Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 27....28πŸ’˜πŸ’˜
Gonga94 Β· Stories

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 27....28πŸ’˜πŸ’˜

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Tukiwa tunaendelea na mazungumzo Mimi na Shangazi yangu Mom alikuja kule chumbani Kwangu alionekana mtu mwenye furaha sana aririririiiiiiiiiiiiii alianza kupiga vigeregere Kwa shangwe haya fanya utoke mwanangu ukawaage wageni waondoke...... Nilitoka kule chumbani Kwangu nikaelekea sebleni kwenda kuwaaga wageni.......My daughter, we are leaving Now🀝🀝 We are grateful for the food Thank you very much🀝🀝 ni sawa baba karibuni Sana πŸ™‚πŸ™‚ wow Asante sana nazani tuwapatie muda wewe na Hakim mpate kufahamiana vizuri hata Kwa muda mchache tu! It's ok daddy 😊😊 wale wazee pamoja na yule kijana mmoja walitangulia kwenye Gari Mimi na Hakim tulibakia nyuma kidogo gari iliondoka Kwa mwendo wa taratibu sana ilikuwa ni usiku mida kama ya saa mbili hivi Hakim alichukua simu yake ni kama vile Kuna mtu alitaka kumpigia alibonyeza bonyeza Kisha akaiweka sikioni!..... Hello Jace I think it would be better if you took them first and then you will come to pick me up alimuomba yule rafiki yake Jace awapeleke Wazee hotelini kwanza Alf then atarudi kumchukua make walikuwa wanapeleka gari taratibu huku wakiwa wanamngoja Hakim! Baada ya Hakim kumuomba Jace afanye vile Jace alikubali aliiondoa gari chapu tukabakia wawili peke yetu!
""Its Pendo right!?""
""Yeah I'm Pendo!""
""I am Hakim, the last child born in our family nimefurahi sana kukufahamu Pendo 😻""
""Wow, I'm also happy to know you Hakim ""
""Wow, it's very cool my""
""Okay πŸ™‚πŸ™‚πŸ˜Œ""

Hakim aliushika ule mkono wangu wa kushoto niliokuwa nimeivaa Ile saa aliyoniletea aliubusu then alinitizama Katika macho yangu aliniambia Pendo natamani uwe mke wangu umenivutia sana! wewe ni mwanamke mrembo una rangi nzuri na shape nzuri pia kiukweli umeuteka sana Moyo wangu pendo I want to tell you something, I love you ❀️❀️""
""Hakimu aliniambia vile huku tukiwa tunaendelea kutembea Kwa mwendo wa taratibu sana alikuwa ameushikilia mkono wangu huku tukiwa tunatembea Very slowly! Kusema Kweli Wala sikumjibu kitu niliendelea kukaa tu kimya tulifika katika kieneo Fulani kizuri Hakim aliniomba tukae pale katika Ile sehemu nilikubali tulikwenda tukakaa katika Ile sehemu Hakim alikuwa akinitizama sana machoni kwangu aliniita Pendo nilimuitikia aliniuliza uko tayari kuolewa na Mimi!? Niliendelea kukaa kimya! Usikae kimya mpenzi wangu kumbuka tayari Kila kitu kimeshapitishwa na familia zetu tayari nimeshatoa mahali kwenu na nimekuridhia wewe Kwa moyo wangu kuwa mke wangu pendo I love you with meaning Please, I am asking you to accept me. I will love you every day I will give you true love from now until the end..... Ni sawa Hakim lakini nahitaji muda wa kuamua Juu ya ndoa yangu Mimi na wewe!

Hakim aliendelea kunigongelea mistari ya moto Moto lakini mwenzie hata kidogo sikushawishika et! Tukiwa bado tunaendelea na mazungumzo yetu simu ya Hakim iliita alipokea nazani aliyepiga ni Jace yule rafiki yake alimpatia maelekezo sehemu tuliko Akawa amemuijia pale hakusogea pale Karibu yetu ila aliegesha gari Kwa mbali kidogo!
""Tizama tayari kaishafika rafiki Yako amekuja kukuchukua et Naomba na Mimi nirudi nyumbaniπŸ™‚πŸ™‚""
""It's ok pendo lakini Kesho nitakuja kukuchukua Kwa ajiri ya kwenda hospital Kufanya vipimo baadhi vya kucheki Afya are you ready!? ""
""It's okay Hakim tutaenda tu πŸ˜”πŸ˜”""
""Pendo before we say goodbye can you give me a kiss!? Tafadhari kipenzi Naomba usinikatalie et I only ask once""
""Not now Hakim maybe for another time πŸ™ˆπŸ™ˆ nilimjibu hivyo Kisha nikasimama pale nakuanza kupiga hatua hakimu aliushika mkono wangu akanivuta Karibu yake darling aliniita hivyo nilinyamaza kimya baby aliniita Tena yes Hakim πŸ™ˆπŸ™ˆ nilimuitikia et Kwa sauti ya chini sana! Tumeshatembea umbali mrefu kidogo kutokea nyumbani kwenu Sasa hivi ni usiku et hauwezi kwenda peke Yako Naomba nikubebe kwenye gari niweze kukurudisha nyumbani! It's okay hakuna shida! Hakim alinishikilia mkono wangu Alf Kuna vile alikuwa anauminyaminya😌😌 tulitembea Hadi pale alipokuwepo Jace Hakim alimuomba Jace kama hatojali basi amungoje pale Yeye anirudishe nyumbani kwanza then atampitia pale warudi hotelin! Jace alishuka kwenye gari walipeana fiveπŸ‘ŠπŸ‘Š walionekana kuwa marafiki wakubwa sana Hakim aliufungua mlango wa mbele Kule akaniomba nipande kwenye gari nilimuaga Jace It's like byeeeee πŸ–– wow byeee Shem Darling 🫢 I wish you a good night see you next time byeeeee 🫰

Nilikaa zangu kwenye gari Hakim akawa ameondoa gari eneo lile kuelekea nyumbani kwetu ilikuwa ishafika saa nne za usiku! Alinipeleka Hadi jirani kabisa na getin kwetu! Kabla cjatelemka Hakim aliniita babyπŸ™ˆπŸ™ˆ nilinyamaza etπŸ™ˆπŸ™ˆ darling aliniita TenaπŸ™ˆπŸ™ˆ yes baby nilijitutumua kujibuπŸ™ˆπŸ™ˆ I love you😘😘 mmmhhh mie chitaki mie apenda boo wangu siyo weweπŸ˜”πŸ˜” nilijibu kimoyomoyo πŸ˜”πŸ˜” hakimu aliugusa mkono wangu akanisogeza Karibu yake alionekana kuwa na mizuka Fulani hivi πŸ™„πŸ™„ sorry i need to leave Nilimwambia baada ya kumuona kama mtu anayetaka kufanya kituπŸ™„ lakini Wala hakuniachia alinivuta Karibu yake zaidi Hakim alianza kuninyonya kwenye lip's zangu I don't need to do that, please leave me alone Wala ata hakuniachia et aliniambia Pendo please ni kiss peke yake mamaa usinizuie et nakupenda Pendo Nina hisia Kali sana Juu Yako nakupenda mama I Love you πŸ˜”πŸ˜” Hakim aliniambia huku akiwa amenituliza katika kifua Chake Yani Hadi nililia et mi nampenda Paschal kwanini hii inatokea😒😒 baada ya Hakim kuniona nikiwa nadondosha machozi aliniachia I'm sorry Pendo I beg you to forgive me Yani ni vile nikikusogelea nakuwa napata msisimko mkali sana pole mama aliniyafuta machozi yangu Kisha akanikiss kwenye paji la uso 😘😘 baada ya hapo aliniomba namba yangu ya cm then alinifungulia mlango nikatoka Kule kwenye gari!

Nilienda Moja kwa Moja Hadi chumbani kwangu Nikajifungia huko nilifanya kulia Ili kupunguza Jamu ya hasira moyoni kwangu...... Wazazi wangu waliniita wakaniomba sana sana niweze kuolewa na Hakim! Lakini wazazi wangu Mimi tayari Nina mwanaume ninayempenda simpendi Hakim naombeni mnielewe πŸ˜”πŸ˜” baada ya kuwambia hivyo Daddy alisimama Kwa hasira akaniambia amka ukusanye Kila kilicho chako humu ndani uende Kwa huyo mwanaume wako😑😑 umekua Sasa unataka kutupanda kichwani tumekuzaa wenyewe tumekulea wenyewe Leo hii unataka kutufundisha kipi Cha kufanya!? Nasema Toka uende Kwa huyo mwanaume wako ondoka hapa nyumbani kwangu mtoto kumbe mshenzi huyu😑 anathubutu vipi kuniambia kwamba ana mwanaume wake na ilihali Bado tunakaa naye hapa nyumbani!? Una mwanaume wako huku ndani unafanya Nini wenye wanaume zao wako makwao huko na familia zao kama ilivyo Kwa dada Yako Prisca na Mme wake wako kwao na siyo kama walichukuana kizungu no walifuata taratibu wakafunga ndoa wewe Huo uhuni ulioamua kutuoneshea sisi hazalani nenda ukaufanye huko huko na usikae ukakanyaga hapa nyumbani kwangu Helena hivi ndivyo ulivyomlea Binti Yako!? Baba alinishambulia sana Yani ni alichukia kupita kiasi sijawahi kumuona baba yangu akiwa na hasira kiasi kile niliogopa sana pale alipomuuliza mama kwamba hivyo ndivyo alivyonilea nililia huku nikiwa namuomba baba yangu msamaha lakini hakutaka kunisikiliza Mtoto wangu ni Prisca pekee huyo ndo Mtoto mwenye heshima na adabu Kwa sisi wazazi wake alijitunza Hadi siku anaolewa hakuwahi kututamkia hazalani et ana mwanaume wake na sisi hatukuwahi kuona uchafu wowote Kwa Prisca Yani sikuwahi kuyajua makucha Yako pendo kumbe wewe ni Mtoto mshenzi sana😑😑 nasema Toka huku ndani kwangu na kesho mapema nitakwenda kuonana na familia ya kina hakimu nirudishe Kila kitu Chao!

Eh Mungu wangu baba yangu alichefukwa kupita kiasi aliniamuru niondoke nyumbani kwake!

Itaendeleaaaa......
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 27....28πŸ’˜πŸ’˜

Tukiwa tunaendelea na mazungumzo Mimi na Shangazi yangu Mom alikuja kule chumbani Kwangu alionekana mtu mwenye furaha sana aririririiiiiiiiiiiiii alianza kupiga vigeregere Kwa shangwe haya fanya utoke mwanangu ukawaage wageni waondoke...... Nilitoka kule chumbani Kwangu nikaelekea sebleni kwenda kuwaaga wageni.......My daughter, we are leaving Now🀝🀝 We are grateful for the food Thank you very much🀝🀝 ni sawa baba karibuni Sana πŸ™‚πŸ™‚ wow Asante sana nazani tuwapatie muda wewe na Hakim mpate kufahamiana vizuri hata Kwa muda mchache tu! It's ok daddy 😊😊 wale wazee pamoja na yule kijana mmoja walitangulia kwenye Gari Mimi na Hakim tulibakia nyuma kidogo...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaaah-imetosha-boss-no-27-28

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaaah-imetosha-boss-no
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  NO 30πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 30πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 32πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 32πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜  NO 31πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ NO 31πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 29πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 29πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  NO 26πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ NO 26πŸ’˜πŸ’˜
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

514
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

434
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

406
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜

294
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

130
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

87
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

79
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

72
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8

65
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15

58

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.27K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.25K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemedπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❀️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest