Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 27....28πŸ’˜πŸ’˜
Gonga94 Β· Stories

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 27....28πŸ’˜πŸ’˜

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Tukiwa tunaendelea na mazungumzo Mimi na Shangazi yangu Mom alikuja kule chumbani Kwangu alionekana mtu mwenye furaha sana aririririiiiiiiiiiiiii alianza kupiga vigeregere Kwa shangwe haya fanya utoke mwanangu ukawaage wageni waondoke...... Nilitoka kule chumbani Kwangu nikaelekea sebleni kwenda kuwaaga wageni.......My daughter, we are leaving Now🀝🀝 We are grateful for the food Thank you very much🀝🀝 ni sawa baba karibuni Sana πŸ™‚πŸ™‚ wow Asante sana nazani tuwapatie muda wewe na Hakim mpate kufahamiana vizuri hata Kwa muda mchache tu! It's ok daddy 😊😊 wale wazee pamoja na yule kijana mmoja walitangulia kwenye Gari Mimi na Hakim tulibakia nyuma kidogo gari iliondoka Kwa mwendo wa taratibu sana ilikuwa ni usiku mida kama ya saa mbili hivi Hakim alichukua simu yake ni kama vile Kuna mtu alitaka kumpigia alibonyeza bonyeza Kisha akaiweka sikioni!..... Hello Jace I think it would be better if you took them first and then you will come to pick me up alimuomba yule rafiki yake Jace awapeleke Wazee hotelini kwanza Alf then atarudi kumchukua make walikuwa wanapeleka gari taratibu huku wakiwa wanamngoja Hakim! Baada ya Hakim kumuomba Jace afanye vile Jace alikubali aliiondoa gari chapu tukabakia wawili peke yetu!
""Its Pendo right!?""
""Yeah I'm Pendo!""
""I am Hakim, the last child born in our family nimefurahi sana kukufahamu Pendo 😻""
""Wow, I'm also happy to know you Hakim ""
""Wow, it's very cool my""
""Okay πŸ™‚πŸ™‚πŸ˜Œ""

Hakim aliushika ule mkono wangu wa kushoto niliokuwa nimeivaa Ile saa aliyoniletea aliubusu then alinitizama Katika macho yangu aliniambia Pendo natamani uwe mke wangu umenivutia sana! wewe ni mwanamke mrembo una rangi nzuri na shape nzuri pia kiukweli umeuteka sana Moyo wangu pendo I want to tell you something, I love you ❀️❀️""
""Hakimu aliniambia vile huku tukiwa tunaendelea kutembea Kwa mwendo wa taratibu sana alikuwa ameushikilia mkono wangu huku tukiwa tunatembea Very slowly! Kusema Kweli Wala sikumjibu kitu niliendelea kukaa tu kimya tulifika katika kieneo Fulani kizuri Hakim aliniomba tukae pale katika Ile sehemu nilikubali tulikwenda tukakaa katika Ile sehemu Hakim alikuwa akinitizama sana machoni kwangu aliniita Pendo nilimuitikia aliniuliza uko tayari kuolewa na Mimi!? Niliendelea kukaa kimya! Usikae kimya mpenzi wangu kumbuka tayari Kila kitu kimeshapitishwa na familia zetu tayari nimeshatoa mahali kwenu na nimekuridhia wewe Kwa moyo wangu kuwa mke wangu pendo I love you with meaning Please, I am asking you to accept me. I will love you every day I will give you true love from now until the end..... Ni sawa Hakim lakini nahitaji muda wa kuamua Juu ya ndoa yangu Mimi na wewe!

Hakim aliendelea kunigongelea mistari ya moto Moto lakini mwenzie hata kidogo sikushawishika et! Tukiwa bado tunaendelea na mazungumzo yetu simu ya Hakim iliita alipokea nazani aliyepiga ni Jace yule rafiki yake alimpatia maelekezo sehemu tuliko Akawa amemuijia pale hakusogea pale Karibu yetu ila aliegesha gari Kwa mbali kidogo!
""Tizama tayari kaishafika rafiki Yako amekuja kukuchukua et Naomba na Mimi nirudi nyumbaniπŸ™‚πŸ™‚""
""It's ok pendo lakini Kesho nitakuja kukuchukua Kwa ajiri ya kwenda hospital Kufanya vipimo baadhi vya kucheki Afya are you ready!? ""
""It's okay Hakim tutaenda tu πŸ˜”πŸ˜”""
""Pendo before we say goodbye can you give me a kiss!? Tafadhari kipenzi Naomba usinikatalie et I only ask once""
""Not now Hakim maybe for another time πŸ™ˆπŸ™ˆ nilimjibu hivyo Kisha nikasimama pale nakuanza kupiga hatua hakimu aliushika mkono wangu akanivuta Karibu yake darling aliniita hivyo nilinyamaza kimya baby aliniita Tena yes Hakim πŸ™ˆπŸ™ˆ nilimuitikia et Kwa sauti ya chini sana! Tumeshatembea umbali mrefu kidogo kutokea nyumbani kwenu Sasa hivi ni usiku et hauwezi kwenda peke Yako Naomba nikubebe kwenye gari niweze kukurudisha nyumbani! It's okay hakuna shida! Hakim alinishikilia mkono wangu Alf Kuna vile alikuwa anauminyaminya😌😌 tulitembea Hadi pale alipokuwepo Jace Hakim alimuomba Jace kama hatojali basi amungoje pale Yeye anirudishe nyumbani kwanza then atampitia pale warudi hotelin! Jace alishuka kwenye gari walipeana fiveπŸ‘ŠπŸ‘Š walionekana kuwa marafiki wakubwa sana Hakim aliufungua mlango wa mbele Kule akaniomba nipande kwenye gari nilimuaga Jace It's like byeeeee πŸ–– wow byeee Shem Darling 🫢 I wish you a good night see you next time byeeeee 🫰

Nilikaa zangu kwenye gari Hakim akawa ameondoa gari eneo lile kuelekea nyumbani kwetu ilikuwa ishafika saa nne za usiku! Alinipeleka Hadi jirani kabisa na getin kwetu! Kabla cjatelemka Hakim aliniita babyπŸ™ˆπŸ™ˆ nilinyamaza etπŸ™ˆπŸ™ˆ darling aliniita TenaπŸ™ˆπŸ™ˆ yes baby nilijitutumua kujibuπŸ™ˆπŸ™ˆ I love you😘😘 mmmhhh mie chitaki mie apenda boo wangu siyo weweπŸ˜”πŸ˜” nilijibu kimoyomoyo πŸ˜”πŸ˜” hakimu aliugusa mkono wangu akanisogeza Karibu yake alionekana kuwa na mizuka Fulani hivi πŸ™„πŸ™„ sorry i need to leave Nilimwambia baada ya kumuona kama mtu anayetaka kufanya kituπŸ™„ lakini Wala hakuniachia alinivuta Karibu yake zaidi Hakim alianza kuninyonya kwenye lip's zangu I don't need to do that, please leave me alone Wala ata hakuniachia et aliniambia Pendo please ni kiss peke yake mamaa usinizuie et nakupenda Pendo Nina hisia Kali sana Juu Yako nakupenda mama I Love you πŸ˜”πŸ˜” Hakim aliniambia huku akiwa amenituliza katika kifua Chake Yani Hadi nililia et mi nampenda Paschal kwanini hii inatokea😒😒 baada ya Hakim kuniona nikiwa nadondosha machozi aliniachia I'm sorry Pendo I beg you to forgive me Yani ni vile nikikusogelea nakuwa napata msisimko mkali sana pole mama aliniyafuta machozi yangu Kisha akanikiss kwenye paji la uso 😘😘 baada ya hapo aliniomba namba yangu ya cm then alinifungulia mlango nikatoka Kule kwenye gari!

Nilienda Moja kwa Moja Hadi chumbani kwangu Nikajifungia huko nilifanya kulia Ili kupunguza Jamu ya hasira moyoni kwangu...... Wazazi wangu waliniita wakaniomba sana sana niweze kuolewa na Hakim! Lakini wazazi wangu Mimi tayari Nina mwanaume ninayempenda simpendi Hakim naombeni mnielewe πŸ˜”πŸ˜” baada ya kuwambia hivyo Daddy alisimama Kwa hasira akaniambia amka ukusanye Kila kilicho chako humu ndani uende Kwa huyo mwanaume wako😑😑 umekua Sasa unataka kutupanda kichwani tumekuzaa wenyewe tumekulea wenyewe Leo hii unataka kutufundisha kipi Cha kufanya!? Nasema Toka uende Kwa huyo mwanaume wako ondoka hapa nyumbani kwangu mtoto kumbe mshenzi huyu😑 anathubutu vipi kuniambia kwamba ana mwanaume wake na ilihali Bado tunakaa naye hapa nyumbani!? Una mwanaume wako huku ndani unafanya Nini wenye wanaume zao wako makwao huko na familia zao kama ilivyo Kwa dada Yako Prisca na Mme wake wako kwao na siyo kama walichukuana kizungu no walifuata taratibu wakafunga ndoa wewe Huo uhuni ulioamua kutuoneshea sisi hazalani nenda ukaufanye huko huko na usikae ukakanyaga hapa nyumbani kwangu Helena hivi ndivyo ulivyomlea Binti Yako!? Baba alinishambulia sana Yani ni alichukia kupita kiasi sijawahi kumuona baba yangu akiwa na hasira kiasi kile niliogopa sana pale alipomuuliza mama kwamba hivyo ndivyo alivyonilea nililia huku nikiwa namuomba baba yangu msamaha lakini hakutaka kunisikiliza Mtoto wangu ni Prisca pekee huyo ndo Mtoto mwenye heshima na adabu Kwa sisi wazazi wake alijitunza Hadi siku anaolewa hakuwahi kututamkia hazalani et ana mwanaume wake na sisi hatukuwahi kuona uchafu wowote Kwa Prisca Yani sikuwahi kuyajua makucha Yako pendo kumbe wewe ni Mtoto mshenzi sana😑😑 nasema Toka huku ndani kwangu na kesho mapema nitakwenda kuonana na familia ya kina hakimu nirudishe Kila kitu Chao!

Eh Mungu wangu baba yangu alichefukwa kupita kiasi aliniamuru niondoke nyumbani kwake!

Itaendeleaaaa......
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 27....28πŸ’˜πŸ’˜

Tukiwa tunaendelea na mazungumzo Mimi na Shangazi yangu Mom alikuja kule chumbani Kwangu alionekana mtu mwenye furaha sana aririririiiiiiiiiiiiii alianza kupiga vigeregere Kwa shangwe haya fanya utoke mwanangu ukawaage wageni waondoke...... Nilitoka kule chumbani Kwangu nikaelekea sebleni kwenda kuwaaga wageni.......My daughter, we are leaving Now🀝🀝 We are grateful for the food Thank you very much🀝🀝 ni sawa baba karibuni Sana πŸ™‚πŸ™‚ wow Asante sana nazani tuwapatie muda wewe na Hakim mpate kufahamiana vizuri hata Kwa muda mchache tu! It's ok daddy 😊😊 wale wazee pamoja na yule kijana mmoja walitangulia kwenye Gari Mimi na Hakim tulibakia nyuma kidogo...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaaah-imetosha-boss-no-27-28

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaaah-imetosha-boss-no
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  NO 30πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 30πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 32πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 32πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜  NO 31πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ NO 31πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 29πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 29πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  NO 26πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 26πŸ’˜πŸ’˜
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❀️ sehemu ya 79 na 80

565
MY WANGU❀️ sehemu ya 81

MY WANGU❀️ sehemu ya 81

533
MY WANGU❀️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❀️ sehemu ya 82 na 83

402
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 31 na 32

335
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 33

239
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 53...54πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 53...54πŸ’˜πŸ’˜

178
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

44

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.67K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.45K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.41K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.29K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.28K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 53...54πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 53...54πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasaπŸ˜†πŸ˜† my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❀️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❀️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 51...52πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 51...52πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majutoπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 50πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 50πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎢🎢from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎢🎢"" ""🎢🎢from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest