AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ππ NO 27....28ππ
""Its Pendo right!?""
""Yeah I'm Pendo!""
""I am Hakim, the last child born in our family nimefurahi sana kukufahamu Pendo π»""
""Wow, I'm also happy to know you Hakim ""
""Wow, it's very cool my""
""Okay πππ""
Hakim aliushika ule mkono wangu wa kushoto niliokuwa nimeivaa Ile saa aliyoniletea aliubusu then alinitizama Katika macho yangu aliniambia Pendo natamani uwe mke wangu umenivutia sana! wewe ni mwanamke mrembo una rangi nzuri na shape nzuri pia kiukweli umeuteka sana Moyo wangu pendo I want to tell you something, I love you β€οΈβ€οΈ""
""Hakimu aliniambia vile huku tukiwa tunaendelea kutembea Kwa mwendo wa taratibu sana alikuwa ameushikilia mkono wangu huku tukiwa tunatembea Very slowly! Kusema Kweli Wala sikumjibu kitu niliendelea kukaa tu kimya tulifika katika kieneo Fulani kizuri Hakim aliniomba tukae pale katika Ile sehemu nilikubali tulikwenda tukakaa katika Ile sehemu Hakim alikuwa akinitizama sana machoni kwangu aliniita Pendo nilimuitikia aliniuliza uko tayari kuolewa na Mimi!? Niliendelea kukaa kimya! Usikae kimya mpenzi wangu kumbuka tayari Kila kitu kimeshapitishwa na familia zetu tayari nimeshatoa mahali kwenu na nimekuridhia wewe Kwa moyo wangu kuwa mke wangu pendo I love you with meaning Please, I am asking you to accept me. I will love you every day I will give you true love from now until the end..... Ni sawa Hakim lakini nahitaji muda wa kuamua Juu ya ndoa yangu Mimi na wewe!
Hakim aliendelea kunigongelea mistari ya moto Moto lakini mwenzie hata kidogo sikushawishika et! Tukiwa bado tunaendelea na mazungumzo yetu simu ya Hakim iliita alipokea nazani aliyepiga ni Jace yule rafiki yake alimpatia maelekezo sehemu tuliko Akawa amemuijia pale hakusogea pale Karibu yetu ila aliegesha gari Kwa mbali kidogo!
""Tizama tayari kaishafika rafiki Yako amekuja kukuchukua et Naomba na Mimi nirudi nyumbaniππ""
""It's ok pendo lakini Kesho nitakuja kukuchukua Kwa ajiri ya kwenda hospital Kufanya vipimo baadhi vya kucheki Afya are you ready!? ""
""It's okay Hakim tutaenda tu ππ""
""Pendo before we say goodbye can you give me a kiss!? Tafadhari kipenzi Naomba usinikatalie et I only ask once""
""Not now Hakim maybe for another time ππ nilimjibu hivyo Kisha nikasimama pale nakuanza kupiga hatua hakimu aliushika mkono wangu akanivuta Karibu yake darling aliniita hivyo nilinyamaza kimya baby aliniita Tena yes Hakim ππ nilimuitikia et Kwa sauti ya chini sana! Tumeshatembea umbali mrefu kidogo kutokea nyumbani kwenu Sasa hivi ni usiku et hauwezi kwenda peke Yako Naomba nikubebe kwenye gari niweze kukurudisha nyumbani! It's okay hakuna shida! Hakim alinishikilia mkono wangu Alf Kuna vile alikuwa anauminyaminyaππ tulitembea Hadi pale alipokuwepo Jace Hakim alimuomba Jace kama hatojali basi amungoje pale Yeye anirudishe nyumbani kwanza then atampitia pale warudi hotelin! Jace alishuka kwenye gari walipeana fiveππ walionekana kuwa marafiki wakubwa sana Hakim aliufungua mlango wa mbele Kule akaniomba nipande kwenye gari nilimuaga Jace It's like byeeeee π wow byeee Shem Darling π«Ά I wish you a good night see you next time byeeeee π«°
Nilikaa zangu kwenye gari Hakim akawa ameondoa gari eneo lile kuelekea nyumbani kwetu ilikuwa ishafika saa nne za usiku! Alinipeleka Hadi jirani kabisa na getin kwetu! Kabla cjatelemka Hakim aliniita babyππ nilinyamaza etππ darling aliniita Tenaππ yes baby nilijitutumua kujibuππ I love youππ mmmhhh mie chitaki mie apenda boo wangu siyo weweππ nilijibu kimoyomoyo ππ hakimu aliugusa mkono wangu akanisogeza Karibu yake alionekana kuwa na mizuka Fulani hivi ππ sorry i need to leave Nilimwambia baada ya kumuona kama mtu anayetaka kufanya kituπ lakini Wala hakuniachia alinivuta Karibu yake zaidi Hakim alianza kuninyonya kwenye lip's zangu I don't need to do that, please leave me alone Wala ata hakuniachia et aliniambia Pendo please ni kiss peke yake mamaa usinizuie et nakupenda Pendo Nina hisia Kali sana Juu Yako nakupenda mama I Love you ππ Hakim aliniambia huku akiwa amenituliza katika kifua Chake Yani Hadi nililia et mi nampenda Paschal kwanini hii inatokeaπ’π’ baada ya Hakim kuniona nikiwa nadondosha machozi aliniachia I'm sorry Pendo I beg you to forgive me Yani ni vile nikikusogelea nakuwa napata msisimko mkali sana pole mama aliniyafuta machozi yangu Kisha akanikiss kwenye paji la uso ππ baada ya hapo aliniomba namba yangu ya cm then alinifungulia mlango nikatoka Kule kwenye gari!
Nilienda Moja kwa Moja Hadi chumbani kwangu Nikajifungia huko nilifanya kulia Ili kupunguza Jamu ya hasira moyoni kwangu...... Wazazi wangu waliniita wakaniomba sana sana niweze kuolewa na Hakim! Lakini wazazi wangu Mimi tayari Nina mwanaume ninayempenda simpendi Hakim naombeni mnielewe ππ baada ya kuwambia hivyo Daddy alisimama Kwa hasira akaniambia amka ukusanye Kila kilicho chako humu ndani uende Kwa huyo mwanaume wakoπ‘π‘ umekua Sasa unataka kutupanda kichwani tumekuzaa wenyewe tumekulea wenyewe Leo hii unataka kutufundisha kipi Cha kufanya!? Nasema Toka uende Kwa huyo mwanaume wako ondoka hapa nyumbani kwangu mtoto kumbe mshenzi huyuπ‘ anathubutu vipi kuniambia kwamba ana mwanaume wake na ilihali Bado tunakaa naye hapa nyumbani!? Una mwanaume wako huku ndani unafanya Nini wenye wanaume zao wako makwao huko na familia zao kama ilivyo Kwa dada Yako Prisca na Mme wake wako kwao na siyo kama walichukuana kizungu no walifuata taratibu wakafunga ndoa wewe Huo uhuni ulioamua kutuoneshea sisi hazalani nenda ukaufanye huko huko na usikae ukakanyaga hapa nyumbani kwangu Helena hivi ndivyo ulivyomlea Binti Yako!? Baba alinishambulia sana Yani ni alichukia kupita kiasi sijawahi kumuona baba yangu akiwa na hasira kiasi kile niliogopa sana pale alipomuuliza mama kwamba hivyo ndivyo alivyonilea nililia huku nikiwa namuomba baba yangu msamaha lakini hakutaka kunisikiliza Mtoto wangu ni Prisca pekee huyo ndo Mtoto mwenye heshima na adabu Kwa sisi wazazi wake alijitunza Hadi siku anaolewa hakuwahi kututamkia hazalani et ana mwanaume wake na sisi hatukuwahi kuona uchafu wowote Kwa Prisca Yani sikuwahi kuyajua makucha Yako pendo kumbe wewe ni Mtoto mshenzi sanaπ‘π‘ nasema Toka huku ndani kwangu na kesho mapema nitakwenda kuonana na familia ya kina hakimu nirudishe Kila kitu Chao!
Eh Mungu wangu baba yangu alichefukwa kupita kiasi aliniamuru niondoke nyumbani kwake!
Itaendeleaaaa......
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi