Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
19 Nov 2025
12 views
VYOTE NDANI GONGA94
HATARIIIII SEHEMU YA "2"❤️❤️❤️❤️❤️❤️ basi nikachukua kile kinamba my wenu
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
nikafika nyumbn sasa kaka kila mda anauliza umeandikiwa dawa gani me najiuma uma tu my wenu sielewi nijibuje basi badae nikamwambia mama anipe hela nikanunue dawa nmeisahau jina ila nikifika supermarket taijua alafu anipe na cm ake kipindi hiko sina cm hata alaf nikifika nimpigie nimwambie bei yaani nilijiuma uma ilimradi anipe cm basi ile kunipa cm nikamtext hellow elias its skyler kidogo tu akapiga akanambia waoooh unataka kujua jina la dawa basi dawa za kaka zilitosha kabisa ila nilitaka unitafute basi nikamwambia mwenzako nmedanganya nyumbn na hii cm ya mama angu nmechukua apa nipo njiani naenda duka la dawa akasema tuongee tu alafu ukifika nyumbani mwambie mama nmesahau jina la dawa na pia nmepoteza karatasi ili kesho wakutume uje uku hospital uulizee weee si nikaona hili bonge la mbinu woiiiii🤣🤣🤣🤣nikafurahi basi tukaendelea kuongea akaniuliza unasoma wapi nikamwambia umejuaje km me nasoma akasema si unaonekana km kakuku ka kienyeji kabisaa🤣🤣🤣🤣basi nikamwambia akasema uko form two eeeh jmn ahahhaha nikamwambia hapana niko form 5 akasema una mwili mdg sana skyler aniiii unaonekana bhana mdg sana basi nilikuaga sipendi kuambiwa me mdg😪😪 nikamwambia bhanaa me stakii alf huyo doktor nilikua nmeshamkubali aiseee akanambia basi wewe mkubwa akanambia kesho ukija unataka nikupe nn nikamwambia sasa apo hospital utanipa nn dawa au sindano akasema ukija hauji hospital unakuja nyumbani😨😨kheeee nikamwambia sawa ani nilikua sina kauli hata kdg basi mimi nikarudi nyumbn nikamwambia narudisha cm usinitafute takutafuta badae basi nikamwambia mama kua dawa nmekosa akasema nenda hospital ukaulize mimi nikasema sawa basi nikampigia nikamwambia nmeambiwa nije nikuulize sahivi akasema kwelii nikamwambia ndio ilikua km saa 10 jioni akasema waoooh basi njoo nikamwambia uko wapi akasema niko hospital ila naingia kwenye operation kuna mama mjamzito anatakiwa operation ya haraka sana mimi huyo nikadandia bajaji mpk hospital kufika pale bhanaa kashaingia nmekaa saa 12 saa moja saa 2 mtu hatoki nikampigia kaka kwa cm ya mama nikamwambia dokta kaingia kwenye operation nmeambiwa nimsubiri namsikia mama pembeni anasema mda wote kwann asirudi nyumbn ani huyu leo nakuja kumuumiza weeee nilinyanyuka fasta nikimbie nyumbn ile nakimbia nikatereza nikaanguka ila nataka kuinuka dr elias alifika akauliza skyler unaharaka ya wapi yani kidogo nimuue mgonjwa kwa kukuwahi wewe naww unataka kuondoka sasa namimi kwake sina shughuli nikamwambia hapana bhanaa sema tu niliona giza linaingia akasema hapana hebu njoo huku mara moja basi tukaingia kwenye chumba cha daktari ile tumeongia tu akafunga mlango akanishika mabegani akaniegemeza mlangoni🥴🥴🥴 weeeee nikamwita elias akaniitikia naam😊😊jmn huyo kaka ana lips nzurii sijui niwaoneshe au basi🤣🤣🙌🏼🙌🏼basi nikamwambia baba angu leo ataniua plzz naomba niende akasema jmn kumbe sio mwili tu hata akili zako ni za kitoto basi akanishika mashavu akanambia you are very cute 😎😎kwa mara ya kwanza nilipata hisia za mpz nikahisi chupi yangu inawaka moto nikamwambia thank you huku naona aibu my wenu🫣🫣basi akanishika vzr akanambia now close your eyes
and open you mouth 😱😱 weeee nikafumba vimacho akanipiga busu mpk nikayumba akanambia una lips laini we mtt cm ya mama ikaita were nilishtuka nikamsukuma nikafungua mlango mbio kufika nje giza bajaji hazipo nikaona boda nikapanda basi yule boda nae akaanza kuniomba namba za cm sikumpa kamwambia sina simu haelewi ile nashuka nampa hela hataki nikakimbia hatariii kufika nakutana na mama ananiuliza dawa ziko wapi uwiiii uwiii si ndo nashika makita elias anatuma text umesahau dawa wewe waambie inaitwa tramadol nikamwambia mama dokta kachelewa kutoka ila dawa zinaitwa tramadol weeeee mama alinipa fimbo moja ile kuikinga na mkono kidole gumba changu kikapasuka😭😭😭😭😭jmn jmn nilipokea kipondoooooo😫😫😫
Itaendelea
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
HATARIIIII SEHEMU YA "2"❤️❤️❤️❤️❤️❤️ basi nikachukua kile kinamba my wenu
nikafika nyumbn sasa kaka kila mda anauliza umeandikiwa dawa gani me najiuma uma tu my wenu sielewi nijibuje basi badae nikamwambia mama anipe hela nikanunue dawa nmeisahau jina ila nikifika supermarket taijua alafu anipe na cm ake kipindi hiko sina cm hata alaf nikifika nimpigie nimwambie bei yaani nilijiuma uma ilimradi anipe cm basi ile kunipa cm nikamtext hellow elias its skyler kidogo tu akapiga akanambia waoooh unataka kujua jina la dawa basi dawa za kaka zilitosha kabisa ila nilitaka unitafute basi nikamwambia mwenzako nmedanganya nyumbn na hii cm ya mama angu nmechukua apa nipo njiani naenda duka la...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/hatariiiii-sehemu-ya-2-basi-nikachukua-kile-kinamba-my-wenu