Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
12 Nov 2025
217 views
VYOTE NDANI GONGA94
*LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII* Chapter 7 "Ndio nakupendaa, na nipo tayari kuthibitisha hiloo kwako, msichana wa kiarabu
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
, ila kabla ya yotee nataka kujua kwanini uliamua kujidhalilisha mpaka ukakubali kurekodiwa na yule mpuuzi Sam?, kwanini etty kabla ya hapo umeenda kumuaproach wewe mwenyew kweli? Asmy huoni wewe ni wa kike tayari chuo kizima kinaelewa hiloo kipenzi changu kwanini alimeza mate kisha akaendelea kuongea
"Ujuee nilikuona siku ya kwanza unaliaa kwa sauti ya juu na kubwa sana, nikajua kabisa una matatizo ila nilivutiwa na wewe na nilikusoma mapema wewe una moyo wa upendoo na ukarimu sana Asmy,nilijaribu kukuuliza sana kuhusu tatizo Lako hujataka kunipa majibu ikabidi nifuatiliee na kuna mdada alikuwa anakuja sana karibu na mimi anaitwa Hafsa ndieee alienieleza kila kitu kukuhusu kwanzia familia yako mpaka tatizo ulilonalo sasa, japo hakunambia kwa good way ni kam alikuwa anakusanifuu flani hivii"
"Iliniuma sana Asmy ujue mimi nilivutiwa na
wewe ila baadae nikakupendaa kwahyoo nataka tu unipe sababu basi unambiee kwanini mimi nipo tayari kukusaidia kwenye hili, tafadhari uelewe moyo wangu mrembo wangu nakupenda ujue, japo na mimi nipate amani ya moyoo nipe sababu wewe mwenyew ili niridhike etty ninakuombaa sana" alisema huku kafunga mikono yake mbele yangu kana kwamba ananiombaa nimwambie ana shida sana "Mama yangu au mpaka nilie ndio utaamini kwamba nakupenda sindioo mrembo wangu tafadhali nakuomba mama angu nambiee, tena sio saababu tu nambie hadi changamoto zako unazopitiaa, nipo tayari kukusaidiaa kwnye kila hali mama angu nakuomba sana etty nilikuwa namtizama simmalizi maana sikuelewa alikuwa anataka nini jamani huyu mkaka mhhh hapana alinibembeleza sana yule mkaka, mpaka machozi yakawa yanamlenga, niliona analimaanisha analoliongeea sikuwa na jinsi zaidi ya kumwambia kila kituu, hadi jinsi nilivyorekodiwa bila mimi kujuaa, na yule Shurey kuisambaza ile video chuoni pale na kunidhalilisha vikali mnoo, na mim kutokujuaa kama wale wanamahusuano ya kimapenzi na yule alivyonirekodi ili kwenda kunidhalilisha mbele ya mpenzi wake kwamba mimi niliutaka mwenyewe, akaamua tu anirekodi ili nikomee mimi mwenyew na kiherehere changu, niliongeaa huku naliaa jamani maan niliongeaa kwa hisia kali moyoni, yaani kazi kubembeleza ilimpata huyu mhhh hhhhh
"Usilie sasa, nishajua sio kosa lako madam wangu, unajua ukiiwa unalia hupendezi eeh haya nyamaza nikwambie kitu mrembo wangu sawa mama angu?" Alisema lecturer nilikuwa sinyamazi mimi aku ninyamaze nichekwe akati symbol yangu mimi nikuliaa yani ukimuona mdada anaeliaa ujue ndio mimi, yaani nalia utadhani karena kapool kahamia bongo maan kwa kuliaa tu sijambo kwakweli
Aliimbembeleza sana lakini sikunyamaza alitumiaa kila namna kuniweka sawa ila moyo wangu ulikuwa hautaki, kutulia kabisa maana nilikuwa nimejikumbusha machungu yotee, hadi magumu ninayopotiaa mimi na familia yangu kwakweli, alinitizama kwa mudaa akauinua uso wangu akaanza kunipa juicee na hiv nilikuwa hoi nikajikuta nazidi kuwa hoi mara kumi yakee maan hii ilikuwa hot kuliko ile ya mwanzoo awewee, nilimshikiliaa kwa nguvuu huku vile vikwikwi vinaendeleaa kuja vile vya kulia kuliaa
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
*LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII* Chapter 7 "Ndio nakupendaa, na nipo tayari kuthibitisha hiloo kwako, msichana wa kiarabu
, ila kabla ya yotee nataka kujua kwanini uliamua kujidhalilisha mpaka ukakubali kurekodiwa na yule mpuuzi Sam?, kwanini etty kabla ya hapo umeenda kumuaproach wewe mwenyew kweli? Asmy huoni wewe ni wa kike tayari chuo kizima kinaelewa hiloo kipenzi changu kwanini alimeza mate kisha akaendelea kuongea
"Ujuee nilikuona siku ya kwanza unaliaa kwa sauti ya juu na kubwa sana, nikajua kabisa una matatizo ila nilivutiwa na wewe na nilikusoma mapema wewe una moyo wa upendoo na ukarimu sana Asmy,nilijaribu kukuuliza sana kuhusu tatizo Lako hujataka kunipa majibu ikabidi nifuatiliee na kuna mdada alikuwa anakuja sana karibu na mimi anaitwa Hafsa ndieee...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/lecturer-nikikupa-hutoninanii-chapter-7-ndio-nakupendaa-na-nipo-tayari-kuthibitisha-hiloo-kwako-msic