*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*π₯°π *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Mask man Akiwaa anataka kutoka ghaflaa Anahisi kamaa kuna mtuu katika kilee chumbaa
"Huuuuh Asante sanaa Allah maanaa hapaa ningepoteza maishaaa kbsaaa"Jay Anasema na kutuliaa mulee ndani kwa mda wa dakikaa kama 10 anaposikiaa utulivu Jay anaamuaa kuondokaa na kurudii kule kwake kwa uchovu wa kazi allikuwa nao anafikaa na kubadili nguo na kulala huku simu yake anaifichaa mahali ambap mtu awezi kuionaa akiwaa na hofu kwambaa mask man atakujaa kwake Ikn ni hofu yakee tuu..
Upandee wa Mask Man Anaonekaa kuzichomaa zile karatasii zotee na anaaamuaa kuondoka mahali pale.
Ni Asubuhi na mapemaa Jordan Akiwa
Anaamkaa anapokea simu kutoka kwa Jay Jay
anampaa Story nzimaa ya kwakΔ na Mask Man
"Lkn usijali kilaa kitu nilichopigaa pichaa.
nmekutumiaaa kwahiyo naomba usome kwa
makini sanaa ntakapo maliza kazi ntakujaa
Arushaa ili kuwekaa mambo Final kbs Jay
Alisemaa Jordan alishukuruu sanaa maana ilee
kazi haikuwaa nyepesi kiasi hicho pia Jay
alimwambiaa kuhusu Maauwaji na kuhusu Jina
la Rashid Kephain kwahiyo sasa ni mdaa wa Jordan kufatiliaaa kuhusu ilo jinaaa. Jordan alimaliziaaa kujiandaa na kwendaa kazni anapofikaa kazini leo anamkutaa Saraah akiwaa ameshafikaa wanasalimianaa Ikn Jordan hataki inshu nzingine maana hazimuhusuu kbsaa. "Kamaa kunaa Document za kusaini naombaa unipatiè maana leo sitakuwaa Ofisini siku nzima "Boss Jordan Alimwambiia Saraah "Sawaa nimekuelewaa naletaa" Sarah Alijibuu.
Saraah alipambanaa na kuletaa Documents zotee ambazo zilihitaji sahihi ya boss lakini mdaa anampaa na kumpatiw maelekezo boss khs document izoo nguo ya saraah iliyokuwa na vichain vya mapambo vilishikaa kifungo cha Jordan, baada ya maelekezo hayo kuishaa Saraah alipokuwaa akiinukaa alivutaa chini na zile chain ambazo ziling'ang'aniaa katika kifungo. cha Jordan Jordan Alijikutaa akimuangaliaa sanaa Saraah Na Saraa alimuangaliaa sana Jordan huku akiangaikaa kutoaa zilee chain Jordan Uvumilivuu alionaa haupo tenaa maana mtoto mzur ndo uyoo yupo karbuu yakee Jordan aliamuaa kumshikaa Saraaha usoo wakee na kumpigaa something hot yaan deep dendaa Saraah alibaki ametumbuaa machoo maana hakutegemea kbsaa, Mda hayo yanaendeleaa Narshaa Na Doctor Abdulh walikuwaa. wanaingiaa ofisinii humo kwa Jordan kwan Narshaa alikujaa kwa ajirii yaa Jordan na Fake Abdulh alikujaa kwa ajili ya Saraah wawili hawaa wanabaki midomo wazii kwaa ilee hali ya kimahaba waliyokutanaa nayoo. Narshaa anaonekana kukasirikaa sana, "We Saraah "Narshaa alisemaa kwa hasiraa sana
Hap ndipo Sarah aliposhitukaa na kuanzaa kung'ang'ana na chain ya nguo yake Ikn mdaa huo Jordan hanaa habarii hataa machoo yakee yapo kodooo kwaa Saraah, Saraah anaamuaaa kukataa kifungoo cha Jordani. Jordan anashtuka baana ya kugundua lilee. 'Saraaah Jmn yaan unakat kifungo changu kisaa Narsha hahah" Jordan anasemaa hivo uku
akimuangaliaa Narsha
Doctor Abdulh haamini kbsaa maana anaaonaa kama mali ananyang'anywa kabisaa. "Ivi kweli Jordan unafanya yote hya ukifahamu mm sikupendi au nikuniiumizaa tuu"Narshaa Alisemaa
Mda huo Saraah anaogopaa maanaa kwa lile kiss akili yakee ilihama kbsa. Jordan anachekaa sanaa na kusema "Kwa hiyoo wewe na Abdulh fake mmeamuaa kujaa hapaa ili kutuaminishaa kuwaa mnahisiaa na sisi ety
Doctor Abdulh hana hamu kbsaa anaanza kutukana ovyo Ikn hayoo yotee hayamshitui ataa Jordan, Jordan anaamuaa kusimama na anamsogeleaa Saraah na kumvutaa kifuani mwakee Saraah mbel ya Jordam huwa hana ujanjaa wwt kwa hiyoo Saraah alikuwaa ametuliaa kam maji mtungini. Jordan aliwaangaliaa wote na kusema "Hivi mnahis mm nimzembee kamaa nyiee Narshaa Saraah ni mtu wangu ww ulishidwa kutumiaa kasri vizurii kwahiy pole yako na kwa upande wa Mr Fake Saraah angaikaa nae ukiwaa unajuaa unapoint za kweli sawaa lkn sio kwa kelel zako."" Jordan aliwachanaa makavuu Narsha na doctor Abdulh hatimaye waliokoswa pouse na kuondokaa Ikn mambo yote hayo yalifikaa kwa madam Lindaa. "Ivi Jordan Anaakilii Kweli??, Saraah Ni Mtu Aliyekujaa tuu hatakama ni wa utotoni Ikn bado
siwez kumpatiaa Jordan maan bado na kisasi kwa baba yake. Kumbukaa tu baba Saraah na Madm Linda ni marafiki Ikn. kumbe madam Linda anakisasi cha chini chini kwa mtu huyo je itakuwaje Abdulh atamkosaa Saraah Au veep.
Tunarudi upande wa Jordan wakiwaa na Saraah ofisini Jordan anaonekana kusearch lile jinaa katika mitandao ya kijamii Ikn haileti taarifa za kutoshaaa "Daah sijui ntafanyaje Aisee, lkn mbn kam hili jinaa na lifahmu kbs Jordan alisemaa kwa sautil ya chini ambayo Saraah aliisikiaaa. Jinaa ganii hilo nikutaftiee"Saraah alisema huku akimsogeleaa Jordan na Laptop yake mkononii. 'Naomba jina Saraah Alisema.
Lkn Jordan alikuwa na mashakaa sanaa Ikn alipotezeaa tuu.
Jina ni Rashid Kephain" Jordan Alisemaa. Sarah kw uharakaa sanaa alimgeukiaa Jordan na kumuangaliaa sanaa kwa suraa ya ukall kidogo.
Je Saraaah Anafahamu nn kuhus ilo jinaa na vp atamwambiaa au la ??Hahah Mimi Sifahamuu
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi