia kisha analudi ndani hivyo hivyo,  ndio alipokuwa anachungulia akaniona nipo chini natambaa,    alikuja na kunisaidia kuinuka,   akanipeleka kitandani kwangu,   akaniambia:


"Nilijua tuu,   kwa General hutotoka salama,  haya inuka upumzike  sasa"


Nilimuomba kitu kimoja:


"Naomba nisaidie maji yamoto mkuu,  nataka nijikande  kidogo mapaja,   lasivyo sitoweza kuinuka alfajiri, nakuomba"


"Sawa,   ngoja nikakuchukulie jikoni"


Alienda jikoni na kunichemshia maji,   kisha alikujanayo,   nilimuomba bila aibu anisaidie kunikanda,   nilichukua upande wa kanga nikajifunga kujificha sehemu za siri tuu,   kuanzia kwenye hips kote nilimruhusu anikande,   alikubali  na kuchukua kanga akairoweka kwenye maji  ya moto,   na kisha alinikanda ilikuwa inauma sana,   lakini aliniambia:


"Jikaze Laura,  hili ndio jeshi"


Nilikuwa nalia kwa uchungu kiukweli,   nilikuwa ninamaumivu makali mno,   kisha mkuu alienda kuniletea dawa za maumivu,  nikameza kisha,  mkuu aliniambia:

"Haya lala"


Nikalala akanifunika vizuli shuka ndio  kuondoka,   alikuwa anatujali sana mkuu wa kikosi chetu,   ndio maana alikuwa ananisubili ahakikishe nimeingia kulala kabisa,   ndio akaondoka.



Endelea kufuatilia.........
Tangazo - usiku mmoja tu alidata
usiku mmoja tu alidata
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine

na nilivyo mwembamba alafu Catrine alikuwa nanyama kidogo hivyo mkuu wakikosi alikuja haraka na kuninyanyua nisiendelee kumpiga Catrine nilikuwa naelewa basi nihasira tuu zimenipanda nilikuwa nasema:


"Niache nimuonyeshe,   atanizoea mimu huyu"


Mkuu wakikosi alinishika kwa nguvu,  huku akinizuia nisiende,  na kuniambia:


"Acha usiwe hivyo Laura ,   tulia nimesema tulia"


Ndipo ikasikika sauti moja tuu sio kali ila alisema


"Muachie tumuone"


Nilishtuka,  na kugeuka haraka kwani nisauti niliyokuwa naijua kabisa,  kutizama vizuri  alikuwa General,  asikuambie mtu nilinywea kama kitunguu majii kwenye mafuta,  General alisongea hadi nilipokuwa na kisha akasema:


"Wewe tena"


Nilibaki kimya siku mjibu kitu,  nilisimama kwa nidhamu,   nikiwa naogopa sijui nini tena kitanikuta awamu hii, ...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-03-walipo-fika-catrine-alikuwa-chini-na-mimi-nilikuwa-juu-nam

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.48K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

2.56K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.3K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.11K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.11K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.04K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.99K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

1.95K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest