Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
12 Nov 2025
298 views
VYOTE NDANI GONGA94
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 8 "Mke wangu usinichukiee sasa nisamehe ika , mimi ndio mmeo wa kufa na kuzikana sawa mke wangu"
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
alinambia mwanasheria Kabil nilimtizaama tu nikajifunika shuka nikalala sikuwa na haja ya kuona aibu tena kulala na taulo maana tayari ashanichunguliaa haina namna , nilimtizama tu nikaendelea zangu kulala sitaki shida mie , alikuja kwa nyuma akanikimbatiaa kwa nyuma sikutaka kumtoaa wala nini nikamuacha alale hapo kanikumbatia ila moyoni mwangu chuki ilikiwa ya hali yaa juu na kali kweli , nilizidi kuwa na chuki na familia yangu na huyu anaejiita mume wangu yaani nilijikuta namchukiaa hata huyu mwanaume wangu kwakweli ,hasira ilinizidi moyoni
Usiku haukukaaa daima palikucha hatimae na ilikuwa asubuhi nilianza kuamka mimi hapa na sikuwa na kitu cha kufanya maan hata kuinuka nilikiwa siwezi kufanya chochote kile niliamka nikakaa maan hata simu yangu sikuwa nayo kwasababu kaka alimpatia Kabil , nilikaa zangu tu nimetuliaa , nashangaa shangaa nilikaa kwa muda kidogo nikiwa mpweke na mwenye mawazo mengi sana , nilikuwa mbali kimawazo kwakweli , mume wangu na yeye pia akawa ameamka sasa mimi nipo namshangaaa tu yaani moyoni nilikuwa nina hasira nae vilivyoo yaani kama kuna siku ushawahi kuamka una hasira na mtu basi ni mimi, huyu ndio sababu ya kila kitu kwenye maisha yangu kubadilika haraka haraka na kwenda ambavyo sijapanga mimi , nilimtizama sikumsalimiaa wala nini
"Mke wangu una hasira na mimi kwani mbona unantizama sana" nilimuangaliaa tu sijujibu "sawa shika simu yako , hii hapa ila ntakubadilisha kwa sasa wewe sio wa kutumiaa hii Samsung A 12 , una hadhu kubwa ya kutumiaa iPhone kama mimi hapa mumeo , leo jioni ntakuleteaa ila naomba unizoee , mimi ndio rafiki yako kwa sasa na huna rafiki mwingine mke wangu nizoee tu" nilintizama nikaonyesha tabasamu la kinafki "sawa mke wangu ngoja mimi nikajiandaee leo nina kazi kubwa sana japo ni siku yangu ya kwanza ya ndoa yangu , nakuomba baki salama, kila kitu nishawapa maelezoo wahudumu watakuhudumia sawa mke wangu" nilimtizama nikatikisa kichw aaliinuka akanikisss kwenye paji la uso , nilitabasam tu kuonyesha nimepeenda ila binafsi hakuna kitu kilichokua kinanifurahisha hata kidogo mbele yake huyu mwanaumee , nilitamani aondoke haraka,
Basi akaona anibebe na mimi , maan nilikiwa sijiwezi akaendaa kuniogesha akaniogesha nilikuwa naona aibu ila sina la kufanya alimaliza akanivisha kwanziaa nguo ya ndani mpaka ya juu kabisa , mwisho alijiandaa na yeye akaondoka hapo nilishusha pumzi , nikashusha pumzi nikashika sasa simu yangu niiwashe sasa niangalie mambo yanaendelea duniani maan pale kwenye ile hotel ilikuaawa ni paparot hotel palikuwa na free WiFi jamani , mhhh hilo tu nililopenda kwa sababu mimi na maswala ya kufanya challenge na tik tok ni mtu na ndugu yake achaa niangaliee kwanza #trending song zilizovuma huko tik tok ,nikaanza kujichekea zangu tu kama vile mwenye kuchanganyikiwa nikasahu kabisa kuhusu maumivu yangu , na wahudumu walikuwa wananipa kula kitu ninachokitaka kwa wakati sahihi , nikaamua sasa nimpigiee shoga yangu Fatma
Itaendelea......π₯
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MIMI SIKUACHIπ₯° 21 MPAKA 23
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo...
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fat...
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. ...
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona j...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 8 "Mke wangu usinichukiee sasa nisamehe ika , mimi ndio mmeo wa kufa na kuzikana sawa mke wangu"
alinambia mwanasheria Kabil nilimtizaama tu nikajifunika shuka nikalala sikuwa na haja ya kuona aibu tena kulala na taulo maana tayari ashanichunguliaa haina namna , nilimtizama tu nikaendelea zangu kulala sitaki shida mie , alikuja kwa nyuma akanikimbatiaa kwa nyuma sikutaka kumtoaa wala nini nikamuacha alale hapo kanikumbatia ila moyoni mwangu chuki ilikiwa ya hali yaa juu na kali kweli , nilizidi kuwa na chuki na familia yangu na huyu anaejiita mume wangu yaani nilijikuta namchukiaa hata huyu mwanaume wangu kwakweli ,hasira ilinizidi moyoni
Usiku haukukaaa daima palikucha hatimae na ilikuwa asubuhi nilianza kuamka mimi hapa na sikuwa na kitu cha...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/lawyer-naumia-mwenzio-sehemu-ya-8-mke-wangu-usinichukiee-sasa-nisamehe-ika-mimi-ndio-mmeo-wa-kufa-na
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi lawyer-naumia-mwenzio-sehemu-ya
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 16 Siku iliisha na mume wangu hakurudi na kesho yake mama wakwe
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 17 - 18 Mama alifurahi sana maana na yeye alikuwa amekuja kwa kaka
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 19 - 20 Tuliendelea na shughuli yetu hakupata shida
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 14 Asubuhi ilifika pia sikumuuliza chochote hii ilimpa mawazo
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 12 Aliendeleaa kunipa juicee ila kuna muda aliacha afu mwenzenu nishanogewa
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 7 Aliendeleaa kunishikilia kwa nguvu huku akinipa juice na mimi nilikuwa sitoi
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 10 Nilikuwa nimejikalia zangu chumbani sina tena maumivu
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 11 Tukiwa tumelala kuna simu ikawa inaitaa alikuwa anapiga
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 6 Nilitoa macho mimi hadi machozi yalinitiririka jamani mimi nilijikuta nalia ila kwa sauti ya chini chini
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 13 "Kabil wewe ni wakuniolea mwanamke kisiri siri? , mpaka naambiwa na ndugu
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 9 "Wee jamni hata kam ndio umefukuzwa kazi ndio hupatikani shoga