VYOTE NDANI GONGA94
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 17 - 18 Mama alifurahi sana maana na yeye alikuwa amekuja kwa kaka
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
kumuona mjukuu wake akakutana na taarifa za mimi kuwa mjamzito , ila usiku mama alitaka kuongea na mimi chumbani hivyoo tulikaa sebuleni maan mama alinielewa jinsi nilivyoo si kanizaa anajua nikiwa sipo sawa kisaikolojia
"Mwanangu naomba usinifiche kitu mimi ni mama yako nambie kila kitu kinachokusumbuaa najua una kitu kinakusumbuaa japo maisha yako yanaonekana kuwa swafi kabisa mwanangu ujuee kuna kitu sikielewi kwako mwanangu" nilimtizama tu alivyoniuliza na jinsi nilikuwa nishachoka nikaanza kuliaa nililia sana , kwa sauti kubwa "utawaamsha kaka na baba yako hebu kunywa maji afu nambie shida ni nini binti yangu?" Alinipa maji nikanywa , nikafuta machozi nikaanza kumuhadithiaa kila kitu ninachopitiaa kwenye ndoa yangu
"Wewe mtoto utakuja kuwa mchawi wewe mhh kwahyoo mambo makubwa makubwa kama hayoo unayapitia na hausemi mwanangu ila ona ulivyokonda sasa, ila mimi mwenyew nahisi kuna kitu kinaendelea kwa mumeo mimi naona kesho nikupeleke sehemu mwanangu hii wiki lazima ushughulikiwe" nilimshangaa mama " Wewe mama mimi mambo ya kishirikina sitaki kabisa wee mama tabia hizo umeanza lini?" Nilimuuliza kwa mshangaoo " kumbe wewe mtoto ni chizi saa hebu kalale kesho kuna sehemu kuna sehemu tunaenda umenisikia wee mjinga?" Sikuuliza swali lingine nikaenda zangu kulala , huku naisubiri hyo kesho nikiwa na mawazo huyu mama mambo ya kichwawi kayatoa wapiπ π€
Kesho ilifika , na tuliondoka mapema mimi na mama , tulitumia gari zangu maan saaa hivi nililiwa naweza kuliendesha ππ tuliendaa , ila hatukuenda sehemu ambapo mimi nilikuwa napafikiria etty kwa mganga π π hapana tulienda kwenye kisomo huko nilipewa kombe la kuoga na nikaambiwa dua ya kusoma kabla ya kulala na baada ya kuamka , nikaambiwa nipake mafuta ya zaituni, niwe naogea chumvi ya mawe maan kama kuna uchawi (sihri) zozote zitatoweka , tulirudi nyumbani na tulikaa mpaka wiki imeisha nikaenda zangu nyumbani kwangu nikawa nimetuliaa
Hii siku ilikuwa imetuliaa sana zimeshapita kama wiki mbili sasa tangu tuende kwenye kule kisomo na mimi nilikuwa nazidisha swala za usiku na mchana , nilikuwa nimekaa zangu nimetulia mara namuona mume wangu anakuja hia hiya kam vile kachangangikiwa , akanishikaa mkono ananipeleka hukoo chumbani kwangu mimi namshanga ila moyoni namshukuru Mungu kwa kumrudisha mume wangu , alipiga magoti chini sasa
"Mke wangu najua nilikukosea sana nakuomba nisamehee , nimegunduaa mimi haikuwa akili yangu ila ni vile nikiwa nashtuka nafanya maamuzi najikuta narudi mule mule mke wangu, ila ninakuomba sana na ninakushukuru sana kwa kunivumiliaa kubaki na mimi ila nimeeenda mahakamni kusaini talak nimeambiwa mpaka miezi sita , ila sitaki kuwa karibu yake ninaomba nina safari naenda njee nikirudi kila kitu kitakaa sawa mke wangu umenilewa nadhani" alisema mume wangu nilitamani hat nimkumbatiee hatimaee kazinduka kumbe ilikuwa ni shirking kweli jamni milifurahi mno, nikamwambia kuhusu mimba yangu alifurahi na aliniambiaa nikijifunguaa atanipa Zawadi nzuri sana nilifurahi sana jamni nililala nae hii siku kesho yake alipanda ndege alaondoka zake
Miezi ilipita na sasa hivi mume wangu alikuwa ananihudumiaa tunaongeaa vizuri tu hatuna tatizo alikaa huko miezi saba badala ya sita hivi hadi mimi nilijifunguaa yeye hata hayupo mama alikuja kuniuguza hatimaee akaondoka nilijifungua cha kike anaitwa Feroz ni jina la kiajemi nilimpa kwasababu nilikuwa napenda moviee za hukoo jamaniπβΊοΈ mama alikuja kuniuguza pamoja na mama mkwe ila nilipokaa sawa waliondoka nikabaki na Hafsa
Hii siku nimekaa zangu chumbani nilikiwa nimetoka kuoga nipo zangu napaka mafuta nimekibinua balaa hiko kiserekali jamni , nashangaa nashikwa kiuno niliruka kweli jamani maana sijashikwa kama hivyoo mudaa nilikuwa na ny*g* kibaoo nageuka alikuwa ni mume wangu jamani sikujua kaingia saa ngapi mpaka kafunguaa kitasa kamaliza kafunga mlangoo mhh jamani huyu hapana π, akaanza kunipa juice na mimi nikawa nampa ushirikianoo jamani nilimmisi huyu mbaba wangu
Itaendelea......π₯
"Mwanangu naomba usinifiche kitu mimi ni mama yako nambie kila kitu kinachokusumbuaa najua una kitu kinakusumbuaa japo maisha yako yanaonekana kuwa swafi kabisa mwanangu ujuee kuna kitu sikielewi kwako mwanangu" nilimtizama tu alivyoniuliza na jinsi nilikuwa nishachoka nikaanza kuliaa nililia sana , kwa sauti kubwa "utawaamsha kaka na baba yako hebu kunywa maji afu nambie shida ni nini binti yangu?" Alinipa maji nikanywa , nikafuta machozi nikaanza kumuhadithiaa kila kitu ninachopitiaa kwenye ndoa yangu
"Wewe mtoto utakuja kuwa mchawi wewe mhh kwahyoo mambo makubwa makubwa kama hayoo unayapitia na hausemi mwanangu ila ona ulivyokonda sasa, ila mimi mwenyew nahisi kuna kitu kinaendelea kwa mumeo mimi naona kesho nikupeleke sehemu mwanangu hii wiki lazima ushughulikiwe" nilimshangaa mama " Wewe mama mimi mambo ya kishirikina sitaki kabisa wee mama tabia hizo umeanza lini?" Nilimuuliza kwa mshangaoo " kumbe wewe mtoto ni chizi saa hebu kalale kesho kuna sehemu kuna sehemu tunaenda umenisikia wee mjinga?" Sikuuliza swali lingine nikaenda zangu kulala , huku naisubiri hyo kesho nikiwa na mawazo huyu mama mambo ya kichwawi kayatoa wapiπ π€
Kesho ilifika , na tuliondoka mapema mimi na mama , tulitumia gari zangu maan saaa hivi nililiwa naweza kuliendesha ππ tuliendaa , ila hatukuenda sehemu ambapo mimi nilikuwa napafikiria etty kwa mganga π π hapana tulienda kwenye kisomo huko nilipewa kombe la kuoga na nikaambiwa dua ya kusoma kabla ya kulala na baada ya kuamka , nikaambiwa nipake mafuta ya zaituni, niwe naogea chumvi ya mawe maan kama kuna uchawi (sihri) zozote zitatoweka , tulirudi nyumbani na tulikaa mpaka wiki imeisha nikaenda zangu nyumbani kwangu nikawa nimetuliaa
Hii siku ilikuwa imetuliaa sana zimeshapita kama wiki mbili sasa tangu tuende kwenye kule kisomo na mimi nilikuwa nazidisha swala za usiku na mchana , nilikuwa nimekaa zangu nimetulia mara namuona mume wangu anakuja hia hiya kam vile kachangangikiwa , akanishikaa mkono ananipeleka hukoo chumbani kwangu mimi namshanga ila moyoni namshukuru Mungu kwa kumrudisha mume wangu , alipiga magoti chini sasa
"Mke wangu najua nilikukosea sana nakuomba nisamehee , nimegunduaa mimi haikuwa akili yangu ila ni vile nikiwa nashtuka nafanya maamuzi najikuta narudi mule mule mke wangu, ila ninakuomba sana na ninakushukuru sana kwa kunivumiliaa kubaki na mimi ila nimeeenda mahakamni kusaini talak nimeambiwa mpaka miezi sita , ila sitaki kuwa karibu yake ninaomba nina safari naenda njee nikirudi kila kitu kitakaa sawa mke wangu umenilewa nadhani" alisema mume wangu nilitamani hat nimkumbatiee hatimaee kazinduka kumbe ilikuwa ni shirking kweli jamni milifurahi mno, nikamwambia kuhusu mimba yangu alifurahi na aliniambiaa nikijifunguaa atanipa Zawadi nzuri sana nilifurahi sana jamni nililala nae hii siku kesho yake alipanda ndege alaondoka zake
Miezi ilipita na sasa hivi mume wangu alikuwa ananihudumiaa tunaongeaa vizuri tu hatuna tatizo alikaa huko miezi saba badala ya sita hivi hadi mimi nilijifunguaa yeye hata hayupo mama alikuja kuniuguza hatimaee akaondoka nilijifungua cha kike anaitwa Feroz ni jina la kiajemi nilimpa kwasababu nilikuwa napenda moviee za hukoo jamaniπβΊοΈ mama alikuja kuniuguza pamoja na mama mkwe ila nilipokaa sawa waliondoka nikabaki na Hafsa
Hii siku nimekaa zangu chumbani nilikiwa nimetoka kuoga nipo zangu napaka mafuta nimekibinua balaa hiko kiserekali jamni , nashangaa nashikwa kiuno niliruka kweli jamani maana sijashikwa kama hivyoo mudaa nilikuwa na ny*g* kibaoo nageuka alikuwa ni mume wangu jamani sikujua kaingia saa ngapi mpaka kafunguaa kitasa kamaliza kafunga mlangoo mhh jamani huyu hapana π, akaanza kunipa juice na mimi nikawa nampa ushirikianoo jamani nilimmisi huyu mbaba wangu
Itaendelea......π₯
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi lawyer-naumia-mwenzio-sehemu-ya
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 16 Siku iliisha na mume wangu hakurudi na kesho yake mama wakwe
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 19 - 20 Tuliendelea na shughuli yetu hakupata shida
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 14 Asubuhi ilifika pia sikumuuliza chochote hii ilimpa mawazo
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 7 Aliendeleaa kunishikilia kwa nguvu huku akinipa juice na mimi nilikuwa sitoi
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 12 Aliendeleaa kunipa juicee ila kuna muda aliacha afu mwenzenu nishanogewa
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 10 Nilikuwa nimejikalia zangu chumbani sina tena maumivu
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 11 Tukiwa tumelala kuna simu ikawa inaitaa alikuwa anapiga
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 8 "Mke wangu usinichukiee sasa nisamehe ika , mimi ndio mmeo wa kufa na kuzikana sawa mke wangu"
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 9 "Wee jamni hata kam ndio umefukuzwa kazi ndio hupatikani shoga
