VYOTE NDANI GONGA94
Kwa hiyo umekubali kuzima matumaini makubwa ya nyumbani kwenu juu yako ?
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Umekubali na kunyoosha mikono juu kwamba , safari yako imeishia hapo ?
Tuseme zile ndoto zako , zitabakia kuwa hadithi ya kufikirika kwa upande wako ?
Kwa hiyo na wewe pia umeshindwa kuwaheshimisha wazazi wako ?
Tukikuuliza kwa nini , unajibu kwa sababu ya changamoto kubwa...
Sikia hustler hakuna changamoto kubwa , mbele ya ndoto zako kubwa...
Matumaini ya wazazi nyumbani ni makubwa , kuliko changamoto unazokutana nazo...
Unakubali kufa huku ukiwa hai , nani sasa atalibutua kopo linaloitwa umaskini nyumbani kwenu...
Sababu zote , zinakataa wewe kukata tamaa , twenzetu tukajaribu na leo, labda itakuwa tofauti na jana...
LECTURE...
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa so...
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilik...
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachu...
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa saw...
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila k...
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda s...
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na...
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA
Kwa hiyo umekubali kuzima matumaini makubwa ya nyumbani kwenu juu yako ?
Umekubali na kunyoosha mikono juu kwamba , safari yako imeishia hapo ?
Tuseme zile ndoto zako , zitabakia kuwa hadithi ya kufikirika kwa upande wako ?
Kwa hiyo na wewe pia umeshindwa kuwaheshimisha wazazi wako ?
Tukikuuliza kwa nini , unajibu kwa sababu ya changamoto kubwa...
Sikia hustler hakuna changamoto kubwa , mbele ya ndoto zako kubwa...
Matumaini ya wazazi nyumbani ni makubwa , kuliko changamoto unazokutana nazo...
Unakubali kufa huku ukiwa hai , nani sasa atalibutua kopo linaloitwa umaskini nyumbani kwenu...
Sababu zote , zinakataa wewe kukata tamaa , twenzetu tukajaribu na leo, labda itakuwa tofauti na jana...
LECTURE...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/kwa-hiyo-umekubali-kuzima-matumaini-makubwa-ya-nyumbani-kwenu-juu-yako
#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral
Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi kwa-hiyo-umekubali-kuzima-matumaini-makubwa-ya-nyumbani-kwenu-juu-yako