Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
kisha aliniachanisha na kugeuka ndipo aliponiona mimi akasema:


"Laura?


"Ndio mimi Laura "


"Mbona upo hapa mpaka sasahivi si mmeruhusiwa kuondoka wewe imekuwaje umebaki hapa?


"Nilikuwa nakungoja wewe General"


"Mimi,  kwanini?


"Nilikuwa nataka kuongea na wewe General"


"Haya niambie unataka kuongea kitu gani Laura?


"Nikweli nakupenda  sana General,    japo nilikuwa nazikataa hisia zangu zakweli,   lakini tangu umeondoka kambini hisia zangu juu yako zimezidi kuongezeka,   nimeteseka sana sili silali nakumis sana mwenzio,  kunamuda  nilikuwa  nalia tuu nikitamani kukuona ata kukusikia tuu  japo sauti yako,   moyo wangu  umeondoka nao General nisamehe mimi nakuhitaji mno"


Niliongea huku nikilia kwa hisia zandani ya moyo,  General alinitizama kwa romantic sana  kisha alinivuta na kunikumbatia,   kisha akaniambia:


"Haya ingia kwenye gari tuondoke sasa,   au unamsubili mjomba wako"


Alinifungulia mlango wa gari,  kisha  nikamjibu:


"Hapana nilimuambia atangulie,   kwani nakusubili wewe kunajambo nataka kuliweka sawa"


"Wow!  Mbona hujamuambia ukweli unaenda kulipambania penzi lako eeh! Hahahaaa"


Aliongea kwa utani  tukacheka wote kwa pamoja,   tuliingia kwenye gari na kuanza safari ya kurudi mjini Dar-es-Salaam, akaniambia:


"Laura  kiukweli nilijua nimekupoteza,   nilihisi kuwa nilikuwa najidanganya mwenyewe kwamba unanipenda,  na kumbe haukuwa unanipenda kweli, hakuna siku nilijisikia vibaya kama ile siku uliyiniambia hunipendi nawala hutokuja kunipenda,  niliumia sana sikufichi na machozi yalinitoka nilijikuta nalia kwa mara yakwanza,   sijawahi kumlilia mwanamke ila ulinifanya nilie wewe, na hata nilipo ondoka nilikuwa najitahidi sana kukufuta kwenye kumbu kumbu zangu,  hata nilipokuja hapa sikutaka kukuona kabisa,   ndio maana nilipo maliza kilichonileta hapa nikaingia haraka  kwenye kikao,   ili nilitegemea nikitoka nitakukuta umesha ondoka kabisa maeneo haya,  asante mungu kwa marahii naona umenipa kile nilichokuwa nakitaka nilichokuwa nakiota sikuzote,  Laura nakupenda sana hujui tuu"


Aliongea na kunitizama usoni kwa macho yake mazuri,   kisha alinyanyua mkono na kunishika usoni kwangu,   huku akiwa ananitizama kwa macho yamahaba, nilijikuta machozi yananitoka kwa raha niliyokuwa nayo, nikamuambia:


"Ethane siamini  upo namimi hapa leo hii hapa,   Ethane hujui tuu nilifikia hatua kila alieniona kambini aliniona kama nimechanganyikiwa,   nilikuwa kichaa kwaajili yako,  namshukuru sana Nancy kwani alikuwa nami bega kwa bega kuhakikisha namalizia mafunzo yangu,  sizani kama ningefika leo hii hapa nahisi hata ningefukuzwa kambini au ningekufa,  kwani nilidhoofika kabisa sikuwa nakula wala kulala mimi mwenzio,  sikujua kama mapenzi ndio yananguvu namna hii,  nilichukia huu ulimwengu ulioniingiza alafa sikuoni kabisa nilikuwa gizani pekeangu"



"Ssshii"


Alinishika mdomo na huku akinizuia nisiendelee kuongea huku machozi yalikuwa yakimtililika, akaniambia:


"Nipo hapa sasa sitaki kuona huli wala hulali,   nataka kuona tabasam lako tuu,   mimi ndio taa yako kwenye huu ulimwengu mpya  haupo mwenyewe tena,  sawa kipenzi changu"


Niliinuka nanilivyo mwembama sasa,   nikaenda kumkalia miguuni huku akiendesha gari ,   nilimkumbatia kama mtoto mdogo  huku nikimbusu kila mahali, nampenda sana General Ethane,  aliniambia:


"Tulia hapa siku zote,  kwani hapa kifuani kwangu  ndio sehemu sahihi kwako tulizo lamoyo wako,  namimi pia"


"Asante sana Ethane,  upo sahihi kabisa"


Aliendesha gari kwa kasi sana niliwa nimetulia tulifika sehemu moja njiani  nimaharufu kwa chakula General aliingiza gari hapo na kupaki,  kisha alifungua mlango na kunifungulia nishuke, akaniambia:


"Nataka nikakulishe mtoto mzuri,    maana sitaki kuona unapitia kipindi kigumu tena,   wakati upo namimi  sawa?



Nilitabasam kisha alinishika mkono baada ya kufunga mlango  wa gari,  na tuliingia moja kwa moja restaurant,   hapo tuliandaliwa meza nzuri na muhudumu kisha walitusikiliza nini tunataka,  General aliniambia:


"Kipenzi changu agiza chochote unachotaka kula sasahivi,   nitakulisha"


Kiukweli General  alikuwa ni mkaka mwenye mahaba sana,   kwa kumtizama tuu yaani utajua,   na ndio maana wadada wengi wamekuwa wakivutiwa kuwa nae,  lakini bahati mbaya hakuwa anapenda kujiingiza tuu hovyo kwenye mahusiano,  mpaka alipokuja kukutana namimi, japo kuwa nilikuwa namkataa ila kiukweli moyoni nilimpokea kwa mikono miwili kabisa, na kumkaribisha ndani ya uvungu wa moyo wangu,  nampenda mpaka mimi mwenyewe najishangaa,  basi bwana chakula kililetwa hapo,  nikataka kuanza kula lakini  General akanianbia:



"Nilisema leo nakulisha mimi,   hivyo tulia hivyo hivyoo sawa"


Nilitabasam nakuitikia kwakichwa,   kisha alinawa mkono General na kuanza kunilisha,    tena huku akikipuliza kwa mdomo wake  kwanza  ndio ananilisha kama mtoto,   na kunifuta mdomo vizuri yaani  achatuu,   nilikuwa naona aibu lakini General ndio kaamua, wakati tunakula hapo muda ulikuwa umeenda, General akaniuliza:


"Unakaa dar sehemu gani mpenzi?


"Mimi nakaa maeneo ya kunduchi,  wewe je?


"Mimi naishi dodoma ila hapo dar huwa nafikia kambini,  nitakupeleka hadi kwenu  usihofu, alafu nyumbani unaishi na nani?



"Mimi nilichukuliwa namjomba  tangu nikiwa mdogo,   mjomba  na mkewe wamenilea kama mtotowao wakuzaa"



"Ok vizuri"


Tuliongea huku akiendelea kunilisha chakula hapo  muda huo wakati General ananilisha kumbe mjomba nae alishuka hapo kula alishukudia General akipuliza chakula nakisha akanilisha mjomba aliganda akinituzama  nilishtuka nilipomuona nilishindwa hata kujitetea




Je unavyo dhani mjomba wake Laura atafanyaje na kushuhudia kabisa Laura analishwa kimahaba na General nini kitatokea endelea kuifuatilia............
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono

kisha aliniachanisha na kugeuka ndipo aliponiona mimi akasema:


"Laura?


"Ndio mimi Laura "


"Mbona upo hapa mpaka sasahivi si mmeruhusiwa kuondoka wewe imekuwaje umebaki hapa?


"Nilikuwa nakungoja wewe General"


"Mimi,  kwanini?


"Nilikuwa nataka kuongea na wewe General"


"Haya niambie unataka kuongea kitu gani Laura?


"Nikweli nakupenda  sana General,    japo nilikuwa nazikataa hisia zangu zakweli,   lakini tangu umeondoka kambini hisia zangu juu yako zimezidi kuongezeka,   nimeteseka sana sili silali nakumis sana mwenzio,  kunamuda  nilikuwa  nalia tuu nikitamani kukuona ata kukusikia tuu  japo sauti yako,   moyo wangu  umeondoka nao General nisamehe mimi nakuhitaji mno"


Niliongea huku nikilia kwa hisia zandani ya moyo,  General alinitizama kwa romantic sana  kisha alinivuta na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-10-nilipo-mkumbatia-kwa-nyuma-alishtuka-na-kunishika-mikono

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

585
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

478
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

470
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

320
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

215
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

86
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

71

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest