Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
17 Nov 2025
429 views
VYOTE NDANI GONGA94
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 14 Asubuhi ilifika pia sikumuuliza chochote hii ilimpa mawazo
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
makubwa sana maaan alijaribu kuongeaa na mimi , ila mimi sikutaka hata robo kumsikiliza yaani nilikuwa naona ananipigia makelele jamani mimi nisivyopenda fujo plus kanitibuaa nilikuwa nachukia sana
"Mke wangu leo tunaenda kwako tafadhari naomba tuondoke " alisema mume wangu Kabil nilikuwa namtizama tu sikujui nikanyanyuka nikaenda kujiandaa nikaoga nikavaa abaya langu aliloniletea mwemyew mimi nikatoka zangu nje sikutaka karaha za aina yoyote ile kwakweli, nilinyooka mpaka parking moja kwa moja kumsubiri alishuka na mabegi tukapanda gari , anajaribu kujichekesha simjibu wala nini mimi nimemchuniaa tu sina muda naee
Tulienda mpaka maeneo ya Kimara huko tukaingiaa getini mpaka nyumbani moja kwa moja mimi namtizama tu na maendeleo yake huyu mkaka alinifungulia geti nikashuka , alikuja msichana nilimtambuaa kam ni mdada wa kazi maaan ikuwa amevaaa sare alibeba vitu kupeleka chumbani huku sisi tukimfuata kwa nyuma kuna gari lilikuwa parking mimi nilijua ni la kwake mume wangu pengine huwa anabadilisha , nilifika chumbani na yule bintii aliondoka akaniacha chumbanina mume wangu
" samahani mke wangu , mbona hutaki kuongea na mimi ?, ujue mimi nilitaka nikwambiee ukweli wa kila kitu kama nilioa na kila kitu mke wangu na ujue kesho wazazi wangu wanakuja kukuona hivyoo usijali sana mke wangu mimi nakupenda mnoo ujuee" nilimtimzama nikatikisa kichwa " sawa nimekulewa huna haja ya kunielezeaa sana asante βΊοΈ" nilitabasamu kinafki mimi nae kwa unafki nina A ,
" lile gari ulililoliona pale njee ni lako mke wangu na ufunguoo huo hapo , kama kuna shida au tatizo kwenye kuendesha naweza kuwa nakufundisha mimi hapa sawa mke wangu?" Nilimtizama sana huyu mwanaume alinikabidhi funguoo sikufundishwa kukataa atakachonipa mume wangu
"Na yule mdada pale atakuwa anakusaidia kazi anaitwa Hafsa utakuwa nae hapa mke wangu" akanishika shavu " samahani nakuomba sana usirudiee kunigusaa tutagombana " lakini mimi si mumeo ila Bilqis? Nilimtizama jichoo la haya jaribu uonee mpaka kikamshuka mwenyew haya sawa twende kule chini ni muda wa kuzunguka nyumba yako mke wangu hii yote utakuwa unakaa wewe peke yako usijali π , nilimtizama tu na kwa jinsi nina hasira nae sikumjibu kitu
Tulishuka mpaka maeneo ya jikoni alikuwa ni Hafsa anataka kupika "mpenzi unapika chakula cha mimi na kaka yako?" Nilimuuliza Hafsa ndio madam " usijali mamy ntapika mwenyew chakula cha mume wangu wee kafanye mambo mengine sawa , alitabasamu sana yule bintii na vile ana dimples mhhh alizid kunoga yaani , aliniacha jikoni nikapika jamani chakula kilikuwa pambe balaa hakijafika mezani kinauniza watu mapua π mimi nae kujisifiaa mhhh ila ni kweli kupika najua jamani π€
Nilitenga chakula mezani nikawakaribisha aliktaka Hafsa asikaee hapa nilimwambia awe huru akae kwa amani asijisikie vibaya alikaa basi mwanzo mwishoo mume wangu ni anamwaga sifa basi mimi namkohoaa simkohoii hata , baada ya kula tushamaliza Hafsa yupo anatoa vyombo namsikiaa huyoo mwanaume " mke wangu natoka sasa kuna sehemu naenda" nilimtizama jicho baya kweli " haya kamsalimiee huyo mke mkubwa sasa , mimi sina shida nae π" nilitabsamu nikainuka nikaondoka zangu
Itaendelea...... π₯
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUβ€οΈ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 14 Asubuhi ilifika pia sikumuuliza chochote hii ilimpa mawazo
makubwa sana maaan alijaribu kuongeaa na mimi , ila mimi sikutaka hata robo kumsikiliza yaani nilikuwa naona ananipigia makelele jamani mimi nisivyopenda fujo plus kanitibuaa nilikuwa nachukia sana
"Mke wangu leo tunaenda kwako tafadhari naomba tuondoke " alisema mume wangu Kabil nilikuwa namtizama tu sikujui nikanyanyuka nikaenda kujiandaa nikaoga nikavaa abaya langu aliloniletea mwemyew mimi nikatoka zangu nje sikutaka karaha za aina yoyote ile kwakweli, nilinyooka mpaka parking moja kwa moja kumsubiri alishuka na mabegi tukapanda gari , anajaribu kujichekesha simjibu wala nini mimi nimemchuniaa tu sina muda naee
Tulienda mpaka maeneo ya Kimara huko tukaingiaa getini mpaka nyumbani moja kwa...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/lawyer-naumia-mwenzio-sehemu-ya-14-asubuhi-ilifika-pia-sikumuuliza-chochote-hii-ilimpa-mawazo
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi lawyer-naumia-mwenzio-sehemu-ya
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 16 Siku iliisha na mume wangu hakurudi na kesho yake mama wakwe
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 17 - 18 Mama alifurahi sana maana na yeye alikuwa amekuja kwa kaka
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 19 - 20 Tuliendelea na shughuli yetu hakupata shida
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 12 Aliendeleaa kunipa juicee ila kuna muda aliacha afu mwenzenu nishanogewa
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 7 Aliendeleaa kunishikilia kwa nguvu huku akinipa juice na mimi nilikuwa sitoi
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 10 Nilikuwa nimejikalia zangu chumbani sina tena maumivu
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 11 Tukiwa tumelala kuna simu ikawa inaitaa alikuwa anapiga
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 6 Nilitoa macho mimi hadi machozi yalinitiririka jamani mimi nilijikuta nalia ila kwa sauti ya chini chini
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 13 "Kabil wewe ni wakuniolea mwanamke kisiri siri? , mpaka naambiwa na ndugu
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 8 "Mke wangu usinichukiee sasa nisamehe ika , mimi ndio mmeo wa kufa na kuzikana sawa mke wangu"
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 9 "Wee jamni hata kam ndio umefukuzwa kazi ndio hupatikani shoga