Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*πŸ₯°πŸ˜‹ *SEHEMU YA KUMI NA SITA*  Ghaflaa Hali Ya Saraah Inaonekana Kubadilika kabisaa, Mda huo huo Jay
Gonga94 Β· Stories

*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*πŸ₯°πŸ˜‹ *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Ghaflaa Hali Ya Saraah Inaonekana Kubadilika kabisaa, Mda huo huo Jay

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
nae anaonekana akiingiaa ofisini mulee anaingiaa na kushtukaa kumuona Madam Lindaa, Narshaa, Dr Abdul Na wotee hawaa wanaonekama kumtazama Saraaah Huku Jordan Akiwa Amekaa Na Mr Poul Akiwa Pembeni mwake.

"Mmmh kunaa nn tenaa hapaa duuuh yaaan hiii ofisinii ni shidaa tu ase "Jay anasemaa yote hayo uku akisogeaa karibu sanaa ili kuelewa ni jambo gani linaloendeleaa hapo.. Mdaaa huo Boss Jordan hanaa Hataa Haraka

yyt kbsaaa.

Saraah anazidii kujisikiaa vibayaa na anaamuaa kukimbiaaa katikaa washing Tablee iliyom kuwa mulee Ofisini Anapofikaa Saraah Anatapikaa sanaaa na Kushika tumbo lakee.

Watu wotee wanaonekana kubaaa hasaa Madm Narshaa na Lindaaa.

Lakini kwa upande wa Jordan Anaonekanaa kuwaa na tabasamu saanaa kbsaa.

"Jordan hi hi hi hiyoo ni mi mi mbaa yaa kwako au yaa naaan ?"Narsha Anasemaa hayoo yote huk akiwa na kigugumizi kikubwaa sana..

Madam Lindaa naye anaanza kugombaa sanaaa maan hataa aelewiii kabisa

"Jordan Saraaah Anamimbaa yako Ya Nan niambie nijuee""Madam Linda Alisema. Doctor Abdulh naye alikoswa ham kbsa maan alikodishwa kutoka mbali ili kujaa kujifanya Abdulh wake wa utotoni na kumpata Saraah Ikn sasa na yeye anashangaa anapomuonaa Saraaah kuwaa kamaa anamimba.. Lkn Jordam Alikuwaa hataa hana haraka na waoo Jay Piaa Alikuwaa anachekaa tuu akisubirii jibu la mwisho ni lipi kuhusu Saraaah. Baada Ya Kuzozanaa sanaa Jordan Alisema na kutembeaa mpk palee alipokuwa Saraaah. "Ni Mdaa Sasa Nimekuaa na Ni Na Haki Ya

Kuchaguaa Chcht Piaal Saraah Ndiye Mwanamkee Ni Naye Mpendaa Sanaa Na Zaidii PlΓ  Saraah Anaujauzito Wanguu "Jordan Alisemaa.

Jay Na Mr Poul Walitabasamu Kabisaa Huku Wakipigaa Makofii na kushangiliaaa kwa furaha Wakisemaa"Wooooyoooooo woyo woyo Hahhahah"llikufurahaa kwao sanaa Ikn Mdaa Huo Narshaa hana Hamu kbsaaa Yaan. Jordan Akiwaa Karbuu Na Saraaah Anampigiaaa Gotili Na Kuchukuaa Mkono Wa saaraah Na

kuumvalishaa petee.

Watuu Baadhi walioneshaa uchangamfuu mkubwaa lakin Kwa Narsha, Madam Lindaa na Dr Abdulh kiukweli iyoo siku ilikuwa mby sanaa kwao kiasi kwambaa Narshaa Alitoaa machozii ya maumivuu ya moyonii.

Saraaah Alishangaa Sana baada ya kuonaa kavalishwaa ilè petee alikuwa na furahaa sanaa na akaamuaaa kumyanyuà Jordan Na Kumkumbatiaa kwa nguvu.

"Nakupenda Sana Mumee Wanguu Saraah Alisemaa uku akitoaa machozi ya furahaa. "Nakupendaa zaidii mwanamke Wangu "Jordan Alijibu uku akionesha Hisiaa Zake Kwa Nguvu... Wachukuaa Matukio Huwa Hawakoswii Jay Na Mr Poul Walikuwaa wanarecord tukio Ilikuwaa Vibes Sanaa Asee Yaan. Baada Ya Hayo Jordan Aliamua kumsogeleΓ  Mama Ake. "Mama najuaa Hujapendaa But Anza Kupenda Mama Naelewa Wewe Unafanya Yote Haya sio Kwasababu Ya Narsha Ilaa Ni kwasababu Ya Wazazi Wa Saraah Ambao Unaungomvi nao, ugomvi huwa unasamehewa Mama Ety Sawa Mama Naomba Uachane na hayo mambo hataa wazazi wa Saraah hayo mawazoo na Saraah piaa hafahamu ichil kituu plz mammy sawa "Jordan Aliongeaa Ayo Maneno kwa Uchungu sanaa Maana Anaelewaa hana Mama Na mama ake tegemezi Ndo huyu..

Siku zote kama kitu sio tabiaa yako lazimaa ukiache tuu.

Madam Lindaa Anachooamuaa Nikumbatia Mwanae Jordan.

"Nisamehe Mwananguu Kwa yote niliyofanyaa hasaa ya kukuumizaa wewe na Saraah nmekuelewaaa nafanyaa mambo mabayaa sanaaa mwanangu Jordan piaa Saraah nisameh mwanangu kwa yote nimekubali piaa uwe Mke wa Mwanang Siku zote""Madam Lindaa Alisema Huku Akimsogeleaa Saraah Piaal Nakumkumbatia piaa.

Watatu hawaa walielewanaa kbsaa, Narshaa Anaonekana kuwaangaliaa Kwa Jicho Kali. "Hahahah kumbee sikujuaa kama hata madam lindaa utanisaliti sasa naombaa tusifahamianee kwanziaa sasaa na mtajutiaa maamuzii yenu wotee ""Narshaa Alisemaa Kwa Hasiraa Sanaa Na kuondoka mahali palee lakini Anaonekana Akiwaa Anamawazo Ya kulipiza Kisasii.

Madam Lindaa alitikisa kichwaa nakusemaa "Na Kama hutaachaa Biasharaa Zako Basi Zitakuumizaa Kbsa"

Doctor Abdulh piaa aliondokaa bilaa kusema chcht sasa sijui aliwazaa nn piaa, Umojaa Wao Ulianzaa Tenaa Upyaa Kama Mwanzoo Na Mapenzi Yao Ya Dhati Pia Yalionekana Kwa wingi...


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*πŸ₯°πŸ˜‹ *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Ghaflaa Hali Ya Saraah Inaonekana Kubadilika kabisaa, Mda huo huo Jay

nae anaonekana akiingiaa ofisini mulee anaingiaa na kushtukaa kumuona Madam Lindaa, Narshaa, Dr Abdul Na wotee hawaa wanaonekama kumtazama Saraaah Huku Jordan Akiwa Amekaa Na Mr Poul Akiwa Pembeni mwake.

"Mmmh kunaa nn tenaa hapaa duuuh yaaan hiii ofisinii ni shidaa tu ase "Jay anasemaa yote hayo uku akisogeaa karibu sanaa ili kuelewa ni jambo gani linaloendeleaa hapo.. Mdaaa huo Boss Jordan hanaa Hataa Haraka

yyt kbsaaa.

Saraah anazidii kujisikiaa vibayaa na anaamuaa kukimbiaaa katikaa washing Tablee iliyom kuwa mulee Ofisini Anapofikaa Saraah Anatapikaa sanaaa na Kushika tumbo lakee.

Watu wotee wanaonekana kubaaa hasaa Madm Narshaa na Lindaaa.

Lakini kwa upande wa Jordan Anaonekanaa...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mtamu-toka-utotoni-sikuachi-sehemu-ya-kumi-na-sita-ghaflaa-hali-ya-saraah-inaonekana-kubadilika-kabi

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mtamu-toka-utotoni-sikuachi-sehemu-ya-kumi-na-sita-ghaflaa-hali-ya-saraah-inaonekana-kubadilika-kabi
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67

642
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65

578
MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

497
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

430
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

353
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

289
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜

220
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

91
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

85
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

70

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.27K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.25K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemedπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❀️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest